Inafurahisha sana, Sasa Wananchi tuko tayari kwa Mabadiliko. Kwa uwezo wa Allah tutashinda Kwa U Moja wetu. Dhulma itashindwa na Haki.
@aneth5208 күн бұрын
Changamkeni na kwenye sukari mkamate wabadhilifu, na kwenye wasiojulikana na kwa mawaziri wezi na huko mpeleke nguvu kama hii,
@mwaamwetahussain99477 күн бұрын
Asifungwe alizwe kwanza not nini kilimsibu mpka akaichoma
@jeunajuatv8176 күн бұрын
Si kwenye iyo Ci anasema
@desiderihugo57048 күн бұрын
Safi sana . Hii inaonyesha jinsi gani wamechoka
@sylvestercameo62638 күн бұрын
Nawaomba vyombo vya dola na mahakama, nguvu iliyotumika kuendesha kesi hii na kutoa hukumu kwa muda mfupi itumike kumaliza kesi nyingi sana za washitakiwa wanaosota mahabusu kwa miaka kadhaa ili wapate haki zao.
@jesaminzo7 күн бұрын
Hakika
@lydiadaudi40767 күн бұрын
Na kesi za viwanja @@jesaminzo
@MashakaMagesa6 күн бұрын
Wamemuogopa Boss
@hafsalucky10886 күн бұрын
Ni kweli.
@MwanakomboNassor-bw3by8 күн бұрын
Mambo mengine bwana .tufanye kazi sasa rais anagawa pesa kwa wananchi tuheshimu serikali matatizo binafsi msiyaweke kisiasa
@Ernestlaiza7 күн бұрын
Toka
@MwanakomboNassor-bw3by7 күн бұрын
@@Ernestlaiza Asante natoka
@frankcharles39806 күн бұрын
KICHWA HASARA PORE SANA @@MwanakomboNassor-bw3by
@tinnahagustinolyelu42476 күн бұрын
Wengine wavivu kufanya Kazi hivi Mimi ninavyotaabika huku nchi za kigeni ukute kijana WA kiume anaamka anakaa tu kijiweni aise kijana uza haya maji Maisha yanaenda au lima viazi nyegere iringa huko kwanini usitoboe vijana acheni uvivu hasa wanaume tafuteni hela
@froma37327 күн бұрын
Akitoka atukune tena kuna Wadhamini watamsimamia lkn akiomba mtaji Wa kuendesha Maisha hkn mtu atachangia
@margarethpolepole74388 күн бұрын
Mhuuuu Awamu hii ya Sita kiboko sanaaaa Tunachoomba Amani tu Tanzania
@user-xk7vy4gb6g8 күн бұрын
Hizo anapelekewa Rais mwenyewe au zinaenda sehemu gani?. Wanaolawiti hawashitakiwi tena kesi haisikilizwi hata
@user-fw6dp9iy4i8 күн бұрын
Walaanike wote wenye Nia ovu ya kunyunyiza mafuta ya petrol Taifa letu ,ili kulipiga kiberiti,,,, Watu wanashindwaje Ku foresee mambo? Halafu unavaa suti unavaa tai
@CotridaKigwile-d6p6 күн бұрын
Kuna watu wapo magerezani hakuna cha hukum wala nn dar
@vero573 күн бұрын
Labda atakua ana afya ya AKILI au katumwa , safi sana kwa walio changa , ndiyo huyu apewe ulizi .
@bakarikayugwa32957 күн бұрын
Time amua na tunaweza ukweri ni mchungu rakini ndo ukweri kwa wafiraji na wafilwaji na wasagaji razima povu riwatoke hatutiki ushoga na usagaji ukweri mchungu
@bellaseverua6096 күн бұрын
Hukumu za Mungu zipo
@karolikisaka89918 күн бұрын
Tutakusanya Hela za kutosha kuhakikisha ccm wanaondoka
@MilloWamilonga-ft8ir8 күн бұрын
@@karolikisaka8991 mmmhh!! Una ndoto za Kimweri. Kwa chama kipi cha kuitoa CCM? Au hao chagadema chama chenye ubaguzi.
