Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 242
@anathjuma68139 ай бұрын
Waarab na wazanzibar hawajivungi,free soul...wachngamfu...Yani wakikuzoea wanaupendo sana...Ma Sha Allah
@nakundwamkubwe782310 ай бұрын
Mash Allah nimependa unavyo fanya ibada. Allah aendelee kukuongoza ktk imani..
@africa747910 ай бұрын
mashallah, una moyo mzuri..sasa jitahidi kuongeza stara...Allah atakusimamia zaidi mama angu kipenzi
@tanzcanmediatv447310 ай бұрын
Ipi nyingin
@africa747910 ай бұрын
@@tanzcanmediatv4473 kama wewe ni muisilamu basi huna haja ya kuuliza . ..kama sio muulize jiran yako mwisilam atakueleza.
@sinyooo658310 ай бұрын
@@tanzcanmediatv4473kichwa waz
@awatifsaleh745010 ай бұрын
@@tanzcanmediatv4473afunike nywele
@judithkayombo1803Ай бұрын
Nyumba nzuri pia msafi sana
@أمطارقالبحرية10 ай бұрын
Dadaangu mwanamke wa kiislam hatakiwi aoneshe mapambo yake na uzuri wake ila kwa Mahaarim zake na mumewe Jitahid ujiongeze stara na nywele zako zisionekane Nakupenda kwa ajili.ya Allah
@arafakiloli74910 ай бұрын
ALLAH akujaze kheri zaidi
@azizaaziza799610 ай бұрын
Assalaam allaykum warahmatullah naomba namba ya huyu.mama
@JanethMadios-oe5ue10 ай бұрын
Kwendraaaaaaa bwana weweeee ndo nyinyi mnajifanya wakamilifu sana toka uko
@rahmasuleiman933410 ай бұрын
Jamani mwanamke usafi shoga angu nyumba yang’ara na mama love wang’ara nimependa sana nyumba yako na usafi wako ❤❤❤❤❤❤❤
@nadyasalim795610 ай бұрын
kweli kwake kuzuri sanaa mashallah kusafiii
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Yani nimepapenda napendaga nyumba iwe nzur na Safi nilikuwa napenda kusafisha nyumba paka wananitania site
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Kawa mama paka ata usiku anaweka nyumba vizur vyombo anaosha
@ethanevans297110 ай бұрын
Hongera mama ..kwakweli nimefurahia hii mada na mama yupo vizuri katika presentation na pia kimalezi...huu ndio ukweli...mafunzo kwa vitendo.asante mama endelea hivyohivyo na mafanikio utayaona ....
@FarhatSeif-p3t10 ай бұрын
Usioneshe sana mazingira ya nyumbani kwako. Husda na pia wezi. Chumba chako cha kulala na mumeo ni mwiko.kuonesha hadharani
@aminaomary55678 ай бұрын
Ongera sana mpenzi wangu,nyumba yako nzuri sana.❤❤👍👍👍
@fatmakhanii167610 ай бұрын
Mashallah ila huyo muandishi wa habari mpaka chumbani na una mume hiyo ni sehem ya faragha na kila siku unafundisha leo unamuingiza chumbani mgeni wa kiume tena
@annievibes879410 ай бұрын
Huyo kaletwa special aje aone na atuonyeshe umbea😂
@FarhatWu-i3q10 ай бұрын
Kwel hakupaswa aoneshe chumba Cha mumewe sio vzr
@magrethmagonza18610 ай бұрын
Ni kweli nimependa japonica nipo mbali I can't imagine ukiingia humor ndani hongera shost❤
@AminaAhmed99910 ай бұрын
maa shaa Allah nyumba safii
@Lulualshagri10 ай бұрын
Hiyo imeenda mama lao mashaallah nyumba yang'ara km wewe mwenyewe
@faridapandu757910 ай бұрын
❤❤❤ usafi muhim kweli mama
@FatmaSaidsalim10 ай бұрын
Mama weeee hutaki mkaza mwana wa kenya😂😂😂😂😂😂😂Masha Allah Masha Allah nimekupenda sanaa
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Haha ATA mimi nilikuwa nasema nimempenda yupo mcheshi kwel
@aminaomary55678 ай бұрын
Kweli mpenzi wangu watoto wa kiume ni shughuli yaan,unasema wewe hadi unataka kulia.Mwisho unaingia mwenyewe kufanya usafi👍👍❤
@abdulsimbarakiye41459 ай бұрын
Mama hongera sana wewe ni mzungu kichwani unaichi kama mzungu alhamdulillah. Pia wewe mama ni mtu wadini sana maisha Allah god bless you
@elenlazaro31929 ай бұрын
Huyo lastborn anapendwa sana😂😂😂 imagine at my 20 siko home😅😅😅😅
@SelemanMuhamed-ir5zl10 ай бұрын
Daaa adi raha Usafi wa maana nimependa❤❤❤❤❤❤
@HalemaHhhh8 ай бұрын
Nakupenda sana mamangu❤i wish ningekua karibu nawe
@cdeleo933610 ай бұрын
Mama msafi sana 👌🏽👌🏽
@Lexerjoh10 ай бұрын
huyu kweli ni mwanamke kakupa na chai mashallah
@nadyasalim795610 ай бұрын
mashallah ❤
@AsmaSalim-rx4fb10 ай бұрын
Haya Leo wa mwanza na mimi naombeni like zang
@SalmaIddy-n5j10 ай бұрын
Wa kwanza au wa mwanza 😀
@nahlahassan-fd6le10 ай бұрын
@@SalmaIddy-n5j😂😂😂😂
@nadyasalim795610 ай бұрын
nimekupa habibi ❤
@SuleimanKhdija10 ай бұрын
@@SalmaIddy-n5j wa mwaka😁
@ShekhahamedMuhsin10 ай бұрын
Masha allah. Mama love. Nimekupenda Sanaa
@faidhacute10 ай бұрын
Tuletee didaaa shaibu tufahamu mambo yake pia maana anatuinspire
@zuwenakabwe101710 ай бұрын
Tuko pamoja
@maryrich10 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@najathtemo390810 ай бұрын
Hatokubali yule mashauzi mengi😂😂😂😂
@نجمةموبيبي10 ай бұрын
Mashaallah , msafi sana
@Fear_Allah39410 ай бұрын
Maa shaa Allah hio nguo ya manjano mbivu nzuri sana
@officialbntrasool522310 ай бұрын
Nikishapata mume ntamfata huyu awe kungwi 😂😊
@nahlahassan-fd6le10 ай бұрын
Tena usje ukasahau ana mambo mazuri huyu utakuja kuenjoy kweny ndoa Yako sina vyakukueleza dear👌👌
@fatimamohammed233210 ай бұрын
maashallah tabaraka Allah mama msafi sana
@MwanaishaShattry10 ай бұрын
Usitaje majina ya watua uliowafunda. Sema tu nasinga wanawake na wanaume tunakuelewa. Nakupenda ni mwanamke unayejiamini
@fatmabby001710 ай бұрын
Mashaallah ❤
@lilianmkumbi6770Ай бұрын
MaashaAllah ❤
@aishaamwalimu288710 ай бұрын
Nimependa Hivyo Viti Mie Nataka Aniuzie🙏
@utaani110 ай бұрын
Agizia dining table ya viti 6 zile refu UK, mimi nimenunua mbili moja kwa £600
@glorianikiza394010 ай бұрын
Kwake pa safi kabisa
@IreneHatibu2 ай бұрын
Mama mzuri na ajipenda mashallah
@Saripa234-u7g4 ай бұрын
Mashahallah mama etu mpendwa ❤❤❤❤
@zezenuvel761210 ай бұрын
Mamalove kungwi nimekupenda bure ❤❤❤❤
@nicolenabintu250910 ай бұрын
Mama msafi sana , Akili zake zenyewe nyingi , Asante mama mrembo nime shukuwa jina la parfum 😂🌷
Mhh huyu mama kweli kungwi anajua mwanamke mazingira bibi wee ona kabla ajahojiwa amekula ndizi ili ata kama kunakaharufu mdomoni kaishe nimempenda bure ❤❤❤❤❤
@Fatima-v9k6f25 күн бұрын
Mashaallah
@lilianmkumbi67702 ай бұрын
MaashaAllah
@RoverRoom8 ай бұрын
Njoo Interview Kenya uje uone mama kungwi Bado sana yani Bado nguo Hapa 4,000$ tena nguo kaa 10
@nasraabdul687810 ай бұрын
Napenda anavyoongea Uyu mama❤
@OnlyRuky10 ай бұрын
Mashaalah ❤
@ninaken71098 ай бұрын
Beautiful house tour...
