MUSIBA AFUNGUKA MAOVU YA MAKAMBA,KINANA NA NAPE/WANATAKA KUNIUA/KUNA GARI INANIFUATA

  Рет қаралды 489,939

Bongo5

Bongo5

Күн бұрын

Пікірлер: 738
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 2 ай бұрын
Musiba pole sana walikuonea. Munyonge hana haki wakakupoteza. January Makamba baada ya haya yote, akapewa uwaziri. Hii ni kuwatapikia watanzania
@aliceannasepan9644
@aliceannasepan9644 Жыл бұрын
Brother musiba mungu akulinde we ni shoka big up huna unafik Kama walio nao wapuuz wengne hawana msimamo mwanaume yakupasa kuwa na msimamo c kunyekea wenye au kuogopa mtu musiba aisee hongera saaaana
@BernadethaSimba-qi4dw
@BernadethaSimba-qi4dw Жыл бұрын
Hongera unasaidiaje swala la bandari inatuuma sana watanganyika
@saidmalata5154
@saidmalata5154 2 жыл бұрын
Pole sana musiba kwakukosa check and balance Hujafa hujaumbika Sasa ujifunze kwa kiherehere chako Siku zote anaemtegemea mtu badala ya mungu amefeli sana
@DandasiKundi
@DandasiKundi 2 ай бұрын
Asante sana musiba unatuonyesha viongozi wenye sifa mbaya sana ninachoomba raisi wetu usituletee viongozi wasio waaminifu watatumaliza .
@georgeerick3140
@georgeerick3140 5 жыл бұрын
ndugu watanzania wazalendo tuseme ukwel wa mungu ktk watanzania wazalendo na waliojitoa kutetea nchi huyu musiba yumo ebu tunamuunge mkono kwa kugonga like hapa kum-suport yan tumtie moyo.
@titorazalo2546
@titorazalo2546 2 жыл бұрын
Brother upo?? Kama upo fanya basi kwenda kumchangia izo bilion 6 mzalendo.
@czmediaconsultant5640
@czmediaconsultant5640 2 жыл бұрын
@@titorazalo2546 Musiba yupo na yuko salama 100% mnaomuombea mabaya kamwe hamtafanikiwa.anakula maisha
@DEBORAHMASANJA-yz3go
@DEBORAHMASANJA-yz3go 2 ай бұрын
Hongera bro Musiba
@DEBORAHMASANJA-yz3go
@DEBORAHMASANJA-yz3go 2 ай бұрын
Mwana wasu simama na Yesu kristo atakuonekea tu kwani msema kweli hupigwa mawe
@JosephmwitaJosephmwita
@JosephmwitaJosephmwita 2 ай бұрын
Muunge mkono mwenyewe huyu msiba ni mhuni,,huyu huyu si ndo alikuwa akiwatukana watz wenzake kwakiburi kutoka kwa magufuli,,
@duniamapitosotewamungu3467
@duniamapitosotewamungu3467 5 жыл бұрын
Kwa hili nakupongeza sana bro mungu akubarik
@YusufuDunga
@YusufuDunga 2 ай бұрын
Du nilikosa mda vitu vya ukweli,msiba uko sawa nakukubali sana
@AdamuChayupa
@AdamuChayupa 2 ай бұрын
Mungu akulinde na maadui kwakupigania haki ya taifa
@robinchristian3125
@robinchristian3125 5 жыл бұрын
Hongera Musiba na poleni sana wazee. Mwanafalsafa aliwahi kusema historia huandikwa na mshindi.Wazee na vijana wao wameandaliwa mtego wakaujaa kirahisi. Ilikuwa ni kiasi cha kuwasubiri wawasiliane kwa simu tu. Sasa tushajua matatizo yetu yote tangu tupate uhuru kasababisha nani! Hizi zote ni harakati. Sio za 2020 bali za 2025. Kuna kambi imeingia kambini mapeeema.
@rashidmchopa6164
@rashidmchopa6164 2 жыл бұрын
hihuqq
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Sana ililiwa sana sasa hivi wananchi wameamka kila alae hii nchi afe
@KafumuBoniphace
@KafumuBoniphace 2 ай бұрын
Hongera musiba kwa hizo nondo.Tunaomba umsaidie Samia wanamsumbua sana watu hawa.
