HOJA YA HAKI, KINGA NA MADARAKA YA BUNGE : Sikiliza hii kwa makini ujue kile kilichowatoa wabunge wa kambi rasmi ya upinzani katika ukumbi wa bunge mjini Dodoma.
Пікірлер: 124
@nyanda4277 жыл бұрын
Waoh..!! am so proud of you Dr. Tulia, yani upo vizuri mno. Sheria unazijuwa, hoja unazo msimamo unao
@hatiburajabu44805 жыл бұрын
hapo ww unaona kasimamia sheria
@patrickkambale7775 жыл бұрын
Nakukubali sana mheshimiwa Zito Zuberi Kabwe
@mahirimahiri26439 ай бұрын
Hapa tulikuwa na binge kweli kweli
@saviomlelwa4 жыл бұрын
You are the best MP.s Mr zito
@faustinefesto77054 жыл бұрын
Magufuli mjanja sna bila kuwa n mtaalam w sheria pangeyumba xna
@georgekalugaba2827 жыл бұрын
kwa Mara ya kwanza namuona mhaya mwenye upeo mdogo Wa kufikiri kamugisha
@kibwanamohammed58365 жыл бұрын
Ukimungalia moleli utajua kama atakuja kua msaliti
@hamadialihamad41264 жыл бұрын
Zitto Hakuna Anae kufikia Tanzania mzima ww na lisu Na mzee wenu malim seif
@crimsonrider15914 жыл бұрын
Hamadi Ali Hamad alafu kuna heche
@kudraomar70533 жыл бұрын
Kwakweli tunakoelekea tunaenda kuchaniana mashati kwa visu
@shukurumalewa31157 жыл бұрын
nataman ifike siku wabunge wote watambue wapo bungeni kwa ajili ya wananchi wote wa Tanzania na sio kwa ajil ya vyama vyao wawe wamoja ktk mambo ya msingi kwa faida ya Taifa letu... lakn leo hii wanaangaliana usoni hoja kaleta nan badala kuangalia hoja ina faida gani... ama kweli siasa inaaribu nchi yetu na itaturudisha Nyuma... Rais alishasema siasa tusubiri 2020 sasa hv tuwe wamoja ktk kujenga nchi.. Tanzania kwanza vyama baadae..
@annahockson14277 жыл бұрын
tunaelekea wapi, kwann hivyo jaman, we are need freedom
@kigambontv97487 жыл бұрын
Zitto kwann haui mbuge wa jimbo lngu
@giftkelvin76 жыл бұрын
Mtu anazungumza bungeni amesubiriwa nje na police hii ni hatari.
@saidomary49506 жыл бұрын
Bunge limezalauliwa sana kwa serikali ya awamu ya 5 hakuna heshima ya bunge kabisa juu ya police
@andrewtegos68544 жыл бұрын
Dr Tulia kweli katulia
@erickmapunda42315 жыл бұрын
Mkulima hana kinga; mbunge ana kinga, unaona hizi sheria za kipuuzi mnajitungia sheria za kujipendelea nyie," eti msikamatwe mpk SPK apewe taarifa sisi huku mbona tunakamatwa bila taarifa na hatulalamiki.
@mbwanaseif4044 жыл бұрын
Well said broo
@fortunatuskapinga52503 жыл бұрын
Kweli kila mwambangima ngozi huvutia kwake Sioni ni kwanini mbunge hawe na haki yakutenda maovu bila kushughulikiwa kisheria
@mapesaevarist90947 жыл бұрын
mwana siasa aliye komaa uyo zto kbwe
@rebeccaisack64813 жыл бұрын
Kabwe ww nichombomuhimu Sana katika nchi hihi nakuku balisana
@daybrelimite18567 жыл бұрын
Akajielewi ako ka naibu spika ka ccm
@paulndutu27845 жыл бұрын
Daybre Limite
@wilsonkitaa10547 жыл бұрын
tutaona mengi sana kwa hii Miaka mitano ya uongoz wa mheshimiwa wetu
@renaldakamugishazeramulake9407 жыл бұрын
huyu halima ana matatizo
@francissalamba81127 жыл бұрын
huyu naibu spika namashaka na unaibu wake
@stanslausmteme84555 жыл бұрын
zito anajua ila anamtingisha tu naibu spika
@fayeezomar29027 жыл бұрын
respect u!
@tinnomdete48417 жыл бұрын
ndio maana hataki kuonyesha live bunge ili fanye yao komaeni kuhakikisha haki inachukua mkondondo wake
@castorynchilu4257 жыл бұрын
tinno mdete hata wangeonesha wewe ungefanyeje sasa, unashabikia upuuz tupu rafik yangu, fanya kazi kwa mafanikio yako siyo kukodolea TV ukiangalia bunge, mbona saiv umeyajua? let you run with Technology, wee ulifurahi lisu kumwita rais wa ajabu?
