No video

WEWE KIJANA UMEMDANGANYA RC MAKONDA TAFUTA KAZI YA KUFANYA MWENZAKO NISHA MUACHISHA KAZI

  Рет қаралды 157,164

Adil TV

Adil TV

Күн бұрын

#AdilTV

Пікірлер: 239
@user-it1bo7rs9v
@user-it1bo7rs9v 2 ай бұрын
Magufuli amekuja kwa muundo wa makonda glory be to God ❤
@monicapeter9065
@monicapeter9065 Ай бұрын
Kwakwel jaman mungu kaiweka roho ya magufuli ndan ya makonda Ahsante mungu kwa miujiza Kuna ktu cha kujifunza kuwa mungu ni mungu tuu Tulijua tumemnyamazisha maguful mungu kamleta kwa namna ya ajabu Aibu yenu wanawadamu waliohusika kukatili roho ya mpendwa wetu magufuli Karudi kwa mara nyingne
@japhetfisha6299
@japhetfisha6299 2 ай бұрын
Makonda ni kichwa. Critical Thinker, questioning skills, composure, thoroughness 100%. Mungu akulinde Mh. Paul Christian Makonda
@baloz8974
@baloz8974 2 ай бұрын
That's call leadership
@user-jm6dr3hd1y
@user-jm6dr3hd1y 2 ай бұрын
Niseme ukweri Mimi sikuwahi kumuanga mkono makonda lakini kuazis Sasa Mimi nimekuelewa mungu akuongezee maisha marefu kaka etu Asante makonda
@user-xm5xg1tt6d
@user-xm5xg1tt6d 2 ай бұрын
Kuna siku makonda atakua raisi wa nchi hii allah amuweke ampe maisha marefu inshaallah
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 2 ай бұрын
Bora kuliko Punguani Tundu Lisu alishaolewa Belgium ila bado Talaka yake hakuweka Sahihi
@fatihiyadossa375
@fatihiyadossa375 2 ай бұрын
​@@machintangachibwena5922Yani umenichekesha atar kwel uyu lisu sinawah kumpenda namchukia atari
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 2 ай бұрын
Na iwe kama ulivyosema
@ramadhanihot1945
@ramadhanihot1945 2 ай бұрын
Hivi uyu makonda kwanini asiwehee RAISI TU mbona anatufahaa kabisa kuwa raisi wetu magufuli kila kitu uyuu jamaa
@jeraldjensen6504
@jeraldjensen6504 2 ай бұрын
Umeona
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo 2 ай бұрын
Chapa kazi mheshimiwa makonda mungu akulinde
@babarungurallyteam2754
@babarungurallyteam2754 2 ай бұрын
Kakayangu MAKONDA MWENYEZI MUNGU AKUPE UMRI MKUBWA 🙏🇹🇿
@rosesilio9008
@rosesilio9008 2 ай бұрын
Huyu makonda agombee uraisi tumchagueni jamani mbona anatutetea sana watu wa hali ya chini 🙏
@TatuRajabu-cz6jz
@TatuRajabu-cz6jz 2 ай бұрын
Anafanya Kaz,lakni tatzo huwa kunakiwaga na shida,chema huwa kinalindwa Kwa njia nyingi,mtihani
@songeza
@songeza 2 ай бұрын
Yaani kweli kabsa anatakiwa kuwa Rais wa Nchi hii Mungu amlinde ampe maisha marefu
@monicapeter9065
@monicapeter9065 Ай бұрын
Tanzania ingekuwa na akil kama za raia wa kenya Faster tungekuwa tumemtaka makonda awe raisi mara moja bila kusubir kampen
@ElitulizaMinja
@ElitulizaMinja 2 ай бұрын
Mzee makonda anapita mule mule kwa mwendazake matunda yake hakika mungu akulinde kwa mema unayoyatenda
@ramamtangi7776
@ramamtangi7776 2 ай бұрын
Mungu amtangulie Makonda mtetezi wa wanyonge
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 2 ай бұрын
Kwa mujibu wa maelezo yake kabla ya makonda hakua na haki huyu mama ila kwasasa baada ya makonda anahaki. Huu ni udhaifu mkubwa wa baadhi ya watumishi Katika wizara ya ardhi.