@getrudangoto6742
@getrudangoto6742 2 жыл бұрын
Amina nimekupata Mr msiba hakika na kweli
@kenanmakere5325
@kenanmakere5325 3 жыл бұрын
Wajumbe mlivyowanafiki bado mnamulewa musiba 2021😀
@jumamavind7713
@jumamavind7713 3 жыл бұрын
Asante kaka kwakutufahamisha , sasa watu hao hawana nafasi tena katika nchi hii
@kuryangamakesenimakeseni2611
@kuryangamakesenimakeseni2611 5 жыл бұрын
Huyu jamaa Musiba naanza kumeelewa, yuko right kabisa!
@princepiusmutaihwa9606
@princepiusmutaihwa9606 5 жыл бұрын
Kwa kweli nashauri mmojawapo kiongozi mkuu mwandamizi wa CCM ajitokeze hadharani aombe radhi watanzania kwa kulea wezi, mafisadi na walanguzi. Hongera JPM
@mo-linehabari9569
@mo-linehabari9569 5 жыл бұрын
Kina Zitto wanasema hao wanaosenwa ndio WEMA sio hawa wasasa
@latlailat274
@latlailat274 5 жыл бұрын
yap
@davidraulence305
@davidraulence305 5 жыл бұрын
Mmh haya bhana
@mosaymophosa9567
@mosaymophosa9567 5 жыл бұрын
my friend siasa ni mbaya sana pengine hata huyo anaeongea ni FSD
@teddykanondo5753
@teddykanondo5753 5 жыл бұрын
Katika mtu ataingiza nchi kwenye vita ni huyu Musiba. Bada ya Lusifa/Shetani kuona Tanzania haijawahi kumwaga damu ameamua kumtumia Musiba kutimiza lengo lake. Kwa kuwa akili za Watanzania ni finyu sana wanashangilia maneno ya Musiba wasijue huyu katumwa na Shetani kuwaingiza Watanzania vitani. Musiba amekuwa akiwasema watu hadharani asijue kuwa watu kama akina Slaa walikuwa katika vyama vya upinzani. Atuambie yeye yuko chama gani cha upinzani mpaka awataje watu hadharani wakati anajua kabisa hao anaowataja wana familia na wana ndugu. Hivi mtu anapotaka kugombea uongozi nchi hii kitu gani kinamzuia wakati katiba inakubali. Kila Mtanzania anaruhusiwa kukopa Bank hata kama ni kiongozi. Kinachotutesa Watanzania ni kuogopa kukopa. Wenzetu wa kanda ya Kaskazini wameendelea sana kibiashara mpaka kuitwa Mafisadi na Magufuli. Huyu Rais amerudisha wafanya biashara nyuma sana kwa kuwafilisi na kuwasingizia ufisadi. Tanzania haya yakiendelea lazima zipigwe tu. Muulizeni Magufuli moshi uliojitokeza akiwa kusini ulitoka wapi. Huyu amuongezee tu Magufuli maadui akijidai anamfanyia kampeni kumbe anamuongezea maadui. Waache wakuhurumie maana wana Dini.
@sanyengekiyumbageita9107
@sanyengekiyumbageita9107 5 жыл бұрын
Upo sawa bro
@tembeletadei7136
@tembeletadei7136 5 жыл бұрын
uko vizuri,tupe ukwel
@CharlesMaduka-n4g
@CharlesMaduka-n4g Жыл бұрын
Kweli bwana
@luttumohamedfafara9630
@luttumohamedfafara9630 5 жыл бұрын
Kama namuelewa huyu bwana!! Mmmh,hatari sana.
@sadickmkanda4531
@sadickmkanda4531 5 жыл бұрын
Sema tu baba kuna mijitu mijinga bado tu haikuelewi achana Nayo.
@georgefaustini8890
@georgefaustini8890 5 жыл бұрын
Yaan kuna majitu mengi hayaelew
@anuaryally7149
@anuaryally7149 5 жыл бұрын
Mimi mmoja wapo ambae simuelewi huyu jamaa
@nassorsharifu9837
@nassorsharifu9837 2 ай бұрын
wajinga tu ndio wanaojifanya kumuelewa
@augustinonestorysasi3683
@augustinonestorysasi3683 Жыл бұрын
Amepandishwa Leo hii Waziri mambo ya Nchi za nje CCM mtaleta vita nchini mwetu!!
