Ni taarifa kutoka Kijiji cha Ihela wilayani Makete mkoani Njombe ambapo wananchi wamewaweka "mtu kati" watuhumiwa wawili kuhusu kujihusisha na vitendo vya ushirikina.
Пікірлер: 192
@RehemaKasanga-vu5nj3 ай бұрын
Mganga na mchawi lao mmoja MUNGU pekeyeke Ndo Anaweza kutamka Kwa unabii
@saidbakari2408Ай бұрын
Huo ni uwongo uwongo huoooooooo
@berthabaroziАй бұрын
Huyo mchawi.sura inaonyesha
@geitandelwa2993 ай бұрын
Tubuni dhambi zote na kumufuata YESU TU. BILA HIVYO NI SHIDA
@saidbakari2408Ай бұрын
Yesu yupi huyo daadeki zake
@GreetyWillysiame12 күн бұрын
Happy Hanna mungu wala yesu washirikina woooote hapo aiiibu
@klaudymbilinyi3 ай бұрын
😂😂hawoo ni panga tyu mchawi analudisha mambo nyum
@dianajohnson72683 ай бұрын
Ukibisha uchawi haupo ujazulika na Hao bado usibishe,
@yohanacharzmsela99213 ай бұрын
Siyo kukosa elimu watu wamechoka ndugu zao kufa ,,,kama mbaya naiwe mbaya ,,wanyongweeee..
@barakamanga55023 ай бұрын
Sasa wamejuaje kuwa mchawi, presha mnapima? Maana wengi wanakufa kisa plesha, ila uchawi upo pia
@infodigtechforcommunityemp41032 ай бұрын
Nashangaa presha unalogwa????
@valenakomba76863 ай бұрын
WANAWAKE WA KITANZANIA NI WACHAWI SANAA.
@RamlaKimaro-f2y2 ай бұрын
😂😂😂
@lastkinglastking3326Ай бұрын
Namama yako??
@MalamboSelijusi3 ай бұрын
Acha imendikwa wap atubu kwa wanadamu wambie watoe, ushahidi nahakuna mganga watakuja wezi wachonganishi mwenyekiti acha acha ujinga usimtwishe mama wawatu mzigo wakijinga utawala sio wawenye akili ndogo kama ww
@noahchepe80363 ай бұрын
Uchawi upo mazee... Hao watu sio kua wamekurupuka tu
@nicebatare27372 ай бұрын
Yani ulifanywa bubu uache kuongea na Leo umeongea mtakutana jioni 🤣🤣🤣
@johnsimbaАй бұрын
Mch. Nae ovyo badala ya kuomba Mungu anaita Mtu heri mwenye kiti anaongea vizuri alafu peleka watu hosp.
@LeeySeedorf3 ай бұрын
Apo wanatafutwa watu wenye umri mkubwa wauwawe bila hatia.
@pastadandan35693 ай бұрын
Mtendaji nae ameingia kwenye mtego wa kuamini huyo mama ni mchawi
@YustaMfugale2 ай бұрын
Hvi unapajua vizuri njombe iringa au unaskia,,,tena hizo tabia za kujigeuza Simba ndo michezo yao
@cheiknamouna20583 ай бұрын
Wagonjwa wote wapone warudi kwenye hali yao ya kawaida tunaomba na kuamini wote tuseme Amina 🙏🙏
@JustineCostantine3 ай бұрын
Miteni mtumishi jembe kutoka iringa kiboko ya wachawi aje awasaidie
@HadiaAme-x5f2 ай бұрын
Walimuonaje kmna wao hawakukutana huko ucgawini
@dizelakituleKitule-qx6ss3 ай бұрын
Mungu yupo atafanya
@morjanoman51814 күн бұрын
Mchawi ata akiamishwa bado atakujatu fanyenimaombi mtafanikiwa
@EstherJulius-cv9tk3 ай бұрын
Acheni ujinga niwapi ukuu c muombee mungu awabadilishe dawa ni ndogo tuu yesu atosha kubalisha anga ilo
@zulekhasaud4832 ай бұрын
Ndio upate mchungaji alie na nguvu ya mungu kuja kuishi kijijini .wachungaji wote wanakimbilia mjini wamesahau vijijini kama kuna watu😂😂😂😂
@JumaaSaid-hn6yh3 ай бұрын
Utamjuaje mchawi wew kama sio mchawi aceni ujinga 10:31
