No video

ASKOFU

  Рет қаралды 941,536

VYAKULA_NA_TIBA

VYAKULA_NA_TIBA

Күн бұрын

#mwamposa #kakobe #diamondKatika ibada ya tarehe 2 /2/2020Askofu kakobe akemea vikali kwa baadhi ya mitume na manabii kutumia maji na mafuta aongea jana katika ibada

Пікірлер: 1 200
@doricemtungi277
@doricemtungi277 3 жыл бұрын
Maji na mafuta yapo kwenye kumbukumbu la torati mbona ukikanyaga unakuwa na miguu ya shaba na leo nimekanyaga kwa mwamposa hatumuachi kamwe man of god mwamposa Asante kwa kutuponya
@mwalimunyemba6183
@mwalimunyemba6183 3 жыл бұрын
Oh pole kakobe umekwishs
@aidanmbilinyi8184
@aidanmbilinyi8184 3 жыл бұрын
Poleni san wenznu tunpikia samaki na tunkunywa mafuta na samaki endlen kufata miujiza mtajuta sana kakobe tapeli na huyo mwamposa ni wale wale tu
@samwelnyankena9873
@samwelnyankena9873 3 жыл бұрын
Mh kazi mnayo karbu sabato achanen na huo ujinga
@teresiamwita1788
@teresiamwita1788 3 жыл бұрын
Mmetuibia......Sasa hv Mmezidiana mnapigana madongo nyie mtakuwa kuni
@naomibuchanga9047
@naomibuchanga9047 2 жыл бұрын
Yaan mm kwa shda nilizokuwa nazo hanishawishi kakobe bas na iwe hvyo
@sarahtaste2876
@sarahtaste2876 2 жыл бұрын
Eeh Mungu kupitia madhabahu ya arise and shine naomba Mungu unipe utulivu wa imani simwabudu Mwamposa naliabudu jina la Yesu Kristo
@sevefred1456
@sevefred1456 2 жыл бұрын
Amen amen
@mariammwamaso3984
@mariammwamaso3984 2 жыл бұрын
Ameen
@boniphacemvungi9317
@boniphacemvungi9317 2 жыл бұрын
Jichanganye umepumbazwa
@neemakasawanga1259
@neemakasawanga1259 Жыл бұрын
Hauna lolote, miujiza ndo iliyokupeleka.
@floraelias8769
@floraelias8769 Жыл бұрын
Umep9tea maana unaab7du anachokiab7du mwam0osa toka hko hrk ww
@MarryMarcel
@MarryMarcel Ай бұрын
Mungu akupe Maish Marefu baba yangu nakukubar mafundisho ykooo
@barakabiz8076
@barakabiz8076 3 жыл бұрын
Mtoto ambae mungu alimpa upako wa kuokoa watu duniani na mm nikiwa moja wapo kuokolewa mtume. mwamposa ama borodosa ni Powe ⚡⚡⚡⚡
@jasminsaid4142
@jasminsaid4142 2 жыл бұрын
Mwamposa alibarikiwa Toka tumboni kwa mama yake
@immaculatejohn9906
@immaculatejohn9906 2 жыл бұрын
Acha ujinga
@jenipherhenry209
@jenipherhenry209 2 жыл бұрын
But unatakiwa kujua tulipewa buree tunatoa buree but watumish wa Leo n after money
@lucasmabula8340
@lucasmabula8340 2 жыл бұрын
MATHAYO 7:21-23 kaisome na uielewe usifkiri kila mtumishi anayeponya katumwa na MUNGU, kama ni hivyo basi hata waganga wa kienyeji nao wametumwa na MUNGU. Tujifunzeni NENO mpendwa ili tuijue kweli nayo ituweke huru YOHANA 8:31-32 Tusiwe watu wa kufuata ishara, maajabu na uponyaji hivyo hata ibilisi hufanya
@diwenagoodiani8087
@diwenagoodiani8087 Жыл бұрын
@@jasminsaid4142 una uhakika jihadharini na manabii was uongo
@halmaharuna6
@halmaharuna6 3 жыл бұрын
Aaah wee mwamposa noma alfu yeye ajiiti nabii mwaache aponye watu ata mim nimepona kweny madhabao ile maji mafuta saf tunatumia weka na ww maji mafuta mwamposa ❤❤❤mungu akupe umri mrefu mwamposa
@emmanuelchipanha6765
@emmanuelchipanha6765 3 жыл бұрын
Bibilia gani imesema mafuta yanaponya??,
@pamerakinabo3646
@pamerakinabo3646 3 жыл бұрын
@@emmanuelchipanha6765 kakobe we mbwaa tuu.mbonawewe ulikuwa unanyanganya watumishi wako cheni hereni za dhahabu.na kanisa lako ukifungua macho unakutana na majoka. Huna lolote wewe ndiyo tapeli mkubwa huna uponyaji wowote. Acga wivu mwamposa anaponyaaa na ha na utapeli kama wewe.
@jmsonlinetvmalya871
@jmsonlinetvmalya871 3 жыл бұрын
Yes mungu anatutendea kupitia mafuta na maji
@godfreywilliam9673
@godfreywilliam9673 3 жыл бұрын
@@emmanuelchipanha6765 lejea kwenye biblia
@abdullahhaji8779
@abdullahhaji8779 3 жыл бұрын
Ww muislamu au mkristo
@ellyjoel9689
@ellyjoel9689 Жыл бұрын
Ubarikiwe Mtumishi kwa ujumbe mzito aliye na sikio ayasikie hayo ambayo Roho ayambia makanisa
@matorahusseni936
@matorahusseni936 3 жыл бұрын
Laaillah ilallah Muhammad allasullullah kama unamwamin Allah usiache kulaik
@vumiliamwakasyuka2911
@vumiliamwakasyuka2911 2 жыл бұрын
Mko sawa baba.acha tuu
@danielmbughi268
@danielmbughi268 2 жыл бұрын
Allah sio mungu wakweli Bora ungemjua yesu mwana wa mungu wa kweli
@ZuhuraMwanafuno
@ZuhuraMwanafuno 2 ай бұрын
Yesi siyo mungu
@tinamzava834
@tinamzava834 3 жыл бұрын
Mwamposa kuinuliwa kwake na mungu ameponya maisha ya wengi sana muachen mtume
@glorybonifasi3704
@glorybonifasi3704 3 жыл бұрын
Hujaoka wewe anaponya watu wapi, Mungu akupe macho ya rohoni sisi tuliokoka tumeona anatumia uchawi
@carolinederi5690
@carolinederi5690 2 жыл бұрын
@EPAFRA MWANSASU kwa halali sio njia ya mkato au ulimuona Yesu akitumia mafuta ya upako?
@winifridaagidy7733
@winifridaagidy7733 2 жыл бұрын
Msizungumzie mabaya juu ya watumishi wa mungu usitizame kibanzi kilicho kwenye jicho la mwenzio wakati wewe unaboliti
@carolinederi5690
@carolinederi5690 2 жыл бұрын
@@winifridaagidy7733 Nabii wa uongo awatatoka kuzimu direct wako miongoni mwetu Yesu mwenyewe alisema utawajua kwa matendo...mafuta ya upako ni sign moja yao ya kuwatambua...
