ANAPOISHI CRISS MZIWANDA SEBULENI KWAKWE KUNA MOTO/AOENESHA BAR KUBWA ANAYOMILIKI

  Рет қаралды 150,884

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Күн бұрын

Пікірлер: 180
@hawakindamba6519
@hawakindamba6519 10 ай бұрын
Yan huyu kaka kama umjui unaweza kusema analinga sema nimemuona live kwenye msiba wa rafiki yake alifiwa na mama ake ni mtu poah sana❤
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 10 ай бұрын
Great interview.. Chriss ana utulivu sana kwenye maelezo yako. Smart!!!
@theopistamwayeya1764
@theopistamwayeya1764 10 ай бұрын
Huyu kaka msafi, kila kitu utafikir ni vipya kabisaa, hongera.
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 10 ай бұрын
Nimechunguza sana wandishi wa habari mukienda majumbani nyie ndio munajilia camera man anakula kwa macho kwa nini humwambii aweke chini nae ale au anywe😂😂❤❤❤❤❤❤
@Nadhifasaid-1654
@Nadhifasaid-1654 10 ай бұрын
😂😂😂 wewe kumbe unawaza kama mimi
@annaedwardrobert6778
@annaedwardrobert6778 10 ай бұрын
Mnajuaje km hawali
@marrypius576
@marrypius576 10 ай бұрын
Anakula baada ya show jmn sas akiweka camera chini wew utaonaje sasa 😂😂😂
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 10 ай бұрын
Sheria no moja camera man hula baada ya kazi
@hawasaid7151
@hawasaid7151 10 ай бұрын
Anakula baada ya show kuisha hawawez kustop kuacha ku record
@uwimanacitegetse9926
@uwimanacitegetse9926 10 ай бұрын
Mufananowake ndivyoalivyo hatanyumbanikwake nimusafi❤❤❤ tofauti nawengine he’s so handsome❤
@lil_billy909
@lil_billy909 10 ай бұрын
Camera 📷 man anajua zamaradi mwongeze mshahala
@florahbenedict
@florahbenedict 9 ай бұрын
Huyu ni mwanaume! Mwanaume narudia tena, kupima akili ya mtu ni pamoja na unayojieleza! Nimependa sana! Imetulia sana!
@giztony2009
@giztony2009 10 ай бұрын
This dude is very humble and cool
@HoneysugarPudding
@HoneysugarPudding 10 ай бұрын
Huyu kaka ukimuona live mzuri zaidi anarangi flan ya rangi mbichi nilimuona kwenye pub yake yeye na rafiki yake Rammy❤
@bahatirngulika4493
@bahatirngulika4493 10 ай бұрын
Ht mi nlimuona kazimoto tabata ana rangi amazing sn
@HoneysugarPudding
@HoneysugarPudding 10 ай бұрын
@@bahatirngulika4493 kabisa yaani rangi ya asali mbichi halafu hata haringi yuko poa sana
@bainolatino3412
@bainolatino3412 9 ай бұрын
Mtangazaji mwenyewe amevutiwa na maisha ya mjamaa
@jackycharles6419
@jackycharles6419 10 ай бұрын
Smart sana humble saf kaka
@LawyerKalikumbi
@LawyerKalikumbi 2 ай бұрын
Good job Saleh classic
@JanethMadios-oe5ue
@JanethMadios-oe5ue 10 ай бұрын
Mmmh yaani wasaniii anajifanya ka ma alikuwa hana taarifa ya ugeni😅😅😅😅😅😅
@bennamush4616
@bennamush4616 10 ай бұрын
😂😂😂 wanajifanyaga hawana taarifa Ila wanakuwa nazo kabisa wasituone watoto
@gracepatric4371
@gracepatric4371 10 ай бұрын
Na pale getini mwanzo mtu alikuwa standby kabisa miguu imeonekana
@pendokimesu
@pendokimesu 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@FredrickMatiku-xf2uk
