SHEKH MZIWANDA | MSITUTISHE KWA VYEO VYENU | SIOGOPI | NIFUNGIENI TU | ACHENI UNAFIKI | BAKWATA

  Рет қаралды 314,125

BABDEO MILADU

BABDEO MILADU

3 жыл бұрын

Пікірлер: 597
@hilmialjahdhami9787
@hilmialjahdhami9787 3 жыл бұрын
SHEIKH MZIWANDA ALLAH ATAKULIPA KHERI DUNIANI KABURI NA KESHO AKHERA SIMAMA KWENYE UKWELII AKHERA KUNA RAHAA DUNIANI TUNAPITA
@aishaaisha1495
@aishaaisha1495 3 жыл бұрын
Amiin
@sharifumussaalaadabiy9001
@sharifumussaalaadabiy9001 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/m4W3eYF_f61sjZI haya haya njooo uone miujiza ya QUR'AN kutoka karne ya 7 mpk leo karne 21 wanasayans wanashangaa namna yamchanganyiko wa mbegu yababa na mama
@FridayMwassa
@FridayMwassa 4 күн бұрын
​@@sharifumussaalaadabiy9001Miujiza ya Mungu siyo koran
@masoudyrashidy9041
@masoudyrashidy9041 3 жыл бұрын
Sheikh mziwanda umemaliza maneno wallahi hakika umezungumza ukweli
@sharifumussaalaadabiy9001
@sharifumussaalaadabiy9001 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/m4W3eYF_f61sjZI njoo uone miujiza ya ya QUR'AN namna yamchanganyiko wa mbegu yababa na mama
@hilmialjahdhami9787
@hilmialjahdhami9787 3 жыл бұрын
ASANTE SANAA SHEIKH MZIWANDAA ALLAH ANAKULINDA NA ATAZIDI KUKULINDAAA
@abowsudes210
@abowsudes210 3 жыл бұрын
Shida matumbo yanawatesa sanaa
@sharifumussaalaadabiy9001
@sharifumussaalaadabiy9001 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/m4W3eYF_f61sjZI njoo uone miujiza ya QUR'AN kutoka karne ya 7 mpk leo karne ya 21 wanasayans wanashangaa namna yamchanganyiko wa mbegu yababa na mama
@al-aminwangara1928
@al-aminwangara1928 3 жыл бұрын
Maasha allaah .ahsanta sana sheikh mziwanda yani maneno haya umewawakilisha wengi
@AbuuRuudaynaa
@AbuuRuudaynaa 3 жыл бұрын
Shekh Muharramu Mziwanda Allah akulipe kheri nimekuelewa vizur sana
@hamidashaban1203
@hamidashaban1203 3 жыл бұрын
Shekh mziwanda Allah akuhifadhi na kila baya hakika Allah anampenda mwenye kusema kweli na anamchukia mnafiki umesema ukweli mtupu utakaa na mtume peponi firdaus katika waumini kuna wanaume bwana!! Safi sana .Serikali siyo mbaya sisi ndiyo wabaya. mbwa mwitu humla mnya aliyejitenga na wenzake Tupendane kwa ajili ya Allah natuchukiane kwa ajili ya Allah.
@hawakassimu6120
@hawakassimu6120 3 жыл бұрын
Napenda sana mtu jasiri asieogopa anaesimama na ukweli, mimi si mtu wa maulid lakini nimekupenda sana kwa ukweli wako, allah akulinde na fitna shari na husda za walimwengu
@AbuuRuudaynaa
@AbuuRuudaynaa 3 жыл бұрын
Ukht umesea kweli kwamaneno haya mwenye akili atayatia akilini
@mohammedrajabu7449
@mohammedrajabu7449 3 жыл бұрын
Allahumma amiin🙏
@sharifumussaalaadabiy9001
@sharifumussaalaadabiy9001 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/m4W3eYF_f61sjZI njoo uone miujiza ya QUR'AN kutoka karne ya 7 mpk leo karne ya 21 wanasayans wanashangaa namna yamchanganyiko wa mbegu yababa na namama
@johannesjoseph7496
@johannesjoseph7496 3 жыл бұрын
Owamae ago mazima
@mutomubaya
@mutomubaya 3 жыл бұрын
Pongezi ukhtinaa. Tuhimizaneni kufuata vyema mafundisho ya Uislamu kwa kuwa bila shaka tutaulizwa kuhusu tuliyokuwa tunayatenda.