@MrherbsTz
@MrherbsTz 2 жыл бұрын
@@carolinederi5690 ndio. Alitumia tope kumponya kipofu au hujui biblia
@nathaliamhule2081
@nathaliamhule2081 2 жыл бұрын
Tumwachie Mungu mwenyewe ,maana hii vita ni ya Mungu SI mwanadam yoyote
@gracejulius23
@gracejulius23 3 жыл бұрын
Watu tumepona kupitia madhabahu hiyo ya mwamposa ambayo wewe unaona ni uganga Ila tumepona kupitia jina la Yesu kristo aliyehi wa madhabahu ya inuka uangaze au sema SHINE AND ARISE
@meryngugi7392
@meryngugi7392 3 жыл бұрын
Amen
@husseingabo5497
@husseingabo5497 2 жыл бұрын
Kwan mtu ukienda Kwa mganga ndio hauponi. Huyo mwamposa mganga kama waganga wengine wa kienyeji sema kajificha kwenye mwanvuli wa din
@ZuhuraMwanafuno
@ZuhuraMwanafuno 2 ай бұрын
Mganga mlimpa nyie tunguli mwacheni mwamposa wawatu
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 16 күн бұрын
Wewe hujui maandiko anachosema Askofu Kakobe hakuna Injili ya Maji Kuna Injili ya Wokovu kwa damu ya Yesu: Maandiko yanasema siku ya mwisho watakuja manabii wa uongo nao watapotosha wengi wewe utakuwa mmoja wao Yesu alisema kipofu akiongoza kipofu mwenzake wote watatunbukia shimoni"
@nyawawawanyawawa935
@nyawawawanyawawa935 3 жыл бұрын
Mtaumbuana sana. Hivi mnaoneana wivu kwa kuzidiana Mbinu upigaji, balaa lingine Wafrika hujifanya wenye dini kuliko walioleta Dini hususani Wanawake
@magrethpius8566
@magrethpius8566 3 жыл бұрын
Jamani kwa Mtumishi wa Mungu Mwamposa maji ni bure mafuta ni bure Mwamposa yuko na Mungu kabisa,mm namkubali tena na muelewa sana, kupitia Mwamposa familia yangu imeponywa,tena kupitia TV.Na wewe hubiri habari za Mungu acha uongo wa kusema vitu vya kutunga na kuchafua watumishi wa Mungu
@neemathobias9462
@neemathobias9462 2 жыл бұрын
Amen
@rechomwaigaga2476
@rechomwaigaga2476 2 жыл бұрын
Amina kubwaa
@rahmbanzi620
@rahmbanzi620 2 жыл бұрын
Barikiwa magreth
@nancyjohnson6620
@nancyjohnson6620 2 жыл бұрын
Tena Kama amezeeka akae uko atulie🤣🤣🤣
@Bitlontravels555
@Bitlontravels555 2 жыл бұрын
Amina. Watumishi waache kuchafuana wafanye walichoitiwa
@paulmallya9573
@paulmallya9573 2 жыл бұрын
Kakobe umekosa cha kufanya. Mwache Mwamposa, mbona ilijulikana kuwa ulikuwa unafuga majoka ndani na huzungumzii Hilo. Mwamposa shine and rising Amen
@ynyynyyny
@ynyynyyny 2 жыл бұрын
Baba yangu kakobe Nakupenda lakini kwa mwamposa hafanyi biashara, bei ya maji ni Ile Ile ya kawaida na viwete wanatembea vipofu wanaona,kifupi tunafunguliwa sana sana
@markonjoregwa261
@markonjoregwa261 8 ай бұрын
Nakupa pole
@taifaramadhan8684
@taifaramadhan8684 Ай бұрын
acha uongo ww. Viwete na vipofu bado wapo wengi sana mitaani na mikoani. wale ni vipofu na viwete wa kutengenezwa sio wa ukweli ukweli. yule ni muongo anawatapeli na kuwadanganya watu wajinga wajinga waso jitambua.
@taifaramadhan8684
@taifaramadhan8684 Ай бұрын
​@@markonjoregwa261kabisa hakika. tena pole haswaaa. tuna haki ya kumshukuru sana mola wetu kua Waislamu alhamdulilah kwa neema hii ya Uislamu.
@ynyynyyny
@ynyynyyny Ай бұрын
Asiyejua maana haambiwi maana
@brendagunder1662
@brendagunder1662 3 жыл бұрын
Imeandikwa usimseme Mtumishi wa mungu vibaya...kila mtu na ufunuo wako nb dini safi niileinayompendeza Mungu😇
@khamismwalimu2681
@khamismwalimu2681 3 жыл бұрын
Hawa wote waongo wakubwa wanawaibia wenziwao
@livingstoneberege3348
@livingstoneberege3348 2 жыл бұрын
Imeandikwa kitabu gani? Je tuliache Karisa la BWANA YESU litumbukie shimoni //KWA TAARIFA YAKO ILE SIYO INJILI YA BWANA YESU //KATIKA KITABU CHA WA GALATIA PAULO ANASEMA NI INJILI YA NAMNA NYINGINE KISHA AKASEMA NA WALAANIWE (WAGALATIA 1:8-9
@claudiadismas4487
@claudiadismas4487 2 жыл бұрын
Nae kakobe anahistoria yake,alisemwa vibaya ila amesahau na kusema wengine
@helenmpali7137
@helenmpali7137 Жыл бұрын
Sasa hii ya mwamposa inampendeza Mungu kweli??
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 3 жыл бұрын
Tangu mwaka 208 natembelea magongo nimepona mwaka 2018 sinaulemavu tena Arise and shines kiboko yao Mwamposa Mungu akulinde na akutie nguvu pambana mpaka kieleweke shetani ataisoma namba
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 3 жыл бұрын
bora hata umeongea, hawa kaz yao ni kukandiana tu, pkea uponyaj tembea, BWANA atukuzwe sanaa
@marwamwita7673
@marwamwita7673 3 жыл бұрын
👍 Mwamposa ni MTUME wa Mungu ametusaidia wenge na anahekima sana huwa apendi kuwasema vibaya watumishi wenzake na ametufundisha sisi pia tusiwaseme watumishi wa Mungu vibaya. KAKOBE MUNGU AKUPE HEKIMA NA UPAKO WA KUFICHA.
@charlesmakulumo233
@charlesmakulumo233 3 жыл бұрын
Acha utapeli na ww au mwamposa Ni hawala yako?