@ElizabethNdalahwa3 ай бұрын
Wewe nimchawi
@DevothaLighton-dl6zi3 ай бұрын
Mambo yote haya yanasababushwa na serikali kutwastarabisha watu.kwa shule.na kuleta maendeleo ndipo hizo tabia zinapotea
@MalamboSelijusi3 ай бұрын
Mmmmmh kumbe bado kunashida wakemia wapo
@MarthaLwinga-w9m25 күн бұрын
Usiombe ya kukuta kusingiziwa hivyo
@ManceJ-yc4dd3 ай бұрын
Mmmh hatar sana
@rashidmaulid73123 ай бұрын
Uchawi ni sehemu ya ushirikina
@EmmanuelNdahya-ud5nj3 ай бұрын
Mliosali iombeeni hii jamiiib😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 naombeni like
@speciozakaloli25 күн бұрын
Siku ukisingiziwa uchawi ndipo utajua nasema nini
@MaishaBabu-m2g3 ай бұрын
Hawa wamama waliovaa kilemba cheusi anaonekana mchanga
@severamunishi12533 ай бұрын
Jamani njombe kuna uchawi niliteswa balaaa unaletewa usingizi mkali balaa wafanye kazi yao
@barakamanga55023 ай бұрын
😂😂😂😂
@RumbakwekaАй бұрын
Awezi kubali kamwe adi umkute na kisibiti labda labd
@RamlaKimaro-f2y2 ай бұрын
Icho kijiji mbona km wote wachawi
@DaluChiwinga25 күн бұрын
uwaga awakubali ila kusema sijijui ndio zao
@FredrickChristonsia3 ай бұрын
Duh vyuma vime umana !! Iyela""
@speciozakaloli25 күн бұрын
Siku mkiitwa wachawi ndipo mtajua
@MalamboSelijusi3 ай бұрын
Tafute pesa hapo wote niwachawi unajuaje wote niwachawi
@ReginaShilla3 ай бұрын
Okokeni mwaminini Yesu
@chiefmajai9345Ай бұрын
Mtambuzi wa mchawi naye ni mchawi
@joshuanyaulingo41093 ай бұрын
mchungaji yoooooo 😂😂😂
@FestoMunishi15 күн бұрын
Anaebadlika kuwa simba c wewe mamaaaaaa
@aronmtui597Ай бұрын
Pelekeni watu hosptali
@tumainimwaifunga38842 ай бұрын
Wangehama wote wamwache pekee yake.
@Baraka-n1fАй бұрын
wachawi na waganga ni kitu kimoja
@ngamugamahonzelosanga33162 ай бұрын
Mwee vakinga mtengue ndeti uvuhavi? Binafsi nashauri waliomtuhumu huyo mama kuwa mchawi na wao ni wachawi kama sio wachawi wamemjuaje mchawi huku wao sio wachawi? Haiwezekani ulipo gizani kuona aliyepo gizani bila Nyale tochi
@GetrudaBushiri2 ай бұрын
Mkinga huyooooo mapembelo
@lingwamalagila30033 ай бұрын
Mchawi lazima amfahamu mchawi mwenzake
@kakanicodemus36322 ай бұрын
Ok kwshyo ukimjua mwiz na wewe ni mwiz
@nikodemmwahangila33343 ай бұрын
Okokeni Yesu nikiboko ya wachawi je niwapi huko tuje tumlete Yesu hao wachawi wasipookoka kufa na wanakufa wapi huko
@nikodemmwahangila33343 ай бұрын
Ataua mmoja mmoja hapo
@othumanomari15893 ай бұрын
🤔🤔Nahoyo mzee pia nmchawi
@aderanderwa76232 ай бұрын
WAKINGA WENZANGU ACHENI UCHAWI UCHAWI NI MZIGO YESU KRISTO NI JIBU TOSHA YESU KRISTO ANAWAPENDA ALIKUFA KWA AJILI YETU WOTE
@speciozakaloli25 күн бұрын
Wote wako gizani
@mohamedmarijani3 ай бұрын
Ni tz au?
@BarakaKusalula3 ай бұрын
Duuh Hawa wananchi wote akili zao mbovu imagen wote wanaamini wanarogwa
@MwamvitaKassim-x8b3 ай бұрын
Hayaja wahi kukukuta ndugu yangu
@BarakaKusalula3 ай бұрын
@@MwamvitaKassim-x8b Nipe experience ya kurogwa uliyokutana nayo wewe.