@FredrickMatiku-xf2uk 2 ай бұрын
Daaaah jux african boy katupwa chooni kama paziaaaa
@TALLUBOY
@TALLUBOY 9 ай бұрын
Bi gapu mzee Chris Wauni tunapika muelewe Wadada na siyo tunashindwa Kuwa na nyinyi hapana Ni wasumbufu sana
@abisinaramadhani1460
@abisinaramadhani1460 10 ай бұрын
Kwan huyu salimu yeye tatembelewa kwake lini
@bainolatino3412
@bainolatino3412 9 ай бұрын
Mchizi kafanana na 2pac sana jamani au naiona mimi tuu hii
@stellaemmanuel5526
@stellaemmanuel5526 10 ай бұрын
Siku tunasubiri tuone kwako ndugu mtangazaji 😄
@safiaimran6455
@safiaimran6455 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@tabithadaniel7364
@tabithadaniel7364 10 ай бұрын
Wix na serum juu safi sana mziwanda
@JanethMathias
@JanethMathias 10 ай бұрын
Sema mwana aongezag sana masifuri
@bennamush4616
@bennamush4616 10 ай бұрын
Mkaka yupo smart sana usafi mwingi so yule kichaa aliekuwa katuvalia boxa kwenye interview hana adabu kabisa
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 10 ай бұрын
Yupi alivaa boxa
@dady_media5899
@dady_media5899 9 ай бұрын
Hii show bizz ni Kali Kinomaaaa ✌️
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 10 ай бұрын
Kiukweli hajisifu wala nini hongera sana kaka mziwanda
@Tiffany340
@Tiffany340 10 ай бұрын
Inawekana ndo kafungiwa chumbani pale 😂😂😂 we linnah weee
@FredrickMatiku-xf2uk
@FredrickMatiku-xf2uk 2 ай бұрын
Eti na ubrotherman alishawahii kukabaaaa mmmh
@beatricemshiu2816
@beatricemshiu2816 10 ай бұрын
Mnaosifia usafi, ni kwamba mnasahau kuwa hao hupewa taarifa kabla hivyo wanajiandaaga kabisa
@ramlabaruani4202
@ramlabaruani4202 10 ай бұрын
Hata kama msafi ni msafi tu
@beatricemshiu2816
@beatricemshiu2816 10 ай бұрын
@@ramlabaruani4202 uzuri hamna aliesema ni mchafu
@pascalinajames9117
@pascalinajames9117 10 ай бұрын
We ukiambiwa salehe anakuja kwako kutakua kusafi hvyo ukijiandaa..acha wivu omba Mungu akupe roho nzuri😏
@beatricemshiu2816
@beatricemshiu2816 10 ай бұрын
@@pascalinajames9117 labda kwako sho🤔
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 10 ай бұрын
@@pascalinajames9117 waja mnafurahisha nadhan ataenda kwa jiran kuazima mpk fagio kuna wale watu akivua nguo hizo hizo anatumia kufagilia ndan😂😂😂😂😂😂
@happnesskatandula4189
@happnesskatandula4189 10 ай бұрын
Ilove the story hauna masifuli kk muonekano wako na story yako mwingine angeanza misifa
@MayarashidiMayarashidi
@MayarashidiMayarashidi Ай бұрын
Mashaailah
@edinalihedule7609
@edinalihedule7609 10 ай бұрын
Kalumbu🙏🙏wagogo yetu nyama😋
@lightnessabdallah2340
@lightnessabdallah2340 10 ай бұрын
Jmn mk waandishi wa habari wanavaa helen 😢😢😢😢
@monicachondo6784
@monicachondo6784 10 ай бұрын
Kwa mwandishi wa habari za burudan kama Mziki, it’s allowed and normal too May angekua anatangaza taarifa za habari angevaa official bila bling bling zozote
@skyscapeinternational9658
