Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 179
@nancymorenje3880Күн бұрын
Hongera sana Kate, una spirit ya upambanaji. Unasema umekopa vizuri ila sio wote wanaokopa wanatoboa. Pengine unakitu kingine kinachokupatia pesa e.g umeajiriwa unapokea mshahara, child support kutoka kwa baba mtoto..let say mbaba akikupa 2mil kama child support kwa mwezi kwa mwaka una 24mil hata ukikopa nirahisi kuwa na uhakika wa rejesho. Ila kukopa tu bila kuwa na kitu nyuma cha kuku support ngumu
@latifahkarim97742 күн бұрын
Kuna watu wanajuaga mafanikio ni rahis hongera sana umeweza umeweza tena
@lilianmkumbi67702 күн бұрын
Hongera saana dada,, Ee Mungu naomba unikumbuke na mm nifanyie wepes 😢😢
Mie mshamba kama Saleh kizunguzungu siwezi kuishi nyumba yenye gorofa kama na naanguka ivi siwezi kwa kweli rabda nikatmbee nirudi basi hongera sana super woman
@rmags884319 сағат бұрын
I am so proud of this young lady!! It’s definitely no easy feat to do it alone and with a lot of discipline at her age
@user-rb5hs3lq6v2 күн бұрын
Saleh upo vizuri lakini mbadilishe cameraman yupo slow sana kujiongeza atakufelisha.Unahitaji cameraman mjanja ndio mtaendana vizuri.
@storytime120416 сағат бұрын
Baada aonyeshe nyumba anaonyesha watu yani mpka aitwe duh
@beatricejoseph27842 күн бұрын
Katika ndoto zangu kubwa ni kujenga naimani Mungu atatenda hongera sana dada angu
@user-ll7np8td7x2 күн бұрын
❤❤❤❤❤ongera dada ongera sana mungu azidi kuyalinda .mafanikio yako
@Rahima-kv6mn2 күн бұрын
Nimeanza kuja oman mwaka 2017 Na mpaka 2024 Na bado nipo uku Natumwa tu kama punda Lakini nimejenga mijengo ya miwili Kigamboni na Mbande Tambani uko Namshukur Mungu Alhamdulilah watt wangu wanagalauka gauka umo ndani kwao Asante Mungu kwa Rehema Zako 🤲🙏💪😘
@dottohami2 күн бұрын
Tuseme Alhamdulillah
@Rahima-kv6mn2 күн бұрын
@@dottohami ALHAMDULILAH 🤲🙏
@MaryamMaryam-ru1qt2 күн бұрын
Hongera kpnzzzzz ngja na ssi 2pambane kusugua hammam za warabu inshaallah nas 2tajenga
Hongera sana mdada!!!Mwanamke na nusu ,hongeraaa sana
@user-mi7cd8ch1bКүн бұрын
Wanawake tunaweza kikubwa tusikate tamaha❤hongera my dear
@zayumar295523 сағат бұрын
Wow MashaAllah MashaAllah ziwe sadaka za wapuuzi (wajinga ndio waliwao)😅😅😅 iwe udangajiii iwe unafanya kazi hongera Sana mwanamke wa nguvuuu kabisaa wa shokaaaa congratulations dear sio rahis kwa msichana wa umri wako kuwa na akil ya maisha❤❤❤🎉🎉🎉 Ila Mungu mkubwa Jmn na anajua kuumbua watu Mtt sura copy na Baba Mzee wa mafutaaa 😅😅😅🙌🙌🙌 SubhanAllah
@user-dn7gn6ib4kКүн бұрын
This colour of hair doesn't fitting you should use black wigs
@mariamkibindo1741Күн бұрын
MashaAllah mabrook hongera sana ZURI ❤ umepambana na sasa umemaliza nyumba yako hongera sana sister ❤❤
@sabrinaraphael34742 күн бұрын
Hongere mamazuri you did it🎉👏🏻
@user-mz6lq3gr9l2 күн бұрын
Mashallah dada angu sina chuki bali nina wivu namuomba mungu anipatie na mimi
@user-sv6zy3hc8o2 күн бұрын
Usimuonee mtu wivu muombe mungu akubalik na wew
@user-sd2zt6it7i2 күн бұрын
Ukimuona mtoto tu huna aja ya kuuliza baba yke nani😂😂😂 buldoza😂
@atislady34002 күн бұрын
