Prof Jay awapagawisha Wanamorogoro mbele ya JPM

  Рет қаралды 306,051

Azam TV

Azam TV

6 жыл бұрын

Mbunge wa Jimbo la Mikumi mkoani Morogoro Joseph Haule (Prof Jay) ambaye pia ni mwanamuziki hip hop Tanzania ametumia sanaa yake ya muziki kumfikia Rais Magufuli baadhi ya kero za wananchi wa jimbo la Mikumi.
Ni katika uzinduzi wa Ujenzi wa Barabara ya Kidatu - Ifakara (04/05/2018)

Пікірлер: 110
@wilonjahatua2067
@wilonjahatua2067 6 жыл бұрын
Kama unamkubali proffesa jay gonga like hapa
@barnabasstanslaus6895
@barnabasstanslaus6895 6 жыл бұрын
wilonja hatua nooooooomaaaaaa sanaaaa sanaaa sanaaaaaa
@wilonjahatua2067
@wilonjahatua2067 6 жыл бұрын
Barnabas Stanslaus 👏👏
@oswardmushi7259
@oswardmushi7259 5 жыл бұрын
nakukubari mbunge
@jaffarmguwa5566
@jaffarmguwa5566 6 жыл бұрын
HIZI NDIZO SIASA TUNAZOTAKA TANZANIA... ELEZA SHIDA ZA WATU WAKO NA SIO KAZI MATUSI KASHIFA NA KEBEHI AU KEJELI... TUWEKE NCHI MBELE NA MATATIZO YA NCHI.... TUACHE SIASA ZA CHUKI NA ZA UKANDA... HONGERA PROFESA JAY
@edwardedward2520
@edwardedward2520 6 жыл бұрын
Wabunge mkienda namna hii wabunge mtapendwa bila kujali chama pigen kazi vijana nchi yetu sote!
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 6 жыл бұрын
Rais ukiwa unaenda na mfumo huu.. nitaunga mkono kwa asilimia 100... acha watu waongee kwa uhuru alafu wewe chapa kazi... hakika hata sisi watu wengi tutajituma sana.
@shikaneno8861
@shikaneno8861 6 жыл бұрын
Nakukubali Sana Raisi Hakuna Raisi anayefanya kazi Kama wewe tunakuombea
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 6 жыл бұрын
Asanteni wabunge wa chadema kwa kumweshimu rais wetu. Asanteni sana. Magufuri hoye
@jengainterlocks2647
@jengainterlocks2647 6 жыл бұрын
Ntahamia bongo huku kwetu Kenya ni balaa tupu... 😂
@alexlutengano687
@alexlutengano687 6 жыл бұрын
Umetisha mzee baba
@raphaelgadau2783
@raphaelgadau2783 6 жыл бұрын
Nikusaidiaje song #professor-J
@larickmtui2852
@larickmtui2852 6 жыл бұрын
Vijana ndivyo mnatakiwa usiwe kama lema na sugu hawana points
@stevenjrmziho8691
@stevenjrmziho8691 6 жыл бұрын
Professor noma sana
@sirajiabdul7223
@sirajiabdul7223 6 жыл бұрын
safi japo umepewa muda mdogo lakini umeongea pointi
@magigeametisha9699
@magigeametisha9699 6 жыл бұрын
umeweza prf jay
@wsilver9553
@wsilver9553 6 жыл бұрын
Yupo vizuri sana
@jifunzekusamehe4527
@jifunzekusamehe4527 6 жыл бұрын
Nakukubali kamanda
@bobramaso825
@bobramaso825 6 жыл бұрын
Haya ndio mambo yanayotakiwa. Kufanywa na mbunge,Rais kaja jimboni toa kero za wananchi sio lawama na matusi,peleka kero kwa manufaa ya wananchi..Safi Mbunge Prof.Jay
@ukweli255
@ukweli255 6 жыл бұрын
Bob Ramaso sasa si mbaka apewe nafasi..kwan mara ngap tunaona raisi anaenda jimbo fulan ila mbunge hapewi nafas ya kunena na raisi.hamna mbunge asiependa kuonana na raisi maana ndio boss wa viongozi wote
@bobramaso825
@bobramaso825 6 жыл бұрын
Aloyce Garani Kwani msigwa hakupewa nafasi?alichoongea hukukisikia?!au unamaanisha nafasi ipi?!wanatakiwa wakipewa nafasi waongee ya maana na haswa kero za jimboni,kama unapewa nafasi unaanza kashfa na matusi na lawama hata kama ni ww ungekuwa kwenye nafasi ya Uraisi ungekubali?!mi naamini kwa mtindo huu nafasi watapewa ili mradi waongee kero za jimbo husika..
