Ukweli hauta kuja kupatikana Sababu waliofanya hivi wapo serikalini…na Polisi wametumika…Aliyempiga Risasi Tundu Lissu mpaka Leo hajulikani
@Taito-brand4 күн бұрын
Ww umemjua kam umemjua toa taarifa kak
@thadeylyimo97723 күн бұрын
Wasiojulikana..@@Taito-brand
@ezekielmatondane7144 күн бұрын
Acheni uchawa awamu ya 5 haifananishwi na chochote wa na huyo mama yenu asie tufaa watazania masikini anajali wazungu na matajili hafai kabisa musimufananishe na magufuli
@allytv17145 күн бұрын
Hii nchi ni ngumu sana kwanza ina wananchi waoga pili ina vyombo vya habari vya kusifia tyuu kuliko kusema kweli tutazidi kufa cz tunaserikali ya magaidi lazima tubadilike watanzania
@anitajacob36412 күн бұрын
Hii nchi yetu inaogopesha sana
@emanuelnisetas75105 күн бұрын
Kuna siku hiinchi itawaka waache wajione wananguvu sis wananchi ndotuna ngutu ilawatanzania tuache wonga tupambanie nchiyetu
@DavalsonMarlony5 күн бұрын
roho za wa kenya ituingie miyoyon mwetu watanzania amina
@hamoudcreator63435 күн бұрын
WANANCHI WA TANZANIA TUMEBEBA HASIRA NYINGI SANA MIOYONI MWETU...
@user-zb2mj5nd5g5 күн бұрын
Hasira zenye uoga ndani yake
@salmaalimusa68095 күн бұрын
@@user-zb2mj5nd5gtunapelekwa tu kama mambwa 😢tukiongea tunatekwa loooh tz amani hakuna
@halimamasai22344 күн бұрын
@@user-zb2mj5nd5g🤣🤣🤣
@hamoudcreator63434 күн бұрын
@@user-zb2mj5nd5g Siku Isiyo na Jina Utaisha....
@bujashidaniel55373 күн бұрын
True@@user-zb2mj5nd5g
@fadhilmandaliabdalla67363 күн бұрын
Huyo Edo sijuwi kama sio Shoga, sasa unaleta mambo nyuma ipi hiyo, huyo mamaako amefanya nn la maana, serikali ya Magu mgemtupia lawama yeye, ila saivi yupo huyu mnamuekea maneno mdomon na kusafisha tawala yake, acheni chuki za kishoga hizo
@kilogreekachananawatuwasio40545 күн бұрын
KWANI MUKISHAMUAISHA KATIKA HOSPITAL ALAFU MKACHUKUA MAELEZO YAKE NI VIZURI ZAIDI KULIKO MTU KUFALIKI UKU MNAMUOJI UDUMA YA KWANZA IWE KWANZA MENGINE YAENDELEHE BADAE 😢😢😢
@AdelaideZacariasZacarias-hp8gs3 күн бұрын
Kabisa yani😢😢
@paulinewangila-cs6ys23 сағат бұрын
@@AdelaideZacariasZacarias-hp8gsjambo zuri kabisa one African love
@bossmolellsisiya41014 күн бұрын
wapuuzi sana hao badala ya kumsaidia kwanza wana muhoji washamba sana haw
@hassaniibrahim3002 күн бұрын
KWANZA APELEKWE HOSPITAL SIO KUMHOJI MTU YUPO MAHUTUTI SAAANA
@cloudjulius-sf6nw4 күн бұрын
Safe sana wasafi wambieni viongozi wa serikali ipoh siku tutagawana majumba
@Sidrasidra6365 күн бұрын
Watanzania mjifunze kutoa huduma kwanza jamani mtu mna muona anahitaji huduma ya kupelekwa hospital kuliko mmuwahishe hospital mna muhoji sijui muite viongozi wamtaa sijui police 🚔 hivyo vyote vya nini!
@ms123ru5 күн бұрын
Uwez msaidia mgonjwa Kama hauna taarifaa kaka
@thespaniardinme5 күн бұрын
Watu wetu mambo ya first aid ni 0 kabisa. Mtu analalamika kabisa kichwa kinauma, mara mbili, wao wanamhoji juu ya waliomteka. Mpaka unajiuliza, wao polisi? Au wanataka content? Yani hawakufikiria kabisa kuwa analalamika maana hayupo vizuri. Jukumu lako ukimkuta ni kuita polisi au kumpeleka kupata huduma, baas.
