ANAPOISHI KATE MILAYA/NIMEISHIA DARASA LA SABA NAMILIKI GOROFA /NIMEFANYA KAZI AIRPORT

  Рет қаралды 22,867

ZamaradiTV

ZamaradiTV

4 күн бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 179
@nancymorenje3880
@nancymorenje3880 Күн бұрын
Hongera sana Kate, una spirit ya upambanaji. Unasema umekopa vizuri ila sio wote wanaokopa wanatoboa. Pengine unakitu kingine kinachokupatia pesa e.g umeajiriwa unapokea mshahara, child support kutoka kwa baba mtoto..let say mbaba akikupa 2mil kama child support kwa mwezi kwa mwaka una 24mil hata ukikopa nirahisi kuwa na uhakika wa rejesho. Ila kukopa tu bila kuwa na kitu nyuma cha kuku support ngumu
@latifahkarim9774
@latifahkarim9774 2 күн бұрын
Kuna watu wanajuaga mafanikio ni rahis hongera sana umeweza umeweza tena
@lilianmkumbi6770
@lilianmkumbi6770 2 күн бұрын
Hongera saana dada,, Ee Mungu naomba unikumbuke na mm nifanyie wepes 😢😢
@FreeGod368
@FreeGod368 2 күн бұрын
Huyu dada amebarikiwa acheni wivuuu, Mungu kakubari dada enjoyyyyyyy akili znachaji vzur😂😂
@naifatshafii2504
@naifatshafii2504 2 күн бұрын
Mie mshamba kama Saleh kizunguzungu siwezi kuishi nyumba yenye gorofa kama na naanguka ivi siwezi kwa kweli rabda nikatmbee nirudi basi hongera sana super woman
@rmags8843
@rmags8843 19 сағат бұрын
I am so proud of this young lady!! It’s definitely no easy feat to do it alone and with a lot of discipline at her age
@user-rb5hs3lq6v
@user-rb5hs3lq6v 2 күн бұрын
Saleh upo vizuri lakini mbadilishe cameraman yupo slow sana kujiongeza atakufelisha.Unahitaji cameraman mjanja ndio mtaendana vizuri.
@storytime1204
@storytime1204 16 сағат бұрын
Baada aonyeshe nyumba anaonyesha watu yani mpka aitwe duh
@beatricejoseph2784
@beatricejoseph2784 2 күн бұрын
Katika ndoto zangu kubwa ni kujenga naimani Mungu atatenda hongera sana dada angu
@user-ll7np8td7x
@user-ll7np8td7x 2 күн бұрын
❤❤❤❤❤ongera dada ongera sana mungu azidi kuyalinda .mafanikio yako
@Rahima-kv6mn
@Rahima-kv6mn 2 күн бұрын
Nimeanza kuja oman mwaka 2017 Na mpaka 2024 Na bado nipo uku Natumwa tu kama punda Lakini nimejenga mijengo ya miwili Kigamboni na Mbande Tambani uko Namshukur Mungu Alhamdulilah watt wangu wanagalauka gauka umo ndani kwao Asante Mungu kwa Rehema Zako 🤲🙏💪😘
@dottohami
@dottohami 2 күн бұрын
Tuseme Alhamdulillah
@Rahima-kv6mn
@Rahima-kv6mn 2 күн бұрын
@@dottohami ALHAMDULILAH 🤲🙏
@MaryamMaryam-ru1qt
@MaryamMaryam-ru1qt 2 күн бұрын
Hongera kpnzzzzz ngja na ssi 2pambane kusugua hammam za warabu inshaallah nas 2tajenga
@Rahima-kv6mn
@Rahima-kv6mn 2 күн бұрын
@@MaryamMaryam-ru1qt Ahsante kwasote Inshaa llah Kheri 🙏💪
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o 2 күн бұрын
Hongela kipenzi hata mim nimesha pambana nimesha mjengea mama angu asaiv napambana nijenge ya kwangu
