Nakushauri next time RC tape measure kule kunapo anzia mpe mtu akushikie wewe uwe unaziona redings wasikudanganye
@abrahamdaniel75645 жыл бұрын
Kweli yeye bora asome
@mrs29185 жыл бұрын
hawezi kudanganya sababu wanajua ni dakika 3 mbele, hakawii kurudia kusoma apoteze ajira
@mohamedkichendo77205 жыл бұрын
Sanaaa asikae.nwanzi wa tape
@yusufuheri65243 жыл бұрын
Soma iyoooh
@peterpain55945 жыл бұрын
Kama mnaona uyu jamaa anafaa kuwa raisi agonge like apo chini
@brandmj3 жыл бұрын
Saw
@amiriibrahim90413 жыл бұрын
Tumbuaaaa kabisaaa ao
@junioramos29975 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 daaaaa cjawai kuona uyu jamaaa Hana mambo ya siasa kwenye kazi
@am_blessed.14 жыл бұрын
Nataka watu wa mkoa tu GONGA LIKE hp 😁😁😁
@geofreywayesu56382 жыл бұрын
Oyooo comedian also
@mwalaprosper22913 жыл бұрын
Mis you mwamri!!
@rashidsalim38015 жыл бұрын
Hongera sana mheshimiwa
@davismremi89863 жыл бұрын
it is my tradition to come and watch this in a while.....
@godfredmbanyi53892 жыл бұрын
I thought i was alone, 😂
@daudimlamka12392 жыл бұрын
Utawala wa hawa viongozi wazalendo wananchi tulikua so happy
@papaampondele17505 жыл бұрын
Taifa tunajivunia watu kama hawa! mungu wapemaisha malefu,
@ahmadymuhina65462 жыл бұрын
😅😅😅😅🙌kama kuna mtu anabisha hapa anyooshe mkono hapa hapa halafu OCD jiandae😅😅
@khanbaba81253 жыл бұрын
Mh magufr pls Baba ukistafu mwachie uyuuu mh icho kity ni ombi tu kwa mtazamo wangu
@alikhamisame96365 жыл бұрын
Huyu mzee namkubali Sana hebu angeletwa huku Zanzibar kuna mainjinia wa kichina wanatengeza mitaro ya ya maji taka hadi leo hawajamaliza huu sijui mwaka wa ngapi yani kila zikija mvua lazima mafuriko yatokeee
@innocentoder8481 Жыл бұрын
This is genius leader
@andrewtamba66715 жыл бұрын
😂😂😂 we Mwalimu Dotto soma uko! Kama umesikia hii gonga like!
@geoffreychurchkayora12305 жыл бұрын
Hahahaha
@jabirinkama59815 жыл бұрын
Andrew Tamba 🔉ongeza saut
@michaeleustach93524 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁
@harunarashid64043 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@michaelthobias99673 жыл бұрын
Hahaha noma kweli mwalimu dotto
@ndikumanarodrigue56572 жыл бұрын
Soma hiyo!!! Engeneer
@yusuphwella96515 жыл бұрын
Inamaana wakuu wa mikoa wa sehemu nyingine kwao hawajengi hata vyoo mbona sioni wakisimamia ujenzi ipasavyo
@abdulhemedabdulhemed71103 жыл бұрын
Wangapi tumepitia hapa mwaka huu nipeni like plz
@ChachaMarwa-l4e11 күн бұрын
❤❤❤
@mheheoriginal97122 ай бұрын
Tarehe 27 kama bado mpo na mna mkubali huyu jamaa gonga like zenu hapa 🎉🎉
@abdulkhamis8152 жыл бұрын
Hongera
@peterpain55945 жыл бұрын
Napenda anavyosema ATAKUSOMESHA UYO
@fadhilplatnumz62094 жыл бұрын
🤣 Jamani muangaliage nahela zakupja nyingine hazipigiki Jamani kueni makani kazi 🤣🙏👍 Vema sana Mkuu wamkoa Nc
@tsagytz67553 жыл бұрын
Yaan nataman huyu mbogo apewe cheo cha juu serikalini mbna watajamba ubwabwa 😂😂😂😂 hawa akina bashiru na wakurugenz wa bandari
@davidmbwilo49542 жыл бұрын
Noma sana
@leonardkambona36087 күн бұрын
wale wa tabora boys, shujaa wetu uyu tunampata fresh😂
@sospetermigera6855 жыл бұрын
Kiongoz bora kbsaa
@husseinomary44665 жыл бұрын
Ukimuangalia huyu mzee unajikuta unachekacheka kwaraha Kama unatekenywa
@slaustv61295 жыл бұрын
Nataka watu wa mkoa tu wagonge like hapa
@lucasmanyama2892 Жыл бұрын
You deserve to president in this country.
