Musiba pole sana walikuonea. Munyonge hana haki wakakupoteza. January Makamba baada ya haya yote, akapewa uwaziri. Hii ni kuwatapikia watanzania
@aliceannasepan9644 Жыл бұрын
Brother musiba mungu akulinde we ni shoka big up huna unafik Kama walio nao wapuuz wengne hawana msimamo mwanaume yakupasa kuwa na msimamo c kunyekea wenye au kuogopa mtu musiba aisee hongera saaaana
@BernadethaSimba-qi4dw Жыл бұрын
Hongera unasaidiaje swala la bandari inatuuma sana watanganyika
@saidmalata51542 жыл бұрын
Pole sana musiba kwakukosa check and balance Hujafa hujaumbika Sasa ujifunze kwa kiherehere chako Siku zote anaemtegemea mtu badala ya mungu amefeli sana
@DandasiKundi2 ай бұрын
Asante sana musiba unatuonyesha viongozi wenye sifa mbaya sana ninachoomba raisi wetu usituletee viongozi wasio waaminifu watatumaliza .
@georgeerick31405 жыл бұрын
ndugu watanzania wazalendo tuseme ukwel wa mungu ktk watanzania wazalendo na waliojitoa kutetea nchi huyu musiba yumo ebu tunamuunge mkono kwa kugonga like hapa kum-suport yan tumtie moyo.
@titorazalo25462 жыл бұрын
Brother upo?? Kama upo fanya basi kwenda kumchangia izo bilion 6 mzalendo.
@czmediaconsultant56402 жыл бұрын
@@titorazalo2546 Musiba yupo na yuko salama 100% mnaomuombea mabaya kamwe hamtafanikiwa.anakula maisha
@DEBORAHMASANJA-yz3go2 ай бұрын
Hongera bro Musiba
@DEBORAHMASANJA-yz3go2 ай бұрын
Mwana wasu simama na Yesu kristo atakuonekea tu kwani msema kweli hupigwa mawe
@JosephmwitaJosephmwita2 ай бұрын
Muunge mkono mwenyewe huyu msiba ni mhuni,,huyu huyu si ndo alikuwa akiwatukana watz wenzake kwakiburi kutoka kwa magufuli,,
@duniamapitosotewamungu34675 жыл бұрын
Kwa hili nakupongeza sana bro mungu akubarik
@YusufuDunga2 ай бұрын
Du nilikosa mda vitu vya ukweli,msiba uko sawa nakukubali sana
@AdamuChayupa2 ай бұрын
Mungu akulinde na maadui kwakupigania haki ya taifa
@robinchristian31255 жыл бұрын
Hongera Musiba na poleni sana wazee. Mwanafalsafa aliwahi kusema historia huandikwa na mshindi.Wazee na vijana wao wameandaliwa mtego wakaujaa kirahisi. Ilikuwa ni kiasi cha kuwasubiri wawasiliane kwa simu tu. Sasa tushajua matatizo yetu yote tangu tupate uhuru kasababisha nani! Hizi zote ni harakati. Sio za 2020 bali za 2025. Kuna kambi imeingia kambini mapeeema.
@rashidmchopa61642 жыл бұрын
hihuqq
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Sana ililiwa sana sasa hivi wananchi wameamka kila alae hii nchi afe
@KafumuBoniphace2 ай бұрын
Hongera musiba kwa hizo nondo.Tunaomba umsaidie Samia wanamsumbua sana watu hawa.
@getrudangoto67422 жыл бұрын
Amina nimekupata Mr msiba hakika na kweli
@kenanmakere53253 жыл бұрын
Wajumbe mlivyowanafiki bado mnamulewa musiba 2021😀
@jumamavind77133 жыл бұрын
Asante kaka kwakutufahamisha , sasa watu hao hawana nafasi tena katika nchi hii
@kuryangamakesenimakeseni26115 жыл бұрын
Huyu jamaa Musiba naanza kumeelewa, yuko right kabisa!