@tymchanneltv1143
@tymchanneltv1143 3 жыл бұрын
Mafuta ndio yenye kufanya kazi ila sio mwamposa, kwasababu mafuta hayapatani na uchawi pamoja na majini na yanatengenezwa na kuuzwa duniani kote. Kama ukilogwa mafuta yanatoa uchawi. Ni utapeli na pesa wanaitafuta na wanailamba. Muislamu akienda kwa mwamposa hakuna tofauti na akienda kwa mganga kote huko Ni Haramu. Na Ni shirki,
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 3 жыл бұрын
@@tymchanneltv1143 sio kila mafuta, mafuta yanayotoa uchawi na majini ni yalioombewa kwa JINA LA YESU KRISTO, vingine kama hayajaombewa kwa jina la BWANA WA MAJESHI, hayawez kufanya kaz, na ndo maana pia kuna mafuta ya kichawi, mafuta ya kifreemason
@danielmchome1506
@danielmchome1506 3 жыл бұрын
Wewe nimtumishi wa Mungu nafikiri hata wewe ulisemwa vibaya ulikatiswa tamaa,Pima unacho kiongea,kwanza usije ukawasema wenzako vibaya,kwa sababu Mtumishi wa Mungu hawezi hubiri neno LA Mungu akaponya kwa jina LA yesu afu tukasema nishetan ,Mungu sio mwanadamu,anatenda kama anavyo ona
@nightnessrobert205
@nightnessrobert205 Жыл бұрын
Fy
@johnmushi9766
@johnmushi9766 3 жыл бұрын
Mi kweli mckilizaji tyuu c mwongelei mtu kwa ubaya wala mtumishi wa Mungu🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@anganilekajigilikajigili2641
@anganilekajigilikajigili2641 3 жыл бұрын
Uko upande gani kukemea ama kuacha ubovu unaendelea maana Mungu ukimfwata kiroho na kweli njia zake ziko wazi😀😆
@christinaamosisakiluamosis2835
@christinaamosisakiluamosis2835 Жыл бұрын
Mungu nisaidie nifundishe kunyamaza nisinene neno lolote baya juu ya watumishi wa Mungu maana neno linasema usihikumu usije kuhukumiwa sina mamlaka ya kuwanenea watumishi vibaya Mungu ndiye anawajua wa lio wake
@safinkeyemba2174
@safinkeyemba2174 Жыл бұрын
Asante baba askofu kakobe kwakutufumbua macho naroho lakini Kwa MTUMISHI wamungu mwamposa sio hivo kwani TUNAPOKEA UPONYAJI tukiwa mbali sana nahatumjui nahatujui .maji anatuambia tutumie yanyumbani namafuta yanyumbani ukweli ndio huo
@eliasjonas3561
@eliasjonas3561 2 ай бұрын
Hawajui tu ni wivu wao acha tuendelee kupokea tupo nyumbani
@edwindaniel5832
@edwindaniel5832 2 жыл бұрын
Unavyo mfaahamu mungu kakobe ni kwa kadri mungu alivyo kujalia kumjua mungu Hana mwisho ufaamu wako ndio una mwisho mugu hufanya apendavyo sio wewe ufaamuvyo usimsengenye mtumishi na kama wewe ni mwema ulisha wai kumwita uka fanya nae mazungumzo toa Kwanza kibanzi jichoni kwako ndio uone boriti jichoni kwa mwenzio
@neemaemmanuel3048
@neemaemmanuel3048 2 жыл бұрын
Facts 💯
@hamzaadrin941
@hamzaadrin941 3 жыл бұрын
We mwenyewe mwizi kama mwamposa Sema mwamposa kakupokonya waumini ladhima ikuume
@anithakalumuna9965
@anithakalumuna9965 3 жыл бұрын
Alikiibia nini? Anaongea ukweli
@aidanmbilinyi8184
@aidanmbilinyi8184 3 жыл бұрын
Hao wote n wamoja story zao tunazo na shuhuda watu wamezitoa
@hoseaseif6602
@hoseaseif6602 3 жыл бұрын
Usione kibanzi katikajicho lamwenzko nawakati wewe unaboriti toa boriti yako Kwanza
@chifukimwelitvimam723
@chifukimwelitvimam723 3 жыл бұрын
Unacho kisema unauhakikaa ?
@prophetmlokozi4633
@prophetmlokozi4633 3 жыл бұрын
😅
@ernestkipenya4238
@ernestkipenya4238 3 жыл бұрын
Mungu akusamehe bure ewe KAKOBE kumsema vibaya mtumishi mwenzio sio jambo jema hata kidogo. Napenda kukutia moyo ewe mtumishi wa Mungu Bulldozer Mwamposa kuwa hata Yesu alitukanwa na kudharauliwa sembuse wewe'! Tuko nyuma yako piga kazi, Mungu yu pamoja nawe, kwani yeye ndiye anajua alikuleta hapa kwa makusudi gani.
@carolinederi5690
@carolinederi5690 2 жыл бұрын
Kwa nini watu awajiulizi wale walio tutanglia kuokoka awatumii mafuta wala maji wala awamiliki magari wala mali kwa nini hawa watumishi wa 20century wapita wazee wao kiinjil kwani theolojia ya bible si moja au nini?....
@immaculatejohn9906
@immaculatejohn9906 2 жыл бұрын
@DOMKY INFO yaan hawa watu wamefungwa fahamu cjui wamelogwa dah
@verenavedasto7385
@verenavedasto7385 Жыл бұрын
Kumbe wachungaji ampendani mungu akusamehe kabisa soma Bible vizuri utaona mafundisho ya mafuta na maji
@barakanestory3521
@barakanestory3521 2 жыл бұрын
Mwamposa ni mtumishi wabwana,nakatumwa na Mungu kweli, mwambie Mungu atakuonyesha.mwamposa na huyo unaye mtaja tofauti, mwamposa ni Moto.
@neemakigala3578
@neemakigala3578 2 жыл бұрын
Hallelujah
@alfredshungu3270
@alfredshungu3270 3 жыл бұрын
mmmh askofu kakobe hebu muhubiri Mungu tu hayo mambo ya Kusema watumishi wa Mungu hapana
@kapeljjkapeljj5407
@kapeljjkapeljj5407 3 жыл бұрын
Huyu naye akae kwa kutulia wakat yeye alkua anawaambia watu watoe dhahabu zao wakiingia kwenye kanisani lake apo mwenge atuache na MWAMPOSA wetu anatusaidia sana aacha uongo maji gan yanauzwa kwa laki du baba umetisha.hubir neno la Mungu acha kumsakama mwenzio
@shalompeter5983
@shalompeter5983 2 жыл бұрын
Wanafanya biashara ya maji cyo kumuhubir krsto
@prophethenrywenani169
@prophethenrywenani169 2 жыл бұрын
Very man of God yafaa tuombe mungu jamani maana siku zamwisho ndio hizo Sasa
@laurencemwanga6441
@laurencemwanga6441 Жыл бұрын
Asante kwa kuona Hill. Watu wa Mungu wanaangamia kwa kukosa maiarifa, wanataka miujiza hawana haja na Mungu.
@AdamLuoga
@AdamLuoga Ай бұрын
Ninyi mnao sema mwamposa ni mtumishi wa Mungu imekufa kwenu mwamposa ni nguvu za ziada Toka malango ya kuzimu
@chichasam9032
@chichasam9032 3 жыл бұрын
Ushafuliaaa kakobe achaaa wenzio na wao wapige helaaa
@lestutaleo7220
@lestutaleo7220 3 жыл бұрын
Atulieee dawa ya mwaposa imwingie, kwa ss habar ya mjin Ni mwaposaaa
@nancymorenje3880
@nancymorenje3880 3 жыл бұрын
Amesahau alikuwa nakusanya pete za watu za ndoa. Ndoa za watu wengi zimevunjika. Mungu hajakutuma uhukumu, we chapa injili utaeleweka
@unjushekimweri6787
@unjushekimweri6787 3 жыл бұрын
Kakobe alikiri mbele za watu
@amirikoshuma3039
@amirikoshuma3039 3 жыл бұрын
Na mwamposa akiri alihusika kwenye ajali ya kukanyagana kisa mafuta
@emmadora7848
@emmadora7848 3 жыл бұрын
Waliodanganywa ndio wajinga
@oscarphilip2428
@oscarphilip2428 3 жыл бұрын
Injili ni pamoja na hicho anachokifanya, kuwahubiria watu waijue kweli.
@nancymorenje3880
@nancymorenje3880 3 жыл бұрын
@@oscarphilip2428 Nikweli kabisa Oscar, kinacho tusikitisha ni pale Mtumishi wa Mungu unaposimama kwenye Madhabahu na kumsema Mtumishi mwenzie. Kama vile yeye ni kipimo cha haki, wanasahau haki ni ya Mungu. Ukiamini na kuona Mwenzio anakosea mfuate kwa upendo umwambie kile unachokiona hakikosawa kwako na si kwake.