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b 2 күн бұрын
Mashalalh dada umeupiga mwing wengine wanapesa lkn awajafika.hapo ulipo.wanajali starehe
@GiftAbduly
@GiftAbduly 2 күн бұрын
Hongera sna ukiona kwa mwenzio unaona rahisi ukijaribu sasa 😂 eeh mungu tusaidie maana sio mchezo
@Tuu2019
@Tuu2019 2 күн бұрын
Zuri copy ya baba Mwamposaaa Hongeraaaaa kwa kukufanikiwa kumchunaaa mchungaji
@salma-fc4xc
@salma-fc4xc 2 күн бұрын
Ni bahati yake tumpe hongera sana yake kaweza
@user-sn6dc9gh8k
@user-sn6dc9gh8k 2 күн бұрын
Wee kumbe😂😂😂🙌🙌
@user-sn6dc9gh8k
@user-sn6dc9gh8k 2 күн бұрын
Nilishataka kuacha kuangalia sasa ngja ni2lie nione huyo mtoto😂😂😂
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o 2 күн бұрын
😂😂😂😂😂 eeeeeee Tena makubwa ngoja nione mwanzo mwisho mbona patamu hapa eee jamani bongo sihami kumamae
@user-sn6dc9gh8k
@user-sn6dc9gh8k 2 күн бұрын
@@user-sv6zy3hc8o nikusaidie kimbia mbele mwisho kabsaa ndipo utakwenda kuona hyo copy🤣🤣🙌
@pendoseleman9069
@pendoseleman9069 Күн бұрын
hongera dear , umenipa moyo wa kupambana
@PaulinaRaymond-f6s
@PaulinaRaymond-f6s 2 күн бұрын
Hongera sana mdada!!!Mwanamke na nusu ,hongeraaa sana
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b Күн бұрын
Wanawake tunaweza kikubwa tusikate tamaha❤hongera my dear
@zayumar2955
@zayumar2955 23 сағат бұрын
Wow MashaAllah MashaAllah ziwe sadaka za wapuuzi (wajinga ndio waliwao)😅😅😅 iwe udangajiii iwe unafanya kazi hongera Sana mwanamke wa nguvuuu kabisaa wa shokaaaa congratulations dear sio rahis kwa msichana wa umri wako kuwa na akil ya maisha❤❤❤🎉🎉🎉 Ila Mungu mkubwa Jmn na anajua kuumbua watu Mtt sura copy na Baba Mzee wa mafutaaa 😅😅😅🙌🙌🙌 SubhanAllah
@user-dn7gn6ib4k
@user-dn7gn6ib4k Күн бұрын
This colour of hair doesn't fitting you should use black wigs
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 Күн бұрын
MashaAllah mabrook hongera sana ZURI ❤ umepambana na sasa umemaliza nyumba yako hongera sana sister ❤❤
@sabrinaraphael3474
@sabrinaraphael3474 2 күн бұрын
Hongere mamazuri you did it🎉👏🏻
@user-mz6lq3gr9l
@user-mz6lq3gr9l 2 күн бұрын
Mashallah dada angu sina chuki bali nina wivu namuomba mungu anipatie na mimi
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o 2 күн бұрын
Usimuonee mtu wivu muombe mungu akubalik na wew
@user-sd2zt6it7i
@user-sd2zt6it7i 2 күн бұрын
Ukimuona mtoto tu huna aja ya kuuliza baba yke nani😂😂😂 buldoza😂
@atislady3400
@atislady3400 2 күн бұрын
Sema mwaposa asante babbydaddy
@mwanonomohamed4688
@mwanonomohamed4688 Күн бұрын
Sadaka za watu😅😢
@user-mb2ek2ds1h
@user-mb2ek2ds1h 2 күн бұрын
Hongera sana Mungu akulinde nakupenda
@MariaThomas-wm9iq
@MariaThomas-wm9iq 2 күн бұрын
Baba mchungaji mwamponsa umeweza🤭