@meowzna10 ай бұрын
Super MaMa😍 Masha'Allah🙏
@islam.with_juneyd10 ай бұрын
Allah atuhifadhi sote atuongoze katika njia ya haqi
@zulfayusra874710 ай бұрын
Uyu mama kwake simple bt smart sana nmependa sana kwake vle amekueka
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Ndio ata Mimi nilitaka sema yupo simple Yani yupo Kama Mimi nyumban napendaga kuwe Safi nilikuwa nasafisha paka wananitania site
@jamilamnetya622810 ай бұрын
Nampenda sanaa uyu mama
@nahlahassan-fd6le10 ай бұрын
❤❤❤
@SululuZungu-kx8ws9 ай бұрын
Sema mwanangu salehe mmbea xn na mfukunyuku xn siku uje kwangu ufukunyue ukute nyoka uone vitu
@Ismail-kp7dx4 ай бұрын
Mama hongera
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Ndio viti hivyo vimeingia navipendaga na hiyo milamgo naipendaga sana
@Saripa234-u7g4 ай бұрын
Mama Love ❤️ kungwi ❤❤❤😂😂😂
@HeriethHaule-ct9gx8 ай бұрын
Hata ongea yake inaonekana tu anaupendo
@halimadunia64323 күн бұрын
Salam sana mama love 🤗🤗❤❤
@FatimaAli-of4gh10 ай бұрын
Hata mimi napenda mume tuwe mbali mbali aje akiondoka
@mariamdullazy816610 ай бұрын
Mmh sasa muda mwingine ukimuhitaj inakuwaje mi ndo najiuliza hapo inakuwaje
@FatimaAli-of4gh10 ай бұрын
@@mariamdullazy8166 Hee shoga angu ukishasema nayo roho yako kuwa wew mutakutana baada ya siku kadhaa fine tu
@ukhtyrayyan788410 ай бұрын
Hats mie napenda nando nipo hivo😅
@mariammnongo214910 ай бұрын
Hupend kufanya yale mambo yetu sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@FatimaAli-of4gh10 ай бұрын
@@mariammnongo2149 Hahahaaaa ndo kila siku? Si mukikutana ndio vitu vinanoga zaidi
@kekiplus1andonly10 ай бұрын
Okay 🎉
@kamikazisalma520910 ай бұрын
Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@sidikassim675910 ай бұрын
Siivyo mmangu unapndza kdgo kuliko kuvaa mikope ile na mboni wla hupendzi mma sio Siri lakni hvyo umpendza Mashala mmangu
@SaidatIbrahim-l7o10 ай бұрын
Mama kungwi hongera yako 😂😂chukua 🎉🎉yko
@SharifaOm10 ай бұрын
Mm nampenda sana huyu mama
@minafadhil383710 ай бұрын
Mamaa msafi huyu
@faidhacute10 ай бұрын
Kuna watu wanaishi na kuna wasindikizaje 😂😂
@fettyrashid904210 ай бұрын
😂😂😂😂 Faidha
@munaashyahya105910 ай бұрын
Banae😂😂😂😂
@mawlodafarida2 ай бұрын
Mmi nakupnda❤❤❤❤❤
@Saripa234-u7g4 ай бұрын
Mama niambie Uwo Ubani maalum niujue
@nuruyusuph556210 ай бұрын
Mashallah msafi
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Tuko wengi anapenda kukaa nyumban kama mim
@SaidatIbrahim-l7o10 ай бұрын
Mama kungwi umezidi chumba cha mke na mume n stara hata hao wifi zko hawatakiwi kuingia ila we mpk mitandaon hujafny vzr
@sikudhanimohammad769210 ай бұрын
Ametuonesha ili tujifunze.