@AbdullahAbdullah-fz9xg
@AbdullahAbdullah-fz9xg 3 жыл бұрын
Alie sikia jamaa akisema zaidi ya mkwawa like hapa
@kijitamfyomi5598
@kijitamfyomi5598 3 жыл бұрын
Kajitoa muhanga kusema ukweli Allah amlinde na maadui wa uislamu inshaaAllah ameen
@mohammedrajabu7449
@mohammedrajabu7449 3 жыл бұрын
MaashaaAllah sheikh mziwanda Jazaakallahu khaira mwenyezimungu akubaariki kwakuongea ukweli na allah akulinde na hila za wanaafiqi
@mmadiausiy9810
@mmadiausiy9810 3 жыл бұрын
Mnafiki haingii peponi , kweli waache unafiki ALLAh anawapenda wasio wanafiki, ALLAh akulipe kher hapa duniani na akhera uendako! Mziwanda
@noorynmohammedy6063
@noorynmohammedy6063 3 жыл бұрын
Duuuh wallah nimekupenda we sheikh kwaajili ya Allah Mwenyez Mungu akuifadh zaid.
@fadhilshafi2947
@fadhilshafi2947 3 жыл бұрын
Sema kweli japo Chungu ! mafundisho kutoka kwa bwana Mtume Muhammad s.a.w ✅
@chondihussein9939
@chondihussein9939 3 жыл бұрын
Swadaktaaaaaa,,,nimefurah Sana huo ujasiri ndio unaohitajka,,, kwa Tanzania upo mwenyewe mwenye ujasiri huo,,,, Allah akulipe kila lenye kheriiii,🙏🙏
@sharifumussaalaadabiy9001
@sharifumussaalaadabiy9001 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/m4W3eYF_f61sjZI tazama maajabu namiujiza ya QUR'AN dhid ya mchanganyiko baina yababa na mama
@seremenikibwene8633
@seremenikibwene8633 3 жыл бұрын
Ama Hakika Binafsi Nakuombea Duaa ! (ALLAH) Azidi kukupa Msimamo Thabiti, Uzidi Kuutetea Uislam, m/mungu akusimamie.
@sharifumussaalaadabiy9001
@sharifumussaalaadabiy9001 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/m4W3eYF_f61sjZI tazama maajabu namiujiza ya QUR'AN dhid mchanganyiko baina yababa namama
@hajikakola7242
@hajikakola7242 3 жыл бұрын
Nakuombea dua (ALLAH) akujalie uwena msmamo huohuo utetee uislam
@abubakarmalezi6974
@abubakarmalezi6974 3 жыл бұрын
Allah Akbar Allah akuzdishie maalim
@sadikisalumu8668
@sadikisalumu8668 3 жыл бұрын
Allah akulinde leo na kesho Akhera shekh Mziwanda
@asyahassan1308
@asyahassan1308 3 жыл бұрын
Nimekupenda shekhe.kwa msimamo wako Allah akujaalie kher kwa kila hatua
@niite_cousin1362
@niite_cousin1362 3 жыл бұрын
Manshaalllah hivi ndo ulimwengu unahitaji watu kama hawa
@killarmancity7599
@killarmancity7599 3 жыл бұрын
Watakuchukia machoni mwao ila mioyo inawasuta kwa kweli, Shekhe umejitoa sana tena sana 🙏🙏🙏🙏🙏 , Mungu atazidi kukulinda mkuu
@sidkas2318
@sidkas2318 3 жыл бұрын
Sheikh Allah akuhifadhi..msg SENT...Maneno yako machache na ujumbe unafika..Allah akuhifadhi
@sharifumussaalaadabiy9001
@sharifumussaalaadabiy9001 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/m4W3eYF_f61sjZI haya njoo uone miujiza ya QUR'AN kutoka karne ya 7 mpk leo karne ya 21 wanasayans wanashangaa namna yamchanganyiko wa mbegu yababa naymama
@faridahassan769
@faridahassan769 3 жыл бұрын
Atali
@KilimbikeHaji-iy2fm
@KilimbikeHaji-iy2fm 2 күн бұрын
Sema shekh mungu atakulipa wapo wengi wanafiki kama hao
@ceciliajimmy5652
@ceciliajimmy5652 3 жыл бұрын
Na makanisani yangetamkwa hayo, tungeona aibu, tungejirekebisha. Tuache unafiki jamani penye ukweli tuseme ukweli!!