@MilloWamilonga-ft8ir7 күн бұрын
@@karolikisaka8991 unachekesha sana, pesa ipo wapi au huko chagadema? Hiyo ni saccos ya wenyewe acha uchawa wa kijinga
@vero573 күн бұрын
Huyu ndiyo mwambaa, tumchangie mtaji jamani
@emmanuelmlekwangano99916 күн бұрын
Huu mchezo sio poa kabisa duuu.
@bonifasmashingia7 күн бұрын
KUNA KIFO JAMANI VIONGOZI MNAOIONGOZI TANZANIA!!IM NOT HAPPY TO BE BORN IN TANZANIA RULED BY CCM and constitution of 1977
@robertphilip3858 күн бұрын
Wengene wanateseka na kesi miaka mingi lkn hukumu haitoki lkn muzabandari kaammbiwa ukweli wake kesi imeendeshwa haraka haraka
@Samwelsamwel11526 күн бұрын
Ama kweli Tanzania ni nchi ambayo watu wake wamekufa na hawataamka milele
@bonifasmashingia7 күн бұрын
50yrs later no current CCM oppressive leader will stay alive instead they will ⚰️⚰️ nawakumbusha kuwa Mungu yupo hakii kwanza kabla ya hukumu ya Mungu
@user-it3im4di4q8 күн бұрын
hii nguvu ingetumika kwa waliomuua yule mtoto albinho huenda ingekuwa vizuri ila mambo ya muhimu hayapewi umuhimu ila ya kiji.....ndio yanapewa umuhimu
@MilloWamilonga-ft8ir8 күн бұрын
@@user-it3im4di4q nguvu gani unataka sasa wewe? Kwani si wapo mbele ya sheria tayari, acheni kufuata bendera za u~chagadema
@RaymondKilomeye7 күн бұрын
Ndo uiulize serikali Yako kwann police wanashughulika na mamb yasio ya msingi na mambo ya mcngi km hayo wanayapuuza
@MilloWamilonga-ft8ir7 күн бұрын
@@RaymondKilomeye kama mambo gani? Acha kukaririshwa kijinga na hao chagadema dogo. Unaukaribia upimbi wakati wewe ni kijana buana. Unababaishwa na hiyo SACCOS ya Mbowe makengeza?
@verdianabanabi22056 күн бұрын
Umshukuru mungu wewe ambaye hakukuumba na makengenza.
@MilloWamilonga-ft8ir6 күн бұрын
@@verdianabanabi2205 sasa ni uongo mfalme wa kudumu Mbowe hana makengeza? Mbona hata wewe ukimuona albino unamuita zeru zeru? Ndio kosa?? Hujaona kilema wa mguu kuitwa kiguru? Punguza uzwazwa wewe chagadema inakutegemea.
@BoscorPatrick8 күн бұрын
kazi kweli kweli.ndiyo maana sjaona kiongoz yeyote wa juu akikemea ushoga.zaidi ya wabunge kadha tu.kuwapata wasiyojulika
@KarolMboya6 күн бұрын
Hongera malisa ss tunakuombea kwa mungu baba akupe maisha marefu umelisema lililokua mioyoni mwetu
@Petro.John.7 күн бұрын
Hivi ni kwanini watu wachange?.
@barakamanga55027 күн бұрын
Wamependa kilicho fanyika
@NaziaMudi5 күн бұрын
Wanajitambua wamechoka na dhurmaaa
@binsherbal60898 күн бұрын
Walaaniwe wale wote walomuonea huyu kijana na kumfunga bila Kosa, walaaniwe wao na vizazi vyao akiwemo Hakimu njaa alomuhukumu. Na mjue kwamba Ukombozi uko mlangoni na nyie mjiandae kulia kama mnavotuliza sisi leo. Nawachukia zaidi ya kuwachukia.
@MilloWamilonga-ft8ir6 күн бұрын
@@binsherbal6089 hivi unaijua sheria vzr au unabwabwaja tu kwa sababu mdomo mali yako??
@MilloWamilonga-ft8ir6 күн бұрын
Chagadema inawapoteza sana.
@binsherbal60896 күн бұрын
@@MilloWamilonga-ft8ir Tumekubali kupotezwa, we fuata usikopotezwa.