@princepiusmutaihwa96065 жыл бұрын
Kwa kweli nashauri mmojawapo kiongozi mkuu mwandamizi wa CCM ajitokeze hadharani aombe radhi watanzania kwa kulea wezi, mafisadi na walanguzi. Hongera JPM
@mo-linehabari95695 жыл бұрын
Kina Zitto wanasema hao wanaosenwa ndio WEMA sio hawa wasasa
@latlailat2745 жыл бұрын
yap
@davidraulence3055 жыл бұрын
Mmh haya bhana
@mosaymophosa95675 жыл бұрын
my friend siasa ni mbaya sana pengine hata huyo anaeongea ni FSD
@teddykanondo57535 жыл бұрын
Katika mtu ataingiza nchi kwenye vita ni huyu Musiba. Bada ya Lusifa/Shetani kuona Tanzania haijawahi kumwaga damu ameamua kumtumia Musiba kutimiza lengo lake. Kwa kuwa akili za Watanzania ni finyu sana wanashangilia maneno ya Musiba wasijue huyu katumwa na Shetani kuwaingiza Watanzania vitani. Musiba amekuwa akiwasema watu hadharani asijue kuwa watu kama akina Slaa walikuwa katika vyama vya upinzani. Atuambie yeye yuko chama gani cha upinzani mpaka awataje watu hadharani wakati anajua kabisa hao anaowataja wana familia na wana ndugu. Hivi mtu anapotaka kugombea uongozi nchi hii kitu gani kinamzuia wakati katiba inakubali. Kila Mtanzania anaruhusiwa kukopa Bank hata kama ni kiongozi. Kinachotutesa Watanzania ni kuogopa kukopa. Wenzetu wa kanda ya Kaskazini wameendelea sana kibiashara mpaka kuitwa Mafisadi na Magufuli. Huyu Rais amerudisha wafanya biashara nyuma sana kwa kuwafilisi na kuwasingizia ufisadi. Tanzania haya yakiendelea lazima zipigwe tu. Muulizeni Magufuli moshi uliojitokeza akiwa kusini ulitoka wapi. Huyu amuongezee tu Magufuli maadui akijidai anamfanyia kampeni kumbe anamuongezea maadui. Waache wakuhurumie maana wana Dini.
@sanyengekiyumbageita91075 жыл бұрын
Upo sawa bro
@tembeletadei71365 жыл бұрын
uko vizuri,tupe ukwel
@CharlesMaduka-n4g Жыл бұрын
Kweli bwana
@luttumohamedfafara96305 жыл бұрын
Kama namuelewa huyu bwana!! Mmmh,hatari sana.
@sadickmkanda45315 жыл бұрын
Sema tu baba kuna mijitu mijinga bado tu haikuelewi achana Nayo.
@georgefaustini88905 жыл бұрын
Yaan kuna majitu mengi hayaelew
@anuaryally71495 жыл бұрын
Mimi mmoja wapo ambae simuelewi huyu jamaa
@nassorsharifu98372 ай бұрын
wajinga tu ndio wanaojifanya kumuelewa
@augustinonestorysasi3683 Жыл бұрын
Amepandishwa Leo hii Waziri mambo ya Nchi za nje CCM mtaleta vita nchini mwetu!!
@MwanahawaMusa2 ай бұрын
Asante sana baba
@Landisy2 ай бұрын
Ooooi nchi yangu Tanzania kuishaaaaa! Tuende wap cc mungu wangu.
@salmawage72592 жыл бұрын
Mmmmmh mungu akulinde wewe baba watakuzuru watu wengi binadam wachache ukweli siku zote unauma
@mo-linehabari95695 жыл бұрын
Ukweli hujitenga na uongo daima. Hongera Musiba kutoka kwenye microphone moja mpaka 20.
@ipyanamwakabana8585 жыл бұрын
Ulikwa wapi mpaka tunaibiwa ndoo unasema sass?
@stuartrwebangira20615 жыл бұрын
Keep it up Musiba
@husseinthabit54165 жыл бұрын
@@ipyanamwakabana858 pp
@yasinshaban49335 жыл бұрын
Leta vifaa ijengwe reli ziwa victoria 😂😂😂 Hapo veeepeee
@sambiaj5 жыл бұрын
Jamaa ana hoja nzuri sana
@mbarakafitina82555 жыл бұрын
No comment for me today... We Musiba tukuache2 sababu kama ulivosema haya tunaugeni nayo kuyasikia... Lakini Mungu akutangulie Inshallah.
