Рет қаралды 154,434
“Kwanini serikali haifikirii kuanzisha chuo cha wizi?” - Mbunge wa Kahama Mjini, Jumanne Kishimba aishauri serikali kuanzisha chuo cha wizi ili kupata wataalamu watakaoweza kupambana na wezi wa fedha za umma. Kishimba alikuwa akichangia taarifa ya Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa kuhusu ripoti ya CAG
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz