WAZIRI AWESO AMTUMBUA BOSI RUWASA - "HUFAI, CHUKUA MABEGI YAKO ONDOKA, MHANDISI AKAMATWE"

  Рет қаралды 34,943

Global TV  Online

Global TV Online

3 жыл бұрын

WAZIRI AWESO AMTUMBUA BOSI RUWASA - "HUFAI, CHUKUA MABEGI YAKO ONDOKA, MHANDISI AKAMATWE"
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 71
@mawazomichael4769
@mawazomichael4769 3 жыл бұрын
Huyu Mh. anajituma Sana namuomba Mungu one day aje awe Rais wa JMT.
@issaidrisamusa8437
@issaidrisamusa8437 3 жыл бұрын
Aweso ,, Uko vizuri No Discipline No Work . No obligation Out of work ,
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 3 жыл бұрын
"Ukishiba chezea kidevu chako sio kazi" hahahaaaààaaaaaaaaaaa halooooooo 😁😁😁 na ukizingua nakuzingua. 👍
@jumaaman6260
@jumaaman6260 3 жыл бұрын
Duh huruma Sana wazee wanataabika. Pole Sana mzee wangu.
@Damiannello
@Damiannello 3 жыл бұрын
mhanidisi alieko ileje wilaya ya songwe,, hafai kabisa nimeenda kule na ndonyumbani yaaaani matenk ya maji yamejengwa chini ya kiwango na yametelekezea hamna kitu kabisaaaa Waziri kazi yako inaonekana...safi
@africayetutv329
@africayetutv329 3 жыл бұрын
Safi sana unatupa matumaini kaka roho ya Jpm Mungu akutangulie
@deodatangereza960
@deodatangereza960 3 жыл бұрын
Unataka ajitetee nini na kwa nani endapo mtendewa ni mwananchi.hakuna kulea ujinga,kipimo cha kazi vigezo vinavyokidhi mahitaji ya mwananchi. Aweso kazi iendelee.
@user-oc7uh9po8j
@user-oc7uh9po8j 5 ай бұрын
Mheshimiwa upo vizuri sana mungu akubariki sana
@user-cg9yd9dw5n
@user-cg9yd9dw5n 6 ай бұрын
Mungu aendeleekukupa ujasiri
@nestoemanuel2821
@nestoemanuel2821 3 жыл бұрын
Bro ! Uko vzr hongera sana👍
@aloycesamba998
@aloycesamba998 3 жыл бұрын
Hongera sana mheshimiwa kwa kazi nzuri unayofanya,tena rombo kero ya maji ipo tangia miaka mingi sana
@user-oc7uh9po8j
@user-oc7uh9po8j 5 ай бұрын
Ubarikiwe sana baba
@melejilendakwi3698
@melejilendakwi3698 3 жыл бұрын
Mh waziri wa maji unajituma sna na mungu akusaidie katika kazi yako tunaomba uje Tena ngorongoro Hasa kata ya kakesio kwani tunashida kubwa ya maji
@stevemwakisimba5986
@stevemwakisimba5986 3 жыл бұрын
Wananchi saivi hamuwawezi wameamua kujipambania hahahaha tumbua tu kijana wetu aweso!!
@stevemwakisimba5986
@stevemwakisimba5986 3 жыл бұрын
Kijana unabusara na uendelee hivyo wabane sana vijijin ndiko tatizo kubwa kwakua hao wazee wa vijijin wanaonewa sana
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 3 жыл бұрын
Huyu ndiye aliyebaki na Kalemani. Matendo mengi maneno kidogo...
@magrethmeela154
@magrethmeela154 Жыл бұрын
Safi Sana waziri bado marangu rauya hatuna maji miaka yote baba
@furahamwajeka7463
@furahamwajeka7463 Жыл бұрын
Hongera aweso
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 3 жыл бұрын
Good job
@manasejohn9106
@manasejohn9106 3 жыл бұрын
Hongera waziri Aweso nahitaji san namba yako waziri wetu upo vzr kiukweli
@suleimankhamis8298