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 6 жыл бұрын
#NijukumuLETU... Mpaka KIELEWEKE... #HapoVipi? The best #MC of all the time.
@peternasarinasari9700
@peternasarinasari9700 6 жыл бұрын
Wabunge makini ndo kama nyie hata mkuu akitekeleza mawili tayari hatua imepigwa very good professor, very good our President JP
@murishidymudy8032
@murishidymudy8032 6 жыл бұрын
Professor jay hatar sana big up JPM
@erechasante3430
@erechasante3430 11 ай бұрын
Prof Jay was featured on KwawKese song somewhere in the late 2000's i really loved his flow and decided to find out wasup with him. I just learnt he is now a politician. I do not understand what he is saying neither can i read what you Tanzania's are typing, my question is, has he been a good leader, politician after all ?
@faridahkipupweone4071
@faridahkipupweone4071 5 жыл бұрын
Kama unamkubl pr j gonga like
@kagwanjamartin8808
@kagwanjamartin8808 6 жыл бұрын
I think rais pombe is one of a kind,,,with him Tanzania will prosper...always taking notes for reference..hongera rais...upendo dhati kutoka kenya
@yusuphmasolwa9870
@yusuphmasolwa9870 6 жыл бұрын
Keep up Prof. J.
@fofomohammed6253
@fofomohammed6253 6 жыл бұрын
Safi Sana broo nakukubali sana
@gidiusdismas5893
@gidiusdismas5893 6 жыл бұрын
mh prof jizle anajua sana
@josephmateru8892
@josephmateru8892 6 жыл бұрын
Binafsi Namwelewa Cna Magufuli rais Wangu Hongera Cna Hongera Prof Jzee
@kaminyogemwachelwa9884
@kaminyogemwachelwa9884 6 жыл бұрын
Kwakweli.rais ungekuwa unafanya ukaribu hivi na wapinzani na kuwachukulia kama ndugu inapendeza sana Nafurahi.kuona
@husseinhkitambi1701
@husseinhkitambi1701 6 жыл бұрын
Kaminyoge Mwachelwa anafanyabsemankuna baadhi ya wabunge hawajitambui mbunge kama wetu kubenea mnyika na lema akili zao za kipumbavu yaani wao chama kwanza maendeleo baadae
@emanuelbelato7335
@emanuelbelato7335 6 жыл бұрын
mpaka raha mwendo wa rap
@untouchablexvi3622
@untouchablexvi3622 6 жыл бұрын
wapinzani wengine wangekuwa wanafikisha hoja zao kama mwana wa mitulinga prof jay...sizani kama wangekuw wanaend mahabusu.....big up prof...
@jamilmwinge3695
@jamilmwinge3695 5 жыл бұрын
Safi sana Rais ungekua ktk mfumo huu usingezungumziwa mabaya kisiasa na ungekua mfano bora wa kuigwa Duniani, Mungu akubariki akuondoe chuki na hasira kwa wapinzani.
@swabry
@swabry 4 жыл бұрын
from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 prof jay ❤️❤️👊👊👊👍👍💯💯💯
@magrethgeorge9253
@magrethgeorge9253 2 жыл бұрын
😭😭😭😭Kila nikuangalia rais wangu magufuli moyo unaumaaaaa,
@geofreychirwa2389
@geofreychirwa2389 5 жыл бұрын
Japo kuwa prof j. yupo chadema naamini atafika mbali sana kisiasa hata kimaisha sababu miongoni mwa watu wachache sana sana tena sana wenye nidhamu ya hali ya juu kwa serikali yake tofauti na hao makada wngne wa chama hicho. big up mzee wa mitulinga.
@fab_254.
@fab_254. 2 жыл бұрын
Prof. Jay is such a joyous person
@davianofficial6972
@davianofficial6972 2 жыл бұрын
Mungu akusaidie upone mzee wetu👏👏
@magrethgeorge9253
@magrethgeorge9253 2 жыл бұрын
😭😭😭
@johnrogath1066
@johnrogath1066 6 жыл бұрын
Waoooooooh bravo prof jay.....
@safarijoseph4927
@safarijoseph4927 2 жыл бұрын
Pro uko juu
@astridawilison8125
@astridawilison8125 6 жыл бұрын
wabunge ndo kama hawa wanaonyosha maelezo
@epainethowanjara6546
@epainethowanjara6546 6 жыл бұрын
kweli ww ndye professa big up mkuu
@fredmankaingu4172
@fredmankaingu4172 6 жыл бұрын
J point kama zote kipaji sio kubana pua
@khamiskhamis5323
@khamiskhamis5323 6 жыл бұрын
Huyu ndo mbunge makini yupo sirias na kaz huyu kweli mtafatj
@hansbasil3448
@hansbasil3448 6 жыл бұрын
Mimi namkubaligi sana Mh prof J,ni jembe bhana.
