Safari hii mtayanywa haswaa ...hongera mkuu wa mkoa
@johnmeshack44312 ай бұрын
Makonda mungu akubariki sana zaidi ya sana unafanya kazi poa ❤❤❤❤
@evidencekangimba15382 ай бұрын
Hongera sana mkuu wa mkoa! Tanzania 🇹🇿 kuna mkuu wa mkoa mmoja tu Bw. Makonda na ndiye Rais wa nchi ya Arusha!
@asedimaketa86942 ай бұрын
Aseee huyu Makonda namuona mbali sana
@melanialeonard40312 ай бұрын
Mushapata Raisi wenu kwenye nchi ya Arusha hongereni sana😂😂😂😂
@user-xn1ly2yx7j2 ай бұрын
Asante sana mheshimiwa Rais mama yetu ,Mama samia kwa kweli nakupa pongezi kubwa sana tu kwa kazi kubwa unayofanya kuiweka nchi yetu kimataifa. Kiukweli mama kweli unajicho linalo angaza sana tu.Nikimaanisha kuwa unajua kuwa nani nimuweka wapi ili afanikishe ndoto nzako.Mheshimiwa nakupa pongezi kubwa sana kumchagua mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa .Mkoa wa Arusha.Yaani makonda ni jembe lenye ncha kali sana .mheshimiwa ungekuwa na watumishi hata kumi tu nchi yetu kweli ingekuwa ni Dubai ndogo.yaani mheshimiwa Makonda ni mpiga kazi .Na jiji la Arusha litang'a sana tu .Huwa nafutilia sana kazi za mheshimiwa makonda kila siku.Naomba mwenyezi amlinde ili afanikishe majukumu yake.Huwa namwona tu kwenye mitandao ningekuwa nipo huko TZ ningejitahidi nimwone nimshike mkono wake .
@user-xn1ly2yx7j2 ай бұрын
Asante sana mheshimiwa Rais mama yetu ,Mama samia kwa kweli nakupa pongezi kubwa sana tu kwa kazi kubwa unayofanya kuiweka nchi yetu kimataifa. Kiukweli mama kweli unajicho linalo angaza sana tu.Nikimaanisha kuwa unajua kuwa nani nimuweka wapi ili afanikishe ndoto nzako.Mheshimiwa nakupa pongezi kubwa sana kumchagua mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa .Mkoa wa Arusha.Yaani makonda ni jembe lenye ncha kali sana .mheshimiwa ungekuwa na watumishi hata kumi tu nchi yetu kweli ingekuwa ni Dubai ndogo.yaani mheshimiwa Makonda ni mpiga kazi .Na jiji la Arusha litang'a sana tu .Huwa nafutilia sana kazi za mheshimiwa makonda kila siku.Naomba mwenyezi amlinde ili afanikishe majukumu yake.Huwa namwona tu kwenye mitandao ningekuwa nipo huko TZ ningejitahidi nimwone nimshike mkono wake .
@user-xn1ly2yx7j2 ай бұрын
Asante sana mheshimiwa Rais mama yetu ,Mama samia kwa kweli nakupa pongezi kubwa sana tu kwa kazi kubwa unayofanya kuiweka nchi yetu kimataifa. Kiukweli mama kweli unajicho linalo angaza sana tu.Nikimaanisha kuwa unajua kuwa nani nimuweka wapi ili afanikishe ndoto nzako.Mheshimiwa nakupa pongezi kubwa sana kumchagua mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa .Mkoa wa Arusha.Yaani makonda ni jembe lenye ncha kali sana .mheshimiwa ungekuwa na watumishi hata kumi tu nchi yetu kweli ingekuwa ni Dubai ndogo.yaani mheshimiwa Makonda ni mpiga kazi .Na jiji la Arusha litang'a sana tu .Huwa nafutilia sana kazi za mheshimiwa makonda kila siku.Naomba mwenyezi amlinde ili afanikishe majukumu yake.Huwa namwona tu kwenye mitandao ningekuwa nipo huko TZ ningejitahidi nimwone nimshike mkono wake .
@MezdDimoso2 ай бұрын
Safi sana mkuu chapa kazi nasisi tunakuombea kwa mungu akupatie ulinzi wake🎉
@MasterOil-qm6vw2 ай бұрын
Hongera sana makonda
@juliussamwel66062 ай бұрын
Big up makonda Mungu aendelee kukuinua
@Mima-cl2im2 ай бұрын
Tanzania bila ya watu Kama Makonda ni dhuruma tupu. Watu hawana haya kudhurumu wengine bila AIBU
@Mima-cl2im2 ай бұрын
HONGERA BABA MAKONDA KWA KAZI NZURI UNAYOIFANYA. UMEWAPA SAUTI WATU WASIOKUWA NA SAUTI.
@sarahdeograthias90972 ай бұрын
Viva Makonda vivaaaaa
@shamtenyambega29442 ай бұрын
MHESHIMIWA mkuu wa mkoa huko pembeni kuna Madudu mengi sana wananchi tunateseka sana
@NeemaMushi-wj1zn2 ай бұрын
Safi Sana tumechoka na Wala rushwa wa nchi
@mosesnyamhanga44912 күн бұрын
Hongera Sana makonda
@user-bl3ee2vx4d2 ай бұрын
Mungu mwemw wakati wote
@adamshilinde25292 ай бұрын
Faida na hasara za utendaji wa connection. Watu wenye uwezo wanaachwa wasio na uwezo wanaingia kwenye mfumo wa serikali matokeo yake wanafanya kazi bila woga
makonda nmekukubali laaana.....ukikaa miaka10 arusha tutakua km ulayaaaa
@SadaKigwangalaАй бұрын
Hahaaaaaa hongeren Wana arusha migogoro itaisha
@HashimYahaya-hd3zm2 ай бұрын
Mku hongera
@MariumChristopher2 ай бұрын
Ndio ni mungu amekutuma mkuu wa mkoa makondo ndye yeyeye akulinde nakukufinikab
@eliasthomas1547Ай бұрын
Mambo ni moto Arusha kwa Makonda.