@MwanahawaMusa
@MwanahawaMusa 2 ай бұрын
Asante sana baba
@Landisy
@Landisy 2 ай бұрын
Ooooi nchi yangu Tanzania kuishaaaaa! Tuende wap cc mungu wangu.
@salmawage7259
@salmawage7259 2 жыл бұрын
Mmmmmh mungu akulinde wewe baba watakuzuru watu wengi binadam wachache ukweli siku zote unauma
@mo-linehabari9569
@mo-linehabari9569 5 жыл бұрын
Ukweli hujitenga na uongo daima. Hongera Musiba kutoka kwenye microphone moja mpaka 20.
@ipyanamwakabana858
@ipyanamwakabana858 5 жыл бұрын
Ulikwa wapi mpaka tunaibiwa ndoo unasema sass?
@stuartrwebangira2061
@stuartrwebangira2061 5 жыл бұрын
Keep it up Musiba
@husseinthabit5416
@husseinthabit5416 5 жыл бұрын
@@ipyanamwakabana858 pp
@yasinshaban4933
@yasinshaban4933 5 жыл бұрын
Leta vifaa ijengwe reli ziwa victoria 😂😂😂 Hapo veeepeee
@sambiaj
@sambiaj 5 жыл бұрын
Jamaa ana hoja nzuri sana
@mbarakafitina8255
@mbarakafitina8255 5 жыл бұрын
No comment for me today... We Musiba tukuache2 sababu kama ulivosema haya tunaugeni nayo kuyasikia... Lakini Mungu akutangulie Inshallah.
@carolihando6271
@carolihando6271 7 ай бұрын
Sawia kabisa
@gwaujuma2531
@gwaujuma2531 5 жыл бұрын
Msiba we mnafiki namba moja na ni mtu hatari hata maongezi yako Yana maegemeo upande mmoja na hajui tageti mi naona muogope mungu
@florianbeatus5682
@florianbeatus5682 5 жыл бұрын
Unajiskiaj na hali
@zenj1986
@zenj1986 5 жыл бұрын
Dah Musiba. Nakuunga mkono. Wazee hao waje kujibu hoja. Kila mtu atakufa lakini namuombea maisha marefu rais wangu na wale wote wanaotaka kuinyoosha nchi.
@MussaHassani-q8b
@MussaHassani-q8b 2 ай бұрын
Kk kk unanikosh daa sema sikuanza kukuelewa Leo tuka umeanza namungu ataukulinda na duwa zetu
@abdallabashili2295
@abdallabashili2295 2 жыл бұрын
Mungu akusaidie
@anethlukuna1474
@anethlukuna1474 3 жыл бұрын
Asante Sana nimekukubali wewe ni mwanaume uogopi kabisa
@listerelieza56
@listerelieza56 3 жыл бұрын
Supiriani majula msiba,nakupa hongela sana kwa yote ulie kuwa unae yasema KILA mala mimi niko tayali nikutafte kulingana na wewe kwa ajiri ya kutetea Taifa letu,naomba niruhusu nikutafte
@akimuwaziri4089
@akimuwaziri4089 2 жыл бұрын
Asant kwakutetea taifa mungu akulinde
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Ahsante mungu atakusaidia sana mbona sasa hivi simu zote zinasikilizwa
@chrisantgeorge3677
@chrisantgeorge3677 5 жыл бұрын
Jamaa anajiamin sana, huu ndio UANAUME KAMILIO SIO KULIALIA
@abubakarihamissi4178
@abubakarihamissi4178 Жыл бұрын
😂😂😂😂 leo kiko wapi sasa fala tu huyo
@isaacsanga6171
@isaacsanga6171 2 ай бұрын
Mama yetu SAMIA SULUHU HASAN RAICE WA JAMHURI YA MUNGANO. AMTEUWE HATA KUMPA UWAZIRI HUYU JAMA ANAUZARENDO WA DHAT NA ATAKUSAIDIA. AMA ANGALIE MAHAL PAKUMUWEKA. MUNGU BARIK TANZANIAN MUNGU BARIK AFRICA
@peninamafuru9638
@peninamafuru9638 2 жыл бұрын
Mungu akutetee naona magu amesimaa umenikumbusha magu baba sema
@leonardmfikwa78
@leonardmfikwa78 2 ай бұрын
Mr msiba this country msiba mungu akakulinde
@FabianJustine-bq6qv
@FabianJustine-bq6qv 2 ай бұрын
bgap sana wambie
@MustafaOmach
@MustafaOmach 2 ай бұрын
Mda mwingi SANA sijakuona kwenye midia
@meddyyassin4741
@meddyyassin4741 2 жыл бұрын
Alhamdulillah hatupo kwenye hizi zama tena.