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 3 жыл бұрын
Makanisani hatuna hayo
@ustadhfarouq7729
@ustadhfarouq7729 2 жыл бұрын
Makanisani hakuna kupingana atakavyosema mchungaji ni yes yes yes hata kama muongo huu utaratibu utaupata kwa waislam mtu haezi ongea mbele ya waislam jambo lakupotosha ama llisilo ushahidi wa vitabu ama fitna lazma utaulizwa ukweli wa maneno yako
@FridayMwassa
@FridayMwassa 2 күн бұрын
​@ustadhfarouq7729 Waislam ni wanafiki si umemsikia huyo shehe wako,sisi wakristo tuna utaratibu maana Yesu wetu hakuwahi kupigana na mtu yeyote, huwezi kumwambia kiongozi wako hivyo kwa lengo la kumdhalilisha mkubwa wako.Wenye busara wanaitana na kuonyana
@ibinhussein8561
@ibinhussein8561 3 жыл бұрын
Maashaallah Allah atakulinda sheikh Muharami Mziwanda 💥
@bellbell9294
@bellbell9294 3 жыл бұрын
Shukraan Sana sheikh wetu Allah akuhifadhi jazaka Allahu kher
@amurisabiti7037
@amurisabiti7037 2 жыл бұрын
Allah akupe muongozo mwema Insha'Allah sheihk wetu ❤️🇨🇩
@sharifalienike631
@sharifalienike631 3 жыл бұрын
Mashaallah live long my uncle you are best of my favourite big up
@hamilhassan9464
@hamilhassan9464 3 жыл бұрын
Dini na nasaha mwambie mufti aache aache kuchanganya dini na ukafri
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 жыл бұрын
.
@suleimaniabdallah6742
@suleimaniabdallah6742 3 жыл бұрын
Mashekhe wengi wanafiq sana hongera sana shekhe
@asiakinia9344
@asiakinia9344 3 жыл бұрын
Shukran shekhe wetu muharram mziwanda Allah akupe hitaji LA moyo wako inshaallah
@swahiliforex
@swahiliforex 3 жыл бұрын
Kazi Ya Dini Ngumu Sana - Sheikh Mziwanda
@masoudyrashidy9041
@masoudyrashidy9041 3 жыл бұрын
Allah atakupa cheo chako peponi in sha Allah
@sharifumussaalaadabiy9001
@sharifumussaalaadabiy9001 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/m4W3eYF_f61sjZI tazama maajabu namiujiza ya QUR'AN dhid ya mchanganyiko baina yababa na mama
@hassanmpwepwe8258
@hassanmpwepwe8258 3 жыл бұрын
Kwer kabisa shekh wangu ujumbe umefika mashaallah
@kijitamfyomi5598
@kijitamfyomi5598 3 жыл бұрын
Allah azidi kuwadhihirisha wengi wa mfano wa sheikh Mziwanda ameen.
@ramsofundi2222
@ramsofundi2222 3 жыл бұрын
Swala swala Bob deo Shukrani pia Allah ampe afya sheikh
@husseinchiaseeds2653
@husseinchiaseeds2653 3 жыл бұрын
Shukran shekhe watu kama wewe ni hazina ya taifa hili ambalo wanafki wengi wamejipenyeza ktk dini ili washibishe matumbo yao
@tindambaraka2357
@tindambaraka2357 3 жыл бұрын
MAASHAALLAH JAZAAKALLAH UJUMBE MURWA!
