Mkuu huyo alietoa hizo taarifa ahojiwe kazipata wapi ili hao watu 8 wakamatwe haraka sana iwezekanavyo
@Jeremiahlukumay4 ай бұрын
Makonda ni mtu na hathi yake ana uwezo wa kijasusi,mbona asingewakamata mara Moja na kuwashtaki hao watu nane?huko ni uwongo na kujitafutia umaarufutu,I repiet to say nothing else, it's just properganda and looking for comments.
@WilliamMarai-o8c4 ай бұрын
Baba Mungu yupo anaechimba kaburi kwa ajili yako atadumbukia mwenyew
@dorahmushi-we6ts4 ай бұрын
Aminaaaa
@dorahmushi-we6ts4 ай бұрын
😭😭😭😭
@jokhamohammed9764 ай бұрын
Muamini mungu Ufi Kwa uwezo wa Allah mpaka yeye apende Allah ana kurinda Kila mtu utakayo piga kazi iendelee 🇹🇿
@rehemakimungu64944 ай бұрын
Sasa mnamtukania nini?kama hutaki kutoa Coment si basi,.kweli ubinadam kazi hataufanye nini ni bure
@praygodmtui14074 ай бұрын
Piga kazi makonda usiogope MUNGU yupo na wewe malaika wa mbingu wakufunike makonda
@kanankirannko61744 ай бұрын
Arusha tuwe makini kumwaga damu za watenda haki hizo damu huwa haziendi bure na tusiwe tayari kushirikiana na wauaji, kama una shamba la mtu lirudishe kwani muda wote unalimaga hujanunua lakwako?
@hashimuuhehwa42524 ай бұрын
Muongo wewe Acha kuweweseka kwa matendo yako mchafu sio muda utaanza kuongea peke yako Damu za watu sio mchezo mzee baba jasho lazima likutoke ni muda
@exaverysimon10644 ай бұрын
na usiogope wala hufi we pambania haki mungu anakuona
@ewaldtemu6204 ай бұрын
Makoda Kwa uwezo wamungu chapakazi naipo siku utakuwa raisi wahili taifa na utakuwa mkombozi watanzania
@adoniemanuel9084 ай бұрын
usiache mlango wazi kwakua mungu anakulimda ndugu sawa kwakua mungu anakulinda amekupa na akili yakujilinda
@miriamamiri6413 ай бұрын
Mwenyenzi mungu yupo kwaajili yako
@mwitawambura25484 ай бұрын
Makonda kuwa makini na wanadamu, hata lisu alikuwa akijiamini hivo ila yalitokea ya kutokea, muamini mungu kwa kila jambo na atatenda, lakini pale panapo hitaji tahadhari, chukua tahadhari, usipuuze Dunia hii ni nzuri sana ila wanadunia hii si waziri hata kidogo Mtu yupo tayari kuondoa uhai wa mwenzake sababu ya pesa
@johnkayolo46404 ай бұрын
Huna haya. Yaani unamtaja Lisu kwenye hii story
@GodfrryGabriel4 ай бұрын
Hutakufa bali utaishi kwa jina la yesu kristo
@leahmgunda41544 ай бұрын
Kama hujawahi kuua hutauawa kamwe,Mungu tu ndiye alipaye kisasi wala haachi.
@maharagendondo4 ай бұрын
MAKONDA, KWELI WATAKUA HAO UMEWAZUIYA KULA NA KUIBA PESA ZA UMAA FANYA UNDOKE UNA MADUI WENGI SANA
@zebedayokatamaduni96764 ай бұрын
Aondoke aende wapi? Hakuna mtu atakaye weza kumuua. Maadui za mtu mwenye haki ni maadui wa Mungu wakutane na upanga wa Mungu kwa Jina kuu la Yesu Kristo Àmina
@epimackjohn4614 ай бұрын
Ndugu umeshapendeka kwa kazi nzuri unayoifanya . Habari hizi huwa hazitangazwi haraka kiusalama . Huu ni uwongo wa kutunga na kujihami ili isipotokea atambe kuwa nilisema haitatokea si mmeona ? Na huu unaweza kuwa wasiwasi . Habari kama hii inaweza kuwatia TAHARUKI wananchi waliopendezwa na UWAJIBIKAJI wako !!!
@MichaelKingazi-wm7xj4 ай бұрын
Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu amfanyaye kinga yake,na moyoni .mwake amemwacha bwana. Bwana.atakulinda utokako uingiapo tangu sasa milele hata milele.
@allythabit32364 ай бұрын
Uyu jamaa n muongo San
@petroisamba82264 ай бұрын
Piga kazi mzee wakijaribu kukuua ongezea speed iliwachanganyikiwe kabsa.
@FarajaLusuka4 ай бұрын
Jamani hamani alimuweka modekae atundikwe badala yake akatundikwa yeye mwenyewe hatari sana
@ewaldtemu6204 ай бұрын
Makoda piga kazi mungu anakilida
@joyceaden50854 ай бұрын
Mbane raia mwema awataje hao watu nane wakamatwe
@sarahdeograthias90974 ай бұрын
Pambana makonda,Viva mkuu wa mikoa yote Tanzania
@festokemibala58324 ай бұрын
Mikoa yote ipi mbona kila mmoja amepewa hadidu zake za rejea kwani kuna kuingiliana?
@danielshimora53154 ай бұрын
Tunaimani na Makonda, Makonda okoa Watanzania zuluma imezidi,
@estambuya39014 ай бұрын
Ukiua kwa upanga nawe utakufa kwa upanga.
@ndiditheodore82724 ай бұрын
Hufi bw wewe ni kibosile, mbona we ndoo walewale!
@Mtabirwatv93274 ай бұрын
Jiangalie ndugu utajikuta kwenye ushahidi unahusika nawaza tu
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
@@Mtabirwatv9327ukiuwa kwa upanga utauwawa kwa upanga
@fadhilimoshi57544 ай бұрын
Acha misifa ya kihuni wakuuwe kwa wema wako upe Jaladio weeee
@johngerald46774 ай бұрын
Acha uongo
@Jeremiahlukumay4 ай бұрын
anatafuta kiki huyo Hana lolote.
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Kama hujau sawa ila kama aliuwa damu zinamnukia, ukiuwa kwa upanga utauwawa kwa upanga
@barrehotel-q5t4 ай бұрын
Mh makonda baba piga kazi kazi Mh makonda cku zote kelele za chura hazimnyimi tembo kunywa maji kwahiyo sisi Tunakuombea dua kwa mwenyezi mungu muumba wa mbingu na aridhi akulinde na akujalie afya njema Inshaallah amin
@Jeremiahlukumay4 ай бұрын
Nothing else,huko ni uwongo,unatafuta kiki wewe uuliwe una Nini?na wewe ni Mmoja wa watu wasiojulikana Tanzania?
@japharymagesa7354 ай бұрын
Chuki haifichiki kaka pole sana 😂😂
@mataypanga52624 ай бұрын
Wewe ni mtu mwenye akili nzuri
@FahadAbubakari4 ай бұрын
Unajulikana wewe baba yoyoo
@MngwaliAllykizangwa4 ай бұрын
Mtu akiwa mtetezi kwako bado una maneno ya kale watu. Wasiojulikana,hivi hujifunzi kutoka kwa hao kina lema,na wenzake umesikia wanatia neno,maana tunataka tutapochukua nchi toka ccm,,tunatarajia wawe hivyo