@sosasoda567
@sosasoda567 5 жыл бұрын
Hongera bwana Musiba. Keep it up
@rehemamlowe1464
@rehemamlowe1464 2 жыл бұрын
Tunakupenda msiba chonde chonde msiba,
@philibertlwiwa297
@philibertlwiwa297 3 жыл бұрын
Mkuu tuambieee Ss yotehayo tulikuwa hatuyajui😇😇😇😇
@othmanhaji1832
@othmanhaji1832 5 жыл бұрын
Hatukani mtu. Anatuelimisha, hasa sisi wanyonge. Tunamshukuru sana , Endelea Musibaaaaaaa
@kisangageorgethomasi2830
@kisangageorgethomasi2830 2 жыл бұрын
Yuko wapi sasa
@stellakaluwa3647
@stellakaluwa3647 Жыл бұрын
Mungu akurinde jamani mtoto wa mwanamke mwezaku jasili
@khalefkhamis9735
@khalefkhamis9735 5 жыл бұрын
Vip Uamsho mbona hawajapata zamana mpaka leo ?
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 ай бұрын
Mama Samia mpe zawadi Musiba na mpende kwa taarifa zake tale yaliyomkuta Msgufuli na wewe yamekukuta Mama umewarudisha lakini wamekusaliti wanataks Urais
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 2 ай бұрын
Margarethpolepole una maana wasingekua wanazengea kiti chake angewaacha tu eti ee! Wananchi tumeshajua ccm hakuna yeyote mwenye kumuogopa Mungu atakayethubutu kuuachia utajiri abaki amepauka!!?
@jacksonedward201
@jacksonedward201 5 жыл бұрын
Duuu!maneno haya ni mazuri na mazito.mbona haukumsuauri Rais asimteu Mwizi huyu.msaidie Rais mzee
@nestor384
@nestor384 5 жыл бұрын
Musiba hawakuzoea waambie.. Na sali nikiombea hawa wote kina January, Kinana nk mkono mkali wa sheria na ukawe juu yao.. shame on them!!!! Magufuli for life, long live JPM
@ramadhanaldawiyya8659
@ramadhanaldawiyya8659 5 жыл бұрын
Sir:Musiba nakuomba umuambie Mheshimiwa MKINGA nae afuate nyayo zako na UJASIRI.
@ramadhanaldawiyya8659
@ramadhanaldawiyya8659 5 жыл бұрын
"Ninyi ni nuru ya ulimwengu,mji(nchi)haiwezi kusitirika ikiwa KIZANI..." Ramadhan aldawiyya from ZANZIBAR
@edithazmwasanga7091
@edithazmwasanga7091 5 жыл бұрын
Nestroy Buyungu Ndugu tureze
@CharlesMisungwi-f8t
@CharlesMisungwi-f8t 2 ай бұрын
Hatahivyo huyokinana simtanzania nawala hanauzalendo .sisi tunaponzwa na upolewetu nandiyo utamaduni wetu. tofauti namajilani zetu.
