UKIANGALIA MIZIGO MWEZI WA RAMADHANI FUNGA YAKO INAENDA BURE

  Рет қаралды 19,919

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 52
@KhadijaSalum-nf5mf
@KhadijaSalum-nf5mf 10 ай бұрын
Tushazowea nchi za kigeni Alhamdullillah masaa mengi lkn Allah anatuletea wepesi mpaka watoto wetu kwa masaa hayo kufunga ramadhan
@AbdulshakuurMohammad
@AbdulshakuurMohammad 10 ай бұрын
Mahusiano hayafai vyovyote vile na kuwasiluana na mchumba haifai mpaka umuoe
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 10 ай бұрын
Hapo hamna dini ya msimu, iwe Ramadhan au Ijumaa au siku za kawaida
@OmanHubi-q5x
@OmanHubi-q5x 10 ай бұрын
Kipozoa kama umesoma unafelu kwmb wa chane Ramadan bada ya apo warejeane hakuna dini inayo kubali ngono baba m mungu kila siku yuko mm huwa wananishangaza sana hawa watu mm nimeskiliz hii interview ila sheke majibu jako kama unawaogopa awo wa bongo kuwapa elimu ww😢😢😮😮😮
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 10 ай бұрын
Kweli ndo wako hivyo masheikh wengi tu, wanatuangusha kabisa! sheikh nyundo marehemu ndo nyundo kweli kweli! Allah amrehemu
@OmanHubi-q5x
@OmanHubi-q5x 10 ай бұрын
Amin kaka ❤️💯
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 10 ай бұрын
Tz hakuna mashehe ni mashehena tu akiwemo huyo kipozeo mwenyewe huo ndo ukweli ni wasanii tu na elmu hawana
@mustaphaishmael3237
@mustaphaishmael3237 10 ай бұрын
Huna hikma wwe... Sheikh katumia hikma na busara nyingi kujibu
@OmanHubi-q5x
@OmanHubi-q5x 10 ай бұрын
@@mustaphaishmael3237 ww kocho vp acha kuingilia mamb huyajuw kasome kwnz ingekua una akil ungecheka ikisha ukapita 😜
@yusufsadic2930
@yusufsadic2930 10 ай бұрын
Sasa izo nyimbo zinazoimbwa Zina mausiyano gan pls
@BlackKing89-l1u
@BlackKing89-l1u 10 ай бұрын
Wale wa “Proud to Be…..” Gonga like hapa!!!
@user412
@user412 10 ай бұрын
Kama munataka kujifunza andaeni kipindi maalumu cha Dini sio kwenye vipindi munaweka mawaidha Kisha munaweka muziki yenye kuhamasisha zina, pombe na maasi mengine
@ramadhaniraphael6955
@ramadhaniraphael6955 10 ай бұрын
Najukubali sana kipozeo
@SA-xj8hc
@SA-xj8hc 10 ай бұрын
Masuala ya dini ya Kiislamu, hio miziki ya background ya nini? Someni msihemkwe tu!
@user412
@user412 10 ай бұрын
Wasafi nyinyi munafanya kila kitu kwa mzaha. Yaani hata mawaidha munawekw biti!!
@omarswaleh6082
@omarswaleh6082 10 ай бұрын
Sheikh kipozeo bado huja alikwa futari kwa daimond huko ndiko kwenye mizigo utaona live na huku ukimiza mate
@amisselutaviamisselutavi3833
@amisselutaviamisselutavi3833 10 ай бұрын
Hekma zimahitajika kutokana na uko mazingira gani ktk kufikisha elimu kunamengi kanyoosha bila kukonakona ila tatizo letu tunapenda sana kushushana hadhi kwa kualia sana makosa kuliko pwent mbona kasema mengi yahusuyo makatazo napo je mbona hatukoment?
@AllySully
@AllySully 10 ай бұрын
Kipozeo ww ni mnafiki mkubwa sana unauza maneno ya mungu Kwa thamani ndogo ya Dunia elimu huna halafu unajifanya unajua mbabaishaji .
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 10 ай бұрын
Wewe Mwenye Elimu Mshukuru MOLA Kwakuwa Naelimu Kuuuuubwa. Mpaka Yakuwazarau Watu. Inashangaza Saaana. Nandivyo Ilivyo Wasiojua Kujiona Kama Wanajua Hali Yakuwa Hakuna Wanachokifahamu.
@hamisisalimu6908
@hamisisalimu6908 10 ай бұрын
Ujasiri huu unapata wapi ndugu yangu muislamu? Unamuita sheikh kipozeo ni mnafiki? Hujui kwamba unamdhulumu? Nakusihi uumche Allah
@muhammednassor3569
@muhammednassor3569 10 ай бұрын
Kipozeo jiangalie vizuri majibu yako unasikilizwa na wengi wacha usanii
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 10 ай бұрын
Wakwanza kuangalia mizigo ni nyinyi mashehena
@AMBINHED
@AMBINHED 10 ай бұрын
Kuwa na kimada hairuhusiwi kabisa sio mwezi wa Ramadan tu, hata mwezi wa kawaida.Na sheikh anasema unaweza kuongea sio kweli muuslamu umependa peleka uchumba na muowane hakuna janja janja.