@user-sn6dc9gh8k
@user-sn6dc9gh8k 2 күн бұрын
Yaan mwenzenu nimejua leo😂😂😂
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o 2 күн бұрын
Nakwambia hata mim eee jamani mama zuli kakanyaga mafuta kwa mwamposab😂😂😂😂😂😂😂😂aki mtanivunja mbavu leo
@FreeGod368
@FreeGod368 2 күн бұрын
Wivu haulipi kama mtu aliweza kujenga akiwa na 21 ni bidii na nidham achen wivu
@SmilingElectricGuitar-wz3ij
@SmilingElectricGuitar-wz3ij Күн бұрын
We ndo huelewi jambo​@@FreeGod368
@ashahassan2120
@ashahassan2120 36 минут бұрын
Tupongezane hongera sana mrembo usisahau kufanya ibada
@Nuru9568
@Nuru9568 Күн бұрын
Hongera dear hongera pia kwa mwamposa
@AshuraMaulid
@AshuraMaulid Күн бұрын
kumbeeeeee
@EmmyNamoyo
@EmmyNamoyo 2 күн бұрын
Mpiga picha wako salehe kidogo ajirekebishe si mara moja anafanya hivyo kwa mfano pale ulipokuwa unashangaa kuhusu kitanda hatujaona,badala ya kuonyesha kitu au sehemu unayoongelea yeye anaonyesha sehemu nyingine si kwa ubaya ni maoni yangu tu ili kunogesha kipindi kwasababu tunakipenda ❤
@user-sn6dc9gh8k
@user-sn6dc9gh8k 2 күн бұрын
Huýo alombeba zuri mmemskia anavojitaftia sifa ety mi ananikubali wengne huko anawaona kama mbwa😂😂😂ila asante mlonisanua kwel anamfanana mwamposa mtoto😂😂
@AshuraMaulid
@AshuraMaulid Күн бұрын
😂😂😂😂
@lilianmkumbi6770
@lilianmkumbi6770 20 сағат бұрын
Bora umeona et anawaona mabwa tu 😅😅😅 uchawa mgumu
@givenessdavid3743
@givenessdavid3743 2 күн бұрын
Mafanikio sio rahisi haijalishi yamepita njia gani
@user-ru6ct4rh3t
@user-ru6ct4rh3t 22 сағат бұрын
Salehe upo vizuri sana. Cameramani bado kidogo
@cocorita8367
@cocorita8367 Күн бұрын
Mtoto kafanana na baba yake ❤❤❤
@kitonekantasha1687
@kitonekantasha1687 2 күн бұрын
HONGERA SANA SANA SANA SANA SANA SANA SANA SANA❤❤❤❤ I LOVE IT and pole sana kwakupoteza wazazi wako😢🎉🎉🎉🎉🎉 enjoy mama
@MariamGidioni
@MariamGidioni Күн бұрын
Kazaa na mwamposa huyu dada😊
@stamillusatila9084
@stamillusatila9084 22 сағат бұрын
Leo nimegundua kuwa nimejenga servant quarter. Hata hivyo namshukuru silipi kodi😂😂😂
@sund2553
@sund2553 2 күн бұрын
Si angetoa huo mdude awe comfortable kutembea afanye house tour vizur.....kwa mjengo huu mwamposa hawez kumuach huyu wataendelea mpaka kifo😅 yan kiufupi huyu ni nyumb ndog ya mwamposa for life.
@AshuraMaulid
@AshuraMaulid Күн бұрын
Mpka mtoto kafanana na mwamposa
@nickylyanga2139
@nickylyanga2139 Күн бұрын
ajifunze kufanya tour kama ya produce Michael
@nickylyanga2139
@nickylyanga2139 Күн бұрын
camera man .. ovyo zaid ya sana
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 2 күн бұрын
Mashaallah hongera sana yaaan unanipa moyo sana wa kupambana jamn nami inshallah one day nitajenga inshallah
@flackomasterbaddest4155
@flackomasterbaddest4155 Күн бұрын