@sharifumussaalaadabiy9001
@sharifumussaalaadabiy9001 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/m4W3eYF_f61sjZI tazama maajabu namiujiza ya QUR'AN dhid ya mchanganyiko baina yababa na mama
@rukiawalele6945
@rukiawalele6945 3 жыл бұрын
Maaashaalwa kk ,waislamu tunaongoza kwakweli ,na hawapendi kuambiwa ukweli yaarab tustiri
@allygongoro572
@allygongoro572 3 жыл бұрын
Wallah wamebaki wachache sana hapa kwetu. Allah akulipe kher shekh wetu.
@saidysuleiman5360
@saidysuleiman5360 3 жыл бұрын
Wanafiki hawo wanatumika vibaya
@rashidlikongo5022
@rashidlikongo5022 3 жыл бұрын
Walay nasema masheikh wote. Wangekuwa kama hivi hakika dini isingekuwa na wababaishaji,kiukweli sheikh mziwanda nakupenda toka moyoni mungu akuhifadhi duniani Hadi kesho ahera
@jasminismail7851
@jasminismail7851 3 жыл бұрын
Asante shekhe wangu allah akupe maisha marefu
@allykinono2681
@allykinono2681 3 жыл бұрын
Inshallah mungu akupe ujasiri lshaallah
@bandajr2205
@bandajr2205 3 жыл бұрын
Naomba msaada wa kumuona sheikhs mziwanda
@maherzain2555
@maherzain2555 3 жыл бұрын
Hawa ndo masheikh tunawataka, unafiq utaondoka tukiwa wawazi haina haja ya kuogopana.......mashaallah ...tumuombe Allah amjaalie umri mrefu wenye kheri zaidi......!
@dr.aboufawzan5215
@dr.aboufawzan5215 3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa Sheikh mziwanda watu wamezidi utadhani atakaa kwenye iko cheo milele.
@ahmuhally4430
@ahmuhally4430 3 жыл бұрын
Umetisha sana Sheikh
@ashrafchillah9857
@ashrafchillah9857 Ай бұрын
Nilitamani Siku Mmoja Nikuone Bayana Ila Leo Alhamdulilaah Nimefanikiwa Kukuona Na Kuongea Na Wewe @Muharaam Mziwanda Allah Akuwekee & Atujaliie Mwisho Mwema Sisi Sote AMIIN Shukran Kaka @Amiri kikwa 🙏
@saidhamisi2795
@saidhamisi2795 3 жыл бұрын
Ustadh Allah atakulinda InshaAllah ww na familia yako Allah akakulipe ujira wako siku yakima InshaAllah
@sharifumussaalaadabiy9001
@sharifumussaalaadabiy9001 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/m4W3eYF_f61sjZI tazama maajabu namiujiza ya QUR'AN dhid ya mchanganyiko bain yababa na mama
@omarimasanga
@omarimasanga 3 жыл бұрын
Shekhe Mziwanda Umenifurahisha sana
@dr.aboufawzan5215
@dr.aboufawzan5215 3 жыл бұрын
Subhanallah yaani hao waliopewa Mamlaka juu kuwasimamia Waislam wenzao baadhi yao wanayatumia Mamlaka yao kwa Maslahi yao binafsi. Jamani tumche Allah siku ya Kiyama ni siku mzito sana .
@haithamrubea1726
@haithamrubea1726 3 жыл бұрын
Nimeona clip tu status nikaona bora nije nifaid mwenyewe mashaallah shekhe
@tumaramadhanghulaam247
@tumaramadhanghulaam247 3 жыл бұрын
Namm shogaangu
@blackmedia4962
@blackmedia4962 3 жыл бұрын
😅 kumbe tupo wengi
@mariamsaid1093
@mariamsaid1093 3 жыл бұрын
Mi nimeona clip insta
@shabaniramadhani4109
@shabaniramadhani4109 3 жыл бұрын
Mi nipo Arusha hata mimi niliona Fb
@haithamrubea1726
@haithamrubea1726 3 жыл бұрын
Inshaallah mungu awajaalie kheri mashekhe wetu wazid kutuelimisha na awaibishe ao mashekhe wanafiki mmoja badala mmoja
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 3 жыл бұрын
Vheo chako utakipata kwa Laillah illah muhamad rasulullah.