@margaritoraphael3805
@margaritoraphael3805 2 жыл бұрын
Wivu tu huo ..Kakobe mhubiri Kristo acha kuhubiri watumishi wa Mungu...Yupo atakae wahukumu na kuzichambua kazi zao
@schollastickamathanacki6062
@schollastickamathanacki6062 2 жыл бұрын
Yesu lisaidie kanisa lako Mimi naogopa Sana hakika ni nyakat za mwisho watu wengi wameikimbia kweli 😭😭😭wametimukia huko kwenye mafuta
@janemagogo5219
@janemagogo5219 2 жыл бұрын
Angalia neno linasemaje kwenye Biblia mengineyo tumwachie yeye Mungu aonaye motor hata viuno.
@salomeshila3671
@salomeshila3671 3 жыл бұрын
Kakobe umechanganyikiwa kweli acha wenzako wamuhubiri kristo kamq wewe umeshindwa jua kila nabii anaufunuo wake mungu aliempa kwahiyo wewe unaufunuo wako na mwenzako nae kapewa kivyake acha hivyo
@rosehaule220
@rosehaule220 2 жыл бұрын
Yy mwenyewe alifanya hayo nyuma je tusadiki.kwamba na yy alikuwa akipelekewa taharifa tuamini.miujiza hipi mmmmh
@teklahyela4576
@teklahyela4576 2 жыл бұрын
Mungu ndo hakimu wa wote Amina
@godfreymwamaso2424
@godfreymwamaso2424 2 жыл бұрын
Ubarikiwe lakini tunamshuru Mungu watu wanaponywa anapolitaja jina la Yesu tumtie. moyo anaponya roho za watu.wa Mungu tumuombee. mtumishi Mwamposa anafanya kazi ya Mungu imeandikwa usihukumu usije.ukahukumiwa Amen
@davidmwambona2973
@davidmwambona2973 2 жыл бұрын
ameen balikiwa
@kelvinmapunda2589
@kelvinmapunda2589 2 жыл бұрын
Mwamposa anatibu kwa kukwambia muamini Mungu utaponywa kwa damu ya yesu tatzo lipo wapi ni maji tu au Kuna mengine?.
@lucykapinga369
@lucykapinga369 2 жыл бұрын
Kama siyo tatizo chukua mafuta nyumbani kwamko yatamkie hivyo na umuamin MUNGU Anaishi hakika pia yata fanya kazii kikubwa kinachotakiwa watumishii watangaze injiliii kisawa sawa Tuache dhambi tyuvae silaha za MUNGU Tupate kuzishinda hila za Shetani .TUWEZE KUVIOMBEA WENYEWEEEEE AYOMAVITYUU UWAyanatokea waaapii
@lucykapinga369
@lucykapinga369 2 жыл бұрын
Tukuwe kirohoo zambi tuacheee
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 3 жыл бұрын
Asiye mpenda Mwamposa asage Chupa abwiye mtasema Sana mindonimesha pona ahaaa
@husseingabo5497
@husseingabo5497 2 жыл бұрын
Kwan kupona ndio nini Kwan hata Kwa mganga wa kienyeji SI unapona sisi hatuhoji kupona sisi tunahoji njia anazotumia kukuponesha je ni za mungu kweli au laaa?
@ericamwkyokile4681
@ericamwkyokile4681 2 жыл бұрын
usimpige vita Mwamposa.Injili ni ileile ila Mungu anatoa ufunuo na kumgawia mtu karama vile apendavyo
@esterkyando4275
@esterkyando4275 2 жыл бұрын
Mwache mwaposa mbona wewe ulichuwa dhahabu zawatu
@shalomsichone6728
@shalomsichone6728 Жыл бұрын
Nisiku za mwisho wengi wataacha kweli na kufwata tamaa zao wenyewe
@rehemajuma4301
@rehemajuma4301 Жыл бұрын
Ikiwa mwamposa anatumia ushirikina kuponya basi ushirikina wake ni kiboko 💪ndio ninaouhitaji wengine ni feki. Mtume Mwamposa Mungu AKUPE umri mrefu kwa maana huchagui dini Wala kabila.mungu U pamoja nawe✌️
@rahmbanzi620
@rahmbanzi620 2 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa mafundisho lakn mafuta ya mwamposa ni mafuta ya kawaida kabisa na maji ya kawaida kabisa Kama hayo ya nyumbn kwako kikubwa ni ile nguvu ya upako iliyoachiliwa ndani ya mafuta na maji alaf Nina swali kwako mbona tumepona ? Mbona tumefunguliwa vifungo vilivo tutesa kwa miaka mingi nyumba zetu zimefunguliwa ndoa zetu zimepona watoto wetu wamefunguliwa ? Usimuhukumu mtu iyo ni kazi yamungu
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 2 жыл бұрын
Wambie kina Tomaso walikuwepo yangu zamani hao na hawata Amini kamwe maana ndowalivyo💃💃
@zahirinashoo8813
@zahirinashoo8813 2 жыл бұрын
Asiwatishe watu waende wasinunue maji wala mafuta ya pale wachukue ya nyumbani kwao yaachiliwe upako na wataponywa nakufunguliwa
@sophiapeter4308
@sophiapeter4308 3 жыл бұрын
Hubir Neno la Mungu acha kumponda mwenzako
@paulchibona8020
@paulchibona8020 3 жыл бұрын
Amina
@frankmosha5854
@frankmosha5854 Ай бұрын
Acha mzee achape kazi
@witnessombetu670
@witnessombetu670 3 жыл бұрын
Ubiri neno na sio watumishi wenzio machafuko ni mengi Kuna kundi kubwa la wenye mahitaji wagonjwa makahaba majambazi tulishe chakula na sio wahubir
@cassianaltho1483
@cassianaltho1483 3 жыл бұрын
Kwa hivyo mchungaji anapokosea hapaswi kukosolewa si ndio?
@nyahingapeter8835
@nyahingapeter8835 3 жыл бұрын
Kwan hayo so mahubiri
@magrethmallya7728
@magrethmallya7728 3 жыл бұрын
Karibuni sana ROMAN KATOLIKI. Huku maji ya baraka ni Bure kabisaa.
@fabianbenardngatunga2713
@fabianbenardngatunga2713 2 жыл бұрын
Kweli tulibatizwa kwa maji tumekombolewa kwa damu ya Yesu mengine ni uwongo
@ericbadu3726
@ericbadu3726 3 жыл бұрын
Ndugu, tatizo la kuweka imani katika vitu vingine badala ya Yesu Messia. Yesu alisema tumuabudu Baba katika kweli na Roho. Ukiongozwa na Roho Mtakatifu hakuna binadamu atakaye kudanganya. Kama ni watu kupona, inatokea lakini sio kila mtu anaepona. Yesu ndiye mponyaji na anajua kwanini anaruhusu wengine wapone na wengine wasipone. Yesu mwenyewe hakumponya kila mtu alivyokuwa anafanya kazi yake duniani. Ila aliweka njia ya binadamu wote kupona na hukumu ya moto wa jehanamu kwa kutoa uhai wake. Kikubwa tuikubali hii neema tuliyopewa na tuache haya malumbano ya pembene.