Sema mwaposa asante babbydaddy
@mwanonomohamed4688Күн бұрын
Sadaka za watu😅😢
@user-mb2ek2ds1h2 күн бұрын
Hongera sana Mungu akulinde nakupenda
@MariaThomas-wm9iq2 күн бұрын
Baba mchungaji mwamponsa umeweza🤭
@user-sn6dc9gh8k2 күн бұрын
Yaan mwenzenu nimejua leo😂😂😂
@user-sv6zy3hc8o2 күн бұрын
Nakwambia hata mim eee jamani mama zuli kakanyaga mafuta kwa mwamposab😂😂😂😂😂😂😂😂aki mtanivunja mbavu leo
@FreeGod3682 күн бұрын
Wivu haulipi kama mtu aliweza kujenga akiwa na 21 ni bidii na nidham achen wivu
@SmilingElectricGuitar-wz3ijКүн бұрын
We ndo huelewi jambo@@FreeGod368
@ashahassan212036 минут бұрын
Tupongezane hongera sana mrembo usisahau kufanya ibada
@Nuru9568Күн бұрын
Hongera dear hongera pia kwa mwamposa
@AshuraMaulidКүн бұрын
kumbeeeeee
@EmmyNamoyo2 күн бұрын
Mpiga picha wako salehe kidogo ajirekebishe si mara moja anafanya hivyo kwa mfano pale ulipokuwa unashangaa kuhusu kitanda hatujaona,badala ya kuonyesha kitu au sehemu unayoongelea yeye anaonyesha sehemu nyingine si kwa ubaya ni maoni yangu tu ili kunogesha kipindi kwasababu tunakipenda ❤
@user-sn6dc9gh8k2 күн бұрын
Huýo alombeba zuri mmemskia anavojitaftia sifa ety mi ananikubali wengne huko anawaona kama mbwa😂😂😂ila asante mlonisanua kwel anamfanana mwamposa mtoto😂😂
@AshuraMaulidКүн бұрын
😂😂😂😂
@lilianmkumbi677020 сағат бұрын
Bora umeona et anawaona mabwa tu 😅😅😅 uchawa mgumu
@givenessdavid37432 күн бұрын
Mafanikio sio rahisi haijalishi yamepita njia gani
@user-ru6ct4rh3t22 сағат бұрын
Salehe upo vizuri sana. Cameramani bado kidogo
@cocorita8367Күн бұрын
Mtoto kafanana na baba yake ❤❤❤
@kitonekantasha16872 күн бұрын
HONGERA SANA SANA SANA SANA SANA SANA SANA SANA❤❤❤❤ I LOVE IT and pole sana kwakupoteza wazazi wako😢🎉🎉🎉🎉🎉 enjoy mama
@MariamGidioniКүн бұрын
Kazaa na mwamposa huyu dada😊
@stamillusatila908422 сағат бұрын
Leo nimegundua kuwa nimejenga servant quarter. Hata hivyo namshukuru silipi kodi😂😂😂
@sund25532 күн бұрын
Si angetoa huo mdude awe comfortable kutembea afanye house tour vizur.....kwa mjengo huu mwamposa hawez kumuach huyu wataendelea mpaka kifo😅 yan kiufupi huyu ni nyumb ndog ya mwamposa for life.
@AshuraMaulidКүн бұрын
Mpka mtoto kafanana na mwamposa
@nickylyanga2139Күн бұрын
ajifunze kufanya tour kama ya produce Michael
@nickylyanga2139Күн бұрын
camera man .. ovyo zaid ya sana
@ukhutfatumah11542 күн бұрын
Mashaallah hongera sana yaaan unanipa moyo sana wa kupambana jamn nami inshallah one day nitajenga inshallah
@flackomasterbaddest4155Күн бұрын
Pambana. Kitandani na Tajiri msitumie kinga
@user-ox2du9nz5oКүн бұрын
@@flackomasterbaddest4155😂
@candiesalm8995Күн бұрын
Na mimi nikifika miaka 30 ntawaita show bizz waje wafanye kipindi kwenye nyumba yangu 😂😂ya ndoto zangu wacha sahv nkatafute kazi kwanza
@user-gi5ut4fw4b2 күн бұрын
Hongera boss wangu🎉
@KOKOCROTCHETSКүн бұрын
Jumba zuri kuliko la mwijaku
@nancyfantasia1945Күн бұрын
Ya mwijaku tuliambiwa ni ghorofa modo😂😂😂
@blessingcharles-lc1rr2 күн бұрын
Hongera dada ake kupambana hakujawahi kumuacha mtu
@hildajoel52 күн бұрын
Spa 1 nyumba ya billion kadhaa🤔 mwenzetu biashara yake ina faida 😂