@dm-rv5mf
@dm-rv5mf 3 жыл бұрын
Laillah illallah Muhamada rasulullah
@osamamoha1003
@osamamoha1003 3 жыл бұрын
@@dm-rv5mf mulidi bida
@roi2553
@roi2553 3 жыл бұрын
Maashallah shehe Shekh ataki dhambi ya kusengenya yaani anawachana live live bila chenga na ukweli umepenya wazi wazi hivi ndivyo Mungu anataka na ndio mana ya uislamu Kwa sababu pia hata dini inasema kitu likiwa kibaya basi zuia kwa nguvu yaani mkono wako na kama huwezi basi ata kwa mdomo yaani nena na vyote hivyo vikikushinda basi chukia yaani pingana na mabaya Qul haq wainkana murua
@mpokijackson1421
@mpokijackson1421 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ni wa haki, mwenyezi Mungu ni kweli, wewe umesema kweli na haki, na ukitaka kuwa rafiki na dunia nikutafuta uadui na mwenyezi Mungu, na ukiwa adui na dunia ni kuwa rafiki na mwenyezi Mungu. Ndugu umechagua fungu jema la kuwa rafiki na mwenyezi Mungu. Akupe kheri zaidi .
@azizauledi4108
@azizauledi4108 3 жыл бұрын
MashaaAllah Allah akuhifadhi sheikh mziwanda sema ukweli japo unauma wakuogopewa ni Allah si viumbe .huo ndio uislam sio ubabaishaji.
@abasadidal7
@abasadidal7 3 жыл бұрын
ALHAMDULILLAH, pili shukrani sana mwamba wangu mwenyewe Sheikh Mziwanda. Uislam ni ukweli hivyo wakinuna kwa kuambiwa ukweli waache wanune
@KilimbikeHaji-iy2fm
@KilimbikeHaji-iy2fm 2 күн бұрын
Safi sana shekhe upo sahihi sana sema ukweli
@naimaabdul142
@naimaabdul142 3 жыл бұрын
Ibada toshaaaa nimependa
@ummukhadija1551
@ummukhadija1551 Жыл бұрын
Shekh mziwanda umeongea pointi saana wallah sema Nini kuna wengine wanaogopa kusema ukweli japo wanayaona yanayo tendeka ilaweye umevaa ujasili hasaa Allah akuongoze naa akuepushie yooote mabaya yasasa nayajao
@saidnajika3321
@saidnajika3321 3 жыл бұрын
MUNGU AKUONGOZE NA AKULINDE AKUEPUSHE NA MABALAA AZIDI KUKUPA HIKIMA AMINA
@fikirinijr6807
@fikirinijr6807 3 жыл бұрын
Maa shaa allah... Allah amlinde huyu Shekh
@mohdsaid5038
@mohdsaid5038 3 жыл бұрын
Mashaallah kama maneno yk yanaendana na moyo wako basi Inshaallah Allah atakulipa kwa msimamo wako huo ndio ukweli
@radisafaa6676
@radisafaa6676 3 жыл бұрын
Asante sana sheikh alhamdullillah kwa kusema ukweli hio ndio haki ipiganiwe kwa ukweli km hivo
@shabanimkuruma4607
@shabanimkuruma4607 3 жыл бұрын
Yaan tungekuwa na mashekhe kama hawa 10 tu kuna baadhi ya tabia za mashekhe wanafiki zingepungua,wanatia huruma sana mashekhe wanao jifanya wako karibu na serikal wapumbavu sana wanaharibu dini yetu,Asante sana shekhe dawa imewaingia hao wanao jifanya mashekhe pesa
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 жыл бұрын
Ahsante shekh mziwanda na ujumbe huu umfikie alhad mussa
@madjaliwamausse5879
@madjaliwamausse5879 Жыл бұрын
Allah ukulipe sheikh Kutoka Congo DRC, uyo ndo wislamu,' si kupapasana👏👏👏
@castobenjamin4074
@castobenjamin4074 2 жыл бұрын
Nimempenda huyu Sheikh 🔥🔥🔥
@alakhy9448
@alakhy9448 3 жыл бұрын
Mimi sio mtu ninayekubali mawlid,lakini shekhe mziwanda nampenda sana licha ya kuwa napishana nae misimamo. Lau kama nitakuwa nipo dar es salaam nitaenda kuhudhuria darsa zake
@AbuuRuudaynaa
@AbuuRuudaynaa 3 жыл бұрын
Nikweli kabisa
@FahadHamzaMwadin-ym6gn
@FahadHamzaMwadin-ym6gn Жыл бұрын
Nakupend sana mziwanda kwa ajili ya Allah ni kweli waliokaribu na viongozi wapunguze unafik
@boyhamimboy5384
@boyhamimboy5384 3 жыл бұрын
Allah akupandishe daraja hapa duniani na kesho akhellah inshallah
@shammoha5297
@shammoha5297 3 жыл бұрын
SubhanaAllah. Masheik wote Mola awahifadhi. Ameen!