@magesantejo3509
@magesantejo3509 Жыл бұрын
Ok
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 3 жыл бұрын
Uko sahihi sana Kakobe, Mtukuze Mungu aliyekutoa huko hata ww ila hapo kwenye chanjo umerudi ahela moja kwa moja
@deputyarchbishoppatriciaki8424
@deputyarchbishoppatriciaki8424 2 жыл бұрын
Ukweli usemwe katika JINA KUU LA YESU. Asante Mtumishi wa MUNGU umeliona hili, unabii wa uongo nimeingia na akapoteza Kanisa la BWANA
@rachelmpimbe1331
@rachelmpimbe1331 2 жыл бұрын
Clear Malisa alinitabiria bila hata hao vijana maana sikuaga mtu kwamba naenda hebu acha kusema watu vibaya
@rachelmpimbe1331
@rachelmpimbe1331 2 жыл бұрын
Halafu wewe si ndio watu wanakusikiliza kupitia tv hawaruhusiwi kukanyaga madhabahu jamani? Halafu Yesu aliponya hadi kwa matope ninini shida kwenye maji kwani!!
@boniphacemjanja403
@boniphacemjanja403 Жыл бұрын
Kinacho ponya no Imani tu ukienda kwa Imani unapona, kwani hata yesu kipofu alipo mwendea yesu kwaimani alipo mgusa macho take akaona nakamwambia enenda Imani yako imekuponya hivo kinacho tupeleka kwake ni matatizo tulio nayo ili atuombee naana yeye mungu amemtuma kuja kutukomboa Kama alivo tumwa Musa kwa Wana wa isilaeli au nuhu alivo ambiwa kutengeneza Safina
@rehemadaudi742
@rehemadaudi742 3 жыл бұрын
Pole kwenu msioongozwa na roho mtasikia mengi,
@ibambasymanyama4914
@ibambasymanyama4914 3 жыл бұрын
We unaonaje anaongea ukweli au la?
@dibabatv5761
@dibabatv5761 3 жыл бұрын
@@ibambasymanyama4914 yupo sahihi ndyo
@happinessmwenda2773
@happinessmwenda2773 3 жыл бұрын
HONGERA BABA NYUMBA YAKO PALE BARABARANI NI NZURI SANA MZEE.YESU ATAONDOKA NA WACHACHE
@magdalenalumolwa9916
@magdalenalumolwa9916 Жыл бұрын
Uko kwenye madhabahu hubili neno la Mungu, acha kumsema mtumishi Mungu ndo muhukumu, ki ukweli mwamposa ni mtumishi wa Mungu
@NaomiAgreey
@NaomiAgreey 6 ай бұрын
Manabii mitume wachungaji mashemasi makuhani tupendane tufanye kazi ya mungu kwa upendo maana mungu wetu ni mmoja, kila kitu kwa mungu kiko wazi ukifanya kazi yako kiukamilifu na kutii amri za mungu utapata kibali
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 3 жыл бұрын
Watumishi wa mungu mmefika pabaya.kila siku kusemana.mnamwabisha Kristo.wanawashinda hata wanasiasa.jaribuni kukaa pamoja,mmtukuze mungu
@suzanasunday3855
@suzanasunday3855 2 жыл бұрын
Kabisa wanamuaibisha Mungu
@davidkasambala2575
@davidkasambala2575 2 жыл бұрын
Uyu kakobe kawaibia sana waumini wake zaabu
@jenipherkaramba7250
@jenipherkaramba7250 Жыл бұрын
Mwacheni mwamposa wetu .Mtabaki na utopolo wenu Tu.
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 3 жыл бұрын
Kwa ujumbe huu mimi ni mtoto wa Bishop Amon Lukama Redeemed Gospel church binafsi nimekuelewa sana sana sana sana....huo ndio uongo wa shetani ameuingiza kanisani. Wateule tuamke!
@saramungumwemakweliametend5089
@saramungumwemakweliametend5089 3 жыл бұрын
Wewe ndo umesema kiekima Kaka laiki zingine duhu
@neemakigala3578
@neemakigala3578 2 жыл бұрын
Kasome wakorinto wa kwanza ukaone jinsi Mungu anavyogawa karama but roho atendae niyuleyuleee...kuwa mtoto wa bishop sio kumjua Mungu...imani na kiyajua maandiko ndio siri ya kupokea nguvu za Mungu....tuwaheshimu watumishi wa Mungu...sio sisi tulowatumaa
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 2 жыл бұрын
@@neemakigala3578 karama ya kuvaa barakoa na kuogopa corona? Maana mwanajeshi huyu anakimbia adui corona akiungana mkono na watu wa dunia kukimbia.....haya nguvu yake ilikua kwenye barakoa? By the way nahisi umeshaambiwa tayari na wale waliomwambia yeye kua barakoa ni deal leo wamebadili msimamo wamemwambia tena najua barakoa sio issue...je ni Mungu alisema naye juu ya barakoa kuvaa au kutovaa? Je Mungu wake anabahatisha kama wanadamu? Hapana kitu hapo, karama ya barakoa sitaielewa bora askofu gwajima alivyosimama na kiukweli aliishinda corona, hofu na mauti kwa jina la aliye juu sio kwa barakoa. Bye
@lucasmabula8340
@lucasmabula8340 2 жыл бұрын
@@neemakigala3578 unafikiri kila mtumishi ni mtumishi wa MUNGU kasome kitabu cha MATHAYO 7:21-23 utaona jinsi gani YESU anatoa tahadhari anasema anavyotoa tahadhari, usifikiri kuwa Kila alitajae jina la YESU ni mtumishi wa MUNGU la hasha wengine no mawakala wa shetani
@yuventmpiru7738
@yuventmpiru7738 Жыл бұрын
Mtoto wa kuzaa au nawe umeshajisahau kusema mtoto wa Yesu Kristo
@endrualay6797
@endrualay6797 2 жыл бұрын
Kakobe hiyo siyo kazi yako acha magugu na ngano vikuwe pamoja mwenye kazi hiyo anafahamu lakuanya
@gracemwakibolwa7910
@gracemwakibolwa7910 Жыл бұрын
Kabisa ndugu sio kazi yake atulie hata yy wanamsema hivyo hivyo.
@stevec.s.majessah1626
@stevec.s.majessah1626 2 жыл бұрын
Huyu amesahau yeye pia alikuwa akiuza na kuombea leso na nguo, kuwapa kina mama kuwashawishi kimiujiza waume zao wahamie Kanisa lake! Hana tofauti na Mwamposa.
@charlesphiliph528
@charlesphiliph528 3 жыл бұрын
Wacha basi wivu,hubiri injili basi.Muhubiri YESU.Hata YESU aliambiwa anatoa pepo kwa belizebuli.Mwamposa hata bishana na wewe,yeye Ni mbele kwa mbele.Watu Mtwara wanapokea, Zanzibar nk.wanapona kupitia TV.
@robinahumphrey9725
@robinahumphrey9725 3 жыл бұрын
Wewe unayemwambia ivyo...unamjua au unamuona kwa picha...??? Nakupa shauli katubu.....acha Baba awapize waache utapeli...waganga wakienyeji wameingia makanisani.
@khalfanifarisy119
@khalfanifarisy119 3 жыл бұрын
Matayo 24:4,5 kwanini hamzingatii maonyo ya Yesu? Matayo 24:24 Hakuna Nabii Sasa hivi baada ya Muhammad. Matayo 7:22,23 ngojeni kukataliwa.
