No video

MAKONDA "Natoa Amri OCD Kamata Huyu Mwenyekiti ni Mwizi" SINA MUDA WA KUCHEKA na WALA RUSHWA,.🙌🙌

  Рет қаралды 78,467

HABARIMPYA TV

HABARIMPYA TV

2 ай бұрын

Пікірлер: 69
@Masta313
@Masta313 2 ай бұрын
Safari hii mtayanywa haswaa ...hongera mkuu wa mkoa
@johnmeshack4431
@johnmeshack4431 2 ай бұрын
Makonda mungu akubariki sana zaidi ya sana unafanya kazi poa ❤❤❤❤
@evidencekangimba1538
@evidencekangimba1538 2 ай бұрын
Hongera sana mkuu wa mkoa! Tanzania 🇹🇿 kuna mkuu wa mkoa mmoja tu Bw. Makonda na ndiye Rais wa nchi ya Arusha!
@asedimaketa8694
@asedimaketa8694 2 ай бұрын
Aseee huyu Makonda namuona mbali sana
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 2 ай бұрын
Mushapata Raisi wenu kwenye nchi ya Arusha hongereni sana😂😂😂😂
@user-xn1ly2yx7j
@user-xn1ly2yx7j 2 ай бұрын
Asante sana mheshimiwa Rais mama yetu ,Mama samia kwa kweli nakupa pongezi kubwa sana tu kwa kazi kubwa unayofanya kuiweka nchi yetu kimataifa. Kiukweli mama kweli unajicho linalo angaza sana tu.Nikimaanisha kuwa unajua kuwa nani nimuweka wapi ili afanikishe ndoto nzako.Mheshimiwa nakupa pongezi kubwa sana kumchagua mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa .Mkoa wa Arusha.Yaani makonda ni jembe lenye ncha kali sana .mheshimiwa ungekuwa na watumishi hata kumi tu nchi yetu kweli ingekuwa ni Dubai ndogo.yaani mheshimiwa Makonda ni mpiga kazi .Na jiji la Arusha litang'a sana tu .Huwa nafutilia sana kazi za mheshimiwa makonda kila siku.Naomba mwenyezi amlinde ili afanikishe majukumu yake.Huwa namwona tu kwenye mitandao ningekuwa nipo huko TZ ningejitahidi nimwone nimshike mkono wake .
@user-xn1ly2yx7j
@user-xn1ly2yx7j 2 ай бұрын
Asante sana mheshimiwa Rais mama yetu ,Mama samia kwa kweli nakupa pongezi kubwa sana tu kwa kazi kubwa unayofanya kuiweka nchi yetu kimataifa. Kiukweli mama kweli unajicho linalo angaza sana tu.Nikimaanisha kuwa unajua kuwa nani nimuweka wapi ili afanikishe ndoto nzako.Mheshimiwa nakupa pongezi kubwa sana kumchagua mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa .Mkoa wa Arusha.Yaani makonda ni jembe lenye ncha kali sana .mheshimiwa ungekuwa na watumishi hata kumi tu nchi yetu kweli ingekuwa ni Dubai ndogo.yaani mheshimiwa Makonda ni mpiga kazi .Na jiji la Arusha litang'a sana tu .Huwa nafutilia sana kazi za mheshimiwa makonda kila siku.Naomba mwenyezi amlinde ili afanikishe majukumu yake.Huwa namwona tu kwenye mitandao ningekuwa nipo huko TZ ningejitahidi nimwone nimshike mkono wake .
@user-xn1ly2yx7j
@user-xn1ly2yx7j 2 ай бұрын
Asante sana mheshimiwa Rais mama yetu ,Mama samia kwa kweli nakupa pongezi kubwa sana tu kwa kazi kubwa unayofanya kuiweka nchi yetu kimataifa. Kiukweli mama kweli unajicho linalo angaza sana tu.Nikimaanisha kuwa unajua kuwa nani nimuweka wapi ili afanikishe ndoto nzako.Mheshimiwa nakupa pongezi kubwa sana kumchagua mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa .Mkoa wa Arusha.Yaani makonda ni jembe lenye ncha kali sana .mheshimiwa ungekuwa na watumishi hata kumi tu nchi yetu kweli ingekuwa ni Dubai ndogo.yaani mheshimiwa Makonda ni mpiga kazi .Na jiji la Arusha litang'a sana tu .Huwa nafutilia sana kazi za mheshimiwa makonda kila siku.Naomba mwenyezi amlinde ili afanikishe majukumu yake.Huwa namwona tu kwenye mitandao ningekuwa nipo huko TZ ningejitahidi nimwone nimshike mkono wake .
@MezdDimoso
@MezdDimoso 2 ай бұрын
Safi sana mkuu chapa kazi nasisi tunakuombea kwa mungu akupatie ulinzi wake🎉