@jumbeojaso57675 күн бұрын
@@thespaniardinmesiyo kweli, kumfahamu jina na anakotoka kama anaweza kuongea ni muhimu kwani anaweza kufa ghafla na ikawa shida kwa uliyemuokota. Au hujwahi kusikia,mtu mshtakiwa kwa mauaji ambayo hakutenda. Lazima uchukue tahadhari bila kukurupuka
@thespaniardinme4 күн бұрын
@@jumbeojaso5767 hiyo ni sheria au mazoea? Kama ni sheria, ni sheria ipi, maana labda mimi siifahamu lakini wewe unaifahamu. Na zaidi, ina faida gani kwako kama umejua jina halafu akakufia mikononi, then what? Nia ni yeye kuwa saved au wewe kujua jina lake? Na zaidi, inachukua muda wote huo wa video kujua jina lake tu? For real???
@Thisisgrace9793 күн бұрын
Kwaio bora afe akiwa anahojiwa?@@ms123ru
@allymwilu80893 күн бұрын
Si ndo mama qnaupiga mwingi au😂😂😂😂😂 daah aya kesho kwa mungu uko kuna neno
@ramadhanijawas32044 күн бұрын
Hata uko hospital wasije kwenda kummalizia au maigizo kutoka juu yakumuwekea sindano ya sumu daaaa Tanzagiza daaa watu wanateseka sana na sisi wanchi tukoo kimyaa daa mungu zidi ibariki Kenya
@ayubukedimundi32213 күн бұрын
Tumewachoka viongozi wenu wanafanya vitu vya ovyooo Sana..... Kiukweli kabisa binasi siwapendi vitu wanavyovifanya mm naumia Sana moyoni
@user-ly9us4db3m5 күн бұрын
Dar dar inaumiza sana jamani mbaka tumbo limeniuma lauchungu Mungu msaidie kijana wawatu apone jamani
@lwakainaza2 күн бұрын
Tumbo limekuuma la uchungu? Unamimba?
@user-ly9us4db3m2 күн бұрын
@@lwakainaza utajuaje kama nina mimba au sina acha umbea
Nani anamlinda hugo kijana huko hospitali ili watekaji wasiende kumdhulu au ndio masikini hana ulinzi ?!
@DavalsonMarlony5 күн бұрын
kmsifu mama ndo nn mnaznguwa nanyie watangazaji
@user-fh1vu5xk3j4 күн бұрын
Kwa umri wake na kazi zake, itakuwa ni kukosoa baadhi ya vitu, maana Tanzania ndo nchi pekee ukikosoa ni kosa kubwa sana
@zefamange7281Күн бұрын
Mlisema huyu wa sasa hateki watu anaupiga mwingi, huo ndio mwingi.
@zebedayokatamaduni96762 күн бұрын
Sasa mtu anahojiwa wakati ameumizwa , jamani wananchi tupewe thamani. Atibiwe kwanza kwanza
@simbarajabu41573 күн бұрын
Huyu kijana anajuwa watu walimfanya hivyo ni WA chama chake na hii ni kuona akuna ishu yeyote kwenye chama Chao ,sasa wanafanya mazingaombwe ,upigwe risasi ya Taya upone nchi hii usanii mwingi sana
@user-rc2ye4ri6t5 күн бұрын
Tanzania bdo wako kwa ukoloni hwana uhuru wa kuongea democracy
@boychidu3 күн бұрын
TANZANIA BUANAAA MUNGU WETU TULIPIZIE HILI MAANA SISI MASKINI WAKO HATUNA HATIA YOYOTE LAKINI TUNANYANYASWA NA WENYE UWEZO NAOMBA UPIGANE NAO WANAO PIGANA NA SISI 🎉🎉🎉🎉🎉😢😢😢😢
@evansmoshi19234 күн бұрын
Hawa vijana hayo mauvu wanayo pata wanabaiki na kinyongo moyoni siku wakiamua kutoa kinyongo moyoni sidhali kama watuzuiliwa na mtu yeyote.