@FarhatSeif-p3t10 ай бұрын
Hongera mjukuu wangu nakupenda sana. ❤
@ashamavunde391310 ай бұрын
kwake pako vizuri na usafi anaujua
@sinyooo658310 ай бұрын
Duu mama msafi huyu nitamuiga na mimi
@skymoontravel71408 ай бұрын
Usafi ni mtu kuzaliwa nayo unaweza kuiga ukaishiwa njiani😅
@sinyooo65838 ай бұрын
😂Apana bn
@MaryamAmour-k7m8 ай бұрын
Upo daa jmn huku zenj nakuhitaji
@MaryamAmour-k7m8 ай бұрын
Mii mbint wa zenj
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Viti vizur na neza napendaga iyo ya mbele ya tv.makochi nayaonaga kwa wanapouza masofa kumbe sebulen yanapendeza ivyo
@MissRafikieli3 ай бұрын
Dola $9.99 sio dola 66.6$. No such thing. Kwahi ni around 26,153.67 TZ shillings.
@mombasa00769 ай бұрын
Ni upotezaji wa mda tu
@subrynerysegerow132310 ай бұрын
Kungwi na mc nimeshapata bado mume sasa🤗
@maisalashea753210 ай бұрын
Hahahw😅😅
@munaashyahya105910 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@sarahsamson2610 ай бұрын
Hahahahaa
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Mimi mwenyewe nikiongeaga wananiambiaga inatakuwa ungekuwa MC
@HaiyamFatawi9 ай бұрын
Haya namm naomba link
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Mama naye hivyp hivyo wanawe ndio marafiki zake
@JescaMuyabi-ix8ly10 ай бұрын
Hongera
@gloriakoku276610 ай бұрын
Napenda sana usafi… Hongera mama kwa usafi
@w405810 ай бұрын
Mwanamke hufai kumsinga wanaume
@marthahozza296410 ай бұрын
😀😀 mh jmni binadamu
@agathachughu10 ай бұрын
Mbona wachoyo ule kaketi kule mbona hamuna Karibu 😮😮😮😮😮😮😮
@w405810 ай бұрын
User uko right kabisa
@naturelle109710 ай бұрын
Maua mazurii
@SophiJeilan-vq5cp10 ай бұрын
Swala inakataza maovu jistiri nyelezako na mwiliwako dada
@fatmakhanii167610 ай бұрын
Mmbona kama mmegeuza kwenye bei hongera wifi yetu tunakusubiri kwa ham
@Kijijihomestead9 ай бұрын
Kamara mam hafai.....anatupa kizunguzungu.....tuliza kamera....kaa
@Boaz2210 ай бұрын
Jamani natafuta nyumba kama hii ila nataka iwe ni chumba kimoja master na vingine vyote viwe hivi hivi, kama kuna dalali naomba jibu comment yangu tuchekiane ata kesho nakuja kulipia kodi
@nasramduli509710 ай бұрын
Love u mama
@AngelAfric7 ай бұрын
😂 kipafyum kimoja tu Kama dawa
@fauzhaji71499 ай бұрын
It's 9.99 not 66..
@edyboyChamilion2 ай бұрын
KUNGWI SALAMU ZIMFIKIE NDOA YAKE IMEMSHINDA KAACHIKA NDIO KWANZAA ANA MIEZI 6 KWENYE NDOA HALAFU NI MM MM MAMA ETY YEYE MWENYEWE ANATAKA KUFUNDWA MPOO😂😂😂