@justinemathias9871
@justinemathias9871 6 жыл бұрын
safiii
@allysaid2846
@allysaid2846 6 жыл бұрын
professor j uko vizuli
@hajiramadhan7006
@hajiramadhan7006 6 жыл бұрын
safi sana pr j
@ungonelamapunda4908
@ungonelamapunda4908 6 жыл бұрын
prof. j amempiku msigwa kwa ubunifu. amewatendea haki wananchi wake. sio kuishia kusifu tu....
@mcpaulmkopa4798
@mcpaulmkopa4798 2 жыл бұрын
Mungu akuponye processor j
@josephcharles6443
@josephcharles6443 6 жыл бұрын
Noma noma JOSE
@kigazithaddee3790
@kigazithaddee3790 5 жыл бұрын
mimi ni Mrundi, ila nayipenda Tanzania, il est le pays d'Afrique qui m'impressione et que j la consider coe la Suisse d'Afrik
@patrickmogella5737
@patrickmogella5737 6 жыл бұрын
Professor safi havai hereni wala miwani.
@georgedinda7400
@georgedinda7400 6 жыл бұрын
Dah! kaka huyu ajua kuchana maneno kweli kweli, huku kenya twamkubali kwa sana. Kenya pia kuna vijanaa wasanii walioingia bunge lakini huku wamezii, profesa Jay ni mfano wa kuigwa na vijana waingiao kwenye oungozi wa nchi.
@mulokoziwange8017
@mulokoziwange8017 6 жыл бұрын
Professor uko vizuri
@philemonpaulo1226
@philemonpaulo1226 6 жыл бұрын
Hongera unaeongoza binadamu na wanyama
@samgaya
@samgaya 5 жыл бұрын
Safi sana professor Jay
@josephathikiharatu4695
@josephathikiharatu4695 6 жыл бұрын
kumi Kama process jay tz tunauuga umasikini
@stevenremi190
@stevenremi190 6 жыл бұрын
Nimkari sana
@fredrickfilbert3922
@fredrickfilbert3922 2 жыл бұрын
Daaaah, upone haraka Joseph Haule
@jumak.ismail2504
@jumak.ismail2504 4 жыл бұрын
good guy i used to love your work sana
@yaceenmohamed8708
@yaceenmohamed8708 6 жыл бұрын
genius
@jupeshajehas1964
@jupeshajehas1964 6 жыл бұрын
umetumia vizuri muda point tupu
@laizersikoyan4157
@laizersikoyan4157 6 жыл бұрын
Safi professor J
@wadokozitv2319
@wadokozitv2319 6 жыл бұрын
Laizer Sikoyan @wadokozi tv
@BarakaWaya
@BarakaWaya 6 жыл бұрын
J Wa mitulinga mchawi wa rap mti mkavu
@mcjabbyevents4938
@mcjabbyevents4938 6 жыл бұрын
good sanaaaaa kk
@sallumnassily4375
@sallumnassily4375 6 жыл бұрын
Endelea hivyo prof j
@wazirikhamisi4828
@wazirikhamisi4828 4 жыл бұрын
Hii ni fahari kwa wana morogoro
@RashidMuhunzi-pr5xj
@RashidMuhunzi-pr5xj 17 күн бұрын
Mkongwe katk fani
@a.a.a.s8322
@a.a.a.s8322 6 жыл бұрын
👍👍👍👍
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 6 жыл бұрын
Watz ni hapo tuu ninapopendaga,sisi ni wamoja sanaaa,
@selemanishukuru6919
@selemanishukuru6919 2 жыл бұрын
Joson duro say
@tembeletadei7136
@tembeletadei7136 6 жыл бұрын
prof bonge la mbunge anajielewa sana
@wazirisaid3486
@wazirisaid3486 6 жыл бұрын
jamani wabunge wote muigeni profesa j angalieni shida za majimbo yenu na si kulaumu kila ki2 mpk mda wenu unaisha hakuna mnachokifanya duuuuuu.
@pendojohn1509
@pendojohn1509 6 жыл бұрын
Safi Sana
@theprovitionofnature9188
@theprovitionofnature9188 2 жыл бұрын
Huyu jamaaaa ako ana akili sana Profesa Haule J
@titusosano3946
@titusosano3946 6 жыл бұрын
Safi sana
@hometube8069
@hometube8069 2 жыл бұрын
noma
@knowthyself3422
@knowthyself3422 4 жыл бұрын
Jay ni Jay.