@leokamil62844 күн бұрын
Ndugu Muandishi kuna kiongozi alidiriki kusema wataua watu na hakuchukuliwa hatua yeyote. Watu wanapotea nchi hii jamani tuacheni roho mbaya kila mtu atakufa hakuna atakaishi milele
@harunamtiko117Күн бұрын
Polisi sio rafiki kwa wananchi tena, kinachotakiwa kila mtanzania achukue tahadhari na maisha yake, ikibid kila mt atembee na silaha yyte kwa ajili ya kujilinda binafsi, ikitokea mt anataka kukukamata bila kufata utaratibu bx unamalizana nae, n bora akuue pale pale kuliko akuteke apoteze ushahidi. Uoga haufai tena vngnevyo tutazd kuuwawa kila siku.
@user-uy5nx1bj5r2 күн бұрын
Risasi kwenye Taya bila matibabu wala damu na anaongea haya
@simbarajabu41573 күн бұрын
Huyu jamaa waache mazingaombwe police awawezi kusema bila ya yy mwenyeewe kusema maana Hawa vijana hatari sana ,mm siamini na naendelea kutokuamini ,uwezi kupigwa risasi ya Taya uwe hivyo ,police fanyeni kazi yenu kiweledi huyo ataeleza ukweli
@muthegreat36673 күн бұрын
Wapeni taarifa ipo siku tutachoka t .
@Zenny895 күн бұрын
Ila Polisi wa Tanzania…baada ya kumpeleka mtu hospitali kwanza mnaanza kumhoji hapo hapo wakati ameumia.
@abbeyngamilo5 күн бұрын
ajabu sana, halau wanataka kumpeleka polisi kwanza ndio hospitali
@shaurimtanda82854 күн бұрын
huyo siyo polisi ni mkurugenzi wa halmashauri ndiye aliyeelekeza kupatiwa.matibabu baada ya kupata particular zake
@Taito-brand4 күн бұрын
@@shaurimtanda8285yan kak wananchi wa nchi hii bhn kitu ana uwakik nach analopoka tu ajui anaropoka ndio mana unakuta watu wanawalaumu polis ndio wanahusik lakin ajui chcht kisa kamsikia fulan kasem jamn kuwen makin aiseeh cause kitu una uwakik kaa kmy
@mwalimumstaafu85293 күн бұрын
Uhuru wa kusifia sio kukosoa . Hakuna hatua yeyote. Awamu hii ni ya wawekezaji na matajiri. Sikiliza hotuba za wanasiasa kusikia neno watu maskini ni adimu sana. Siku hii ni wawekezaji ndio wana haki. Kwa sasa tuna philosophy ya kibebari trickle down effect ambao imefeli.
@omanoman20443 күн бұрын
Huyo kaka ake aseme vizur ndug yake alielekea wap ndug sai wamegeuka wanyam
@alimohamed57574 күн бұрын
si Tanzania dunia nzima
@himanmwalwala75695 күн бұрын
Sababu ya kutekwa nani ataitoa?? Maana Hadi Leo sijawahi sikia Moalipotekwa
@hassaniibrahim3002 күн бұрын
KWA NINI WANAMHOJI WAKATI ALITAKIWA APELEKWE HARAKA HOSPITAL
@Chrisblaze-beats4 күн бұрын
Hawaku muacha hai walimuuwa ila Mungu alimuokoa. Hawakukusudia awe hai sema risasi ilipita maeneo ambapo Mungu alimuokoa. Yani Huyo ACP anaangaika kwamba kapigwa na kitu chenye ncha kali au sio. Hayo yanahusiana vipi. Kamata watekaji ng’ombe we
@asteriashios18524 күн бұрын
Cha msingi hapo ni kumwahisha hosipital acheni ujinga akipona mtamhoji ndo nchi yeti ya Tanzania na jeshi la police sijui km Kuna kitakachofanyika maana sijaona wasiojulikana wakikamatwa Tanzania duh
@thadeylyimo97723 күн бұрын
Katavi porini ili aliwe na simba. Kweli wasiojulikana ni kiboko..