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 10 ай бұрын
Kweli kabisa,sijaona cha maana alicho kiongea mpaka muda unaisha zaidi yakujichekeleza kama mjinga hivi, asie jua kutumia elimu yake daah tunako elekea?
@kassimamir219
@kassimamir219 10 ай бұрын
Huo mziki vp tena jaman, na Kuna maneno ya ALLAH yanatoka?
@modestamodesta3940
@modestamodesta3940 10 ай бұрын
😂😂😂kipozeo
@saulikinahi6703
@saulikinahi6703 10 ай бұрын
Background sound ni kumbwa, ina boa sana @wasafimedia
@zeddymourice4249
@zeddymourice4249 10 ай бұрын
Simu yako ndugu mbona wengine tunasikia vizuri.
@salummziwanda9278
@salummziwanda9278 10 ай бұрын
naaam
@jumannetoronto5996
@jumannetoronto5996 10 ай бұрын
Waandishi mnaferi wapi mtu ajamaliza kujibu swali mnatoa swali lingine dini sio mahakamani mwachieni sheghe afafanue vizuri maswali yenu ndio muulize tena hapo waandishi mmeteleza
@HassanSalim-hl8qs
@HassanSalim-hl8qs 10 ай бұрын
Kipozeo anashindwa kujibu kwa mkato kwani mziki wenyewe si haram sijui anawaogopa mabosi wake
@salimsibabu9027
@salimsibabu9027 10 ай бұрын
Mbona kuna wimbo huku mnasililiza mawaidha hapo mlifeli kabisa
@saidseif1860
@saidseif1860 10 ай бұрын
Kila siku mwamuuliza mizigo tu😂😂
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 10 ай бұрын
Si alitaka hayo mwenyewe? Anapenda mizigo! Kujidhalilisha tu, hawa ndo mashehena elimu anayo kuitumia hataki, kama anaogopa kuongea vile
@sonnyr1899
@sonnyr1899 10 ай бұрын
@@aairraahseif5648 Ndio watangazaji wetu wanakopi swali lili kila wakati. Wakimwita Abby Cham watamuuliza unapenda kula ugali
@ramazanzibar8264
@ramazanzibar8264 10 ай бұрын
.mpk hapo kipozeo anataka kuhalalisha mahusiano ki2 ambacho ni kharam katk uislamu
@YussufMohd-fc1dj
@YussufMohd-fc1dj 10 ай бұрын
Kipozeo umefeli humuogopi mung unaogopa watu
@nizarurassa6480
@nizarurassa6480 10 ай бұрын
Hongera Kwa wewe uliyefaulu
@AbdulshakuurMohammad
@AbdulshakuurMohammad 10 ай бұрын
Sasa ww jaya monkari hutoi Huo mziki vp nak kusikiliza mziki ni haram
@Bmsecret
@Bmsecret 10 ай бұрын
Muongo huyu jua halijawai kuzama saa tano usiku
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 10 ай бұрын
Lkn jua limeshawahi zama saa nne usiku!usikatae
@Bmsecret
@Bmsecret 10 ай бұрын
@@aairraahseif5648 nchi gani ?
@abdillahimohd8614
@abdillahimohd8614 10 ай бұрын
mm nipo canada jus linazama saa 4 :30 Usiku
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 10 ай бұрын
Unabisha Kua unajua au unabisha Kua haujui? Uliza watu walioko kwenye hemisphere ya mbali canada au hata ulaya baadhi ya majira usimwite mtu muongo kwa jambo usilolijua.
@amininuru9270
@amininuru9270 10 ай бұрын
Tatizo huna unachojua na utaki kuelimika tembea uone ndo utajua
@KhadijaSalum-nf5mf
@KhadijaSalum-nf5mf 10 ай бұрын
Kipozeo zero brain sikubaliani nae
She made herself an ear of corn from his marmalade candies🌽🌽🌽
00:38
Valja & Maxim Family
Рет қаралды 18 МЛН
Try this prank with your friends 😂 @karina-kola
00:18
Andrey Grechka
Рет қаралды 9 МЛН
VIP ACCESS
00:47
Natan por Aí
Рет қаралды 30 МЛН
RAIS WA BURUNDI AMESEMA KAGAME TUMUONDOE HARAKA ANAIHARIBU CONGO ATAKUJA BURUNDI
12:39
NI UPI UHARAMU KUCHEZA NA KUANGALIA MPIRA
8:02
IQRAAMA Online Tv
Рет қаралды 10 М.
MAPASTA 7 WASHINDWA KUTETEA UKRISTO
1:00:07
AKASHA PRODUCTION TV
Рет қаралды 644 М.
Shekh Kipozeo Kamfungukia WEMA SEPETU Bila Uoga
16:37
BINGO TV ONLINE
Рет қаралды 340 М.
Jahanam
37:51
Ahlul Sunnah
Рет қаралды 373 М.
She made herself an ear of corn from his marmalade candies🌽🌽🌽
00:38
Valja & Maxim Family
Рет қаралды 18 МЛН