@allyhamisi6394
@allyhamisi6394 3 жыл бұрын
Mtume wa mwisho ni MOHAMMAD acheni kudanganya watu halafu muogopeni Mwenyezi Mungu aliye wapa pumzi na nguvu ya kudanganya hao watu basi
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 3 жыл бұрын
Soma Biblia utaelewa
@naimaabdallah9491
@naimaabdallah9491 3 жыл бұрын
Muhammad mwenyewe muongo
@allyhamisi6394
@allyhamisi6394 3 жыл бұрын
@@naimaabdallah9491 🙏🏾
@gloryrestorationministrygr6374
@gloryrestorationministrygr6374 2 жыл бұрын
Nani anakumbika saa ya maajabu kwahiyo baada ya saa ya maajabu sasa mzee wetu katulia mwamposa msikilize mzee kakobe alikutangulia kwenye izo izo ishu kwahiuo kakobe akiongea kitu inabidi muelewe. Mimi sasa hivi namwamini kakobe sio yuye wa saa ya maajabu huyu sasa ndo halisi big up baba
@willymtewele1869
@willymtewele1869 2 жыл бұрын
Kakobe uko sahihi dunia imekwisha waambie Yesu alisha sema watakuja kwa jina langu kumbe
@graceshikulu4139
@graceshikulu4139 3 жыл бұрын
Weweeeeee tulia tupokee miujiza haukujua naww enzi zako walivyokutukana
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 3 жыл бұрын
Nyani hajioni
@floraamani4196
@floraamani4196 3 жыл бұрын
Hata serikali iliingilia kati kakobe na tra
@aysherkitoi6547
@aysherkitoi6547 3 жыл бұрын
Tena huyu alivuka mipaka akawa anafanya watu kma misukule anawavalisha nguo nyekundu na nyeupe huyuuu baba alikuwa anafanya uchawi mpk watu wakaingilia kati ndio kufungwa kanisa alikuwa anawaingiza watu kwenye uchawi live
@anganilekajigilikajigili2641
@anganilekajigilikajigili2641 3 жыл бұрын
Utatamani ukimbie ndio ulipotezwa mazima🤣🤣
@halmaharuna6
@halmaharuna6 3 жыл бұрын
Yeye aigize ni kwel kabisaaa mwamposa anaponya
@tifababynchimbi8454
@tifababynchimbi8454 3 жыл бұрын
Anayeponya Mungu peke yake
@asmahassan1044
@asmahassan1044 3 жыл бұрын
Karibun kwa waislam hakuna makuu leo nabii huyu kesho huyu.😄😄😄😄😄😄
@felistawilliam6737
@felistawilliam6737 2 жыл бұрын
Nyiee mponden mwezenu Alafu Mungu anamuinua zaidi na said kila itwapo leo
@user-mn2hb7xt9k
@user-mn2hb7xt9k Ай бұрын
Roho ya wivu. Huleta anguka hata kama mungu alikupa chako. Kapumzike mzeee
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 3 жыл бұрын
Watu si wanapenda miujiza , acha waibiwe .
@Moon-rp5tm
@Moon-rp5tm 3 жыл бұрын
Aki naenda kusomea uchungaji maana ndo makolo walikoamia
@merrykitosi690
@merrykitosi690 2 жыл бұрын
Mimi huyu Askofu hajawahi kunigusu hata siku moja kwenda kwenye madhabahu yake.....Kazi yake kuwaongelea vibaya watumishi wenzake...Anapata taabu sanaa umatiwa watu Ile na mashuhuda kama yote .Wachawi wenyewe wamesurrender kwa Mwamposa wamechomba makombola yao#Mwamposa ndo habari ya ulimwengu....TB Joshua 11.Kumbe inakuuma eeeh annoiting water,annoiting oil,prophess ndo habar ya mjini
@mecklinmalawandu186
@mecklinmalawandu186 2 жыл бұрын
Baba askofu tuna kuheshimu wafundishe waumini wako neno la nungu acha majungu kanisani,tumia kipawa chako ulicho pewa na mungu,sio kuwajaza chuki kondoo wako kwa watumishi wengine wa mungu,fanya yako baba,kama ulivyokuwa unafanya kipindi cha nyuma
@dianasago9214
@dianasago9214 Жыл бұрын
Ukisha jiingiza kwa hao matapeli eti manabii hata ukiiambiwa husikii unaona kama mchungaji wako anakudanganya au padri. Hao watu ni matapeli si haba nikimkumbuka kuna nabii alitokea mwanza akajiita Baba god leo hii hayupo sijui kashafia na wapi. Vya shetani havidumu. Tumjue sana Mungu ili tuwe na Amani 🙏🙏
@mathamwambuluma8848
@mathamwambuluma8848 3 жыл бұрын
Timu mwamposa tuonane apa
@amosnnko7792
@amosnnko7792 3 жыл бұрын
Amen
@victormwaisango
@victormwaisango 3 жыл бұрын
Tupoooo arise and shine forever best🔥🔥💪💪
@angelngatunga8178
@angelngatunga8178 2 жыл бұрын
🥰🥰🥰
@asminmakoha6889
@asminmakoha6889 Жыл бұрын
😂🤣🙏
@user-fu7zx8qd4g
@user-fu7zx8qd4g 9 ай бұрын
Arise and shine
@stevenmkomwa633
@stevenmkomwa633 3 жыл бұрын
Wewe mwenyewe ndio walewale we mara ya mwisho kufika kwenu kigoma lini na kunakanisa lako kule acha kuzungumzia maisha ya watu hubili mambo ya mungu kwani kwenye biblia maji na mafuta hayaja zungumziwa soma ISAYA 10:27,soma MARKO 6:13 hayo yalikua mawe sio mafuta
@constantinohaule2998
@constantinohaule2998 2 жыл бұрын
Ulisahau Samweli alimpaka mafuta Daudi
@eliakazilo6078
@eliakazilo6078 7 ай бұрын
MCHUNGAJI Kakobe upo sawaa..Mimi naona shetani yupo kazini.tena Ana nguvu.kinachotakiwa MCHUNGAJI Kakobe Ni kuvunja nguvu za shetani nal Mwaposa.kulalamika haitoshi.maana ule umati unaojwenda kwa Mwamposa sio rahisi kuuharibu..fanya maombi ya nguvu,kwa jina la YESU KUVUNJA NA KUHARIBU.tai hufuata mzoga....a.k.a kusiki nikwae
@user-ou1ls6oj2f
@user-ou1ls6oj2f 17 күн бұрын
Wote someni Yeremia 28 :1-17 Mnaojifanya kuwa manabii mitume nk nk mtakufa kama Hanania unabii wa uwongo wa kuaminisha wanaumini wote mlioleta mtafakuru kwenye imani wote mtapotea kwenye mazingira ya kutatanisha Mungu hajaagiza madini yenu
@michaelnzunda7347
@michaelnzunda7347 3 жыл бұрын
Ona.. ona.. akiona kibanzi kwenye jicho la mwenziwe anasahau kutoa boriti kwenye jicho lake
@fabricehavugimana3296
@fabricehavugimana3296 3 жыл бұрын
Uyu nimutumishi wa mungu
@mahewamahewa6461
@mahewamahewa6461 3 жыл бұрын
Acha kuropoka
@julianapatrick7911
@julianapatrick7911 2 жыл бұрын
Watumishi wa Mungu mpemdane najua ulikuwa wakwanza ila kilamchungaji na namna yake. Freedom of worship
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 2 жыл бұрын
Acha kutetea matapeli
@lilianmugyabuso8908
@lilianmugyabuso8908 2 жыл бұрын
Anasema ukweli mtupu Kakobe
@petermunanka3827
@petermunanka3827 2 жыл бұрын
Huo ni wivu ***mwamposa anaupako kuliko wewe kakobe kumbuka uliwahi kusema mungu amekueleza mrema atashinda uchaguzi lakini mrema akapigwa chini Leo mwamposa anakemea mapepo inaonekana lakini wengine ni longolongo tu
@gracejulius23
@gracejulius23 2 жыл бұрын
na kinachowatesa hawa wachungaji ni wivu tu hakuna kingine, kazi ya Mungu sio kitu cha kufikilika ila ni nguvu ya Mungu mwenyewe itendayo kazi ndani yamtu kwa kadri Mungu wa Mbinguni alivyomjalia.