@baitulquranallyibrahim3185
@baitulquranallyibrahim3185 3 жыл бұрын
Aamin
@joharindaro3075
@joharindaro3075 3 жыл бұрын
Nyie ndio tuna wategemea mashehe mwenyezi mungu azidi kukupa ujasir shehe wetu
@cidewashington670
@cidewashington670 2 жыл бұрын
Waambie hao, Allah akupe hekima ktk kufikisha ujumbe kwa waislamu wote Duniani
@rudhwanjumbe2970
@rudhwanjumbe2970 3 жыл бұрын
Shukran sana shekh wangu bora umesema kwa uwaz kuliko unafiki
@mohamedkikunge5417
@mohamedkikunge5417 3 жыл бұрын
Mashaallah sheikh ALLAH akuifadhi na kila hasad husda chuki na roho mbaya za wanafk leo umezungumza kweli mbele ya jamii sio kona kona akika yakweli huwa aijifichi inshaallah watu kama weye ndio wanastail kuwa ktk hak
@fatmasayid8895
@fatmasayid8895 3 жыл бұрын
Sheikh mziwanda mashalwa M.mungu akubariki na akulinde kina shekh wa mkoa hao wanaotoa duwa zao hatujawahi kuzisikia
@eddyjustin5890
@eddyjustin5890 3 жыл бұрын
HIKI NI CHUMA CHA RELI 2020 ALLAH AKULINDE
@ibrahimdabo7163
@ibrahimdabo7163 3 жыл бұрын
Safi sana shehe wambiye ao mashehuna wasaka tonge mashehe ubwabwa hahahaaa
@amirytwaha5253
@amirytwaha5253 3 жыл бұрын
Asante sheikh mziwanda Allah akulipe
@abdulazizitwalib5859
@abdulazizitwalib5859 3 жыл бұрын
Sema kwely japo kuwa chuguuu. Mashallah mashallah mashallah
@sharifumussaalaadabiy9001
@sharifumussaalaadabiy9001 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/m4W3eYF_f61sjZI tazama maajabu namiujiza ya QUR'AN dhid ya mchanganyiko baina yababa na mama
@kungurukingunge2761
@kungurukingunge2761 3 жыл бұрын
Kwa hili shekh ujira wako mbele ya Allah ni mkubwa umewapa ukweli roho yako ipo safi mashallah
@directorjb9231
@directorjb9231 Жыл бұрын
Jazakallah haili
@asilclub
@asilclub 3 жыл бұрын
WAPE KAZI ZAO BARAKA ALLAHU FIKI MUNGU ATAKUSAIDIA
@saidwambura2461
@saidwambura2461 3 жыл бұрын
Alhamdulillah! Allah akuhifadhi sheikh amahakika mashekh wetu wangesimama ktk haki uisilam ungekuwa madhubuti,Allah akupe mema ya dunia na aghera
@mudydady9899
@mudydady9899 3 жыл бұрын
Mashallah shekhe msema kweli yupamoja na mola
@rashidimussa3294
@rashidimussa3294 3 жыл бұрын
Allah atakulipa kheri shekh 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@hamisi_kwichu
@hamisi_kwichu 2 жыл бұрын
Shekh Allah akuweke uislamu ndivyo unavyotaka tusiwe wanafki"
@ukhtynaa005
@ukhtynaa005 2 жыл бұрын
Allah Akbar Allah Akbar Allah akuhifadhi sana na akupe hima zaidi
@aisharamadhaniothumani2071
@aisharamadhaniothumani2071 3 жыл бұрын
Asante sn ushawafikishia ujumbe wa wanafiki mana kuna watu wambea kweli
@imanisahani2301
@imanisahani2301 3 жыл бұрын
Safi sana kwa ujumbe wako shehe mimi mkristo ila huu ujumbe sawa na Safi sana
@allyfutto8763
@allyfutto8763 3 жыл бұрын
Mashaallah miakahii pepo itakuwa rahisi sana maana watu wana pendana wanaambiana ukweli waziwazi.🧿🕌
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 3 жыл бұрын
Naona kama warithi wa shekhe wangu Ilunga wanakuja Sasa, mashaa Allaah
@rahmajuma6112
@rahmajuma6112 10 ай бұрын
🤲Allah azid kukuhifadh shekhe wetu..
