Dokta Kuluthumu Salim Ndee maarufu kwa jina la Dk Love ni mnajimu wa nyota nchini. Tembelea Facebook account / utabiriwanyota
Пікірлер: 34
@user-tq1pl2kn4o7 ай бұрын
Pia kila wki rafki yangu nipo nae alifariki2019. Ndani ya ndoto nakumbuka kama alikufa anakasirika mno nkisema hvyo
@ImaniMfugale-hy6tm6 ай бұрын
Nimeota manunua Michele kg 2 halafu nikapewa na muuza duka akanipa tena kg 2
@Ms-zuuuh0012 ай бұрын
Mm nimeota kichanga kimekufa afu Kuna mtu kakifukua anatembea nacho katika begi kamefungwa miguu na mikono jmn😢😢😢😢😢
@Ms-zuuuh0012 ай бұрын
Afu sikafaham hata na tulikaona mtoni wakati tunaoga na watu wengi kabas
@asilasaidsalim6138 Жыл бұрын
Mm nimeona ndoto ya maiti wa jika nimebeba na mvua kma kawaida huku sourth Afrika wala hakuna ukame hadi saiv Alhmdulillah sijui ukame huo na maana hio inakuaje
@user-tq1pl2kn4o7 ай бұрын
Mm kila mara naota makaburini labda nafukuzwa na maiti sasa jana nimeota nimeenda makaburini nkachukua kitabu maiti ikanitokea inakitaka nikakichukua ghafka nikaona maiti nyingi zomevaa nguo nyeusi zimefufuka akaja ustadh mmoja akanambia unaotaga sana maiti basi tafuta ua la rangi flani tufungue kitabu nikufungue
@UmJarra73 жыл бұрын
Mm naota baba na msalimiya alfu kamchumu mkono wake marambili naye akanichumu na mm nikamchumu kwa kikomu cheke na alikuwa na furha Sana ina Manisha nn
@happyfesto1887 Жыл бұрын
Jana mchana nimeota nimemuona jirani yangu ambaye alishafariki.amerudi akiwa na watoto wake wamemtembelea jirani yangu mwingine...usiku huohuo Tena nikaota nimekutana na maiti nisioijua.hy una maana gan
@nickyjames28542 жыл бұрын
Jmn mimi nmeota naaga maiti ndani ya week nmeota ndoto ya kuona maiti mara 2 je maana yake ni nini
@loveyou-ff4iu8 ай бұрын
Mm nimeota maiti mbili zimebebwa zaingizwa msikitini zikiwa damu zimefinikwa naona damu na miguu tu
@ImaniMfugale-hy6tm6 ай бұрын
Pole na kazi,Mimi nimeota mwanaume alishakufa amekufa tena amefufuka
@yusraelisante821011 ай бұрын
Mm nimeota nimemuona mtu anaumwa sana alafu amebeba mtoto wake akiwa amefariki je nini maana yake
@djyondergigi10273 ай бұрын
A aleikum na ukiota maiti huwajuyi ? Ni nini
@user-gf1ni5zj9v Жыл бұрын
Nimeota askar kagongwa na gari kaangukia chooni Mimi nikaenda kumtoa na alikua na mwiko tatu lakin mmoja ulobakia ndani yachoo inamaana gani,
@old_six_fashion_designer3 жыл бұрын
Maana yake nini
@gladysfatuma3558 Жыл бұрын
Niliota penye nimelala kuna maiti hapo karibu yangu akiwa nanguo nyeupe
@user-wt5he6ex1f Жыл бұрын
Me nimeota naenda kuzika nimebeba jeneza
@halimacharo8180 Жыл бұрын
Je?ukiota umeona mayai 2 na kuku
@old_six_fashion_designer3 жыл бұрын
Ukhut mimi nimeota ndoto nge tandu ananingata mguu wakushooto na nge mwenye mkia kanigonga mguu wakushooto upande was kisigino kwajuu kwenye siteki
@swallehraj27083 жыл бұрын
Mimi nimeota maiti imbebwa juuiko wazi Kama ya mtu mzima ilipokuwa yapitishwa nikawa naangalia chini yule mwanamume akanipitishia usoni akanambia mwangalie babako kumwangalia uso ni mzee mwili nivwa mtoto nikawa nalia namwambia sibabangu babangu alifariki kitambo na Sina kumbukumbu yoyote maana nilikuwa mdogo nikawa nalia Sana nikashtuka yamaanisha nini
@agapejosceline76833 жыл бұрын
Swali langu ni hili:sija elewa kwa nini naota ninapo pigana na dada yangu alafu na mshinda,sija elewa maana yake yani ni saidie tafadhali.kila siku ni ndoto hiyo hiyo
@halimacharo8180 Жыл бұрын
Ukiota mtu amekufa halafu amefufuka jibu ninn
@mussafadhilmussa1673 Жыл бұрын
Acha ushirikina we bibi
@mariamselemani1366 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣😂
@jacklinenoel1394 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@MeryAndrew-pt4cn8 ай бұрын
Mimi nimeota naosha maiti nisaidie kutafsiri
@MaulidiJafali-wv9xz Жыл бұрын
Mim nimeota rafiki yangu amefia kwenye maji
@nadhromar41063 жыл бұрын
Kulthum.hata mukipigiwa simu hamishiki.
@herdjarabu77338 ай бұрын
Ata hawajibu jumbe
@user-tq1pl2kn4o7 ай бұрын
Pia kila wki rafki yangu nipo nae alifariki2019. Ndani ya ndoto nakumbuka kama alikufa anakasirika mno nkisema hvyo
@user-tq1pl2kn4o7 ай бұрын
Pia kila wki rafki yangu nipo nae alifariki2019. Ndani ya ndoto nakumbuka kama alikufa anakasirika mno nkisema hvyo
@user-tq1pl2kn4o7 ай бұрын
Pia kila wki rafki yangu nipo nae alifariki2019. Ndani ya ndoto nakumbuka kama alikufa anakasirika mno nkisema hvyo
@user-tq1pl2kn4o7 ай бұрын
Pia kila wki rafki yangu nipo nae alifariki2019. Ndani ya ndoto nakumbuka kama alikufa anakasirika mno nkisema hvyo
@user-tq1pl2kn4o7 ай бұрын
Pia kila wki rafki yangu nipo nae alifariki2019. Ndani ya ndoto nakumbuka kama alikufa anakasirika mno nkisema hvyo