@skyscapeinternational9658 10 ай бұрын
chriss mnyama sanaa ni icon
@FrankSanga-z6y
@FrankSanga-z6y 10 ай бұрын
Uuuuh this life amaizing
@KhadijaAlly-r3p
@KhadijaAlly-r3p 10 ай бұрын
nakupenda mziwanda❤❤❤❤
@RoseKesi-zj4yy
@RoseKesi-zj4yy 10 ай бұрын
Mwenyewe nilikuwa ni mkelewe maana anafanana na ex wangu
@Queenruuh
@Queenruuh 10 ай бұрын
Albert 😢😢😢anko chipe
@RoseKesi-zj4yy
@RoseKesi-zj4yy 10 ай бұрын
Nampendaga Sana huyu kaka❤❤
@HappyKasinde
@HappyKasinde 10 ай бұрын
Nakupenda sana
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 10 ай бұрын
Ni. Mgogo lkn ni. Msmart mno Mashallah 🎉🎉😂
@janeschurmanns7364
@janeschurmanns7364 10 ай бұрын
Kwani uliambiwa wagogo sio smart
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 9 ай бұрын
Chris ni, kijana ana jitambua
@jumalihumbo5314
@jumalihumbo5314 10 ай бұрын
Kuna mwanetu chuo alikua anamuelewa sn uy jamaa mpk kiparangoto akakipig ili t afanane n uy jamaa😂😂😂
@Atb300
@Atb300 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@sylivesterbulili6636
@sylivesterbulili6636 10 ай бұрын
Wow❤
@Devo_xoxo2
@Devo_xoxo2 10 ай бұрын
Chumban kwake kulikuwa na fezza akaona asichomoe betri
@carolinemahenge1674
@carolinemahenge1674 10 ай бұрын
Nampenda sana uyu kaka
@selinathindwa9754
@selinathindwa9754 10 ай бұрын
Ndani ni kunzuri, ni msafi kuzidi hadi baadhi ya wanawake
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 10 ай бұрын
Kabisa
@EmJesho
@EmJesho 10 ай бұрын
Sana
@nasraabdallah8566
@nasraabdallah8566 10 ай бұрын
Kamzidi mwene wa ndindi😂😂😂
@Japhee93
@Japhee93 6 ай бұрын
Tumieni na drone italeta muonekano poa wa video hasa from aerial angel
@Hadithizakusisimua
@Hadithizakusisimua 10 ай бұрын
We chris acha uongo eti ushawahi kukaba..Umemkaba nani😂
@patriciaboniface9975
@patriciaboniface9975 2 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@jamessitati7396
@jamessitati7396 10 ай бұрын
well organized guy
@kudoja_fish_shop9592
@kudoja_fish_shop9592 10 ай бұрын
Mbagala na temeke ndio makao makuu ya masela mavi tanzania
@silviambalwa8862
@silviambalwa8862 10 ай бұрын
Nampendaga uyu kaka mwee😢
@greeneraston6102
@greeneraston6102 8 ай бұрын
Yaan huyu Kaka lazima tuendane na mim coz I like sweet things like chocolate 🍫🍫🍫🍫 biscuits na zile cake's
@KhadijaAbdallah-kn3ii
@KhadijaAbdallah-kn3ii 10 ай бұрын
Huyu kaka namkubali sana
@selestinsongola2787
@selestinsongola2787 10 ай бұрын
Ebwana unyama mwanetu huyo Dom moja makao makuu
@mariyam9219
@mariyam9219 9 ай бұрын
Mahogany nyie ote mnavaa evening kama wanawake kawekeni kuma basi muwe mademoiselle kabisa
@anithakinemo
@anithakinemo 20 күн бұрын
Kapanga ila anamjengo pia
@rosesilio9008
@rosesilio9008 10 ай бұрын
Kaka msafi wewe kuna miwanaume wengine ni wachafu hatari ukiingia chumbani kwao uvundo wa viatu na soks mpaka utakimbia
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 10 ай бұрын
Dahh, umenusaje harufu ukajua hakuna uvundo?
