Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe. Zitto Kabwe ameuvua rasmi ubunge wa jimbo hilo mbele ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Пікірлер: 20
@ngerejangwala2295 Жыл бұрын
Namkubari sana hyu mwamba
@muzamilmubumbebutabile31029 жыл бұрын
Na kweli Mungu akipenda mtakuwa wote
@MapenziMalanda2 ай бұрын
Raisi ajaye
@fellysaluti85839 жыл бұрын
hakika umeonesha kukomaa kidemokrasia kwa kukubali kuachia madaraka bila kujari kama tuhuma zilizokuwa zikikukabili zilikuwa za ukweli au laa.hakika we ni mfano wa kuingwa miongoni mwa viongozi wachache wa africa mungu akutie nguvu upende kusema ukweli kila wakati
@collincarlos74336 жыл бұрын
2020,,,,watarud wachache sna bungen kutoka chadema ,uhakik zitto atarudi
@markomoter31909 жыл бұрын
nahisi wewe ni wanaume shujaa hakika maamuzi uliyo chukua upo sahihi mungu akujazie ujasir mwingine wa kuweza kufanya jambo ulilo lipanga.
@abdillahmruke92159 жыл бұрын
Big up zitto kabwe na unafaa xna kuwa mfano wa kuigwa.
@emanuelmwanga44 жыл бұрын
Sawa Mkuu kwaheri
@elrachum38669 жыл бұрын
Yaani wewe ni Jembe kama Lowasa, kukubali KIUME.
@frankoscar18382 жыл бұрын
Ndio
@rwegasila9 жыл бұрын
Maamuzi yalio na busara
@aerorapul26369 жыл бұрын
stupidity of Tanzania politics,wewe uchaguzi bado miezi 5,kuvunjwa kwa bunge miezi 2 tu.Zitto hakuna mwanasiasa ambaye anapenda uchaguzi ukiona ambaye anakimbilia kurudi kwenye uchaguzi huyo ana lengo la kweenda kugawanya kura.
@naurumnazaleti67746 жыл бұрын
ujue watu hawajui kwamb zitto kabwe ni mnafiki xubilini
@euzebikitazi37413 жыл бұрын
Kitaz
@mwaijasaidi32569 жыл бұрын
maamuz ya kiume
@mzeewahisia99596 жыл бұрын
Nakukubali xana zitto pamoja na lisu nyie ndio pekee ambao mkomaa kidemokraxia.
@collincarlos74336 жыл бұрын
zitto kichwa ,,,,najua kisirisiri chadema wanajuta kumtendea yasiyofaa
@msakuzikondo5363 жыл бұрын
G
@pachasugu99275 жыл бұрын
Leo unashirikiana nao katika madudu yao ya uchochezi huna akili kaka yangu mimi binafsi nakubali ulikuwa mfano mzuri kwangu ila now nimeishusha thamani yako