@frankaron783
@frankaron783 2 ай бұрын
Hujaamua tu kugombea uraisi lkn ukigombea mpaka chadema watakupigia kura maana katikati ya hao unaowasaidia nawao wamo mkuu. Mungu akubariki mnooooooooo
@JimmyCosmas-cl2kh
@JimmyCosmas-cl2kh 2 ай бұрын
Mungu akulinde bro kipenz chaaa watanzania
@sifueliduwe5982
@sifueliduwe5982 2 ай бұрын
Kaka Makonda Mungu akubariki akupe hekima kama Sulemani asante
@shahidalialibhai794
@shahidalialibhai794 2 ай бұрын
Mungu akujalie mh makonda
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 2 ай бұрын
Tz Tz roho ya Magu.imemuingia.makonda.tumuombeeee.
@greenermichael2057
@greenermichael2057 2 ай бұрын
Asante Mungu umeturudishia Magufuli wetu
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 2 ай бұрын
Piga spana makonda wewe ndio una viatu vya magufuli..mkubwa mungu akulinde
@sportsnewjs4330
@sportsnewjs4330 2 ай бұрын
Nijambo zuri sana ukiwa kiongozi wa wananchi ukawa mtenda haki maama huo niuzalendo katika Nchi yako, na MUNGU atakubariki sana Hapo Makonda umewajibika vizuri sana'👏👏👏
@songeza
@songeza 2 ай бұрын
Makonda we akili ulipata wapi ya majibu ya papo Kwa papo hongera mwanangu dah Mungu akuzidishie
@TatuRajabu-cz6jz
@TatuRajabu-cz6jz 2 ай бұрын
Kama magufuli jamanii
@user-ew7xd1xu3s
@user-ew7xd1xu3s Ай бұрын
Aluomba hekima
@greenermichael2057
@greenermichael2057 2 ай бұрын
Ooooh magufuli wenu kakufa ,kwan hamumuoni si huyu hapa ❤❤❤❤
@wycliffeombogo8953
@wycliffeombogo8953 2 ай бұрын
Wewe makonda anafaa kua rahizi wa mungano wa TZ umalishe kazi ya pombe magafuli
@yohanabmasunga3575
@yohanabmasunga3575 Ай бұрын
hahahaaaa nimecheka kama mazuri
@mathewlive77
@mathewlive77 2 ай бұрын
Makonda upo vizuri. Mim nakukubal mwanzo mwisho.
@user-ql7to3rm3p
@user-ql7to3rm3p 2 ай бұрын
Mimi ni mkenya lakini napenda Tanzania vile Viongozi wanafanyia Raiya❤❤
@amanaoman9690
@amanaoman9690 Ай бұрын
Sisi watanzania huwa tunasikilizaza ❤
@strongwomanwithnoregret8234
@strongwomanwithnoregret8234 2 ай бұрын
Nampenda makonda ako kama makufuli
@elishakimariyo4983
@elishakimariyo4983 2 ай бұрын
Baba wa taifa nakupenda sana makonda
@RoseTimilai
@RoseTimilai 2 ай бұрын
Ubarikiwe
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 2 ай бұрын
Mm nampenda sana saaaaaana makonda mama umewapendelea sana kuwapa mkuu wa mkoa sahihi vip hawa wengine
@MalikioryBajuta-pb9ym
@MalikioryBajuta-pb9ym 2 ай бұрын
Uk vzr piga kaz
@user-ve1rr3gz5d
@user-ve1rr3gz5d 2 ай бұрын
Jaman mungu amusimie huyu kiongoz wasimuue
@BensonMazinga
@BensonMazinga 2 ай бұрын
Mm nipo Malawi ila namkubal sana uyu jama
@user-zf2hh4zq2j
@user-zf2hh4zq2j 2 ай бұрын
Rais wetu nakupenda sana makonda
@user-bf1jd9nl3v
@user-bf1jd9nl3v 2 ай бұрын
Makonda nakubali sana kumbe hata pale Dar ulikuwa hubahatishi,ndio nimeamin Leo uongoz upo ndani ya damu.