@shejamy06Күн бұрын
😅😅😅😅😅
@tunajaribuКүн бұрын
😂😂😂😂
@SmilingElectricGuitar-wz3ijКүн бұрын
Mwamposa anamsapoti sana
@ilagusalim26752 күн бұрын
Ila salehe umekuwa mshika gauni 😂😂😂😂
@gracepatric437116 сағат бұрын
Camera man but. Y pamoja na kuambiwa waonyeshe lakini wapiii 😢😢
@NoraNora-gv7md2 күн бұрын
Na Imani katika kupambana kwangu nitapana amin
@dottohami2 күн бұрын
Hongera sana dada❤
@user-xc1vv5ut3l2 күн бұрын
Nakupendaga bure
@gracepatric43717 сағат бұрын
Salehe anamleta kate ajichanganye kusema mwamposa kate anachomoa kinamna😂😂😂😂
@salamamohamed84322 сағат бұрын
Hilo shela angelivua akabaki na kigauni simple tuu
@PaulinaRaymond-f6s2 күн бұрын
Hongera sana mdada!!!Mwanamke na nusu ,hongeraaa sana 28:03
@salhaomar53822 күн бұрын
Hongera mdogo wangu umejitahd san❤❤❤❤
@msowamhokole771419 сағат бұрын
Ivi nyie billion uwaga mnaijua ama mnasema tuu msikatishe watu tamaa kujenga gorofa
@user-ji1bc5ti8r2 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 salehe anavyopambana kubeba gauni sasaaaaa mi hoiii
@khadijauledi32932 күн бұрын
HUYU NDO MWANAMKE NANGAI, WEWE KACHUKUE MIKOPO UKAWAFURAHISHE WENZIO BAR AU KUWAFANYIA SHUGULI MASHENESTI WENZIO UKIANZA KUDAIWA WANAKUCHEKA
@RayyanRayyan-rt9cgКүн бұрын
Na itoshekusema usitamani maisha ya watu jmni jikune mkono wako unapofikia
@fettymilly7664Күн бұрын
😂😂😂😂😂 salehe bwana etiiii hayo hayoo yanajifungaa
@FreeGod3682 күн бұрын
Rich but charming🎉
@GraceSwella2 күн бұрын
Congratulations mama zuu❤
@kemmymartine48842 күн бұрын
Congrats dr❤
@ismailelias35545 сағат бұрын
Iviii jaman biii mnaijuwa kwelii
@deadcrush2 күн бұрын
Lovely…..
@user-qs7lj7kj1k2 күн бұрын
Saleh nimwanaume ao mwanamuke mbona anava hereni ao anajisia 2
@user-tk5yy6vj3bКүн бұрын
Unanitia moyo sana tu me najenga lakini bado cjamaliza
@SekelaJakson-ls7dd2 күн бұрын
Sikamatik anasema ye ndo a na hela she aone uku😂😂
@sharifabahar99052 күн бұрын
Ongera mkisema anajiuza kuna watu wanajiuza lakini awana atapakulala kwaio ongera kwa kujenga kikubwa kujuwa thamani ya pesa
@user-pw2sw1sk1b2 күн бұрын
Umeona eeee kajipata sana
@alindarwelamira132919 сағат бұрын
🔥🔥🔥
@munirahassan50132 күн бұрын
Zuri Mwamposa
@user-tt1nm9xs4n14 сағат бұрын
Sura mwamposa kabisa hio
@winfridahubert40722 күн бұрын
Camera man unazingua
@jumachilloКүн бұрын
Nyumba kali sana
@nathalieswedy3653Күн бұрын
Hongera ila apo kwenye bint mdogo big no we ni age go
@bonvivant370413 сағат бұрын
Actually ni binti mdogo, unless lifespan ingekua 45
@rehemavickie65217 сағат бұрын
Uko sahihi@@bonvivant3704
@mylovejosecharles43622 күн бұрын
sema tu ukweli kuwa una mubaba😂
@munirahassan50132 күн бұрын
Kazaa na nabii wenu mwa.......sa
@JacklineMakule-id8hn2 күн бұрын
Kaz ya mwa..... Hiooo sadaq....... 🙈🙈 Hizo taa n hio bei y nyumba huwez sema sadaqa zetu ndo zimetumika apoo
@SmilingElectricGuitar-wz3ijКүн бұрын
😂😂😂😂😂 lweli
@mwanonomohamed4688Күн бұрын
Nack mke wa Boniface Mwamposa analia leo😢
@aminamndolwa41502 күн бұрын
Wa kwanza Leo
@nanajoseph2356Күн бұрын
Miaka 30 ana ghorofa me 25 hata kiwanja sna 😭
@Gratefulheart3188Күн бұрын
