😭😭😭 nimepambana sana kwa kwakutumia nguvu zangu, akili yangu na kutegemea binadamu lakini kwasasa kwa hapa nilipofika bila YEHOVA MUNGU sitoboi, mambo mengi sana nmepitia, nmetapeliwa sana lakin sitakata tamaa nitaendelea kupambana
@Madam2553 ай бұрын
Kuna kuinuka tena brother anglia mbele unakoenda marufuku kukata tamaa mimi mwenyewe nmefeli mara nying lakini siwezi kukata tamaa ilimradi bado napumua bado naiona kesho yangu kubwa
@miriammadolo71923 ай бұрын
Mungu Ndio kila kitu endelea kumtengemea Mungu
@thegoldenmindtz3 ай бұрын
Changamoto ni njia nzuri za kuboost ufahamu wako na kukufanya uwe IMARA. Kwakweli huwa sipendi kukaa au kuishi mahali ambapo hapana changamoto. Kwa upande wangu kila iitwapo leo nazidi kuwa bora zaidi ya jana yangu,na kinachonifanya niwe bora zaidi ni changamoto nazozipitia. Najifunza vingi kupitia changamoto.
@joasitz95593 ай бұрын
Barikiwa sana
@HalimaAmadi3 ай бұрын
Asante sana kaka❤ kuna muda nakata tamaa kutokana na changamoto ninazopitia kwenye kazi yangu, ila nageuka nyuma naangalia familia yangu watoto wangu na nikikuskiliza na wewe nafunga jeraha jeramba lina endelea ubarikiwe sana❤
@LucyMachibya3 ай бұрын
You are a blessing to this society
@MsafiriSaidi-e3k3 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka. Huwa napata sana nguvu za kuendelea mbele ninapokusikiliza.
@ViviKitchen233 ай бұрын
❤❤❤❤
@Madam2553 ай бұрын
Asante sana kaka Joel mimi pia mwaka jana nilivunjika moyo baada ya kumuamini dada yangu na kuanzsha nae mladi. Wa kilimo mimi niko mbali yeye alikuwa ananitumia picha za mashamba ya watu mwisho wasiku nothing done Ila saivi nmefunga jaraha zangu na nmejifunza kitu
@teamchawote96103 ай бұрын
Shukran sana ndugu
@alexlucas15713 ай бұрын
Good morning top team academy
@OmanOman-c9d3 ай бұрын
Shukran joel nimefunga jeraha ili kuzuia damu❤❤❤
@filorammbaga57103 ай бұрын
Asante Joel amenitia moyo. Nina maumivu fulani lkn kwa neno hili nimepona.
@avodianamapunda78613 ай бұрын
Ahsante kaka kwa ushauli wako umenipatia nguvu.
@CatherineJacob-yt5sy3 ай бұрын
Kuna nyakati nilikuwa napitia changamoto mbalimbali kazini kwangu ila kutokana na maneno yako yalinijengaa sana ninaushuhuda mwingi kutoka na maelekezo yako ambayo niliyafanyia kazi uzidi kubarikiwaa bro joel
@AliDemashk-g2c3 ай бұрын
Asante sana Mimi niliacha kutegemea watu saii
@MsafiriSaidi-e3k3 ай бұрын
Asante kaka
@Maidaadinani3 ай бұрын
Ahsante sana
@MtazameKristoTv3 ай бұрын
Ahsante sana
@shukranjulius95263 ай бұрын
Barikiwa zaidi kaka Joel ❤❤
@GerigaJoram3 ай бұрын
Kaka naomba unisaidie kampuni ambazo unaweza kununua issa
@MwanaishaHemed-xi6rj3 ай бұрын
Asante Sana
@MonicaMlowe-es9il3 ай бұрын
Asante sana
@julianalaly20953 ай бұрын
Asante sana.
@ummuwawili3 ай бұрын
❤
@kuruthumukondo71493 ай бұрын
Shukrani kaka ❤
@michaeljm7303 ай бұрын
🎉
@CatherineJacob-yt5sy3 ай бұрын
Nilimic sana maoni yako Nimeludi nazidi kufurahi kazi ya mikono yako Mungu azidi kukubariki🙏
@brackskinyozi32803 ай бұрын
Asante kaka Joel mungu azidi kukubariki nimejifunza kitu
@KalabaKlb3 ай бұрын
Nipo tayari kaka Joël kulipiya mi niko nchi Congo RDC 🇨🇩