@njaujustin562 ай бұрын
Mh Makonda hili ni tatizo baada ya kusikiliza changamoto zote kaa na watendaj na watumishi katika ngazi zote piga brush kwa maana kufuata muhtasar wa utendaji kazi kuanzia upokeaji wa fedha za miradi and then fanya ukaguzi na hii ofanyike katika halmashaul zote ukipendekeza kwa maana wananchi wengi wanaumia sana na hawajui taratibu sheria na miongozo hivyo wasomi kutumia fursa kuwapiga wananchi
@aminielimushi87092 ай бұрын
Hii nimeipenda
@user-mm4uy7cy9w2 ай бұрын
Mpaka wasemee
@zubedahussain21332 ай бұрын
Majitu yanyakati hizi wezi sana hawana hata uogaa na vitu vya serekali
@FrolahRimo-cm3tu2 ай бұрын
Mungu akulinde kila silaha itakayoinuka ju yako haitafanikiwa
@unclegmihale4552 ай бұрын
Safi san mkuu
@octiminja52602 ай бұрын
mmeyakanyagaaaaaaa big up mkuu wa mkoa
@laylayl51662 ай бұрын
Jamani nyie dhulma mbayaaa hamnahata khofu ya mungu wala huruma hamna
@shamtenyambega29442 ай бұрын
hakika wewe ni mkuu wa mkoa kweli na raisi wa Mkoa wa ARUSHA
@zariadunia63282 ай бұрын
Haya mambo yapo nchi nzima sema viongozi wengi ni corrupt na waoga hawa watu wanao itwa watendaji ni hatari ni majambazi pamoja na wenyeviti wao wa vijiji
Hata wanunuzi hamna Akili wewe unatoa hela bila kuwachunguza siungechunguza kwaza
@octiminja52602 ай бұрын
DADA ZUUUUU 😮😊😊 HAPO IKULU UPOOO LIVE 😊 UNAYAONA MAMBO YA UTEUZI WAKO UKISHAURIANA NA MAMA YETU MKUU WA NCHI?????? Hapa MMEPIGA KWENYE MSHONO HONGERAAA SANAAAAA DADA ZUUU KATIBU MKUU IKULU❤
@shamtenyambega29442 ай бұрын
kaka yangu Piga kazi
@sospeteralex3782 ай бұрын
Piga kazi
@ShabanShabanmpilАй бұрын
Akuna Kama makonda
@PauloAlfayo-qi1gn2 ай бұрын
Mh mkuu wa mkoa Kuna kijiji Cha sekei Kuna uchauchafu mwingi mno kwa viongozi kuweka Saini mara mbilimbili
@nelsonnyamle2 ай бұрын
KULA KICHWA MKUU WA MKOA HAWA NDIYO WEZI NA WANAOSABABISHA MIGOGORO
@user-qv2tg9cz8c2 ай бұрын
Aiseeeee
@AmerdaKavishe-pu3cf2 ай бұрын
Makonda kazi ipo nibora unge tumika kama mtumishi wakazi ya mungu mbona mungu alikuchagua mda kaka tukatae tukubali serikali ya jamuuri nawatumishi wake uto waweza kwani nitamaduni ya nchi kufaki watakushangaa nauto weza kuzibiti japo niaki na kweli
@devisshirima67802 ай бұрын
Magufuli is alive !! Hakika Mh. Magufuli bado yupo hai !! Huyo ni Mh. Makonda lakini ndani yake yupo Magufuli kabisa !!
@jumakilongo-qz1jbАй бұрын
Jizi hilo beba likapate haki yake kupapapake
@honoratusmodest2852 ай бұрын
Mama samia makonda akimaliza Arusha tuletee lindi huku
@thomaschengena63692 ай бұрын
utawaua wamwera
@RashidMadoti2 ай бұрын
Wapige supana tu mshua hata mimi nimekuluhusu wagonge subana wajinga kabisa
@RASHIDMPUMUАй бұрын
Mzee wa spana kaza nati
@user-ti8fn1wn1w2 ай бұрын
Shida samia makonda chapa kanzi
@user-ti8fn1wn1w2 ай бұрын
Makonda upo injuries
@RobsonEnock2 ай бұрын
Mh.makonda wewe ni magufuri wa Tanzania tunazidi kukuombea uje uwe rais wa nchi.
@KabikamjukuuInagamlyambeleleАй бұрын
Niponipo
@sfggf4682 ай бұрын
Matapeli ni wengi hii nchi sio Arusha tu
@SadaKigwangalaАй бұрын
Namkumbuka alivyo kuwa mkuu wa .koa wa daresa Salam wewe walio terekeza watoto wailiipata😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ RC makonda
@ShamsiKasoma-fn4cl2 ай бұрын
Mtaanyooka Arusha mpaka mseme
@snipershort69882 ай бұрын
Rais wa WADUDU umeiona hiyo barabara waliokupitisha utazani njia ya kuelekea shambani, huku ndo tunapokaa wananchi wako hata pakitokea mlipuko wa magonjwa kufika mjini ni masaa matatu tusaidie mkuu wetu barabara mbovu
@ExaudyMwalongoАй бұрын
Hongera sana makonda
@Esterkomba-ef7eb2 ай бұрын
Mbona shamba hammpi mpaka mnajengea pesa yake ofisi wezi nyie