Mwenyezi MUNGU azidi kufungua anga lako la maombi Joel nanuka .Azidi kukuinua na DAMU ya yesu kristo Unene mema kwenye maisha yako
@joelnanauka22 күн бұрын
Ameen Ameen
@JamesAtilio24 күн бұрын
Kwa kuongezea Kifo cha kiroho ni dhana inayozungumzia hali ambapo mtu anatenganishwa na chanzo cha maisha ya kiroho, mara nyingi Mungu au uhusiano na nguvu ya juu ya kiroho. Hiki siyo kifo cha kimwili, bali ni kifo kinachohusiana na hali ya ndani ya kiroho au kiimani. Katika Ukristo, kifo cha kiroho kinahusiana na dhambi. Dhambi huleta kutenganishwa na Mungu, na hii inachukuliwa kama kifo cha kiroho. Paulo Mtume anasema katika Warumi 6:23 kwamba "Mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu." Hapa, "mauti" inahusisha kifo cha kiroho, ambapo mtu amepoteza uhusiano wake na Mungu kutokana na dhambi.
@RedgaMsigala23 күн бұрын
Ahsante kwa somo nzuli naona kuwa nitapiga hatua kwa kulielewa somo hili.
@faudhiasalum727923 күн бұрын
Hallelujah Ubarikiwe sana kaka Joel ❤
@atupendakilian18 күн бұрын
Ahsante
@SaumuBakari-ub9bt23 күн бұрын
Shukran sna kaka motivation zako zinanipa mwanga mpya ktk maisha ❤
@abdulfatahjuma310524 күн бұрын
It is best speech more blessing
@gloriakinyota-qv8pp24 күн бұрын
Asante kaka Joel umenisaidia kubadilika katika mambo mengi sana God bless you
@josephtesha87224 күн бұрын
Asantee nimejifunza
@alexlucas157124 күн бұрын
Shukrani sana Kaka joel kwa elimu hii unayozidi kunipa na YEHOVA MUNGU azidi kukupa afya njema wew na familiar yako 🙏🇹🇿