@suleimankhamis8298 3 жыл бұрын
good work
@miritonbikura5487
@miritonbikura5487 3 жыл бұрын
Nakubar kaka
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 Жыл бұрын
Hahaha Owesoooooooo shikamooo mdogo Wangu chapa kazi.
@shadrackzablon5983
@shadrackzablon5983 3 жыл бұрын
Mzee anaongea vizuri dah utadhani anasoma kweli wananchi sasahiv hawana uwoga
@eliyahrobert9340
@eliyahrobert9340 3 жыл бұрын
Huyo nzee mnaa kinyama duuu
@ramlazuber6038
@ramlazuber6038 3 жыл бұрын
Tanzania hiiiii mpaka UKWELIII uje usimamee masikini tutapata taaabu sanaaa. Na kupata viongozi kama hawa. Mmmmmmh. Mungu ASIMAMEEE KWA KWELIII
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 Жыл бұрын
Owesoo kamtumbua mhandisi then anamtaka aseme oyeeee
@user-bt7ki5pz9t
@user-bt7ki5pz9t 5 ай бұрын
Anastairi kuwaa ata waziri
@rosemayunga4021
@rosemayunga4021 Жыл бұрын
Mh. Uje na kibondo kifura tunateseka babamaji hakuna wakutusaidia
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 жыл бұрын
Njoo Matemanga Tundutu maji ni shida maji tunakunywa Mchororo ni hatari sana.Kwa mwezi maji ya bomba tunapata mara chache Mhe.
@abdullahrashid6297
@abdullahrashid6297 3 жыл бұрын
Huyu mzee inaelekea alivyokuwa kijana alikuwa Mkuda Mbaya
@captenndunga6745
@captenndunga6745 2 жыл бұрын
Nakupongeza muheshimwa ila hapo kwenye pesa ya mama samia umekosea pesa ni za wananchi sio za kwake za kwake anafanyia mambo yake.
@stephanogallet3461
@stephanogallet3461 3 жыл бұрын
Waziri wa maji tunaomba ufike hapa Arusha kwani maji bado ni changamoto
@salumukatumbi9460
@salumukatumbi9460 Жыл бұрын
kwa sekta ya maji uko powa
@malikidaudi2517
@malikidaudi2517 14 күн бұрын
Waziri tunaomba uje huku krk mikoa mingine
@mbotwambotwa2186
@mbotwambotwa2186 3 жыл бұрын
Safi sana njoo songwe
@businessclassidmc970
@businessclassidmc970 3 жыл бұрын
Mbotwa wa Wapi ndugu yangu, yamkini wewe ni ndugu yangu maana mimi ni mzaliwa wa Sumbalwela.
@mbotwambotwa2186
@mbotwambotwa2186 3 жыл бұрын
@@businessclassidmc970 Mjukuu wa chilalika je ww ninani na unaishi wapi
@businessclassidmc970
@businessclassidmc970 3 жыл бұрын
Kwa sasa nipo Dodoma, ila wiki iliyopita nilikuwepo kwenye Msiba wa Babu yetu Marko Mbotwa.
@mbotwambotwa2186
@mbotwambotwa2186 3 жыл бұрын
@@businessclassidmc970 poleni nilipata talifa nikiwa sipo yule ni babu yangu baba mdogo tukonaye Tunduma poleni nijilani na akina kitaa toka Shuleni kwa mbele akinamsomba (marehemu Mngasalagha)
@bbmediafirm
@bbmediafirm 3 жыл бұрын
baba mzazi
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 5 ай бұрын
Sio ikibidi wafungwe
@jamesmpeter8710
@jamesmpeter8710 3 жыл бұрын
Huyu mzee balaa
@jumaigoti8638
@jumaigoti8638 3 жыл бұрын
Dogo uko sawa
@afamefunaokeke6966
@afamefunaokeke6966 3 жыл бұрын
kadanganya waziri haogopi kufinywa...😋
@madeestar5228
@madeestar5228 3 жыл бұрын
Waziri Zanzibar kunakuhusu
@halimakihame1744
@halimakihame1744 3 жыл бұрын