@aderanderwa76232 ай бұрын
Ndugu zangu wakinga mvoleke uvohavi YESU KIRISTI avaganile mwokoke
@samsonhamery3809Ай бұрын
Watu wakichoka huondoa hofu huamua kupambana bila kujali lolote; serikali inapinga eti hakuna uchawi ujue Viongozi kama hao huenda nao wanatoka katika familia za uchawi
@kilogreekachananawatuwasio40542 ай бұрын
HUYU BIBI SULA YAKE NI MCHAWI WA KULUKA USIKU MCHUKULIENI SHELIA MKONONI MPIGENI MOTO HUYO BIBI 😂😂😂
@dizelakituleKitule-qx6ss3 ай бұрын
Uchawi upo wapingwe hao
@athanaskipeto5722 ай бұрын
Wakinga hoye
@emanuelkidali9733Ай бұрын
Huyo mamaa si mlete huku bariadi mbona ataacha tu mapema jmn? Huku ndiko Kuna tiba ya kukomesha wachawi kama hao
@geofreysimon13 ай бұрын
Jamanii watumishi pelekeni mikutano ya injili huko 🙏🙏🙏
@barakamanga55022 ай бұрын
@@geofreysimon1 Wana Loga spika
@JeannetteManirambona-o6m2 ай бұрын
😂😂
@kakanicodemus36322 ай бұрын
Good solution
@MoinaminaAmina-qh1jb2 ай бұрын
anafanya uchawi na Bado uko maskini wakutupa nchini kama alivo sema marehemu magufuli
Kama wewe sio mchawi unajuaje huyo mama nim chawi hapo hakuna mchawi hapo nichukitu
@BarakaKusalula3 ай бұрын
Mtendaji kijiji nae kwa akili zake finyu eti anaamrisha wagonjwa wapone 😂😂😂😂pumbavu
@brownmtofole3 ай бұрын
Mweee...Ndikhubadova sid'zo..Msiende kwa waganga wa kienyeji,Nendeni kwa nabii Dominic pale Buza Kwa Lulenge,wapelekeni na hao wagonjwa wote wakapate maombi maalumu na huko mtapata suluhisho la matatizo yenu...kule nawaambia kuwa mbivu na mbichi zitajulikana.Biblia inasema "usimwache mchawi aishi"
@MaishaBabu-m2g3 ай бұрын
Dominic mwenyewe mchawi
@JamilaDaudi-p7n24 күн бұрын
Wachawi wote mungu anawaona wanatumia sura za watu kwaajir yamambo yao wafe tyu
@infodigtechforcommunityemp41032 ай бұрын
Acheni mambo yenu pressure mtu unalogwa kwendeni sana
Bibi alikuwa ananena kwa lugha😂😂 jmn naomba Mungu anipe uzee mwema
@marygregory75663 ай бұрын
Wote wachawi hapo mnashindana tu kijiji kizima hawezi kuwa mchawi mmoja tu
@ngejejemashubi42133 ай бұрын
Hizo ni Chukitu
@happynkya97702 ай бұрын
Yaan kama mm nikimjua mchawi wangu bahat hana yaan kimya kimya tuu na kwenye mazishi naenda
@angulileelectrical63683 ай бұрын
Wamemuonaje? .watanzania kueni na akili,watanzania wengi fyatu kweli kweli ,walitakiwa kujita wao kwanza , kumbuka wamemuonaje , wabaya muda mwingine huungana kupambana na mwema,kumkufulisha Kama alivyokufulu huyo mama kwa kumhitaji mganga ya yani mchawi ili amnasue kwenye shida yake,wachungaji lindeni waumini wenu
@JaphetKilimba-zo2iz2 ай бұрын
Waende kawe kwamwamposa wa kachukuwe mafutayaupako
@nestasanga84332 ай бұрын
Mnatuaibisha waache uchawi wamrudie Mungu
@tinnahagustinolyelu42473 ай бұрын
Mungu awasaidie saana jamanj wachawi wapo jamani msikatae nyie watu wanauwliwa na wachawi wanugua magojwa yasiyoonekana hospitali usiombe yakukute uchawi upo
@godlovemrosso5973Ай бұрын
Elimu + umaskini Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
@fatumamohamed96143 ай бұрын
Huyu mama huenda siyo ila Hawa wenye kujua vifungo ndie wachawi
@rasnchimbi3 ай бұрын
Elimu elimu elimu #katibampyanisasa!😂😂
@johnkiimbila67993 ай бұрын
Umenikumbusha , Edward Lowasa.
@RamlaKimaro-f2y2 ай бұрын
Mbona mwenye kilemba cheusi nae kama au basi tuuu
@MaishaBabu-m2g3 ай бұрын
Huyu Asha sio mchawi amevikwa kivuli tu na wachawi
@geitandelwa2993 ай бұрын
Mmmmh pope ASHA SANGA AAA TUBU DHAMBI XAKO ZOTE UOMBE SANA
@audaxbuchira8586Ай бұрын
Waache ujinga ! We are living science and lawa
@valenakomba76863 ай бұрын
ATAWEZA KUACHA HUYO, MPAKA ATOLEWE HUO UCHAWI. LAKINI ETI AACHE TUU HAWEZI. ETI ANANE KWA NENO.
@LeeySeedorf3 ай бұрын
Apo wanatafutwa watu wenye umri mkubwa wauwawe bila hatia.
@FloraMarinyo2 ай бұрын
Muokoke jmn uchawi sio wakuuogopa kbs ukiwa na Yesu
@sangastuiper2972Ай бұрын
Daaaah kina sanga ni ndugu zangu ujue😂😂😂😂
@barakakings3 ай бұрын
Mapembelo ndugu zangu. Mbona hii ni aibu?
@williamnyankongo96552 ай бұрын
Huko wapi kwakisengee@sanga Kinga tribal
@worldherotv2 ай бұрын
Wapelekeni hospital hao wagonjwa
@mathewm71153 ай бұрын
Hakuna cha kusaini dawa yake inajulikana ipo wazi wanapoteza mda
@PaulinaSemindu-ob3de2 ай бұрын
Biblia inasema usiache mchawi aashi
@obedymwilenga74903 ай бұрын
Huyu mama so mchawi ila wale wawili walio anza kuongeya hao ndo wachawi