@AishayoutubeMoosa-zn1co
@AishayoutubeMoosa-zn1co 2 ай бұрын
Jaman Makonda hongera sanaa sanaa sanaa
@lebahatilembris2390
@lebahatilembris2390 Ай бұрын
Nampenda sana Mkuu wetu wa mkoa Po Makonda MUNGU akulinde sikuzote,,..
@chakuboyofficial9720
@chakuboyofficial9720 2 ай бұрын
Nime penda sanaa tupate wengine watatu wahivi 😍😍😍
@user-nn3xt4rj3x
@user-nn3xt4rj3x 2 ай бұрын
Allah akuongoze
@myk6519
@myk6519 2 ай бұрын
Very sober and critical questions from RC
@mohamedmngoya-lk3np
@mohamedmngoya-lk3np 2 ай бұрын
Hongera mkuu wa mkoa Paulo makonda.piga KAZI.
@piusmdoe3200
@piusmdoe3200 2 ай бұрын
Mmoja kati ya waliokuwa wanababatiza kuamini utendaji wako,lakini kwa hapo Ar,wewe ni chuma.Go on bro.
@stanslauslugendo31
@stanslauslugendo31 2 ай бұрын
Paulo bhana!🌹🌹🌹 Mungu aendelee kukutunza!
@africanpesa3365
@africanpesa3365 2 ай бұрын
Mkuu mh makonda kujitoa sadaka nijambo jema je? Wantanzania wezangu makonda Akikabwa tutaungana au tutamukimbia kazi anaitenda kisawsawa natamanisana angalau hawa viongozi wengine angalau wakae wafikili akili anazo zitumia amelisi kwanani mwenyezi mungu akulinde kujitoa sadaka kunahitaji moyo ❤❤❤❤❤❤
@TUKUSUMAKASAMBO
@TUKUSUMAKASAMBO 2 ай бұрын
Mungu akusaidie sijawah kukoment Ila wew baba unafaa na unahofu na unyenyekevu wa mungu
@user-sd5zf6fz4v
@user-sd5zf6fz4v 2 ай бұрын
Mungu akusaidie makonda❤
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 2 ай бұрын
Mdudu katambaa na Makonda hadi Karatu😢
@antonbkatembo5029
@antonbkatembo5029 2 ай бұрын
Awe kiongozi wa Wakuu wote wa mikoa Nchi itaheshamika mnoo
@mussaharun7257
@mussaharun7257 2 ай бұрын
Waziri Tamisemi
@nathanfrancisondieki6586
@nathanfrancisondieki6586 2 ай бұрын
Makonda for next president of Tanzania
@yohanabmasunga3575
@yohanabmasunga3575 Ай бұрын
uje na tarifa zako lolote linaweza kutokea
@doricadominic5095
@doricadominic5095 Ай бұрын
Mungu anatuona Tanzania katuletea Magufuli Mwingine
@Yusra728
@Yusra728 2 ай бұрын
Wawoooh! Jembe letu hilo, makonda wewe ni kama magufuli no. 2 Mwenyezi Mungu awe pamoja na wewe
@Shegzy200
@Shegzy200 Ай бұрын
Uyi ni kama raisi magufuli , Ubarikiwe sana
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 2 ай бұрын
Asiwepo wakusimama mbele.ya makonda awasaidie watanzania
@RebeccaMuhimba-be1pj
@RebeccaMuhimba-be1pj 2 ай бұрын
baba mi nitakupa kura omba urais
@nathanfrancisondieki6586
@nathanfrancisondieki6586 2 ай бұрын
Good speech Hon makonda
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 2 ай бұрын
Watu w ardhi hua n waungu mtu,hukumu gan ww Mungu akuadhibu
@jeraldjensen6504
@jeraldjensen6504 2 ай бұрын
Du!!!!! Sjui huyu kasoma shule gan, MUNGU amtunze kwaajili ya vizazi
@MickyAbuyq