@MilloWamilonga-ft8ir6 күн бұрын
@@binsherbal6089 sawa ni mapekezo yako usijali
@frankcharles39806 күн бұрын
@@binsherbal6089KICHWA HASARA PORE SANA
@user-lt1bi5nr1x6 күн бұрын
Mbona mashoga wanatamba tu nchi hii. Huyu dogo anashida gani. Mlishasema kachoma picha ya rais. Sio kamchoma moto rais. Shida nini
@EzekiaMyila7 күн бұрын
Sasa hii tzn mnadhani hii iko sawa kama picha ya raisi imechakaa na unayo nyumbani utaifanyaje jamani sheria na haki za watu basi hazipo hata vyombo vya dora viangalie kuwaonea watu mungu hapendi
@lawimanumbu51037 күн бұрын
Msinunue magazeti yenye picha ya rais mkiyachoma Shauri yenu
@athumanmnguruta3386 күн бұрын
Kwakizazi hiki kimeanza hivi je kijacho kitakuaje ?"
@margarethpolepole74388 күн бұрын
Huyo ana Afya ya Akili inapaswa akapimwe
@michaelmhina36138 күн бұрын
Kama ana afya ya akili kwanini akapimwe? Pambaf
@usembiphonedar56327 күн бұрын
Inabidi ukapimwe wewe kwanza! Wananchi wamechoka na hawa mafisadi wa ccm! Inatakiwa ccm ife kwa uwezo wa Mungu.
@JesusJesus-ny1sm4 күн бұрын
Unaonyesha wewe ndiyo una tatizo kwenye Ubongo hujitambuwi ukapimwe!!!! Huyo kijana anajitambuwa sana na amewakilisha WaTanzania wengi sana tatizo hasira zilimzidia siyo kosa lake, maisha magumu anayopata kwa Uongozi mbaya wa Mama Samia ndiyo sababu amefanya vile, wewe ni bora kunyamaza kuliko usichokielewa vzuri unajilopokea tu !!!!! Huna akiri halafu hujifahamu.
@JesusJesus-ny1sm4 күн бұрын
@@usembiphonedar5632Huyu Magreth hajitambuwi kuwa yeye kichaaa analopoka hajielewi.
@Luganoamos-jv5in8 күн бұрын
Watu bwana mhhhhh,mi nimekaa Pale naangalia pambano
@MnubiMm7 күн бұрын
Ndio maana alikataa kujitetea kumbe alikuwa na uhakika kwamba atatoka hivi kumbe kutukana watu na kukashifu ni jambo zuri ukitukana unachangiwa pesa unatoka hawezi acha tukana atarudia nchi hii wewe tukana tu utachangiwa utoke iko siku atatukanwa Mama yako nasi tutachangia
@rayisadesigns26467 күн бұрын
Wapuuzi wapo wengi kaka. Si ajabu kuna watu walimtuma.
@frankcharles39806 күн бұрын
@@rayisadesigns2646KICHWA HASARA PORE SANA
@JesusJesus-ny1sm4 күн бұрын
Wewe ni Mpumbavu sana na wenzako wanaokusapoti, huyo siyo mpumbavu kuchoma picha alionyesha hasira zake sababu ya Uongozi mbaya sana wa Mama Samia, maisha yamekuwa magumu sababu ya Uongozi wake hivi wewe na wenzako mtakuwa mnaletewa chakula na wazazi wenu hamjuwi kutafuta maisha hamna uchungu wowote wa maisha nyie, nyamaza kimya km hujuwi lolote.
@JesusJesus-ny1sm4 күн бұрын
@@rayisadesigns2646Mpuuzi ni wewe usiejielewa
@juliuskitaluka12068 күн бұрын
Changamoto kubwa sana
@HanifaOman-oo4pl7 күн бұрын
Kioakitu kinasababu. Lizikiyake ipitie picha
@simongwandu73925 күн бұрын
Alishawishiwa na hao wanaomchangia . Hao wanaomchangia wana jambo lao Wachunguzwe
@user-pt4jf7lg3z5 күн бұрын
Tanzania bwana , kwenye mambo ya maana mnafyata , eti wachunguzwe, mbona ubadhilifu hauchunguzwi wala hamsemi
@saiditasher83626 күн бұрын
Ndungu zangu tukumbukeni inchi yetu ss ndio wakombozi vijana tuwe najasili tukomboeni tz imetekwa nawachache tutalia nasamia akitoka anakuja mwingine anahandaliwa sasa ndungu zangu pamoja tutoeni uhoga kufa tatakufa tu 🌜
@ezekielmatondane7147 күн бұрын
Huyu mama hafai sana
@user-lt1bi5nr1x6 күн бұрын
Mbona askari anabunduki vipi
@RenaldaZeramula7 күн бұрын
Leo leo
@mkudesimba95188 күн бұрын
Acha bangi kwani rangi ni uchizi tosha utaugua kichaa !
