Waziri wa Kilimo Hussein Bashe wakati akihitimisha hoja yake ya mkadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Kilimo na taasisi zake kwa mwaka wa fedha 2023/24.
Пікірлер: 14
@kambamazig02024 Жыл бұрын
Bashe, you are well learned! Safi sana!
@milles1378 Жыл бұрын
Safiii Sanaaa
@user-ws9zv5dr5x Жыл бұрын
Huyu jamaa AKILI KUBWA SANA SANA.
@prosperidinya5864 Жыл бұрын
Umejibu vizuri waziri lakini, Kwa gharama hizo, naona serikali kama anabeba mzigo ambao sijui kama tutapata return inayo kusudiwa. Lakini, Kuna kama kaupendeleo fulani. Mimi nilikuwa nadhani, kwakuwa serikali inapesa kiasi hicho, ingenunua mbolea yakutosha ili Kila mkulima ambaye anahitaji mbolea aipate hapohapo kijijini Kwa 50,000 bei ya juu. Pia, ununuzi wa matrekta madogomadogo yapatikane Kwa nafuu au kukopeshwa. Lakini pia uhakika wa masoko, serikali inunue na baadaye yenyewe iuze huko. Hakika hii ingeleta tija Kwa haraka sana then hayo mnayo yafanya yangeendelea hatua Kwa hatua na Kwa ufanisi kuliko hivi Sasa tunavyo kwenda. Anyway tumuombe Mungu atusaidie tufanikishe na tupate tija kama taifa na isije ikaja kuwanufaisha wachache tu. Mungu ibariki Tanzania.
@mrsmile5425 Жыл бұрын
Kila biashara inalipa sana kwenye makaratasi TENA inalipa zaidi kwenye kuelezea KWA mdomo....nimekaa paleeeeeeeee
@Clement-px8eg11 ай бұрын
Nguvu ya soda
@7675kio5 ай бұрын
Subirini muone anguko lake
@dausonbyabato4768 Жыл бұрын
Kilimo kwanza bashe
@bennyframa4505 Жыл бұрын
Hii ishu ya BBT imekaa kipigaji sana.
@davidkamando9630 Жыл бұрын
Hilo neno ndilo lililo akilini mwako tangu ulipo timiza miaka 18
@bennyframa4505 Жыл бұрын
@@davidkamando9630 aya
@davidkamando9630 Жыл бұрын
Umejiona una hekiimaa mwenyewe kujibu haya... Inasikitisha sana
@bamurwakana7277 Жыл бұрын
Ngonjera2
@michaelmizambwa1246 Жыл бұрын
pointi yake, iko hapa, kila mtu kwenye mradi wa BBT, angelikaaa kwenye nafasi yake (wakulima -SUA, watunzaji, na wauzaji-Other colleges),na kuhusu kusafisha mashamba, tengenezeni utaratibu rasmi wa ukataji mkaa kwa vipindi tofauti na nyakati tofauti, mashambà yatajisafisha yenyewe....