Рет қаралды 670,199
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanri ambae amekua maarufu mitandaoni kwa misemo yake ikiwemo 'fyekelea mbali' au 'sukumia ndani' leo alitembelea ujenzi wa kituo cha Afya cha Igurubi kwenye Wilaya ya Igunga kuangalia umefikia wapi ujenzi huo na fedha zilizotolewa na Serikali zinatumikaje.