@carolihando62717 ай бұрын
Sawia kabisa
@gwaujuma25315 жыл бұрын
Msiba we mnafiki namba moja na ni mtu hatari hata maongezi yako Yana maegemeo upande mmoja na hajui tageti mi naona muogope mungu
@florianbeatus56825 жыл бұрын
Unajiskiaj na hali
@zenj19865 жыл бұрын
Dah Musiba. Nakuunga mkono. Wazee hao waje kujibu hoja. Kila mtu atakufa lakini namuombea maisha marefu rais wangu na wale wote wanaotaka kuinyoosha nchi.
@MussaHassani-q8b2 ай бұрын
Kk kk unanikosh daa sema sikuanza kukuelewa Leo tuka umeanza namungu ataukulinda na duwa zetu
@abdallabashili22952 жыл бұрын
Mungu akusaidie
@anethlukuna14743 жыл бұрын
Asante Sana nimekukubali wewe ni mwanaume uogopi kabisa
@listerelieza563 жыл бұрын
Supiriani majula msiba,nakupa hongela sana kwa yote ulie kuwa unae yasema KILA mala mimi niko tayali nikutafte kulingana na wewe kwa ajiri ya kutetea Taifa letu,naomba niruhusu nikutafte
@akimuwaziri40892 жыл бұрын
Asant kwakutetea taifa mungu akulinde
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Ahsante mungu atakusaidia sana mbona sasa hivi simu zote zinasikilizwa
@chrisantgeorge36775 жыл бұрын
Jamaa anajiamin sana, huu ndio UANAUME KAMILIO SIO KULIALIA
@abubakarihamissi4178 Жыл бұрын
😂😂😂😂 leo kiko wapi sasa fala tu huyo
@isaacsanga61712 ай бұрын
Mama yetu SAMIA SULUHU HASAN RAICE WA JAMHURI YA MUNGANO. AMTEUWE HATA KUMPA UWAZIRI HUYU JAMA ANAUZARENDO WA DHAT NA ATAKUSAIDIA. AMA ANGALIE MAHAL PAKUMUWEKA. MUNGU BARIK TANZANIAN MUNGU BARIK AFRICA
@peninamafuru96382 жыл бұрын
Mungu akutetee naona magu amesimaa umenikumbusha magu baba sema
@leonardmfikwa782 ай бұрын
Mr msiba this country msiba mungu akakulinde
@FabianJustine-bq6qv2 ай бұрын
bgap sana wambie
@MustafaOmach2 ай бұрын
Mda mwingi SANA sijakuona kwenye midia
@meddyyassin47412 жыл бұрын
Alhamdulillah hatupo kwenye hizi zama tena.
@sosasoda5675 жыл бұрын
Hongera bwana Musiba. Keep it up
@rehemamlowe14642 жыл бұрын
Tunakupenda msiba chonde chonde msiba,
@philibertlwiwa2973 жыл бұрын
Mkuu tuambieee Ss yotehayo tulikuwa hatuyajui😇😇😇😇
@othmanhaji18325 жыл бұрын
Hatukani mtu. Anatuelimisha, hasa sisi wanyonge. Tunamshukuru sana , Endelea Musibaaaaaaa
@kisangageorgethomasi28302 жыл бұрын
Yuko wapi sasa
@stellakaluwa3647 Жыл бұрын
Mungu akurinde jamani mtoto wa mwanamke mwezaku jasili
@khalefkhamis97355 жыл бұрын
Vip Uamsho mbona hawajapata zamana mpaka leo ?
@margarethpolepole74382 ай бұрын
Mama Samia mpe zawadi Musiba na mpende kwa taarifa zake tale yaliyomkuta Msgufuli na wewe yamekukuta Mama umewarudisha lakini wamekusaliti wanataks Urais
@elibarikimollel71492 ай бұрын
Margarethpolepole una maana wasingekua wanazengea kiti chake angewaacha tu eti ee! Wananchi tumeshajua ccm hakuna yeyote mwenye kumuogopa Mungu atakayethubutu kuuachia utajiri abaki amepauka!!?
