#isleblogTV Yajayo Yametimia Zanzibar na sekta ya Viwanda vya Bidhaa za Nguo na Ngozi
Пікірлер: 31
@MonoMono-q7sАй бұрын
Masha allah tunaomba viwanda viongezwe iwe ajira kwa ss vijana ❤❤ allah aibarik zanzibar
@allironjo2698Ай бұрын
Nimependa sana tuwekeeni bei rafiki ili tutumie vya kwetu hongera Dr hussein mwinyi
@jumaothman9449Ай бұрын
Ushauri wangu kwa uongozi, mutaarishe eneo la kuuzia bidhaa unguja na Pemba na mutangaze kama hivi Ili wananchi waelewe bidhaa zetu za Zanzibar. Mm nimependa kweli Allah awajaalie nguvu na viwanda vyengine vije kwetu
@suleiboy-bq6lnАй бұрын
mashallah
@allironjo2698Ай бұрын
Safi sana hongereni ila vp kuhusu kutengeneza nguo za kibiasha au viatu vya kibiashara kama vile mashati jinzi nk .
@OnlineMathsAcademyАй бұрын
Mashallah mtunze hivyo vifaa viishi🙏
@MkungwaNgwarumbwaАй бұрын
Dk Mwinyi ni mzalendo wa taifa tunataka mambo mazuri km haya safi sana na kazi iendelee....
@hajiabdalla5772Ай бұрын
Safi sana mjomba Mwinyi na tuongeze zaidi viwanda vya kupeking matunda na kusaga taka kutengeneza makaa ya taka
@shaviercharvinho18Ай бұрын
Nimeipenda hiiii
@user-KASSIMАй бұрын
Naomba namba za hapo ili nifate
@chidi_donАй бұрын
🔥🔥🔥🔥
@mozaaly3487Ай бұрын
Ndoto yangu imetimia nilitamani Zanzibar kuwe na kiwanda cha nguo ata kama sijahusika na chochote ila ninafuraha sana naomba kilete ajira kwa watu wengi zaidi na nguo ziende hadi nje ya nchi 😊😊
@amamossi4203Ай бұрын
Mwisho tutalijua lengo lango Dr. Jina la Dr linafanya kazi
@zanecoАй бұрын
Juhudi kubwa anachukua Dr Mwinyi , inafurahisha kwa kweli , ushauri wangu , tupate wakwaguzi ( inspectors ) kukwagua 1 machine zinafanya kazi kama kawaida 2 Kiwango cha bidhaa kinaendelea kuwa kizuri
@jumaothman9449Ай бұрын
Full suit ni bei gani?
@OnlineMathsAcademyАй бұрын
Sasa hizi bidhaa kama viatu mnauza wapi? Naona hamtangazii watu hawajui shuhuli zene na bidhaa zenu
@mozaaly3487Ай бұрын
Shoneni na nguo za watoto wazungu wanatuletea nguo hazina heshima makwapa wazi fupi ukinunua ukimnunulia mtoto nguo inamvaa kwasababu wao wanashona kwa vipimo vya wakubwa lakini fupi wewe unamnunulia mtoto, fursa iyo
@OnlineMathsAcademyАй бұрын
Ipo wapi? Au contact details?
@isleblogTvАй бұрын
Asante kwa kuendelea kufatilia habari zetu, usisahau kusubscribe kulike na kucoment. Tupige kwa namba hizi +255629230705
@BrownHuncho-jt6oiАй бұрын
swali mm nauliza matirio munaandaa nyinyi wenyewe ama vitambaa vinakuja kazi yetu kushona tu afu ndo mnasema tuna kiwanda
@OmarAmran-t7kАй бұрын
Mwinyi ni mgeni lakini mzalendo
@MohamedAhmada-ie7keАй бұрын
Ugeni wake nini sasa kama baba ake alikuja Zanzibar akiwa mdogo why awe yeye mgeni
@shamtehussein177Ай бұрын
Shoneni viatu vya kawaida vya kike na kiume tuje kuchukua kwa jumla
@suleiboy-bq6lnАй бұрын
kikowap hichi kiwanda
@isleblogTvАй бұрын
Mtoni KVZ ndani
@RaibebeBebeАй бұрын
Viatu ata wamasai wanatengeneza hakuna kipya
@mrmahmoud1278Ай бұрын
hakuna kipya duniani, na pepo hawana uwezo wa kutengeneza, unataka watengeneze nini kipya??
@mudymbarouk8279Ай бұрын
Kuna watu wana husda ndugu yngu @@mrmahmoud1278
@MohamedAhmada-ie7keАй бұрын
@@mrmahmoud1278😅😅😅😅
@mozaaly3487Ай бұрын
Shoneni na nguo za watoto wazungu wanatuletea nguo hazina heshima makwapa wazi fupi ukinunua ukimnunulia mtoto nguo inamvaa kwasababu wao wanashona kwa vipimo vya wakubwa lakini fupi wewe unamnunulia mtoto, fursa iyo
@OnlineMathsAcademyАй бұрын
@@mozaaly3487 hazitoki China lakini? Na mnazileta wenyewe 😀