Nabii Geordav + mfalme Daud =mtumishi anaeijua siri ya music kwenye vita yake au huduma yake huenda kirahisi Sana maana kupitia sifa hushuka mwenyewe kukabiliana vizuiz au upinzani kwa mtumishi wake twajifunza mengi Sana na tunaendelea kujifunza mengi kupitia wewe Balozi wa Amani Dr Geordav. @Obrigado Official.
@happifaniaPatrick6 ай бұрын
Nabii mkuu Bwana yesu asifiwe nmeangalia sana kutafuta baba naomba unisaidie Ada ilii nipate kuendeleaa na masomo yanguu tafadhari nisaidie 🙏🙏
@agnessmalyeek938710 ай бұрын
Nabii mkuu uko namba moja hakuna kama wewe
@frankngoloka258910 ай бұрын
Nabii uko vzr
@PacJunior-hd8ig7 ай бұрын
Nabii mkuu Atari Sana ogera Sana baba yetu
@stevengodwin63010 ай бұрын
Bonge la salsa,,nabii kumbe ni mwamba na ndio maana kuna wakati anasema vitu akiwa anavijua,kama hivi ,,safi sana cofiii wa mbinguni ni mkali zaidi ya yule wa kongo
@HopefulFlower-sn4kg8 ай бұрын
NEEMA YA YESU KRISTO IMEMFUNIKA NABI MKUU BABA YETU. GEORDAVIE UISHI MILELE
@annethjackson16599 ай бұрын
🔥🔥🔥
@ImeldaPetro-g8h10 ай бұрын
Nmeipenda hii 🎉🎉🎉 yesu anakuj yesu anakuja
@stephenjackson747910 ай бұрын
We love you Sr. Prophet, Daddy from India.
@Akimanaarsene11 ай бұрын
Lazima nikutane na huyo nabi mku kalibu 🇧🇮
@stephenjackson747910 ай бұрын
Jesus Christ is number one
@HopefulFlower-sn4kg6 ай бұрын
Amen napokea imekuwa kwangu
@DixonMosha10 ай бұрын
That's Mai prophet truely
@kachenjefadhil32679 ай бұрын
Hongera sana nabii mkuu
@MwanjelwaMwakyusa10 ай бұрын
Nabii unakipaji kikubwa cha uimbaji. ❤❤❤❤
@nelsonmrutu37110 ай бұрын
MAESTRO GEORDAVIE. ❤❤
@samwelmollel6026 ай бұрын
Nimebarikiwa Sana sana
@salmampinga499510 ай бұрын
😊😊 That's my Daddy ☝️❤
@mropeamadeus5411 ай бұрын
Safi sanaaaa 🙏
@FiveFunny10 ай бұрын
HaaAAA upAko tuu
@KulekatsengeHaruni-sb6qc10 ай бұрын
Amen majibu yangu imekuja
@MagdalenaLumolwa10 ай бұрын
Uko vizuri baba, nakupenda
@AnnaMalya-g2v9 ай бұрын
Safi nimeipenda❤❤❤❤
@gwakisamwakilema10 ай бұрын
I like the voice..
@samwelmollel60210 ай бұрын
Amina gd😄😄😄😄
@nathanizephania5060Ай бұрын
Ameen
@barakamollel994711 күн бұрын
Another level
@talentedboys-tv150710 ай бұрын
GeorDavie The Brand✨
@mossesezekiel786211 ай бұрын
Amina sanaa 👍👍👏👏🙏
@andrewmagembe886210 ай бұрын
❤❤❤❤❤ Yesu anakuja leoooo
@deogratiustitus945810 ай бұрын
Safi
@HopefulFlower-sn4kg7 ай бұрын
I LIKE IT . MWAAAAAA!!
@samwelmollel60210 ай бұрын
Zafiiii sana❤❤❤❤
@SamwelMollel-br9md5 ай бұрын
Amina
@eunicekengajaha295310 ай бұрын
Amen
@tide_767710 ай бұрын
Blessed
@AmaniSambweti6 ай бұрын
Waoo🎉
@wallesmdoe916410 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@samwelmollel60210 ай бұрын
Amina 😅😅😅
@tinaernest262710 ай бұрын
Haleluyaaa
@samwelmollel60211 ай бұрын
Amina ❤❤❤❤
@DignaAndrea-iu2fw10 ай бұрын
Uko vizuri dady
@rahabnkya827610 ай бұрын
OMG! MAY THE LORD GOD PROTECT U AND PROSPER U ALL THE MORE! SATAN IS SATAN AND HIS PLACE IS IN ETERNAL HELL. LISTEN HIM NOT!
@GeorgeChitemo-kt8sw10 ай бұрын
Muuni muabudu shetani wakala wa shetani asilimia 100%
@daniecarry406910 ай бұрын
😂😂😂😂😂shetani ndo anaabudiwa hivyo sio george hahahaha em toka hapa na ushamba wako
@daniecarry406910 ай бұрын
Kwaiyo george macho yako yanaona shetani ndo anaabudiwa hapo alafu wewe ndo utakua maskini wa kwanza duniani na utabaki unaangalia wenzako wakifanikiwa wewe ukiendelea kua ziro ziro ziro yaaani sifuri plus 😂😂😂😂😂😂@georgechitemo
@godsonkyara489610 ай бұрын
Nilikuwa nasubiri hii ng'e ng'e ng'e ng'e
@FanuelAloyce10 ай бұрын
Basi wewe ambaye ni mwakikishi wa Mungu mwache baba yetu. Mbona Sasa unasikiliza. Waafrica wenye akili za aina hii ndo wanaotufanya tuendelee kuwa maskini
@godsonkyara489610 ай бұрын
Ok! Utakipata unachokitafuta. Comment yako is on record spiritually, utalipa siku moja usipotubu. Zaidi ni hivi, yeye hakuoni maana hakutazami pia hakusikii maana huna cha kumfanya akusikilize. Muogope Yesu Kristo aliyemfikisha hapo alipo. Tazama kama tai sio hivyo utazamavyo kama koo(kuku mtetea)