@ArsihubKimonje
@ArsihubKimonje Ай бұрын
Weka malengo yko juu ya tanzania,na watanzania ilitufahamiane ndugu
@WilliamSamwel-vh5op
@WilliamSamwel-vh5op 2 ай бұрын
Safi sana mwana harakati
@ZwenaSaid-i8y
@ZwenaSaid-i8y 2 ай бұрын
Aliyataka Mama yoote haya matapishi urudie kuyala nikichefuchefu ayaone hayo atahiyo kikwete naye ndio kigogo mkuu
@babrashabanu7073
@babrashabanu7073 2 жыл бұрын
Mwenzangu sura yako Leo iko wap Mana membe yuko hot .January ni wa moto nape wa moto
@mkushioriginalsillo5074
@mkushioriginalsillo5074 2 ай бұрын
Tanzania kumezuka Joka moja la kufugwa litasumbua sana.Joka hili linafugwa kwenye shamba linaloitwa ccm
@salmawage7259
@salmawage7259 2 жыл бұрын
Kweli kweli kabisa mungu anawaona mungu atalipa hapa hapa duniani
@philemonjonikenyato2919
@philemonjonikenyato2919 5 жыл бұрын
Sometimes jamaa anaongea facts sana! Nape Nnauye alikuwa jeuri sana mwaka 2015, acha anyooshwe
@yahayaolomi1057
@yahayaolomi1057 2 жыл бұрын
Sasa kanyooshwa yeye badala ya kuwanyoosha yeye hatmae Yuko kijijini analima na uvuvi
@chidybwax8080
@chidybwax8080 5 жыл бұрын
mimi sielew kabs sasa kama huku kwetu kondoa hatuelew hata nch inaendaje celew kabsa
@selegioelias9076
@selegioelias9076 3 жыл бұрын
Mi nashauri tujitenge tuu mara inne hii inch nikubwa sana imekosa wazaleondo kuiongoza wamebaki loyal familia kufaidika na haki za wengine
@lucylyuki4852
@lucylyuki4852 2 ай бұрын
Hivi hii nchi ni ya watu wa aina Gani? Jifunzrni Kenya jamani ...Ukweli na uwazi ,hao ndio nani .asantee msiba kwa kuwaheshimu nguli wakuu wanchi hii
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 2 ай бұрын
Dunia lazima ukiishi uweke mipaka ya maneno na uweke akiba ya maneno dunia lazma mtu auchunge ulimi ulimi ni hatary katika maisha ya binaadamu
@tafaqurtvtz7669
@tafaqurtvtz7669 3 жыл бұрын
Kaka hongera unauzalendo mkubwa hongera
@albertnshunju4172
@albertnshunju4172 5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka.
@DrSuleman-r1d
@DrSuleman-r1d 2 ай бұрын
Uko vizur
@sululungasa3849
@sululungasa3849 2 жыл бұрын
upo sahihisana kiongozii 👍
@smukelomkhize9775
@smukelomkhize9775 2 жыл бұрын
Wee Jamaa Nakukubali Sana Yaan , Yaan wewe pure Ni Mtanzania Mzalendo Timu JPM , Nakupenda Sana Mimi mwenyewe Timu JPM 4life
@johnphatmgaza3816
@johnphatmgaza3816 3 жыл бұрын
Tulikuwa tunakuona mjinga lakini mmm.pacha magufuri
@bulunjumjuli9572
@bulunjumjuli9572 2 жыл бұрын
Angalia
@thonybakunde1414
@thonybakunde1414 5 жыл бұрын
Level ya musiba ni kubwa mno,Huenda watu mkamtafsir kama mwana harakati huru, Ila Mimi nimtafsiri kama serikali ...yaani System ya usalama ....ninacho kiona kwa musiba ni spirit ya uongoz (MPENI UWAZIR ,IDARA YA ULINZI NA USALAMA )Kwa maslahi ya siasa za tanzania na Usalama wa watanzania kwa ujumla......Huu ni mtazamo wangu
@HalidiKasimu
@HalidiKasimu 2 ай бұрын
Ndugu umeiona ya January tu, mbona 1.5 trilion ya jiwe hukuisema ?
@GraceGaudent
@GraceGaudent 2 ай бұрын
Ao ndo wanao sababisha tanzania tunaishi maskin
@ObedJamel
@ObedJamel 2 ай бұрын
Ulikuwa wapi sku zote pumbavuuu
@rithaurassa
@rithaurassa 2 ай бұрын
Tu aomba mhe.utusaidie hili swala la bandari ila Tanzania tuna watu wenye akili sana hongera kijana wangu
@Cris4Elisante
@Cris4Elisante 4 ай бұрын
Hi ni kweli,?