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 2 ай бұрын
Hongera sana makonda
@juliussamwel6606
@juliussamwel6606 2 ай бұрын
Big up makonda Mungu aendelee kukuinua
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 2 ай бұрын
Tanzania bila ya watu Kama Makonda ni dhuruma tupu. Watu hawana haya kudhurumu wengine bila AIBU
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 2 ай бұрын
HONGERA BABA MAKONDA KWA KAZI NZURI UNAYOIFANYA. UMEWAPA SAUTI WATU WASIOKUWA NA SAUTI.
@sarahdeograthias9097
@sarahdeograthias9097 2 ай бұрын
Viva Makonda vivaaaaa
@shamtenyambega2944
@shamtenyambega2944 2 ай бұрын
MHESHIMIWA mkuu wa mkoa huko pembeni kuna Madudu mengi sana wananchi tunateseka sana
@NeemaMushi-wj1zn
@NeemaMushi-wj1zn 2 ай бұрын
Safi Sana tumechoka na Wala rushwa wa nchi
@mosesnyamhanga449
@mosesnyamhanga449 12 күн бұрын
Hongera Sana makonda
@user-bl3ee2vx4d
@user-bl3ee2vx4d 2 ай бұрын
Mungu mwemw wakati wote
@adamshilinde2529
@adamshilinde2529 2 ай бұрын
Faida na hasara za utendaji wa connection. Watu wenye uwezo wanaachwa wasio na uwezo wanaingia kwenye mfumo wa serikali matokeo yake wanafanya kazi bila woga
@paulmaganga9700
@paulmaganga9700 2 ай бұрын
Bonge Moja la KIONGOZI
@OnesmoEmmanuel-xr2rf
@OnesmoEmmanuel-xr2rf 2 ай бұрын
Nabora walikupeleka.arusha kulikua na.matukio sana.arusha
@user-yl2br2ts3i
@user-yl2br2ts3i 2 ай бұрын
makonda nmekukubali laaana.....ukikaa miaka10 arusha tutakua km ulayaaaa
@SadaKigwangala
@SadaKigwangala Ай бұрын
Hahaaaaaa hongeren Wana arusha migogoro itaisha
@HashimYahaya-hd3zm
@HashimYahaya-hd3zm 2 ай бұрын
Mku hongera
@MariumChristopher
@MariumChristopher 2 ай бұрын
Ndio ni mungu amekutuma mkuu wa mkoa makondo ndye yeyeye akulinde nakukufinikab
@eliasthomas1547
@eliasthomas1547 Ай бұрын
Mambo ni moto Arusha kwa Makonda.
@njaujustin56
@njaujustin56 2 ай бұрын
Mh Makonda hili ni tatizo baada ya kusikiliza changamoto zote kaa na watendaj na watumishi katika ngazi zote piga brush kwa maana kufuata muhtasar wa utendaji kazi kuanzia upokeaji wa fedha za miradi and then fanya ukaguzi na hii ofanyike katika halmashaul zote ukipendekeza kwa maana wananchi wengi wanaumia sana na hawajui taratibu sheria na miongozo hivyo wasomi kutumia fursa kuwapiga wananchi
@aminielimushi8709
@aminielimushi8709 2 ай бұрын
Hii nimeipenda
@user-mm4uy7cy9w
@user-mm4uy7cy9w 2 ай бұрын
Mpaka wasemee
@zubedahussain2133
@zubedahussain2133 2 ай бұрын
Majitu yanyakati hizi wezi sana hawana hata uogaa na vitu vya serekali
@FrolahRimo-cm3tu
@FrolahRimo-cm3tu 2 ай бұрын
Mungu akulinde kila silaha itakayoinuka ju yako haitafanikiwa
@unclegmihale455
@unclegmihale455 2 ай бұрын
Safi san mkuu
@octiminja5260
@octiminja5260 2 ай бұрын
mmeyakanyagaaaaaaa big up mkuu wa mkoa
@laylayl5166
@laylayl5166 2 ай бұрын
Jamani nyie dhulma mbayaaa hamnahata khofu ya mungu wala huruma hamna
@shamtenyambega2944
@shamtenyambega2944 2 ай бұрын
hakika wewe ni mkuu wa mkoa kweli na raisi wa Mkoa wa ARUSHA
@zariadunia6328
@zariadunia6328 2 ай бұрын
Haya mambo yapo nchi nzima sema viongozi wengi ni corrupt na waoga hawa watu wanao itwa watendaji ni hatari ni majambazi pamoja na wenyeviti wao wa vijiji
@KulwaFadhiri
@KulwaFadhiri 2 ай бұрын
Mungu akutuze meler
@user-ib2ew9ec3d
@user-ib2ew9ec3d 2 ай бұрын
Kunajitu linacheka kwanyuma yajamaa lingefukuswa bhana
@zubedahussain2133
@zubedahussain2133 2 ай бұрын
