"Wanataka kuniua,Watu 8 wamelipwa Milioni 6" MAKONDA afichua mpango wa kutaka kumuangamiza

  Рет қаралды 24,037

Habari Digital

Habari Digital

Күн бұрын

Пікірлер: 56
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 4 ай бұрын
Mkuu huyo alietoa hizo taarifa ahojiwe kazipata wapi ili hao watu 8 wakamatwe haraka sana iwezekanavyo
@Jeremiahlukumay
@Jeremiahlukumay 4 ай бұрын
Makonda ni mtu na hathi yake ana uwezo wa kijasusi,mbona asingewakamata mara Moja na kuwashtaki hao watu nane?huko ni uwongo na kujitafutia umaarufutu,I repiet to say nothing else, it's just properganda and looking for comments.
@WilliamMarai-o8c
@WilliamMarai-o8c 4 ай бұрын
Baba Mungu yupo anaechimba kaburi kwa ajili yako atadumbukia mwenyew
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 4 ай бұрын
Aminaaaa
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 4 ай бұрын
😭😭😭😭
@jokhamohammed976
@jokhamohammed976 4 ай бұрын
Muamini mungu Ufi Kwa uwezo wa Allah mpaka yeye apende Allah ana kurinda Kila mtu utakayo piga kazi iendelee 🇹🇿
@rehemakimungu6494
@rehemakimungu6494 4 ай бұрын
Sasa mnamtukania nini?kama hutaki kutoa Coment si basi,.kweli ubinadam kazi hataufanye nini ni bure
@praygodmtui1407
@praygodmtui1407 4 ай бұрын
Piga kazi makonda usiogope MUNGU yupo na wewe malaika wa mbingu wakufunike makonda
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 4 ай бұрын
Arusha tuwe makini kumwaga damu za watenda haki hizo damu huwa haziendi bure na tusiwe tayari kushirikiana na wauaji, kama una shamba la mtu lirudishe kwani muda wote unalimaga hujanunua lakwako?
@hashimuuhehwa4252
@hashimuuhehwa4252 4 ай бұрын
Muongo wewe Acha kuweweseka kwa matendo yako mchafu sio muda utaanza kuongea peke yako Damu za watu sio mchezo mzee baba jasho lazima likutoke ni muda
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 4 ай бұрын
na usiogope wala hufi we pambania haki mungu anakuona
@ewaldtemu620
@ewaldtemu620 4 ай бұрын
Makoda Kwa uwezo wamungu chapakazi naipo siku utakuwa raisi wahili taifa na utakuwa mkombozi watanzania
@adoniemanuel908
@adoniemanuel908 4 ай бұрын
usiache mlango wazi kwakua mungu anakulimda ndugu sawa kwakua mungu anakulinda amekupa na akili yakujilinda
@miriamamiri641
@miriamamiri641 3 ай бұрын
Mwenyenzi mungu yupo kwaajili yako
@mwitawambura2548
@mwitawambura2548 4 ай бұрын
Makonda kuwa makini na wanadamu, hata lisu alikuwa akijiamini hivo ila yalitokea ya kutokea, muamini mungu kwa kila jambo na atatenda, lakini pale panapo hitaji tahadhari, chukua tahadhari, usipuuze Dunia hii ni nzuri sana ila wanadunia hii si waziri hata kidogo Mtu yupo tayari kuondoa uhai wa mwenzake sababu ya pesa
@johnkayolo4640
@johnkayolo4640 4 ай бұрын
Huna haya. Yaani unamtaja Lisu kwenye hii story
@GodfrryGabriel
@GodfrryGabriel 4 ай бұрын
Hutakufa bali utaishi kwa jina la yesu kristo
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 4 ай бұрын
Kama hujawahi kuua hutauawa kamwe,Mungu tu ndiye alipaye kisasi wala haachi.
@maharagendondo
@maharagendondo 4 ай бұрын
MAKONDA, KWELI WATAKUA HAO UMEWAZUIYA KULA NA KUIBA PESA ZA UMAA FANYA UNDOKE UNA MADUI WENGI SANA
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 4 ай бұрын
Aondoke aende wapi? Hakuna mtu atakaye weza kumuua. Maadui za mtu mwenye haki ni maadui wa Mungu wakutane na upanga wa Mungu kwa Jina kuu la Yesu Kristo Àmina
@epimackjohn461
@epimackjohn461 4 ай бұрын