@WahidaHilaly4 күн бұрын
Kuna ben saa nane ad leo ajulikani alipo 😢😢
@frankraphael75463 күн бұрын
Osika unajibu kwakubabaika iyi nch niyetu utekaji ni mwingi tuliko Toka uyokijana amechukuliwa kituo Cha polis kwamaongezi yake polis inajua nawala upelelez auwez kufanyika
@ndolimanaamani91063 күн бұрын
Oscar kuna muda huwa unajikakamua kuongea halafu unachanganya damu
@ombeniefata22393 күн бұрын
Acheni unafiki watangazaji uhuru tanzania amna kuna uoga tu
@TellaaxisTz4 күн бұрын
😮
@khamisomary74284 күн бұрын
Inashangaza sana nahapa kuna kitu hakipo sawa, watu wanaanza maneno kuliko uhai wake
@khamisomary74284 күн бұрын
Tena wanarekodi jamani😢😢
@aiyaavibes76104 күн бұрын
*INAUMIZA SANAAAAAAAA*
@leokamil62844 күн бұрын
Mnategemea maneno ya Daktari au Polisi ambae kasikia alipelekwa Polisi 😂
@ahnafaykhan6984 күн бұрын
inaonekana hao waliokuwa wanamhiji walitka afue hapo ili kupoteza ushahidi
@paulmbonika24595 күн бұрын
Yani kamanda wa polisi anajibu kwa wepesi na mipasho kbsa, kana kwamba tunaongelea katoa single flani hivi na sio uhai na usalama wa watu.
@Taito-brand4 күн бұрын
Brow wew ulitaka aongeaj acha ujinga kwan yy ndio amehusika
@emmanuelrobert47574 күн бұрын
Kiukwel sio sawa aliyefanya hivi ipo siku itarud kwake real
@anithawidambe75435 күн бұрын
Mama Samia tusaidie kwa hili kwann watu wanateka watu?
@taylorkasitu38195 күн бұрын
mmm ok utasubiri sana si kawarudisha serikalini
@robertphilip3855 күн бұрын
Kwani hajui
@ayubukedimundi32213 күн бұрын
Alafu apo Kuna wale wa haki za jamiii na binadamu na wamekaa kimya wakati wao matukio ya kipumbavu wanakuja kukemea......
@user-wi8og3sv4j2 күн бұрын
Atakuwa shoga haki za binadamu hata kutoka ulaya wangeshafika kutetea
@BeniJohn-xd3cn3 күн бұрын
CCM MAPINDUZI SIYO WATU
@zachmaselle66355 күн бұрын
..... nchi nyingi si huru kama watu wanavyofikiria. Hat nchi mnazoambiwa ni huru, siyo huru. Na hili siyo nchi za kiafrika tu..............nchi za magharibi hii kitu ni kubwa sana.
@Uhuru3514 күн бұрын
Kwa hiyo unatetea hili tukio??
@zachmaselle66352 күн бұрын
@@Uhuru351 Hapana sitetei hili suala hata kidogo ndiyo maana watanzania ni waoga, sababu mambo kama haya yanaleta hofu. Kuachwa kwa huyu kijana kwenye hifadhi ya taifa, ina maana walitaka aliwe na wanyama. Inatisha.
@InjiliyaUfalmetv4 күн бұрын
Serikali serikaki serikali msipokemea haya mambo moto wa jehanamu unawaongoja Hakika Mtochomwa milele ,tumbo limeniuma Eee Mungu wangu
@evansmoshi19235 күн бұрын
Tz watu hawapendi kukosokewa wanataka kusifiwa2
@alzawahirabdallah22994 күн бұрын
Wapumbavu mnamuhoji tu sio mumuwahishe hospital kwanza
@haidhabushiri95585 күн бұрын
Nyie msaidie aende hospitali
@zarabati17504 күн бұрын
Police ndo hutumika kufanya hivi sana sana wangapi walitekwa na hadi leo kimya
@Taito-brand4 күн бұрын
Unauwakik tuhuma hiz ndg zang unauhakik
@ahnafaykhan6984 күн бұрын
au tukiamshe km kenya au serekali mnajikuta nani??! GEN ZI hata tz tpo
@salmaalimusa68095 күн бұрын
Tz ina uhuru wa kusifia ila siyo kuponda.hatuna viongozi serikali uozo tu
@halimamasai22344 күн бұрын
Na huyo anayo muhoji ni fala sana kwa maswali mtu anamaumivu we mwasawali ya nini
@JohnAdam-mv3ks5 күн бұрын
Nani alishakamatwa kwa kesi ya itekaji hapa bongo!?? Watu wengi wameshatekwa hajiawahi kujulikana mhusika mkuu wa haya matukio ila bongo dah hatareeee sana
@cloudjulius-sf6nw4 күн бұрын
Jeshi la polisi mkowapi fanyeni kazi msikumbatie chama tawala
@user-tt1ze2dw4x4 күн бұрын
Sisi tuacheni tu na tukubali Tanzania Amani akuna kabisa pia Tanzania tunauoga mwingi Sana leo hii kwa ujinga uo uliofanyika watu waingie mtaani watafute haki aise mbona mnapata aki ndomna mm bongo mnisqau kabisa 😂 siji na adi uraia nishabadilisha zangu😂
@user-ob8cd2zj1o4 күн бұрын
NYIE WOTE WAOGA#
@nikkimbishiunju24025 күн бұрын
Sio Mbezi Beach wewe,kuweni makini na habari zenu.