Pambana. Kitandani na Tajiri msitumie kinga
@user-ox2du9nz5o
@user-ox2du9nz5o Күн бұрын
@@flackomasterbaddest4155😂
@candiesalm8995
@candiesalm8995 Күн бұрын
Na mimi nikifika miaka 30 ntawaita show bizz waje wafanye kipindi kwenye nyumba yangu 😂😂ya ndoto zangu wacha sahv nkatafute kazi kwanza
@user-gi5ut4fw4b
@user-gi5ut4fw4b 2 күн бұрын
Hongera boss wangu🎉
@KOKOCROTCHETS
@KOKOCROTCHETS Күн бұрын
Jumba zuri kuliko la mwijaku
@nancyfantasia1945
@nancyfantasia1945 Күн бұрын
Ya mwijaku tuliambiwa ni ghorofa modo😂😂😂
@blessingcharles-lc1rr
@blessingcharles-lc1rr 2 күн бұрын
Hongera dada ake kupambana hakujawahi kumuacha mtu
@hildajoel5
@hildajoel5 2 күн бұрын
Spa 1 nyumba ya billion kadhaa🤔 mwenzetu biashara yake ina faida 😂
@shejamy06
@shejamy06 Күн бұрын
😅😅😅😅😅
@tunajaribu
@tunajaribu Күн бұрын
😂😂😂😂
@SmilingElectricGuitar-wz3ij
@SmilingElectricGuitar-wz3ij Күн бұрын
Mwamposa anamsapoti sana
@ilagusalim2675
@ilagusalim2675 2 күн бұрын
Ila salehe umekuwa mshika gauni 😂😂😂😂
@gracepatric4371
@gracepatric4371 16 сағат бұрын
Camera man but. Y pamoja na kuambiwa waonyeshe lakini wapiii 😢😢
@NoraNora-gv7md
@NoraNora-gv7md 2 күн бұрын
Na Imani katika kupambana kwangu nitapana amin
@dottohami
@dottohami 2 күн бұрын
Hongera sana dada❤
@user-xc1vv5ut3l
@user-xc1vv5ut3l 2 күн бұрын
Nakupendaga bure
@gracepatric4371
@gracepatric4371 7 сағат бұрын
Salehe anamleta kate ajichanganye kusema mwamposa kate anachomoa kinamna😂😂😂😂
@salamamohamed843
@salamamohamed843 22 сағат бұрын
Hilo shela angelivua akabaki na kigauni simple tuu
@PaulinaRaymond-f6s
@PaulinaRaymond-f6s 2 күн бұрын
Hongera sana mdada!!!Mwanamke na nusu ,hongeraaa sana 28:03
@salhaomar5382
@salhaomar5382 2 күн бұрын
Hongera mdogo wangu umejitahd san❤❤❤❤
@msowamhokole7714
@msowamhokole7714 19 сағат бұрын
Ivi nyie billion uwaga mnaijua ama mnasema tuu msikatishe watu tamaa kujenga gorofa
@user-ji1bc5ti8r
@user-ji1bc5ti8r 2 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 salehe anavyopambana kubeba gauni sasaaaaa mi hoiii
@khadijauledi3293
@khadijauledi3293 2 күн бұрын
HUYU NDO MWANAMKE NANGAI, WEWE KACHUKUE MIKOPO UKAWAFURAHISHE WENZIO BAR AU KUWAFANYIA SHUGULI MASHENESTI WENZIO UKIANZA KUDAIWA WANAKUCHEKA
@RayyanRayyan-rt9cg
@RayyanRayyan-rt9cg Күн бұрын
Na itoshekusema usitamani maisha ya watu jmni jikune mkono wako unapofikia
@fettymilly7664
@fettymilly7664 Күн бұрын
😂😂😂😂😂 salehe bwana etiiii hayo hayoo yanajifungaa
@FreeGod368
@FreeGod368 2 күн бұрын
Rich but charming🎉
@GraceSwella
@GraceSwella 2 күн бұрын
Congratulations mama zuu❤
@kemmymartine4884
@kemmymartine4884 2 күн бұрын
Congrats dr❤
@ismailelias3554
@ismailelias3554 5 сағат бұрын
Iviii jaman biii mnaijuwa kwelii
@deadcrush
@deadcrush 2 күн бұрын
Lovely…..