@graceifuja4331
@graceifuja4331 4 жыл бұрын
Amen,kkwel ya Mungu iwaweke huru
@sarunyanda1741
@sarunyanda1741 2 жыл бұрын
Wivu tu umekujaa mzee
@albert3359
@albert3359 4 жыл бұрын
Yaan askofu kakobe bila shaka huyu ka tumwa na mungu. Mimi ni wa kwanza kumkubali kakobe. Ningepata account yako hata shilingi elfu hamsini Tsh 50,000 nikutumie ya shukrani tu kwavile mahubiri yako inavyo nibariki. Sina kitu Natoka south africa
@user-wr5ce6lu8q
@user-wr5ce6lu8q 28 күн бұрын
Muslim is the best❤❤❤ Hawa wanahangaika wao Kwa wao Allah awafanyie wepesi watoke walipo
@sheilamtate7079
@sheilamtate7079 2 жыл бұрын
Ww kakobee jamani muache mtumish mwamposaa usimhukumu ,
@rehemadaudi742
@rehemadaudi742 3 жыл бұрын
wafundishe watu kulielewa neno la kweli, wafundishe watu kumheshimu Mungu alie hai acha kuchallange na kuhukum wengine hiyo ni kaz ya MUNGU we fanya ulichoitiwa huo ni umbeya madhabahuni. Kiufupi Bwana Yesu alituachia msaidiz na ndo anayeifunua kweli yote hayo mahubiri ya kinyonge wahubirie wachanga kiroho
@saidkhery9011
@saidkhery9011 3 жыл бұрын
Aliye Sema Kuna yesu ni Nani? Wazungu wameliteka Bara la Africa kwa yesu na biblia feki
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 3 жыл бұрын
@@saidkhery9011 na upande wako nani kakuteka, au Mwarabu? N-way tuishi maisha mema, haya mambo dini hayafanyi mtu kuwa mtakatifu, bali mawazo, maneno na matendo yako zaidi.
@saidkhery9011
@saidkhery9011 3 жыл бұрын
@@Fm-MornStar2014 sina Imani hizo za kudumaza akili mimi. Si mzungu Wala si mwarabu wote hizo ni Imani zao. Kwani muumba alimuumba mtu wa kwanza adamu nae alikuwa mweusi halafu at akasahau kumpa muelekeo wa kumuabudu mpaka tufuate Imani za wageni?
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 3 жыл бұрын
@@saidkhery9011 pamoja sana! 🙏
@josephkimuli9477
@josephkimuli9477 3 жыл бұрын
#Rehema daudi umenena 💪tufundishane kumjua MUNGU
@MaryMary-iw3jh
@MaryMary-iw3jh 3 жыл бұрын
Mladi anataka jina la Yesu tunapona we endelea na maneno yako tume abudu hapo kwako miaka na miaka hatukufanikiwa
@estermathias8354
@estermathias8354 3 жыл бұрын
Kwakwel maji hpn.💃💃💃💃yesu anatosha
@gracengonde8553
@gracengonde8553 3 жыл бұрын
Huyu sialiweka pesa za watu mpaka Jana zikajaa
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 3 жыл бұрын
mtakufa kaeni hvohvo, ndo maana mnakung'utwa na nguvu za giza, watu wa giza wenyewe wanatumia maji na mafuta yao ya kichawi, vp kuhusu sisi WANA WA MUNGU(BENEHA ELOHIM), je sisi sinzaidi ya wao, watu wa giza wameyaiga kwetu, lkn sisi watu wa YESU ndo tnajiganya ooh YESU anatosha, ni sawa YESU anatosha, lkn maandiko yanasema imani bila matendo imekufa nafsini mwako, unasemaje unamwamininYESU KRISTO, halaf hyo imani yako huionyesh kwake, unapomwamin YESU anza kuamini na vifaa vyake vitakatifu, maji, mafuta, udongo, chumv, vitambaa, nguo, maandiko yenyewe yameweka waz kuhusu hv vtu, mitume walitumia nguo kuponya watu, wakatumia na mafuta kuwapaka watu baada ya kuwaponya, kwann sisi ndo tunajifany hatutak, KRISTO YESU mwenyewe anasema ROHO WA BWANA yuko juu yangu kwa sabab amenipaka mafuta, sasa sisi ndo tunajifanya hatutak kutumia, ndo maana mnagandamizwa na nguvu za giza kwa sabab ya ubish
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 2 жыл бұрын
Pambana na shetan sio kupambana na watu wa Mungu hao unaowasema wapo ila hawalihusu kanisa hizo nyumba hawatamzikia ni ubatili na hao manabii wa namna hii wanakuwa ni mashetan yanajigeuza kuwa manabii ila atapambana nao Mungu mtume paulo anasema hawatasonga sana mtumishi achana nao.hao tuhubiri injili
@paskalmagiri4466
@paskalmagiri4466 3 жыл бұрын
Mark 6;13 isaya 10;27 Yesu alitumia mate na matope naamani alipona kwenye maji kila kitu kikiombewa kinatumika panua ubongo
@gestinabunganiekuya6300
@gestinabunganiekuya6300 3 жыл бұрын
Yesu alifanya hivyo lakini alikuwa akifanya muujiza kupitia maji, alikuwa harudii kufanya muujiza mwingine kupitia maji hayohayo tuombe roho mtakatifu atupe macho ya rohoni tupate kuona shetani ametupiga upofu hatujielewi tulio wengi tunafata miujiza hatutafuti ufalme wa Mungu. Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kusema ukweli.
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 3 жыл бұрын
Acha ujinga, Yesu aliponya watu wangapi wenye tatizo la macho kwa tope? Funguka ww hapo uliyelala
@georgesongo3617
@georgesongo3617 3 жыл бұрын
Unaowaita wenzenu Makafiri mnautakatifu gani bhaaaanaaa!
@josephbonday8510
@josephbonday8510 3 жыл бұрын
MTATUMIA HADI MAVI Sasa KUPAKA Watu...😂😂
@kishingokishingo1840
@kishingokishingo1840 3 жыл бұрын
Na hapo ndio unapokosea hivi kweli imani yako sahihi ? Huyo unaemfananisha na yesu wanaendana ?