@BakariIssa-nx3yf7 күн бұрын
Wamechanga kwasababu watanzania wamechoka nambambo selekali ufanya maana kuiba pesa za watanzani isiwekosa awashitakiwi? Ilapicha yaraisi kuchana kakamatwa malamoja
@ezrakaturitsaofficialtz78737 күн бұрын
Huyo ni Malaika sio mwanadamu wa Kawaida sasa polisi mkipuuza neno la Mtumishi wa Mungu itawagharimu minyororo itakatika kama Paulo na Sila
@user133757 күн бұрын
Polisi awahusik ,mlaum rc
@user-es4uf6gj7u6 күн бұрын
Huyukijana ndio malaika😂😂😂😂😂😂
@raphaelmacha11738 күн бұрын
Namba za kutuma pesa mtume nasi tuchangie ni wajibu wangu na wetu kupambana na wakoloni weusi
@mabondolawrence18128 күн бұрын
Nashauri maandalizi ya ripoti ya cag yafanywe yakijumlisha takukuru maana ripoti huainisha kilichoibwa ila thamani ya hii picha bado haieleweki thamani yake!
@admaumsengi42306 күн бұрын
Good job be blessed guys
@kagombaEnok8 күн бұрын
Mungu akulinee Broo Malisa
@FredymaswiMwita-oj6gv7 күн бұрын
duh [pole
@user-pb4rn2tj4q6 күн бұрын
Uonevu tu matukanaji yapo ccm yapo chadema mbona hamuyashiki masikin wanateseka haswa wajimbaji wadogo kla sehemu mchina senta zimekufa mnamuone kijana wawatu picha 5:03 😅😅 mnamuhukumu mtu hamna azabu nyingine.😂
@erestizacharia47588 күн бұрын
😂😂😂😂
@chrissamani79217 күн бұрын
Natamani nami ningemchangia, kwa kukemea ushonga mchango wangu unahusu bila maumivu
@MalijasJRCharles-vl2rq7 күн бұрын
Pole kijana.
@Allybinamour7 күн бұрын
Nadhani sasa atakua na adabu na heshima, asiefunzwa na wzazi wake hufunzwa na ulimwengu, kwenye maisha jifunze kuheshimu wakubwa.
@nurumwashinga36627 күн бұрын
Acha ubwege Kwa hiyo na wewe unashabikia ushoga? Maana huyu mwamba alikemea ushoga nakusema wewe raisi hufai umeruhusu ushoga ndio kachoma picha
@JesusJesus-ny1sm4 күн бұрын
Kumbuka sn kuangalia jina la anae comment visivyo na akiri, huyo ni Mzanzibari anamtetea ndugu yake hajuwi lolote ili mladi ka comment tu !!
@Allybinamour3 күн бұрын
@@JesusJesus-ny1sm kwa maana hio hio na nyinyi watanganyika mnamtetea mtu ambae hata kuheshimu alomzidi umri hajui kwani hakuna njia nyengine yakuonyesha hisia zake hadi afanye alivofanya?
@user133757 күн бұрын
Mi niko kwa ile smile ya mwamba 🤣🤣🤣💪💪💪💪
@MagrethMallya-we8ui5 күн бұрын
Wekeni namba kijana apate mtaji, Watanzania tuchange hata kamani bukubuku.
@JesusJesus-ny1sm4 күн бұрын
Hata mimi wazo hilo nimepata wazo zuri saaana!!!! Huyu Kijana amefikisha ujumbe kwa Rais amewakilisha mawazo ya Wa Tanzania wengi sana.