@user-qs7lj7kj1k
@user-qs7lj7kj1k 2 күн бұрын
Saleh nimwanaume ao mwanamuke mbona anava hereni ao anajisia 2
@user-tk5yy6vj3b
@user-tk5yy6vj3b Күн бұрын
Unanitia moyo sana tu me najenga lakini bado cjamaliza
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 2 күн бұрын
Sikamatik anasema ye ndo a na hela she aone uku😂😂
@sharifabahar9905
@sharifabahar9905 2 күн бұрын
Ongera mkisema anajiuza kuna watu wanajiuza lakini awana atapakulala kwaio ongera kwa kujenga kikubwa kujuwa thamani ya pesa
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b 2 күн бұрын
Umeona eeee kajipata sana
@alindarwelamira1329
@alindarwelamira1329 19 сағат бұрын
🔥🔥🔥
@munirahassan5013
@munirahassan5013 2 күн бұрын
Zuri Mwamposa
@user-tt1nm9xs4n
@user-tt1nm9xs4n 14 сағат бұрын
Sura mwamposa kabisa hio
@winfridahubert4072
@winfridahubert4072 2 күн бұрын
Camera man unazingua
@jumachillo
@jumachillo Күн бұрын
Nyumba kali sana
@nathalieswedy3653
@nathalieswedy3653 Күн бұрын
Hongera ila apo kwenye bint mdogo big no we ni age go
@bonvivant3704
@bonvivant3704 13 сағат бұрын
Actually ni binti mdogo, unless lifespan ingekua 45
@rehemavickie6521
@rehemavickie6521 7 сағат бұрын
Uko sahihi​@@bonvivant3704
@mylovejosecharles4362
@mylovejosecharles4362 2 күн бұрын
sema tu ukweli kuwa una mubaba😂
@munirahassan5013
@munirahassan5013 2 күн бұрын
Kazaa na nabii wenu mwa.......sa
@JacklineMakule-id8hn
@JacklineMakule-id8hn 2 күн бұрын
Kaz ya mwa..... Hiooo sadaq....... 🙈🙈 Hizo taa n hio bei y nyumba huwez sema sadaqa zetu ndo zimetumika apoo
@SmilingElectricGuitar-wz3ij
@SmilingElectricGuitar-wz3ij Күн бұрын
😂😂😂😂😂 lweli
@mwanonomohamed4688
@mwanonomohamed4688 Күн бұрын
Nack mke wa Boniface Mwamposa analia leo😢
@aminamndolwa4150
@aminamndolwa4150 2 күн бұрын
Wa kwanza Leo
@nanajoseph2356
@nanajoseph2356 Күн бұрын
Miaka 30 ana ghorofa me 25 hata kiwanja sna 😭
@Gratefulheart3188
@Gratefulheart3188 Күн бұрын
Utapata wala usikate tamaa mdogo wang,
@nancyfantasia1945
@nancyfantasia1945 Күн бұрын
Wakat wa Mungu ni wakat sahihi usikate tamaa alafu huwez jua wenzetu wanapita njia gan
@ree6082
@ree6082 2 күн бұрын
Duh i wenzetu wanatoaga wap hela jamani
@JacklineMakule-id8hn
@JacklineMakule-id8hn 2 күн бұрын
Mchepuko.wa baba yetuu wa Kiroho🤭
@givenessdavid3743
@givenessdavid3743 2 күн бұрын
Angalau hata ana ghorofa wengine vitumbua vinajazwa mafuta ya Salama
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o 2 күн бұрын
😂😂😂😂 eeeeeee makubwa
@latifahkarim9774
@latifahkarim9774 2 күн бұрын
Et nataka kuona nyumba nisishike heee salehe umbea da muni
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o 2 күн бұрын
Nakwambia kafanya kungangania gauni
@asiansky9767
@asiansky9767 2 күн бұрын
48:25
@user-dn7gn6ib4k
@user-dn7gn6ib4k Күн бұрын
But you looks so old how comes you say you're 30yeras old😂😂😂😂😂
@user-wg3it8uu5c
@user-wg3it8uu5c 2 күн бұрын
19:53 19:54 19:55
@user-eh5mw8fn8q
@user-eh5mw8fn8q 2 күн бұрын
Napenda hizo sofa set nice umenunua wapi pls
@user-eh5mw8fn8q
@user-eh5mw8fn8q 2 күн бұрын
I like white house
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o 2 күн бұрын
Amesema kaliakoo au hujaskia
@novabae95
@novabae95 2 күн бұрын
Hongera unasura nzuri unaonaka ni mtu mwny roho nzuri….Mungu akubariki Inshallah♥️
@mwanonomohamed4688
@mwanonomohamed4688 Күн бұрын
❤❤❤❤
@Joliegal834
@Joliegal834 Күн бұрын
Uyu ndo kazaa na mwamposa
@MainaSlimbaby
@MainaSlimbaby 2 күн бұрын
❤❤❤
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 күн бұрын