Hata wanunuzi hamna Akili wewe unatoa hela bila kuwachunguza siungechunguza kwaza
@octiminja5260
@octiminja5260 2 ай бұрын
DADA ZUUUUU 😮😊😊 HAPO IKULU UPOOO LIVE 😊 UNAYAONA MAMBO YA UTEUZI WAKO UKISHAURIANA NA MAMA YETU MKUU WA NCHI?????? Hapa MMEPIGA KWENYE MSHONO HONGERAAA SANAAAAA DADA ZUUU KATIBU MKUU IKULU❤
@shamtenyambega2944
@shamtenyambega2944 2 ай бұрын
kaka yangu Piga kazi
@sospeteralex378
@sospeteralex378 2 ай бұрын
Piga kazi
@ShabanShabanmpil
@ShabanShabanmpil Ай бұрын
Akuna Kama makonda
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn 2 ай бұрын
Mh mkuu wa mkoa Kuna kijiji Cha sekei Kuna uchauchafu mwingi mno kwa viongozi kuweka Saini mara mbilimbili
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 2 ай бұрын
KULA KICHWA MKUU WA MKOA HAWA NDIYO WEZI NA WANAOSABABISHA MIGOGORO
@user-qv2tg9cz8c
@user-qv2tg9cz8c 2 ай бұрын
Aiseeeee
@AmerdaKavishe-pu3cf
@AmerdaKavishe-pu3cf 2 ай бұрын
Makonda kazi ipo nibora unge tumika kama mtumishi wakazi ya mungu mbona mungu alikuchagua mda kaka tukatae tukubali serikali ya jamuuri nawatumishi wake uto waweza kwani nitamaduni ya nchi kufaki watakushangaa nauto weza kuzibiti japo niaki na kweli
@devisshirima6780
@devisshirima6780 2 ай бұрын
Magufuli is alive !! Hakika Mh. Magufuli bado yupo hai !! Huyo ni Mh. Makonda lakini ndani yake yupo Magufuli kabisa !!
@jumakilongo-qz1jb
@jumakilongo-qz1jb Ай бұрын
Jizi hilo beba likapate haki yake kupapapake
@honoratusmodest285
@honoratusmodest285 2 ай бұрын
Mama samia makonda akimaliza Arusha tuletee lindi huku
@thomaschengena6369
@thomaschengena6369 2 ай бұрын
utawaua wamwera
@RashidMadoti
@RashidMadoti 2 ай бұрын
Wapige supana tu mshua hata mimi nimekuluhusu wagonge subana wajinga kabisa
@RASHIDMPUMU
@RASHIDMPUMU Ай бұрын
Mzee wa spana kaza nati
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w 2 ай бұрын
Shida samia makonda chapa kanzi
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w 2 ай бұрын
Makonda upo injuries
@RobsonEnock
@RobsonEnock 2 ай бұрын
Mh.makonda wewe ni magufuri wa Tanzania tunazidi kukuombea uje uwe rais wa nchi.
@KabikamjukuuInagamlyambelele
@KabikamjukuuInagamlyambelele Ай бұрын
Niponipo
@sfggf468
@sfggf468 2 ай бұрын
Matapeli ni wengi hii nchi sio Arusha tu
@SadaKigwangala
@SadaKigwangala Ай бұрын
Namkumbuka alivyo kuwa mkuu wa .koa wa daresa Salam wewe walio terekeza watoto wailiipata😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ RC makonda
@ShamsiKasoma-fn4cl
@ShamsiKasoma-fn4cl 2 ай бұрын
Mtaanyooka Arusha mpaka mseme
@snipershort6988
@snipershort6988 2 ай бұрын
Rais wa WADUDU umeiona hiyo barabara waliokupitisha utazani njia ya kuelekea shambani, huku ndo tunapokaa wananchi wako hata pakitokea mlipuko wa magonjwa kufika mjini ni masaa matatu tusaidie mkuu wetu barabara mbovu
@ExaudyMwalongo
@ExaudyMwalongo Ай бұрын
Hongera sana makonda
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb 2 ай бұрын
Mbona shamba hammpi mpaka mnajengea pesa yake ofisi wezi nyie
BABA YANGU KIPOFU Full episode /24/ #love
30:52
BabaJoan
Рет қаралды 36 М.
Son ❤️ #shorts by Leisi Show
00:41
Leisi Show
Рет қаралды 8 МЛН
Inside Out Babies (Inside Out Animation)
00:21
FASH
Рет қаралды 23 МЛН
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Chapitosiki
Рет қаралды 2,5 МЛН
MAKONDA AAMURU OCD BUGURUNI APANGIWE KAZI NYINGINE, WANANCHI WASHANGILIA
11:59
Simone Biles trolls Trump: ‘I love my Black job’
8:55