Рет қаралды 767
Baba wa Taifa, Akizungumzia kuhusu Mapinduzi yaliyokuwa yanafanyika Afrika, 1966. Kuna jambo kubwa la kujifunza hapa kuhusu Mapinduzi ya kweli.
Sikiliza, Akizungumzia kuhusu Mapinduzi ya Baba wa Taifa la Ghana, Nkwame Nkurumah. Wao walishinikizwa kumpindua na Mabeberu, baadae alivyokufa wakalia wakimuita Baba wa Taifa.