@MickyAbuyq 2 ай бұрын
Makonda kama magufuli mwakani anatakiwa kuwa raisi anaweza kuongoza nchi vizur sanaaa. Mungu ambarikii
@dennisezakiel3380
@dennisezakiel3380 2 ай бұрын
Nimemwona kinyonyo hapo
@BrayStephano
@BrayStephano 2 ай бұрын
Makonda noma sana namkubali yuko kwenye haki san bigap my brother
@user-vp2ux1ji4m
@user-vp2ux1ji4m 2 ай бұрын
Ee hii sasa ni 2024 makonda mungu we nawe siku zote
@EmanuelKabea
@EmanuelKabea 2 ай бұрын
Naiona nchi ya ahadi hiyooooooooo !!!!! asanteeee mungu zid kutuongezea watu kama huyu
@RebeccaMuhimba-be1pj
@RebeccaMuhimba-be1pj 2 ай бұрын
makonda😂😂😂😂 shikamoo nakupenda sana baba angu upo sawa kabisa yaana lazima nikuoe kura ya urais
@StephenMbugua-el9hy
@StephenMbugua-el9hy 2 ай бұрын
Wow great work ♥️🇹🇿❤🇰🇪
@AmadeSalimoSalimo-gw8ij
@AmadeSalimoSalimo-gw8ij 2 ай бұрын
KAZI njema makonda❤❤❤
@TitoNgomuo
@TitoNgomuo 2 ай бұрын
Makonda toa majib,,usiulize wananchi majib
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 2 ай бұрын
Hii operation ni FICHUA MAOVU. Na inasaidia sanaaaaaa. IENDELEEEE
@mupinimulila1762
@mupinimulila1762 2 ай бұрын
Kabisa ndugu .
@HenryHabeli-iy5dv
@HenryHabeli-iy5dv 2 ай бұрын
Mtetezi wa wanyonge piga kazi na mungu atakutangulia
@husseineliasa452
@husseineliasa452 2 ай бұрын
Huyu kiongozi ni mzuri sana wana arusha mmepata mtu sahihi
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 2 ай бұрын
Safi sana kaka mm naomba kuonana na makonda
@user-ei3rf1qb2z
@user-ei3rf1qb2z Ай бұрын
MUNGU KIPE IKI KICHWA MAMLAKA YA KULIONGOZA ILI TAIFA.
@bugybuster5788
@bugybuster5788 Ай бұрын
Makonda MUNGU akulinde sanaaa
@ceankiiza9945
@ceankiiza9945 2 ай бұрын
Mungu Akuongoze Zaid Kaka ifike Mahala na URAISI tukupatie uinyoshe hii nchi aisee tumechoka kiukwel haki aipatikan kwa mnyonge
@DanielMwamengele
@DanielMwamengele 2 ай бұрын
Makonda mungu aenderee kukutunzaa
@eddykatamba1008
@eddykatamba1008 2 ай бұрын
safi sana mkuuu ikulu yako jaribu tu kugombee chadema wote watakupigia kura mpaka utashangaaa!!!
@Donasian-ry9kh
@Donasian-ry9kh Ай бұрын
Baba kweli unafanya kaz mungu akubarik kingine huku mtaan tumejaa vijana kutoka jkt tunafunzo ya kutosha nimefundishwa silaha natupo mtaan tusaidie pamoja navyeti tunavyo mkuu tusaidie
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 2 ай бұрын
Mm nampenda sana saaaaaana makonda
@greenermichael2057
@greenermichael2057 2 ай бұрын
Nyendo za Magufuli tunaziona ndani yako Makonda gombea urais
@stellasheba842
@stellasheba842 2 ай бұрын
Gombea gombea urais.
@tuikezeezra1315
@tuikezeezra1315 2 ай бұрын
Mungu azidi kukupa ulinzi na afya njema bwana Makonda syo kwamba kila mtu anapenda maendeleo!!, ndo maana hata kwa Magu walifanya yao mapema.