@getaromagaiwa7918
@getaromagaiwa7918 5 жыл бұрын
una dalili za kujiunga na inzi wa KIJANI!!!!!
@munakatonga6525
@munakatonga6525 6 жыл бұрын
🙌🙌🙌
@marybalongo221
@marybalongo221 6 жыл бұрын
nampenda bure
@evalinisamwelisamweli8810
@evalinisamwelisamweli8810 2 жыл бұрын
Daimond
@mwambirekwamboka9525
@mwambirekwamboka9525 6 жыл бұрын
a.K.a Heavyweight that's what we call politics may u leave long
@dominashirima873
@dominashirima873 6 жыл бұрын
Safi J
@emmanuelgabagendi3169
@emmanuelgabagendi3169 6 жыл бұрын
Hangera Sana tena Sana
@jumannejoseph5415
@jumannejoseph5415 6 жыл бұрын
Emmanuel Gabagendi arusha ndio tunapata shida mana raisi akija hatumuoni mmbunge mabarabara mabovu mambo mbaya kila kona maji shida yeye hatoi kero malumbano tuuuu
@mako331
@mako331 6 жыл бұрын
Kumbe unamkubali Jpm ni Rais wa wanyonge, mnapiga kelele tu kule bungeni ili mufurahishe Mbowe. Jpm hoyeee
@justinrugambwa9524
@justinrugambwa9524 2 жыл бұрын
Prf jy oy
@nyerere1259
@nyerere1259 6 жыл бұрын
Dah Jay we ni jembe
@kijanamtanzania3825
@kijanamtanzania3825 6 жыл бұрын
Kweli m bunge wa binadam na wanyama uko poa san imeenda sawa na magu
@victoradelard9228
@victoradelard9228 6 жыл бұрын
hahahaha
@ayoubmkeya8709
@ayoubmkeya8709 5 жыл бұрын
hawa ndo wabunge wanao jielewa
@happnecyvagas6930
@happnecyvagas6930 6 жыл бұрын
Joseph haule leo umeonesha kweli wewe ni professor natamani wabunge wote wa upinzani wangekua kama wewe
@binzuadaudi7772
@binzuadaudi7772 6 жыл бұрын
Keep it broo
@kelvinjackson9699
@kelvinjackson9699 6 жыл бұрын
Proff jize aka the heavy wight mc
@emmanuelnjelekela6299
@emmanuelnjelekela6299 4 жыл бұрын
hahahaa big up😀😀
@noeltz9736
@noeltz9736 6 жыл бұрын
paka wana ccm wamepiga makofi
@johnmasoud2246
@johnmasoud2246 6 жыл бұрын
Hakika safi saana mbunge huo ndio uzalendo katika nchi
@ramadhansalum9981
@ramadhansalum9981 6 жыл бұрын
'
@peteraswile4594
@peteraswile4594 6 жыл бұрын
Mc pilipili
@jolitejolite1497
@jolitejolite1497 5 жыл бұрын
Mzee wa mitulinga umempagawisha mheshimiwa JPM ongea xna kuwa bega kwa bega nawapenda wote
@starnewstvtv1126
@starnewstvtv1126 6 жыл бұрын
Wamitulinga mchawi wa rapu mti mkavu
@julianamasunga4147
@julianamasunga4147 6 жыл бұрын
hayo ndiyo mambo safi mh mbunge
PROFESA J AMWAGA MISTARI BUNGENI AKIWATETEA WASANII
4:38
Mwananchi Digital
Рет қаралды 75 М.
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 83 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 62 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 53 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 184 МЛН
DAKIKA 10 ZA MCH. HANANJA ZINAZOPENDWA ZAIDI NDANI YA UDSM CCT MEDIA.
9:47
🔴Taarifa ya Habari ya Saa Mbili Usiku, 28 Julai 2024
ITV Tanzania
Рет қаралды 1,1 М.
Salama Na Profesa ep 55 | MAPINDUZI HALISI Part 1
41:30
YahStoneTown
Рет қаралды 115 М.
SUGU: "Please Don't Shut Me! Tubishane kwa Hoja na Siyo Bunduki"
11:24
Global TV Online
Рет қаралды 466 М.
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
14:17
Joseph Mabima
Рет қаралды 3,6 МЛН
Gen Zs in Mombasa vow to continue with demonstrations
3:50
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 83 МЛН