Kqcjukuwe soda kaka nakuja kulipa
@errydeo8865
@errydeo8865 2 жыл бұрын
JPM PRODUCTS WALOBAKI
@benderarulenge8898
@benderarulenge8898 3 жыл бұрын
Sjaelewa mradi wa wafadhiri au serikali,
@jasminseleman-uw5oh
@jasminseleman-uw5oh Жыл бұрын
Waziri tunaomba ufike moshi vijijini maji hakuna kabisa
@wilsonlusasu8069
@wilsonlusasu8069 3 жыл бұрын
Waziri njoo na kwetu shinyanga vijijini kata ya mwantini kijiji Cha mishepo
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 3 жыл бұрын
Nae bina damu kwani hachoki
@johnsonbagambi1908
@johnsonbagambi1908 3 жыл бұрын
Maisha yanaendelea
@ernestlocken4500
@ernestlocken4500 Жыл бұрын
Waziri awesso wewe tunakuamini uswahilini arushA no water tafadhali
@user-ns3ee9xp9d
@user-ns3ee9xp9d 3 жыл бұрын
muheshimiwa aweso nenda na mtwara kidogo kwenye wilaya ya Tandahimba hasa kwenye kata ya Nanyanga ukaangalie mavirigiza kama hayo usipofanya subra wewe mwenyewe waziri utalia.
@georgevalilanga7412
@georgevalilanga7412 3 жыл бұрын
Duu cjawai sifi ila kwako aweso fanya kazi ivyoivyo utakuja kua kiongozi mkubwa sana uko mbere
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 5 ай бұрын
Hawa watu kuanzi juu mpaka chini mikoani ni majizi wafukuzwe kazi na wafungwe majizi saana msiwaache wakamatwe wahojiwe ni wezi saana wamekula pesa zoote
@ndulujilala9643
@ndulujilala9643 3 жыл бұрын
Mzee punguza kuongea dah
@shadrackzablon5983
@shadrackzablon5983 3 жыл бұрын
Apunguze kuongea kuna pumba umeona ameongea hapo jielewe
@antonjohn8865
@antonjohn8865 3 жыл бұрын
Pumbavu sana nyie
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 3 жыл бұрын
BADO MNAFUATA SIASA ZA DIKTETA MWENDAZAKE.
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 3 жыл бұрын
Ulitakaje??
@texastexas2545
@texastexas2545 3 жыл бұрын
Achakutombwa mbwa wewe🖕🖕
@shadrackzablon5983
@shadrackzablon5983 3 жыл бұрын
We ndimi wanakufira
@athumanijuma3085
@athumanijuma3085 3 жыл бұрын
Huna akili hata moja ww
@ramadhanchiiza9215
@ramadhanchiiza9215 3 жыл бұрын
Hakuna kubembelezana kuna watu wengi wamesoma na waadilifu hawana kazi anaezingua timua weka mwingine hata huyo mhandisi wa mkoa na yeye alitakiwa kutimuliwa mh. Na huku temeke waires maji ni shida yanatoka kwa siku mara moja tena kwa masaa yakitoka saa 11 alfajir mpk tena alfajiri inayofuata njoo na huku utumbue hasa mtaa kitomomdo maji ni shida
@charlesnassary6689
@charlesnassary6689 3 жыл бұрын
jembe la maguful
@allysaidallysaid4530
@allysaidallysaid4530 Жыл бұрын
Majembe ya magufuli hayo
@user-cg9yd9dw5n
@user-cg9yd9dw5n 6 ай бұрын
Mungu aendeleekukupa ujasiri
@lawrencegwerino1656
@lawrencegwerino1656 3 жыл бұрын
Tunaomba na pesa zetu waludishe
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 8 МЛН
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 15 МЛН
MAKONDA AAMURU OCD BUGURUNI APANGIWE KAZI NYINGINE, WANANCHI WASHANGILIA
11:59
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 8 МЛН