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 10 ай бұрын
Kaka auna baya kabisa mzwanda
@AniphaMbeyu-ft9ue
@AniphaMbeyu-ft9ue 10 ай бұрын
Watoto wa temeke oyeeee
@RichAuntie-g6s
@RichAuntie-g6s 3 ай бұрын
Ni kwel tumeanza kukujua kwenye huba ndio akaja zuchu
@mwanamutemi
@mwanamutemi 6 ай бұрын
But in the ancient Middle East, the writers of the Hebrew Bible forbade tattooing. Per Leviticus 19:28, “You shall not make gashes in your flesh for the dead, or incise any marks on yourselves.” Historically, scholars have often understood this as a warning against pagan practices of mourning
@RachelBahahazo
@RachelBahahazo 2 ай бұрын
Lixuri Ili likaka alaf lisafi sana
@roserobert4951
@roserobert4951 10 ай бұрын
tumesoma wote nakukumbuka sana 😂
@newzon5300
@newzon5300 10 ай бұрын
WATAKUJA KUFILA UYU MSENGEE😅😅😅😅
@UpendoJames-m5r
@UpendoJames-m5r 10 ай бұрын
Umo ndani chumbn kwako Kuna fedha keys 😂😂
@TaarabChannel
@TaarabChannel 10 ай бұрын
Mpitie na kwangu jamani
@kimodonaa
@kimodonaa 10 ай бұрын
Uyu ni yule mme wa lolita au namfananisha
@HappyKasinde
@HappyKasinde 10 ай бұрын
Nakupenda sana
@Diamongproduct
@Diamongproduct 10 ай бұрын
Nice
@halimanassoro1762
@halimanassoro1762 10 ай бұрын
❤❤
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 10 ай бұрын
Kwetu huku United kingdom kuna baridi ndio limeanza😢😢
@slimshed55
@slimshed55 10 ай бұрын
Nicheki Basi nami niko huku nina zawadi yako
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 10 ай бұрын
@@slimshed55 Hiyo zawadi itume humu humu tuipokutana
@slimshed55
@slimshed55 10 ай бұрын
@@FatimaAli-of4gh Nipe basi namba ya whatsApp bwana Fatma🥰😊😁😁
@safiaimran6455
@safiaimran6455 9 ай бұрын
@@FatimaAli-of4gh😂😂😂😂😂 hutaki zawadi
@slimshed55
@slimshed55 9 ай бұрын
@@safiaimran6455 Hataki zawadi si bora niikupe wewe tu jamani hahaa 🤣 😂
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 10 ай бұрын
😂😂😂Saleh muhuni ww maswali yako dah
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 Ай бұрын
Jamaa wala aji sha ui uyu takua mchawi wewe manina wewe
@18nationmedia46
@18nationmedia46 10 ай бұрын
igizo liko poa
@mfaumejames7344
@mfaumejames7344 10 ай бұрын
Wa kwanza leo😅😅
@NoorainMasalu
@NoorainMasalu 7 ай бұрын
Temeke school na school bus wap na wap jmn mbn anatk kutuchap
@abassimussa7473
@abassimussa7473 10 ай бұрын
Swali ni mjengo ni wake ama amepanga ?
@mrambadiana9678
@mrambadiana9678 10 ай бұрын
Sasa utajenga kabla hujapitia kupanga acha wivu na ushamba
@paulalove1223
@paulalove1223 10 ай бұрын
Kwani mtu akipanga anakua hajakamilika Yani mtu hakosi chakukosoa kaona vyote kamkosa
@emmanuelmchomvu2676
@emmanuelmchomvu2676 10 ай бұрын
Ww umejenga au
@gracepatric4371
@gracepatric4371 10 ай бұрын
Ila salehe hahahahaha king'ang'anizi, hahahaha
@shmsazahir4021
@shmsazahir4021 10 ай бұрын
Babu maparaa umejitahidi msaf
@IbrahimMvanga-sk4gr
@IbrahimMvanga-sk4gr 10 ай бұрын
Kaka mcheshi huyu had raha
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 10 ай бұрын
🎉
@gracelwoga9891
@gracelwoga9891 10 ай бұрын
Ila anajishaua
@HalimaMohamed-em9zg
@HalimaMohamed-em9zg 10 ай бұрын
Sio kwer
@edwardfaraji1133
@edwardfaraji1133 10 ай бұрын
Gym sana mwanangu huyu...