@clemencemkondya85617 күн бұрын
Wajiiga wote waliomchangia pesa ngoja ije i tokeye kama kenya .Huyo nimwehu tu
@edsonnelson44647 күн бұрын
Itokee kama Kenya mbona hueleweki
@harunamtiko1177 күн бұрын
Bora itokee tu kwan unaogopa nn wakati utakufa, hata ukiwa chawa km utakufa tu, c bora ufe ukipigania haki
@user-lt1bi5nr1x6 күн бұрын
Wehu wake nini
@frankcharles39806 күн бұрын
Clemence..KICHWA HASARA PORE SANA
@JesusJesus-ny1sm4 күн бұрын
Wewe huna akiri ni Kichaa Taahira wewe !!!! Hivi kwa nn hujitambuwi !!!!? Hivi unadhani WaTanzania ni Mataaahira kama wewe !!!!! Wewe ungeacha ku coment siku zote huna la maaana hujielewi wewe kuwa akiri huna.
@davidmalogo71007 күн бұрын
Namba za kuchangia tutazipataje namba zakweli sio za matapeli
@MeliYaMaweBm7 күн бұрын
Hivi Kuna Njia Gani? Ya Kumkosoa Rais Wa Jamhuri Ya Tanzania Mtu Akipaza Sauti Kwenye Social Media Asikisikilizwe Siyo Kumhukum Tambua Nyuma Yake Kuna Wafuasi Wake
@user-hx8gn5yx8c8 күн бұрын
Tanzania si mchezo yaani watu wanadiriki kuchoma vitabu vitakatifu hawahukumiwi yaani chawa wengi hata kurani ikiwa chakavu inachomwa moto tunaabudu viongozi kupita kiasi
@epimackjohn4616 күн бұрын
Mchango huu umeenda haraaaka ! Tuhuma zilizomhusu kijana huyu zinatoa TASWIRA gani kwa wachangiaji mpaka wachangie haraka na kwa DHATI hivi ??
@JesusJesus-ny1sm4 күн бұрын
Majibu unayo tayari unaulizaje swali ndugu !?? Kwa ufupi WaTanzania hawafurahishwi na uongozi wa Mama Samia na km anasoma meseji za WaTanzania kuhusu yeye ni kwamba Rais anafahamu ila anafanya kiburi.
@lulanjamd38867 күн бұрын
Safi kabisa
@allyhasani37508 күн бұрын
Mungu awabaliki watanganyika
@edsonnelson44647 күн бұрын
Awabariki siyo awabaliki
@halimamasai22347 күн бұрын
Eti watanganyika matako wewe huyu mama yupo sana mpaka 2035 mtaachanga sana lakini mama Samia hababaiki
@frankcharles39806 күн бұрын
@@halimamasai2234KICHWA HASARA PORE SANA NYOKO WE
@thamani58427 күн бұрын
Nyie mlomchangia ndo mlomtuma
@jafarimnaro7046 күн бұрын
Ndio tumemtuma
@PrinceHendry-hp8vv7 күн бұрын
Kweli mmemchoka mazaaaa😁😁
@simonibonifasi31316 күн бұрын
Malisa mungu akulinde sana naukupe afya njema
@leonardlameck74867 күн бұрын
Dalili ya mvua ni mawingu,ukiona wengi wanafurahia jambo linaloonekana kuwa ni la kinyume,ujue hizo ni dalili za kuwakera watu unayehusika na hilo jambo
@rebekakulwa61597 күн бұрын
Lifisiyemu usitutishe tutapigania haki yetu kama wakenya tunaanza kutoka usingizini mnatufanya kuwa misukule tumeshachoka subirini
@hamynas6 күн бұрын
HUYU DOGO KAFANYA UPUUZI MNAHANGAIKA KUMTOA? TOENI HIZO PESA MKANUNUE MADAWA MSAIDIE WASIO NA UWEZO..DOGO KAJIIINGIZA KTK MATATIZO YA KIJINGA KABISA
@user-pt4jf7lg3z5 күн бұрын
Kodi zetu zinafanya nini, mpaka tuchangie madawa
@user-pt4jf7lg3z5 күн бұрын
Kodi na rasilimali zinaenda wapi. NCHI YETU SIO MASKINI KUCHANGIA MADAWA.ndio watu wsnachangia upuuzi
@user-bx3kl4hn6j7 күн бұрын
Wengne wanakaa mahabusu miaka kumi na Tano ukiambiwa uchunguzi haukukamilika ila dogo juzi2 tayar kashahukumiwa kisa kachoma moto picha ya hatariii sana
@alphoncewilliam43257 күн бұрын
Ujinga mtupu
@bongo398 күн бұрын
Mchangieni ndugu zenu kibao wana shida za maisha huko vijijini wanalala njaa mnashindwa kuwasaidia leo mpuuzi mmoja mnamchangia eti mumtoe jela mtoeni na huyo jamaa mtaona kama hajarudia tens kosa mtamchangia tena ataona wapo watu kama nyie mtamchangia tena ingekuwa wametukanwa wazazai wenu mkemchangia au kwa sababu sio mzazi wenu
@ezekielkiduge87308 күн бұрын
Wivu unakutesa pamoja na uchawa wewe una huruma sana wenye njaa wangapi umewachangia????