@jacksonedward2015 жыл бұрын
Duuu!maneno haya ni mazuri na mazito.mbona haukumsuauri Rais asimteu Mwizi huyu.msaidie Rais mzee
@nestor3845 жыл бұрын
Musiba hawakuzoea waambie.. Na sali nikiombea hawa wote kina January, Kinana nk mkono mkali wa sheria na ukawe juu yao.. shame on them!!!! Magufuli for life, long live JPM
"Ninyi ni nuru ya ulimwengu,mji(nchi)haiwezi kusitirika ikiwa KIZANI..." Ramadhan aldawiyya from ZANZIBAR
@edithazmwasanga70915 жыл бұрын
Nestroy Buyungu Ndugu tureze
@CharlesMisungwi-f8t2 ай бұрын
Hatahivyo huyokinana simtanzania nawala hanauzalendo .sisi tunaponzwa na upolewetu nandiyo utamaduni wetu. tofauti namajilani zetu.
@ArsihubKimonjeАй бұрын
Weka malengo yko juu ya tanzania,na watanzania ilitufahamiane ndugu
@WilliamSamwel-vh5op2 ай бұрын
Safi sana mwana harakati
@ZwenaSaid-i8y2 ай бұрын
Aliyataka Mama yoote haya matapishi urudie kuyala nikichefuchefu ayaone hayo atahiyo kikwete naye ndio kigogo mkuu
@babrashabanu70732 жыл бұрын
Mwenzangu sura yako Leo iko wap Mana membe yuko hot .January ni wa moto nape wa moto
@mkushioriginalsillo50742 ай бұрын
Tanzania kumezuka Joka moja la kufugwa litasumbua sana.Joka hili linafugwa kwenye shamba linaloitwa ccm
@salmawage72592 жыл бұрын
Kweli kweli kabisa mungu anawaona mungu atalipa hapa hapa duniani
@philemonjonikenyato29195 жыл бұрын
Sometimes jamaa anaongea facts sana! Nape Nnauye alikuwa jeuri sana mwaka 2015, acha anyooshwe
@yahayaolomi10572 жыл бұрын
Sasa kanyooshwa yeye badala ya kuwanyoosha yeye hatmae Yuko kijijini analima na uvuvi
@chidybwax80805 жыл бұрын
mimi sielew kabs sasa kama huku kwetu kondoa hatuelew hata nch inaendaje celew kabsa
@selegioelias90763 жыл бұрын
Mi nashauri tujitenge tuu mara inne hii inch nikubwa sana imekosa wazaleondo kuiongoza wamebaki loyal familia kufaidika na haki za wengine
@lucylyuki48522 ай бұрын
Hivi hii nchi ni ya watu wa aina Gani? Jifunzrni Kenya jamani ...Ukweli na uwazi ,hao ndio nani .asantee msiba kwa kuwaheshimu nguli wakuu wanchi hii
@masoudalriyamy62982 ай бұрын
Dunia lazima ukiishi uweke mipaka ya maneno na uweke akiba ya maneno dunia lazma mtu auchunge ulimi ulimi ni hatary katika maisha ya binaadamu
@tafaqurtvtz76693 жыл бұрын
Kaka hongera unauzalendo mkubwa hongera
@albertnshunju41725 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka.
@DrSuleman-r1d2 ай бұрын
Uko vizur
@sululungasa38492 жыл бұрын
upo sahihisana kiongozii 👍
@smukelomkhize97752 жыл бұрын
Wee Jamaa Nakukubali Sana Yaan , Yaan wewe pure Ni Mtanzania Mzalendo Timu JPM , Nakupenda Sana Mimi mwenyewe Timu JPM 4life
@johnphatmgaza38163 жыл бұрын
Tulikuwa tunakuona mjinga lakini mmm.pacha magufuri
@bulunjumjuli95722 жыл бұрын
Angalia
@thonybakunde14145 жыл бұрын
Level ya musiba ni kubwa mno,Huenda watu mkamtafsir kama mwana harakati huru, Ila Mimi nimtafsiri kama serikali ...yaani System ya usalama ....ninacho kiona kwa musiba ni spirit ya uongoz (MPENI UWAZIR ,IDARA YA ULINZI NA USALAMA )Kwa maslahi ya siasa za tanzania na Usalama wa watanzania kwa ujumla......Huu ni mtazamo wangu
@HalidiKasimu2 ай бұрын
Ndugu umeiona ya January tu, mbona 1.5 trilion ya jiwe hukuisema ?