Duh😢maisha aya
@LeylatHemed-bb9di
@LeylatHemed-bb9di 2 күн бұрын
Sale kimemlamba leo kushikilia gauni😅😂
@user-ly6xz5zf7n
@user-ly6xz5zf7n Күн бұрын
ila cjui kwanini uki ikataa mimba mtoto anatoka copy yako,mtoto ni mwamposa mtupu hai hitaji D3
@user-eh5mw8fn8q
@user-eh5mw8fn8q 2 күн бұрын
I like white house
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o 2 күн бұрын
Jenga uone
@munirahassan5013
@munirahassan5013 2 күн бұрын
Mtoto kazaa na Buldoza
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o 2 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@munirahassan5013
@munirahassan5013 Күн бұрын
@@user-sv6zy3hc8o wajipongeze watoa sadaka
@user-pr4hb2yc9j
@user-pr4hb2yc9j 2 күн бұрын
Mange typing
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 2 күн бұрын
Msiache kuchukua mikopo msiache kufanya michezo, nyoo shukuru ulipofika hii dunia ina mengi
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o 2 күн бұрын
Eti mikopo elimu darasa la saba nyoo mchezo wafanyazi wa selikali wenyew nyumba zinapigwa mlada
@estherminnahboaz6956
@estherminnahboaz6956 Күн бұрын
Malaya tu huyu mfanya masaji mwanzo sikuelewa mchezo kumbe ndio huyu mchawi karoga wee atudanganye elimu haina maana mfyuuu😂😂😂
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 күн бұрын
Ninani mi simfaham 😢
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o 2 күн бұрын
😂😂😂😂 amekanyaga mafuta
@wamburamuhabi6034
@wamburamuhabi6034 2 күн бұрын
Mzazi mwenzio na mwamposa
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 2 күн бұрын
Kheee naona watu mnaandika sana mwamposa mwee amefanyaje baba mtumishi 😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻 Sema haloloyaaaaa 😂😂😂
@mwanonomohamed4688
@mwanonomohamed4688 Күн бұрын
Ndio kampa hela ya kujenga kazaa nae mtoto anaitwa Zuri. Na ni mdangaji mjini
@latifahkarim9774
@latifahkarim9774 2 күн бұрын
Mamb kwa ushahid salehe mbavu cna
@zenasalum2231
@zenasalum2231 2 күн бұрын
Mi mgeni simjui huyu dada aukwa vile mi sio mbea mbea
@atislady3400
@atislady3400 2 күн бұрын
Mwamposa alivovuta pisi nyingine kilimtesa ndio kajitoa ivo
@Zainab_salat
@Zainab_salat 2 күн бұрын
Nyumba ni yake? Au kupanga
@esterMahenge
@esterMahenge Күн бұрын
Yake kbs
@esterMahenge
@esterMahenge Күн бұрын
Yake kbs
@JacklineMakule-id8hn
@JacklineMakule-id8hn 2 күн бұрын
Jmn tumemuon zuri aisee pua hazidanganyii,komwe lipo jmn mbeya moja hiyoooo kubali kataaas husingizia wal nn kubali uliteleza tu kitanda hakizai haramu
@Sonia_abass
@Sonia_abass 2 күн бұрын
😂😂😂
@zenasalum2231
@zenasalum2231 2 күн бұрын
Inhi inhi inhiiiiiiiiii
@estherminnahboaz6956
@estherminnahboaz6956 Күн бұрын
Hapo Sasa nishajua aliemjengeaa😂😂😂😂😂😂
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 7
28:22
ZamaradiTV
Рет қаралды 7 М.
HII NDIO SABABU YA SHILOLE KUMUACHA ROMY
5:03
MASI MEDIA
Рет қаралды 957
MZUNGU ALINIGEUKA TUKIWA NJIANI KWENDA KUMTAMBULISHA KWA WAZAZI NA KUNIFUKUZA
57:11
Official Dating Assistance
Рет қаралды 71 М.
Ay Masta Feat. Marioo - Yule Remix (Official Music Video)
3:14
KOMBOLELA S01 EP03 of 01
13:49
MAJA LINK TV
Рет қаралды 128 М.
PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30
31:59
小丑女太帅了 #小丑#shorts  #天使
0:46
好人小丑
Рет қаралды 8 МЛН
Love Challenge With Mellstroy And Mrbeast
0:19
BigSchool
Рет қаралды 8 МЛН
ДЕДУШКА ВЫ ГДЕ? 🤣🤣
0:59
РЕАЛЬНЫЙ ВОВАН
Рет қаралды 2,9 МЛН
Это что за ?
0:27
ЛогикЛаб
Рет қаралды 1,6 МЛН
Papa yeh dila do ajse mein aapki behen 😢😊 #shorts
0:30
Sikha shorts and vlogs
Рет қаралды 135 МЛН