@robertphilip3858 күн бұрын
@@ezekielkiduge8730safi sana umemjibu vizuri huyo boya
@MilloWamilonga-ft8ir8 күн бұрын
Halafu ukute waliochanga hata familia zao Zina ufukara mkubwa tu. Endeleeni kuifuata bendera ya uchagadema.
@raphaelmacha11738 күн бұрын
Wewe akili yako hata kuku kakuzini lodilofa wewe.
@MilloWamilonga-ft8ir8 күн бұрын
@@raphaelmacha1173 ndio ukweli, kwani wewe unaona busara kumchangia mtu ambae ana akili zenye matege? Si bora wangewachangia ndugu zao wenye mlo mmoja kwa siku
@rashidkapile5 күн бұрын
Daaa! Ndugu Marisa mungu akubaliki DOGO alionewa pakubwa Huyo aliotowa amli ya kukamatwa ni mbinafusi Angepima hilo kosaaa,
@HabibuUrasa7 күн бұрын
wote waliomchangia ni 000000
@BakariIssa-nx3yf7 күн бұрын
Ww ndio ooo
@ExaudMwakila7 күн бұрын
Hata ww ulie comment ni maviii
@HabibuUrasa7 күн бұрын
Ww ni 0000000 Kwani ww unakunya biscuit
@frankcharles39806 күн бұрын
@@HabibuUrasaKICHWA HASARA PORE SANA
@lugelosanga57986 күн бұрын
Je mama yenuuu anapendwaaa au vpi wakuuuu
@YahayaRashid-w2f5 күн бұрын
Safi sana
@michaelsamson96636 күн бұрын
Mjitaidi kukamata wanaoteka watu wasio na hatia
@user-lt1bi5nr1x6 күн бұрын
Kama kachoma picha na nyie mchome picha yake mabo yaishe
@RoanCorporation6 күн бұрын
Rais yetu ny kama bandera ya nchi , uwezi kuchoma , yani ni mbaya! mimi nakubali democrazia lakini sio shahihi aliofanya
@AsmaAli-je2zz6 күн бұрын
Nchi Ina upuuzi hii kwani picha ndo nini
@cheiknamouna20585 күн бұрын
Mtu kachoma tu karatasi amelindwa na bunduki sasa akitoka tutachanga apate na maisha mazuri na kuchomwa zitachomwa subirini 2025 tuna jambo letu💪💪😂
@msafiriomary8937 күн бұрын
Sisi hatumtakiiiiii kwani razima atuongoze
@halimamasai22347 күн бұрын
We mkundu kama wewe humtaki sisi wengine tunamtaka na atakua Raisi wa nchi mpaka 2035 tunaye Samia wetu. Na waliochangia ni wasenge wenzio mashogaaaaa
@frankcharles39806 күн бұрын
@@halimamasai2234KICHWA HASARA PORE SANA
@JesusJesus-ny1sm4 күн бұрын
Utampigia kura wewe peke yako ashinde huo Urais !??? Au unajifurahisha peke yako tu !!!! Halafu unatukana wewe ni Mwehu tu.
@JesusJesus-ny1sm4 күн бұрын
@@halimamasai2234Utampigia kura wewe peke yako huyo Rais wako ashinde !????
@halimamasai22344 күн бұрын
@@JesusJesus-ny1sm sita kushanga mtu mwenyewe unjita jesus hutampenda Samia kwa udini wako lakini kwa tarifa yako Samia 5 tena blia shida atapeta na wewe utabaki kama ulvyo hovyoooooo
@farajapeasonmagota82267 күн бұрын
Sasa mtu hana hata kisu analindwa bunduki kubwa hivi