Ndugu umeshapendeka kwa kazi nzuri unayoifanya . Habari hizi huwa hazitangazwi haraka kiusalama . Huu ni uwongo wa kutunga na kujihami ili isipotokea atambe kuwa nilisema haitatokea si mmeona ? Na huu unaweza kuwa wasiwasi . Habari kama hii inaweza kuwatia TAHARUKI wananchi waliopendezwa na UWAJIBIKAJI wako !!!
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj 4 ай бұрын
Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu amfanyaye kinga yake,na moyoni .mwake amemwacha bwana. Bwana.atakulinda utokako uingiapo tangu sasa milele hata milele.
@allythabit3236
@allythabit3236 4 ай бұрын
Uyu jamaa n muongo San
@petroisamba8226
@petroisamba8226 4 ай бұрын
Piga kazi mzee wakijaribu kukuua ongezea speed iliwachanganyikiwe kabsa.
@FarajaLusuka
@FarajaLusuka 4 ай бұрын
Jamani hamani alimuweka modekae atundikwe badala yake akatundikwa yeye mwenyewe hatari sana
@ewaldtemu620
@ewaldtemu620 4 ай бұрын
Makoda piga kazi mungu anakilida
@joyceaden5085
@joyceaden5085 4 ай бұрын
Mbane raia mwema awataje hao watu nane wakamatwe
@sarahdeograthias9097
@sarahdeograthias9097 4 ай бұрын
Pambana makonda,Viva mkuu wa mikoa yote Tanzania
@festokemibala5832
@festokemibala5832 4 ай бұрын
Mikoa yote ipi mbona kila mmoja amepewa hadidu zake za rejea kwani kuna kuingiliana?
@danielshimora5315
@danielshimora5315 4 ай бұрын
Tunaimani na Makonda, Makonda okoa Watanzania zuluma imezidi,
@estambuya3901
@estambuya3901 4 ай бұрын
Ukiua kwa upanga nawe utakufa kwa upanga.
@ndiditheodore8272
@ndiditheodore8272 4 ай бұрын
Hufi bw wewe ni kibosile, mbona we ndoo walewale!
@Mtabirwatv9327
@Mtabirwatv9327 4 ай бұрын
Jiangalie ndugu utajikuta kwenye ushahidi unahusika nawaza tu
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
​@@Mtabirwatv9327ukiuwa kwa upanga utauwawa kwa upanga
@fadhilimoshi5754
@fadhilimoshi5754 4 ай бұрын
Acha misifa ya kihuni wakuuwe kwa wema wako upe Jaladio weeee
@johngerald4677
@johngerald4677 4 ай бұрын
Acha uongo
@Jeremiahlukumay
@Jeremiahlukumay 4 ай бұрын
anatafuta kiki huyo Hana lolote.
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
Kama hujau sawa ila kama aliuwa damu zinamnukia, ukiuwa kwa upanga utauwawa kwa upanga
@barrehotel-q5t
@barrehotel-q5t 4 ай бұрын
Mh makonda baba piga kazi kazi Mh makonda cku zote kelele za chura hazimnyimi tembo kunywa maji kwahiyo sisi Tunakuombea dua kwa mwenyezi mungu muumba wa mbingu na aridhi akulinde na akujalie afya njema Inshaallah amin
@Jeremiahlukumay
@Jeremiahlukumay 4 ай бұрын
Nothing else,huko ni uwongo,unatafuta kiki wewe uuliwe una Nini?na wewe ni Mmoja wa watu wasiojulikana Tanzania?
@japharymagesa735
@japharymagesa735 4 ай бұрын
Chuki haifichiki kaka pole sana 😂😂
@mataypanga5262
@mataypanga5262 4 ай бұрын
Wewe ni mtu mwenye akili nzuri
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 4 ай бұрын
Unajulikana wewe baba yoyoo
@MngwaliAllykizangwa
@MngwaliAllykizangwa 4 ай бұрын
Mtu akiwa mtetezi kwako bado una maneno ya kale watu. Wasiojulikana,hivi hujifunzi kutoka kwa hao kina lema,na wenzake umesikia wanatia neno,maana tunataka tutapochukua nchi toka ccm,,tunatarajia wawe hivyo
@DamagaMbiti
@DamagaMbiti 4 ай бұрын
Chunga sana ulimi wako ndugu
@michaellorri2275
@michaellorri2275 4 ай бұрын
Mjinga huyo nani amuwinde, acha kutafuta kiki!
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
Mshamba anajificha kuficha uovu wake
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
PROPHET IPM AMWAGA  UCHAFU WOTE WA DIDDY/ VIJANA ACHENI TAMAA
24:57
Soalan Non Muslim Yang Mengejutkan Kepada Saya! | Ustaz Auni Mohamed
38:29
Siddiq Danial Channel Official
Рет қаралды 68 М.
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33