@hishamally48467 жыл бұрын
Castory Nchilu dunia nzima bunge linaonekana live wacheni kasumba zenu ukiyona mwenzio ananyolewa na wewe tiya maji
@samirymickdady81317 жыл бұрын
+Castory Nchilu na wewe ulifurahi rais kuwajibu waathirika wa tetemeko kagera kuwa hawezi kuwachangia kwa kuwa yeye hajaleta tetemeko na watu tuliwachangia waathirika
@jumashija36523 жыл бұрын
Tunamic xna Ila back to
@naftalichacha53937 жыл бұрын
Daa kwel Democrasia n Afrika still n ndoto za mchana...... Mungu tusaidie wana wako tunapotea hiv hiv
@johnsemu55166 жыл бұрын
Naftali Chacha
@maxmziba96997 жыл бұрын
usanii ni mwingi sana Tz
@mamaalmas43147 жыл бұрын
Kiukweli kuna ukiukwaji mkubwa sana Wa kanuni na taratibu ambazo sisi kama nchi tumejiwekea inaonekana hivi sasa viongozi wore Wa juuu wapo juu ya sheria kuna ukiukwaji mkubw sana Wa katiba ya jamhuri ya muungano ya mwaka 77 ila nikumwomba mwenyezi mungu inshallah awajaze wepesi viongozi we2
@leonidasalfaxad30775 жыл бұрын
R
@leonidasalfaxad30775 жыл бұрын
2
@nairasyjuma45097 жыл бұрын
that is why nakukubali coz unaenda kwenye main point
@HeddySonBrownjr5 жыл бұрын
Kigoma one of the best member of parlement 🙌🙌💯.
@kalolintalima54547 жыл бұрын
wenzetu wanapambana kuleta maelendeleo sisi tunaoneshana ubabe wa vyama!! endeleeni tuone tunatafika wapi!!
@erasmusndrew91354 жыл бұрын
Maendeleo gani akuna machine za kupumulia
@kudraomar70533 жыл бұрын
Tunaelekea kuchaniana mashati kwa visu
@titomwashuya6460 Жыл бұрын
Nchi hii tunahitaji wabunge aina ya zito
@rajabuabdallah38407 жыл бұрын
mbna spka hksema kma ana trfa hyo ya kkamatwa kwa lisu kama ni kakamatwa kw ksa la madai au nni kwhyo anafahmu au cjaelewa mm hpo jmn
@sambweboi47535 жыл бұрын
ooh
@ramadhaniabdi95304 жыл бұрын
Mtu ambaye namkubali katika siasa za Nchi yangu Zitto Kabwe
@suleimanbakar12715 жыл бұрын
huyu malaya naye asema nini?naona anazunguka tu kamq pia
@blandinamwarabu50253 жыл бұрын
Kumbe ndio maana hawakurudi michango yao wala hawachangii kuulizia shida za wananchi waliochagua.
@mwaramiissa35533 жыл бұрын
Wanaongelea kukamatwa na mahakama maana ndio stahili yao. Wanajijua tu kuwa ni wahalifu
@mwaramiissa35533 жыл бұрын
Kitu nilichogundua ni kwamba wapinzani wanaongelea vifungo badala ya kujadili mambo mbalimbali ya maendeleo kwa wananchi wake. Ndio maana wamepigwa chini
@denniskahinda41252 жыл бұрын
Huna unachokijua kuhusu mambo ya nchi
@gloryndakidemi32437 жыл бұрын
huyo naibu speaker bhn ni shida
@rugugumangobo10697 жыл бұрын
kuliwa kigoma ni digree.
@frabomdemu47677 жыл бұрын
kweli sasa hii nnchi sio yenyewe kama serikari inaogopa kukosolewa basi iseme moja tu hakuna vyama vingi katibu ibadilishwe Aaaaaa huu sasa ni udicteta na mii sasa nakubari
@davidmosha35457 жыл бұрын
Fr zitto point
@komufredy37397 жыл бұрын
tuna vyombo vya kipuuzi sana.... ila sishangai wengi wao ni wale waliofeli....
@restitutamelchiades9024 жыл бұрын
Hivi Tundulisu kwa ushenzi aloufanya anastahili kupiganuwa na serikali ipi? Acha akanyee ndoo. Si ndo alichokuwa anatafuta?