@dianacharles8147
@dianacharles8147 10 ай бұрын
😂twende tukaone
@amanieliraha2505
@amanieliraha2505 10 ай бұрын
Wa sita
@cynthiapwani1383
@cynthiapwani1383 9 ай бұрын
Sio kapewa taarifa ndo akaweka usafi hapana huyu bro muonekano wake ni msafi halisi sio wa kukulupushwa kwa kweli kama mijanaume mingine loh usafi ni lazima sio kushikiwa bakora ni afya pia yani anavutia complete mpka unatamani uendlee kumsikiliza kwa kweli.😂
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official 10 ай бұрын
Nilishangaa huyu kijana kua gay na akina Haki duh wanaume wanapungua dar
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 10 ай бұрын
Duh jamaa shoga? Khaa
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 9 ай бұрын
Chuki itakuua wewe, punguza kupaniki
@yussbreezy918
@yussbreezy918 9 ай бұрын
​@@sir_ENOCKMACHAhakuna anayefahamu hilo
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 10 ай бұрын
Huyo dogo mtangazaji ana wenge kinoma.. inabidi umwache host wako ndio akutembeze kwenye nyumba yake. Sio wewe ndio unakuwa kimbelembele kama kwako
@dreamonline1997
@dreamonline1997 10 ай бұрын
Mashoga uwa wana viherehere
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 10 ай бұрын
Host wake yupi tena wakati yeye ndio host
@sarachawe8113
@sarachawe8113 10 ай бұрын
​@@sir_ENOCKMACHAatakua haelewi😂😂😂😂
@zalhathasaid2060
@zalhathasaid2060 10 ай бұрын
​@@sir_ENOCKMACHA😂😂😂kupatwa kwa host
@mukeshimanarose1334
@mukeshimanarose1334 10 ай бұрын
🧦
@mariamibrahim6738
@mariamibrahim6738 10 ай бұрын
Tz na drama zots izo akuna barabara nzuri mtaani km kwetu burundi tuna paves mitaa yote mjii unapendeza ila tz loooo pachafu
@dolphin4791
@dolphin4791 10 ай бұрын
Kuma ww
@charlesmtaita9664
@charlesmtaita9664 10 ай бұрын
​@@dolphin4791😂😂
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 10 ай бұрын
Burundi ipi unayoongelea tutasitisha misaada tunayowapa kila sehemu pumbavu
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 10 ай бұрын
Mungu akubariki kijana mtanasharti na anayempenda Mungu
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 10 ай бұрын
Mjinga wewe Burundi nchi maskini na ndogo kama mkoa wetu mmoja unalinganisha na Tz nchi kubwa mala dufu kwenu? unataka kutukanwa? Iseme tenw Tz K wewe
@MwanakheriAbdallah
@MwanakheriAbdallah 10 ай бұрын
𝖄𝖆𝖓𝖎 𝖘𝖒𝖆𝖗𝖙 𝖒𝖐𝖕 𝕽𝖆𝖍𝖆𝖆
@dangomc_niger
@dangomc_niger 10 ай бұрын
mme wa lolita
@zeyanaalhabsi8636
@zeyanaalhabsi8636 9 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 118 МЛН
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 127 МЛН
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 115 МЛН
50-MAJLIS : Interview of Engineer Muhammad Ali Mirza Bhai [ 21-Questions Recorded on 17-Feb-2019 ]
3:57:24
Engineer Muhammad Ali Mirza - Complete Lectures
Рет қаралды 3,1 МЛН
AJENGA NYUMBA YA KISASA MADALE BAADA YA KULIPWA FIDIA YA BONDE LA MSIMBAZI
6:41
Msimbazi Basin Project (Bonde la Msimbazi)
Рет қаралды 1,4 М.
لماذا تحريرها كلها ممكن؟ - بودكاست مع تميم
3:46:56
سورة البقرة كاملة رقية للبيت, علاج للسحر - القارئ علاء عقل Sourate Al-Baqara
3:52:00
Katt Williams Unleashed | CLUB SHAY SHAY
2:46:05
Club Shay Shay
Рет қаралды 80 МЛН
Quiet Night: Deep Sleep Music with Black Screen - Fall Asleep with Ambient Music
3:05:46
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 118 МЛН