@GraceGaudent2 ай бұрын
Ao ndo wanao sababisha tanzania tunaishi maskin
@ObedJamel2 ай бұрын
Ulikuwa wapi sku zote pumbavuuu
@rithaurassa2 ай бұрын
Tu aomba mhe.utusaidie hili swala la bandari ila Tanzania tuna watu wenye akili sana hongera kijana wangu
@Cris4Elisante4 ай бұрын
Hi ni kweli,?
@shabanabdala42652 жыл бұрын
Ila kama nikwel haya jamani yasemwayo wenzangu wahali yachini tumuombeni mungu baada ya kifo chetu tupunguziwe kama sio kuondelewa adhabu mana tunateswa na mengi hapa duniani mungu tusaidie waja wko masikini
@cheupemwanga33265 жыл бұрын
Unasema ya maana lakini unatumwa .....Hili LA kusema hutumwi na MTU ni uongo
@mtanzaniamzalendo70015 жыл бұрын
Daaaaaaaa! Kumbe tunapigwa hivi! Sasa Magu akiwanyosha mnakasrika
@OmaryBarua2 ай бұрын
Wakichunguzana humo ndani hakuna atakae Baki salama
@LameckOSadiq2 жыл бұрын
Mungu ni mkuu
@saddykayage14415 жыл бұрын
Musiba unanifurahisha fumua makaburi yote halafu kuna zawadi yako nione ukimaliza mwana harakati
@ndagiletv5215 жыл бұрын
bola aludi kwenye kazi yake ya zamani ya kutangaza taharifa ya habari
@selemanimkonga81505 жыл бұрын
Hatimae mic zimeongezeka tulizoea mic 1 Mungu ni mwema
@upendorobert72985 жыл бұрын
Selemani Mkonga haaaaaaaaaa, umeniacha hoi, kwa kweli, ila umaarufu ni shughuli, jamaa katoili haswaaa
@azizawadh59732 жыл бұрын
Kama mobutu
@frankmsasa9483 жыл бұрын
Nakuelewa sana blo musiba hawa watoto waviongozi huawanahis hawafi kwakweli
@raji34325 жыл бұрын
Mwanaharakati anaetetea serikali sijawai kuona maana wanaharakati wanakosoa serikali 😇😇
@gracemima52344 жыл бұрын
Raji unakosowa serikali kama ina makosa. Kukosowa serikali inayotimiza matako ya wananchi. Serikali ya watu
@kabongebugwigwi3004 жыл бұрын
Nate Hugo ameanza zake
@princepiusmutaihwa96065 жыл бұрын
Kukopa kiasi kikubwa cha fedha katika taasisi ya umma ambapo ndiko wazee wetu wastaafu hutegemea kupata kitu cha kuendeshea maisha yao ni ukatili wa kimaisha. Nafikiri wote waliotajwa ama waombe radhi na wawajibike au wawajibishwe ama waende mahakamani kama wanaona wamechafuliwa
@sokoinekagali97592 жыл бұрын
Ndiyo maana wazee wetu wanastafu hawapati pesheni na stahili zao kwa wakati kumbe pesa wakubwa walishata pita nazo wanachelewa sana.
@papafikiri5 жыл бұрын
Lushoto imelambwa Bumbuli imetikiswa ...wapi watu wa Mayo na Funta.????
@Mima-cl2im2 ай бұрын
Huyu Mzee makamba ndiye aliyesema wenye dhambi wanakufa mapema.
@bahatadof55432 ай бұрын
Jamani mpaka Leo naanza kuona wasukuma ni kabila ambalo wananiamini,wanapenda haki,waungwana,wakiomba uingozi tuwape na huyu baba apewe nafasu serikalini,mtajua wenyewe ni nafasu gan me nasema
@maximilianbiyemotungaraza64222 ай бұрын
Uko wapi?
@sara3stephy1953 жыл бұрын
Uko sahihi kabsa .mungu atakusimamia
@MussaHassani-q8b2 ай бұрын
Twnzet kk usiogope wachn
@jacksonsikwasikawa18902 жыл бұрын
Wape ukweli maana wanyonge tumeisha magu mungu akulaze pahali salama all pambania watanzania all tuambia tutamkumbuka kwa. Wema