@gloryndakidemi32437 жыл бұрын
i respect you zitto kabwe
@agnesmgomba34217 жыл бұрын
mi sion kosa LA naibu spka, hao wabunge wanakera hawana Sera zaid ya makelele na kuleta uvyama ndan ya bunge na hawajui kuwatetea wananchi waliowachagua
@tumainrenatus97336 жыл бұрын
Agnes Mgomba ww Ni msenge tu
@akidahamad142 Жыл бұрын
Natamani hata nimtukane huyu naibu spker
@lyaruusiayako26426 жыл бұрын
Siasa inaharibu Ubongo
@hatiburajabu44805 жыл бұрын
is not true
@kelvincharles72637 жыл бұрын
Hii situation inayoendelea ya kamatakamata ni upuuzi kabsa
@user-hq7mq8zn4j Жыл бұрын
Uishi milele
@alfredanthony62825 жыл бұрын
🖐🖐🖐🖐🖐🖐🖐🖐
@magembeedward94834 жыл бұрын
Zito anafaa kuongoza hii nchi,na huyu naibu spika ni poyoyo kabisa
@shizoshop246924 күн бұрын
Kipindi hicho zitto akiwa na akili na hajawa chawa
@zainabrashid86704 жыл бұрын
Tangu lini mnyonge akawa hakiiii
@Prince0fald7 жыл бұрын
Respect for this madam
@abelmirwatu197 жыл бұрын
Mi nashauli wabunge wa upinzani ikifika 2020 wasigombee uraisi wala ubunge, diwani, waache chama kimoja tu, inatosha na tumesha choka ina maana upinzani ndiyo wana makosa kila siku?
@gabrielalbinus55337 жыл бұрын
Duh!!"""""
@kumozhaiz59975 жыл бұрын
Gabriel Albinus
@ephraimathanas78337 жыл бұрын
hivi wabunge wa ccm hawana aibu uku wenzao wanatetea haki za bunge pamoja na wananchi kwa ujumla
@yohanamsabila46534 жыл бұрын
Duh
@emmanueljames26524 жыл бұрын
safi bunge
@oswardosward20194 жыл бұрын
Mungu tuokoe
@burtonsatshop20617 жыл бұрын
Hamna ubabe. hapo wala nini? kama kupinga kapinga kwa vifungu vya sheria,ni kawaida ya upinzani kulala kila jambo wakihisi kuonewa.Chadema yenyewe haijitambui inatembelea nyota ya Zitto bado
@obedikilibaha14377 жыл бұрын
Burton Jorde ucwe kichaa inamaana nyumba ya JIRANI yako ikiungua usaidii kuzma kama ni hivyo ukiunguliwa ww ucsaidiwe?
@jaynermmbaga44877 жыл бұрын
Burton Jorde umeongea ukweli lakini hao ukawa hawaelewi kwamba zito ni ccm b .kama kweli zito ni mtu mzur kwa ukawa mbona siku zote hakusema haya mpaka leo anasubiriwa na police ndio analiongelea it means yasingemkuta na yeye asingelizungumzia
@muddymwankunda90244 жыл бұрын
Xpka 2nakuhitaji mbeya tafadhariiiiiii
@sananesteve61574 жыл бұрын
HALIMA APUNGUZI MAKALI
@mwidausaid57014 жыл бұрын
Saf mzee hujawai kuniangusha hotuba zako unastaill kuwa si tu kuwa mbunge unastail kuwa rais wa nchi hii sio hao vilaza wa ccm
@andunjejonas52117 жыл бұрын
Richi jonas
@augustinomgonde15054 жыл бұрын
Bonge la kichwa. Jamaa ana kipaji kikubwa Sana.
@renaldakamugishazeramulake9407 жыл бұрын
kwanini mnamtukana rais wewe zitto ulijificha wiki 2 ulikuwa wapi? haya sasa lako hilo
FAIDA YA KIONGOZI WA SHUGHULI ZA BUNGE KUWA MWANASHERIA.
@lgffumbuka1832 жыл бұрын
PhD
@kilimohub5805 жыл бұрын
She talks too much
@stephanokayega27925 жыл бұрын
.
@ericmulinga58697 жыл бұрын
bomboclact system where's equal rights and justice 👹👹👹👹
@bulunomberwa5282 Жыл бұрын
O
@agnesmgomba34217 жыл бұрын
hao wakamatwe tuu maana hawana Sera zaid ya kujifanya wanashombo chafu na matus, tumechoka kuskiliza kashfa zao Bungen, waongee Sera hao, mi sion kama ccm inawaonea hao, Bali matus yao na kashfa zao ndyo zinafanya wakamatwe na polis
@alphaxadmagoma62527 жыл бұрын
public comment
@lutherdennis23785 жыл бұрын
nikweli kuna ukiukwaji wa kanuni hivyo lazma ulimbukeni wa madaraka
@omarymwigula54797 жыл бұрын
Huyu tulia aliwahi kusema kwenye chombo kimoja cha habari kwamba yeye ni zaidi ya wabunge waliochaguliwa na wananchi kw sababu aliteuliwa na Rais mnategemea nini?