@greenermichael2057
@greenermichael2057 2 ай бұрын
Makonda gombea urais hata leo
@Nagelleislamictv
@Nagelleislamictv Ай бұрын
Mheshimiwa Makonda ni mwenye Heshima
@prospermuhindo
@prospermuhindo 2 ай бұрын
Ok Faya kazi makode
@anorderick7162
@anorderick7162 2 ай бұрын
❤❤ Kaka Una uwezo mkuu wa akili sana... akika na Roho wa Mungu anakusaidia kukuongoza maana upeo wako Ni mkuu sana
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 2 ай бұрын
HAWA VIONGOZI WENGINE AWAZIONI SUPANA WANAZOPIGWA VIONGOZI WENZAO MATAPELI😂KAZA SUPANA MAKUFULI JUNIOR 😂😂
@SaNFamily274
@SaNFamily274 2 ай бұрын
Nakubali makonda❤❤❤❤❤❤❤🎉
@ashakijaji5869
@ashakijaji5869 Ай бұрын
Huko mbele atakuwa Rais,itabidi Sasa awe anapata ukuu WA mkoa Kila mkoa Ili kusolve shida za watu.
@user-oy2gp3nq4j
@user-oy2gp3nq4j 2 ай бұрын
Naimani ata mimi mjane ipo siku nitapata haki yangu kwa jina la Yesu . Mungu mlinde makonda
@sebastiangabriely3279
@sebastiangabriely3279 2 ай бұрын
Bro umeenea...wish uje kuwa kiongozi mkubwa Tanzania hiii
@juliethmagembe2262
@juliethmagembe2262 Ай бұрын
Mungu akutunze wee baba
@HurumaAntony
@HurumaAntony 2 ай бұрын
Raise wetu
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 2 ай бұрын
Mungu Akupe Jana Makonda kipenzi chetu jamani nakupenda bure kwa kutenda haki Mungu akubarik Sana hutaki mchezo
@Aida-qh3jq
@Aida-qh3jq 2 ай бұрын
Mwenyez mungu akusimamie popote pale uendapo makonda
@DonDallas
@DonDallas 2 ай бұрын
Makonda ww mkali snaa
@edsoniminani
@edsoniminani 2 ай бұрын
Eeeee Mungu tunaomba huyu awe Rais wetu kuanzia 2025 na kuendelea maana Samia Hatufai kabisa aisee
@user-bf1jd9nl3v
@user-bf1jd9nl3v 2 ай бұрын
Makoonda Oyeeeeeeeeeeee.......
@user-hb6sg1sh1z
@user-hb6sg1sh1z 2 ай бұрын
Bom trabalho Mozambique kazi njema
@evansmoshi1923
@evansmoshi1923 2 ай бұрын
Mama yupo vzr ila apunguze wenge yan anaongea kwa jazba sana.
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@kakaaignas3675
@kakaaignas3675 2 ай бұрын
😂
@AminaRamadhan-mg9lj
@AminaRamadhan-mg9lj 2 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@user-by7ie6yy5n
@user-by7ie6yy5n 2 ай бұрын
Aise makonda we noma
@user-ow6hr8yv2v
@user-ow6hr8yv2v 2 ай бұрын
Mimi kama mimi na kushukuru Mr poul
@SadaKigwangala
@SadaKigwangala 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤RC makonda
@user-yx3ic8zy9e
@user-yx3ic8zy9e 2 ай бұрын
Hii nchi haina sheria hata kidogo maana ikiwa maamuzi ya ardhi yanatoka mikutanoni sasa hawa wanaokwenda mbio kwenye sehemu za sheria wanakwenda kufanya nini inabidi wakuu wamikoa wote watoe maamuzi kwa kila mwananchi
@louxonmedia
@louxonmedia 2 ай бұрын
Ngole kachana nyavu
@lodricktitto9386
@lodricktitto9386 2 ай бұрын
Nakukubar raisi wetu wabaadae
Look at two different videos 😁 @karina-kola
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 15 МЛН
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Chapitosiki
Рет қаралды 29 МЛН
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 45 МЛН
а ты любишь париться?
00:41
KATYA KLON LIFE
Рет қаралды 3,2 МЛН
BOSS TANROAD AJICHANGANYA KWA MAKONDA, ASHINDWA KUJIELEZA AKOSEA
12:23
MAKONDA AWAFUKUZA KAZI WATUMISHI ARUSHA
1:06:20
JAMBO TV
Рет қаралды 89 М.
MAKONDA AAMURU OCD BUGURUNI APANGIWE KAZI NYINGINE, WANANCHI WASHANGILIA
11:59
Look at two different videos 😁 @karina-kola
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 15 МЛН