@EmmanuelChrispin-bo5xh5 күн бұрын
Kwamala ya kwanza wasafi mmetisha siokila siku umeupiga mwingi
@Fgldesigns5 күн бұрын
Huoni walivyonywea wameshindwa kukwepa wanaanza tusirudi hayo mambo yapo kila awamu waavhe kumchafua aliyepita maana woye wako hivyo hivyo
@Fgldesigns5 күн бұрын
Huoni walivyonywea wameshindwa kukwepa wanaanza tusirudi hayo mambo yapo kila awamu waavhe kumchafua aliyepita maana woye wako hivyo hivyo
@samsonsamwel87825 күн бұрын
Wameanza kujtambua
@jumarchris3 күн бұрын
wee nawe panya mbezi bichi ipo wilaya ya ubungo😁😁😁 achakujichanga ni mbezi ya kimara kwa msuguli
@clementhiddi14865 күн бұрын
Machawa slow your words msisifie visivyo sifika.
@user-qo6qv6mc5p5 күн бұрын
Badae utrahoji hayajawakut
@leokamil62844 күн бұрын
Viongozi wa upinzani walisema kuna kundi mkadharau yaani tutakoma
@noelmbosa27362 күн бұрын
Mmmm upandacho ndicho utavuna kwa wakati uliyefanya haya Mungu akulipe tena ulaaniwe. shetani wewe na hao mliofanya. Mungu amewachoka na atawaweka peupe, wote tutajua ibilisi wakubwa nyie. mtalipwa hapahapa dunian shetani nyie
@user-qo6qv6mc5p5 күн бұрын
Polis uzembe tibu mtu hali sinzur
@happymackjacob34805 күн бұрын
wame mpigia mnyakyusaaa
@user-qo6qv6mc5p5 күн бұрын
Xavi mtupu
@janethpallangyo3855Күн бұрын
Pumbavu kabisa hii serikali
@princemimi2090Күн бұрын
wachambuz wa mpira hawaa
@alzawahirabdallah22994 күн бұрын
Waache tu tutakuja kuwakodi wakenya
@paulinewangila-cs6ys22 сағат бұрын
Kenya wanapigania nchi yao
@blackyoungmaestro5 күн бұрын
Vijana fanyeni kazi acheni kukesha mitandao ya kijamii. Mind your business
@saidsoudamiri40545 күн бұрын
MO DEWJI Hana kazi ya kufanya???
@paulmbonika24595 күн бұрын
You are such a fool. Sana.
@hassangasaba45655 күн бұрын
Hivi mo dewiji na tundu lisu hawakuwa na kazi yakufanya.
@GubraCity-dm5sx5 күн бұрын
@@hassangasaba4565hapo chacha
@dicksonkilupa22585 күн бұрын
Police watuambie simu zake zilikuwa jirani na simu za nani kipindi cha utekwaji wake na kwa sasa simu zake ziko wapi kimtandao.
@hassaniibrahim3002 күн бұрын
ILITAKIWA KWANZA APEWE HUDUMA SIO KUMHOJI SAAANA HUO SIO UBINADAMU
@Taito-brand4 күн бұрын
Kiukweli siamin kam Polis ndio wamehusik kuna mda unahukum mtu ambae hat una uwakik unasem tu kisa fulani kasema eet polis wamehusik unalipa tuhuma jeshi ukiitwa na kutoa taarifa utatoa acheni kufat mikumbo nawaambia ndg zangu