Utapata wala usikate tamaa mdogo wang,
@nancyfantasia1945Күн бұрын
Wakat wa Mungu ni wakat sahihi usikate tamaa alafu huwez jua wenzetu wanapita njia gan
@ree60822 күн бұрын
Duh i wenzetu wanatoaga wap hela jamani
@JacklineMakule-id8hn2 күн бұрын
Mchepuko.wa baba yetuu wa Kiroho🤭
@givenessdavid37432 күн бұрын
Angalau hata ana ghorofa wengine vitumbua vinajazwa mafuta ya Salama
@user-sv6zy3hc8o2 күн бұрын
😂😂😂😂 eeeeeee makubwa
@latifahkarim97742 күн бұрын
Et nataka kuona nyumba nisishike heee salehe umbea da muni
@user-sv6zy3hc8o2 күн бұрын
Nakwambia kafanya kungangania gauni
@asiansky97672 күн бұрын
48:25
@user-dn7gn6ib4kКүн бұрын
But you looks so old how comes you say you're 30yeras old😂😂😂😂😂
@user-wg3it8uu5c2 күн бұрын
19:53 19:54 19:55
@user-eh5mw8fn8q2 күн бұрын
Napenda hizo sofa set nice umenunua wapi pls
@user-eh5mw8fn8q2 күн бұрын
I like white house
@user-sv6zy3hc8o2 күн бұрын
Amesema kaliakoo au hujaskia
@novabae952 күн бұрын
Hongera unasura nzuri unaonaka ni mtu mwny roho nzuri….Mungu akubariki Inshallah♥️
@mwanonomohamed4688Күн бұрын
❤❤❤❤
@Joliegal834Күн бұрын
Uyu ndo kazaa na mwamposa
@MainaSlimbaby2 күн бұрын
❤❤❤
@faudhiasalum72792 күн бұрын
Duh😢maisha aya
@LeylatHemed-bb9di2 күн бұрын
Sale kimemlamba leo kushikilia gauni😅😂
@user-ly6xz5zf7nКүн бұрын
ila cjui kwanini uki ikataa mimba mtoto anatoka copy yako,mtoto ni mwamposa mtupu hai hitaji D3
@user-eh5mw8fn8q2 күн бұрын
I like white house
@user-sv6zy3hc8o2 күн бұрын
Jenga uone
@munirahassan50132 күн бұрын
Mtoto kazaa na Buldoza
@user-sv6zy3hc8o2 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@munirahassan5013Күн бұрын
@@user-sv6zy3hc8o wajipongeze watoa sadaka
@user-pr4hb2yc9j2 күн бұрын
Mange typing
@melanialeonard40312 күн бұрын
Msiache kuchukua mikopo msiache kufanya michezo, nyoo shukuru ulipofika hii dunia ina mengi
@user-sv6zy3hc8o2 күн бұрын
Eti mikopo elimu darasa la saba nyoo mchezo wafanyazi wa selikali wenyew nyumba zinapigwa mlada
@estherminnahboaz6956Күн бұрын
Malaya tu huyu mfanya masaji mwanzo sikuelewa mchezo kumbe ndio huyu mchawi karoga wee atudanganye elimu haina maana mfyuuu😂😂😂
@faudhiasalum72792 күн бұрын
Ninani mi simfaham 😢
@user-sv6zy3hc8o2 күн бұрын
😂😂😂😂 amekanyaga mafuta
@wamburamuhabi60342 күн бұрын
Mzazi mwenzio na mwamposa
@ashurajengela39262 күн бұрын
Kheee naona watu mnaandika sana mwamposa mwee amefanyaje baba mtumishi 😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻 Sema haloloyaaaaa 😂😂😂
@mwanonomohamed4688Күн бұрын
Ndio kampa hela ya kujenga kazaa nae mtoto anaitwa Zuri. Na ni mdangaji mjini
@latifahkarim97742 күн бұрын
Mamb kwa ushahid salehe mbavu cna
@zenasalum22312 күн бұрын
Mi mgeni simjui huyu dada aukwa vile mi sio mbea mbea
@atislady34002 күн бұрын
Mwamposa alivovuta pisi nyingine kilimtesa ndio kajitoa ivo
@Zainab_salat2 күн бұрын
Nyumba ni yake? Au kupanga
@esterMahengeКүн бұрын
Yake kbs
@esterMahengeКүн бұрын
Yake kbs
@JacklineMakule-id8hn2 күн бұрын
Jmn tumemuon zuri aisee pua hazidanganyii,komwe lipo jmn mbeya moja hiyoooo kubali kataaas husingizia wal nn kubali uliteleza tu kitanda hakizai haramu