@nshimirimanadjamilla7270
@nshimirimanadjamilla7270 3 жыл бұрын
Shukran sheikh umewongeya kweli ndio dini Allah amuhifadhi Allah akulipe kheri
@binbaya923
@binbaya923 3 жыл бұрын
Maa shaa Allah. Massege send and deliver
@hamisijuma2825
@hamisijuma2825 3 жыл бұрын
Shekhe nimemuelewa Sana🙏🙏
@emilyibraimo5032
@emilyibraimo5032 3 жыл бұрын
Mashallah we ndo shekhe mashehe wengi saivi wapo kimasilahi yao tu
@binmungiadinininasahachane5888
@binmungiadinininasahachane5888 3 жыл бұрын
Mashallah
@mename6020
@mename6020 3 жыл бұрын
Allah akulinde na hasada... Shukran..
@mohammedmmari5459
@mohammedmmari5459 3 жыл бұрын
Ujumbe umefika salama Allauma amiina 🤲🤲🤲🤲🤲😁🤣🤣🤣
@farajimwaipaya8634
@farajimwaipaya8634 3 жыл бұрын
Mashekh kama hawa adimu sana mungu akusimamie kwenye ukweri unafki ndio unaifanya dini ionekane ngumu wakati nyepes
@hilalakida7016
@hilalakida7016 3 жыл бұрын
Allah akuifadhi shekh mziwanda
@alisaidi7477
@alisaidi7477 3 жыл бұрын
Nataman sheikh wangu UJEE MSIKIT MKUU WA ARUSHA MJINI..... hapo napoo MTIHANI QELI QELI....
@hamoudrushenya8650
@hamoudrushenya8650 3 жыл бұрын
Ma shaa Allah, Allah akulipe kheri
SHEIKH MUHARRAM  MZIWANDA ATUPA JIWE LANGIZANI
18:00
MANAAZIL ONLINE TV
Рет қаралды 3,9 М.
Самое Романтичное Видео ❤️
00:16
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 5 МЛН
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 52 МЛН
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,8 МЛН
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 12 МЛН
MASHEIKH WA BAKWATA WANAWASAPOTI MASHIA TANZANIA sheikh Mohammed Issa
43:46
(Khabari za Majini) Al-imaam Muhammad Sharif Said Albeidh
38:12
Maj Maul Ahbaab
Рет қаралды 22 М.
SHEIKH MZIWANDA ATEMA CHECHE MKOANI KIGOMA JIFUNZE MAHUSIANO MAZURI NA WATU
19:42
САМЫЙ ЖАРКИЙ ШТАТ (@therealoscarmendez - TT)
0:23
В ТРЕНДЕ
Рет қаралды 10 МЛН
And how are they not embarrassed?
0:19
Rinuella
Рет қаралды 15 МЛН
Поймал редкий кадр🤨
0:22
FERMACHI
Рет қаралды 1,8 МЛН
ПОМЫЛ МАШИНУ #shorts
0:26
Паша Осадчий
Рет қаралды 1,7 МЛН
🚓КОПЫ явно такого НЕ ЖДАЛИ🫣#shorts
0:19