@swaleheally81343 жыл бұрын
Kama umesikia mbaka yesu atajua hamja maliza hapa
@husseinsalimhemed71695 жыл бұрын
Mimi ni mkenya,,nafuraia uwongozi wako tabora,Wewe ni Mzee wa maendelo kabisa
@elibarikimiage62042 жыл бұрын
Enzi wa magufuli kazi ilikua inaenda kwa uhakika R.I.P MAGUFULI
@msafiriduwiya953 Жыл бұрын
Juyu ndivyo alivyo toka alivyokuwa tamisemi naibu waziri Kwa kikwete Hana mchezo
@kyambarungwe44535 жыл бұрын
jamani tungiwa na kiongozi kama huyu mbeya daaa yani mbeya ingiwa kama ulaya magu mlete mbeya huyu maana ni kiongozi bora
@zefamange72815 жыл бұрын
KWELI AWAMU YA JPM NI YA MOTO
@andrewzimba68445 жыл бұрын
Zefa Mange hi
@jamesmassy50222 жыл бұрын
Dhaaa uyuu mwwmba nomaaa sanaaa namkubali
@gnyamso4 жыл бұрын
Daah i like this RC
@odilinadonald2615 жыл бұрын
Kwa nini wakuuu wa mkoa wengi wasiige kazi za huyo yuko vizuriii mno
@beckasalum26203 жыл бұрын
Ishu inakuja uyo ni injinia tofau na wengine kwayo umdanganyi
@jamesmodest32063 жыл бұрын
Wangapi tumepitia hapa mwaka huu2021
@kindboywillsmis81525 жыл бұрын
Amekunywa
@ramsokhamis92625 жыл бұрын
Nadhan siku iyoo mwalim dotto alilalaa na dicropa kwa kwelii... 😀
@sarahgihoshwa77153 жыл бұрын
😂😂😂🤣
@athumankhalfan78363 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 hatar
@ibrahimaziz71585 жыл бұрын
Yani huyu muheshmiwa ana akili cjapata ona humuibii bwana
@eliahedward74904 жыл бұрын
Hapa kazi2 andika andika cjaona unaandika shila hii karamu uandike
@mwidiniharuna96185 жыл бұрын
kwenye karam ya kijan gonga mezaaaaa
@stevoovlogs86455 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 angekuwa rais huyu tungekomaaaaaa
@omarykindaile64513 жыл бұрын
Hahaha
@ramadhaniibrahimu93085 жыл бұрын
katika kazi namkibari uyu hana siasa kazi zake
@kingwatabata42303 жыл бұрын
KAMA NA WEWE UMEMMIC BINGILIII SUKUMA NDANI PITA NA LIKE👍
@jamesmassy50222 жыл бұрын
Mama Samia kwanini tumia watu kama hawaaa hasaa apa kwetu mpunguzi dodoma ajeee
@shedrackboniphace77555 жыл бұрын
Huyu anawafaa mkoa wa Lindi please
@sadamrisho77193 жыл бұрын
Yupo vzr sana anafaa kuja kuwa raisi
@ishaq99255 жыл бұрын
rais tupe n.a. cc japo miez6 daa Huyu mzee wa fyekereambali Jiji Liwe ok
@ilovejesus93035 жыл бұрын
Mbona Makonda naye yupo Moto?
@AbdulRajabu-to3nb4 ай бұрын
Nyosha kidole
@paulkessy52675 жыл бұрын
Laaaaaaaaa aiseee noma sana
@AlifaHamisАй бұрын
Watu hawa ndio wachapa kazi mama hana Habari nao dah
@salumally66142 жыл бұрын
Anafaa kuwa Raisi wa jamhuri ya Tanzania
@mchaking65045 жыл бұрын
Value for Money
@gigotz17555 жыл бұрын
Magu ampe uwaziri wa michezo
@beckasalum26203 жыл бұрын
Kwenye michezo atafer uyo injinia awe wazili wa ujenz