@marrypatrick3276
@marrypatrick3276 3 жыл бұрын
Sikuwahi kumwamini huyu mzee Ata siku moja
@janethmasawe7863
@janethmasawe7863 Жыл бұрын
Yy mwenyewe Ni tajiri wa kutupa angalia lile jumba lake la kifahari alilonalo tuhubirieni injili malumbano msiyape nafasi zamani yy alijaza kanisa Kama mwamposa kila nabii anakuja kwa wakati wake na atapita na watakuja wengine fahamu pia wapo manabii wengi walikuja na wamepita
@babyneytemu525
@babyneytemu525 3 жыл бұрын
mwamposa hauzi lak anauza 1000 achen kelele
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 3 жыл бұрын
Kakobe mie nakupata vema,unayofundisha ni ya kweli,kanisani kwako watu hawavai na kujiremba na vitu vya dunia,ki msingi kwa mtazamo wa nje nalikubali kanisa lako,linafuata mafundisho ya Yesu Kristo,ubarikiwe
@salmaignass4979
@salmaignass4979 3 жыл бұрын
Ww mzee nimnafiki
@RizenPrime
@RizenPrime Жыл бұрын
Manabii wauongo wamezidi wananguvu zagiza kama madalali hatatemboni kunamafuta ya sh 115,000/: bado maji sijaona jipya ambao bado hamjatapeliwa kaeni mbali khali mbaya
@geraldlutamigwa7556
@geraldlutamigwa7556 3 жыл бұрын
Mbona manabii wote mko dar tu? Hamkai vijijin
@dillaygundya2345
@dillaygundya2345 3 жыл бұрын
Safi kaka ,umeuliza sawia
@shedrackmwaipopo9427
@shedrackmwaipopo9427 3 жыл бұрын
Wamapiga hela mjini
@fatumajuma1157
@fatumajuma1157 3 жыл бұрын
Vjijin hali ni mbaya hawatapata hela
@rehemafyumagwa8005
@rehemafyumagwa8005 3 жыл бұрын
Hahahaha
@habibamanyanda9868
@habibamanyanda9868 3 жыл бұрын
Ndo soko lilipo😁
@lucykullaya1281
@lucykullaya1281 3 жыл бұрын
Paulo mtume wa NYAKATI hizi,,,,,, am so proud you BISHOP
@mosesbonamsafi5047
@mosesbonamsafi5047 Жыл бұрын
karibu FGBF
@barakaalex2719
@barakaalex2719 2 жыл бұрын
Ivii akitokea mtumishi saivi akampaka mtu tope la mate yake mtasemaje? Lakini yesu alifanya ishara kama hizo hamsemi... Ukistaaafu staafika.. Na Mungu atakupa thawabu amen
@user-lb6tw9tl2v
@user-lb6tw9tl2v 9 ай бұрын
Kakobe mtumishi wa Mungu kwelikweli kina mwamposa waganga tu
@pascalnicolaus6986
@pascalnicolaus6986 3 жыл бұрын
Umesahau moja,Kuna maombi ya pesa mara laki mbili mpaka ya tsh 1000:Kama unachagua simu au bidhaa.ahnsante pia mwimbaj Pascal casian
@glorybonifasi3704
@glorybonifasi3704 3 жыл бұрын
Ni kweli siku za mwisho tuombe sanaa Mungu tuone mm nimeona
@monicaisaya6143
@monicaisaya6143 3 жыл бұрын
Mimi namsikiliza Mungu binadamu mtanifanya nitangetange maana kilamtu anakuja na yake Mungu atusamee kweli🙆🙆
@faithyhilary1259
@faithyhilary1259 3 жыл бұрын
Mungu azid kutuhudumia
@khalfanifarisy119
@khalfanifarisy119 3 жыл бұрын
Mungu yupi? Maana hata Yesu ameitwa Mungu na Paulo au Mama yake Maryamu mwana wa Imran?
@michaermichaer2677
@michaermichaer2677 3 жыл бұрын
hubil watumishi wako wapone lakn kumwongelea mtumishi mwamposa vibaya acha ww sio masih
@fabianbenardngatunga2713
@fabianbenardngatunga2713 2 жыл бұрын
Imeandikwa amtegemeae binadamu amelaniwa
@NaomiAgreey
@NaomiAgreey 6 ай бұрын
Kakobe una kipawa chako na mwamposa anakipawa chake na ujue wote tufanye kazi ya mungu hivyo tunatakiwa tuombeane sio kupondana
@rosemarysamwel1882
@rosemarysamwel1882 2 жыл бұрын
Mwamposa is the best for me
@nivermwangajile4357
@nivermwangajile4357 3 жыл бұрын
Angalia sana mzee simama na imani yako
@mariamramadhan494
@mariamramadhan494 2 жыл бұрын
Sisi ni binadam tu hatutakiw kuongea sana kuhusu wapakwa mafuta wa bwana na hatuwezi kuendelea kusupport marumbano ya viongoz wa dini Kingine yale ni mafuta tu kama mafuta mengine cha msingi ni pale unaporuhusu imani yako kuyabadilisha kuwa maji au mafuta ya upako 🙏
@gracejulius23
@gracejulius23 2 жыл бұрын
mimi nilitumia mafuta ya kupikia nyumbani, kupitia maombi yake kwa imani yangu, nimepona kabisa
@neemakigala3578
@neemakigala3578 2 жыл бұрын
Halleluyah.....barikiwa sana hakika imani inaijuaaaaaaaaaa
@neemakigala3578
@neemakigala3578 2 жыл бұрын
@@gracejulius23 amina
@rahmbanzi620
@rahmbanzi620 2 жыл бұрын
Ameeeeen mungu akubariki
@lucasmaganya9628
@lucasmaganya9628 Жыл бұрын
Binafsi ninaona wote waongo
@leahsangawe329
@leahsangawe329 Жыл бұрын
Mungu awasaidie watumishi mbina mmna tuchamganya ebu hubirini watu waokoke acheni Siasa fundisheni watu neno la Mungu waijue kweli ya Mungu mambo hata yatapita mmnalolakujibu siku yesu akirud? Acheni Mambo hayo wewe Fanya kazi yako Mungu aliyo kuitia Cha Mambo ya watu
@ibrahimhemedy7134
@ibrahimhemedy7134 2 жыл бұрын
Baba askofu umekwama nyakati tulizonazo Mungu ameona kilio na mateso ya watu wake ameshuka kuwatoa kwenye mateso makuu
@StellaRupia
@StellaRupia Жыл бұрын
Huyu baba amekwama yeye si ndie alikuwa anakusanya cheni za dhahabu akiwaambia ni Mali ya bwana?sasa LEO anaongea nini?mimi nimeombewa na mwamposa nilikuwa mlevi sana na Leo nimeacha pombe kabisa.
@gloryisaac1477
@gloryisaac1477 3 жыл бұрын
Tuachien mwamposa wetu
@Moon-rp5tm
@Moon-rp5tm 3 жыл бұрын
Mchuuzi mwamposya
@valenakomba7686
@valenakomba7686 3 жыл бұрын
HUIRINI MUNGU MSILAUMIANE AU KUHUKUMIANA. NI MUNGU PEKE YAKE NDO ANAPASHWA KUHUKUMU.NA IMEANDIKA PIA . WE KAMA HIYO MBINU ILIKUPITA , BASI AACHE WENZIO ATAJIRIKE KA MAJI.
@godfreymasele8853
@godfreymasele8853 3 жыл бұрын
Ukiuufahamu ukweli utakuweka huru na ukweli ni NENO LA MUNGU. YESU ALISEMA OMBENI LOLOTE KWAJINA LANGU MTAPEWA.
SELASINI AMLIPUA MWAMPOSA BUNGENI - "YULE ROHO MTAKA VITU, NI UTAPELI TU"
10:59
SPILLED CHOCKY MILK PRANK ON BROTHER 😂 #shorts
00:12
Savage Vlogs
Рет қаралды 47 МЛН
ROLLING DOWN
00:20
Natan por Aí
Рет қаралды 10 МЛН
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 41 МЛН
YESU SI MUNGU MASKOFU WAMJIA JUU MZEE WA UPAKO
6:33
Mzee wa upako
Рет қаралды 33 М.
SWALI GUMU LILILOMSHINDA MAZINGE NA MASHEKHE WENGINE
16:22
Loud Cry TV
Рет қаралды 472 М.
MCHUNGAJI ABADILI DINI NA KUA MUISLAMU,AFUNGUKA MAZITO
39:38
Mbengo Tv
Рет қаралды 52 М.
Dhambi mpya  Hiihapa :  Mch Abiud Misholi
34:25
Mch. Abiud Misholi
Рет қаралды 86 М.