@shabanabdala4265
@shabanabdala4265 2 жыл бұрын
Ila kama nikwel haya jamani yasemwayo wenzangu wahali yachini tumuombeni mungu baada ya kifo chetu tupunguziwe kama sio kuondelewa adhabu mana tunateswa na mengi hapa duniani mungu tusaidie waja wko masikini
@cheupemwanga3326
@cheupemwanga3326 5 жыл бұрын
Unasema ya maana lakini unatumwa .....Hili LA kusema hutumwi na MTU ni uongo
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 5 жыл бұрын
Daaaaaaaa! Kumbe tunapigwa hivi! Sasa Magu akiwanyosha mnakasrika
@OmaryBarua
@OmaryBarua 2 ай бұрын
Wakichunguzana humo ndani hakuna atakae Baki salama
@LameckOSadiq
@LameckOSadiq 2 жыл бұрын
Mungu ni mkuu
@saddykayage1441
@saddykayage1441 5 жыл бұрын
Musiba unanifurahisha fumua makaburi yote halafu kuna zawadi yako nione ukimaliza mwana harakati
@ndagiletv521
@ndagiletv521 5 жыл бұрын
bola aludi kwenye kazi yake ya zamani ya kutangaza taharifa ya habari
@selemanimkonga8150
@selemanimkonga8150 5 жыл бұрын
Hatimae mic zimeongezeka tulizoea mic 1 Mungu ni mwema
@upendorobert7298
@upendorobert7298 5 жыл бұрын
Selemani Mkonga haaaaaaaaaa, umeniacha hoi, kwa kweli, ila umaarufu ni shughuli, jamaa katoili haswaaa
@azizawadh5973
@azizawadh5973 2 жыл бұрын
Kama mobutu
@frankmsasa948
@frankmsasa948 3 жыл бұрын
Nakuelewa sana blo musiba hawa watoto waviongozi huawanahis hawafi kwakweli
@raji3432
@raji3432 5 жыл бұрын
Mwanaharakati anaetetea serikali sijawai kuona maana wanaharakati wanakosoa serikali 😇😇
@gracemima5234
@gracemima5234 4 жыл бұрын
Raji unakosowa serikali kama ina makosa. Kukosowa serikali inayotimiza matako ya wananchi. Serikali ya watu
@kabongebugwigwi300
@kabongebugwigwi300 4 жыл бұрын
Nate Hugo ameanza zake
@princepiusmutaihwa9606
@princepiusmutaihwa9606 5 жыл бұрын
Kukopa kiasi kikubwa cha fedha katika taasisi ya umma ambapo ndiko wazee wetu wastaafu hutegemea kupata kitu cha kuendeshea maisha yao ni ukatili wa kimaisha. Nafikiri wote waliotajwa ama waombe radhi na wawajibike au wawajibishwe ama waende mahakamani kama wanaona wamechafuliwa
@sokoinekagali9759
@sokoinekagali9759 2 жыл бұрын
Ndiyo maana wazee wetu wanastafu hawapati pesheni na stahili zao kwa wakati kumbe pesa wakubwa walishata pita nazo wanachelewa sana.
@papafikiri
@papafikiri 5 жыл бұрын
Lushoto imelambwa Bumbuli imetikiswa ...wapi watu wa Mayo na Funta.????
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 2 ай бұрын
Huyu Mzee makamba ndiye aliyesema wenye dhambi wanakufa mapema.
@bahatadof5543
@bahatadof5543 2 ай бұрын
Jamani mpaka Leo naanza kuona wasukuma ni kabila ambalo wananiamini,wanapenda haki,waungwana,wakiomba uingozi tuwape na huyu baba apewe nafasu serikalini,mtajua wenyewe ni nafasu gan me nasema
@maximilianbiyemotungaraza6422
@maximilianbiyemotungaraza6422 2 ай бұрын
Uko wapi?
@sara3stephy195
@sara3stephy195 3 жыл бұрын
Uko sahihi kabsa .mungu atakusimamia
@MussaHassani-q8b
@MussaHassani-q8b 2 ай бұрын
Twnzet kk usiogope wachn
@jacksonsikwasikawa1890
@jacksonsikwasikawa1890 2 жыл бұрын
Wape ukweli maana wanyonge tumeisha magu mungu akulaze pahali salama all pambania watanzania all tuambia tutamkumbuka kwa. Wema
@irenevedastombamanyile7615
@irenevedastombamanyile7615 5 жыл бұрын
safi sana Msiba we we sema sisi tunakuombea
@bmctz1729
@bmctz1729 3 жыл бұрын
Umejipendekeza mwenzio kakuacha, tusimtegemee mwanadamu tukawatukana watu.
@francohaule8057
@francohaule8057 2 жыл бұрын
Mbona Sasa umenyamaza Kama hukutumwa
@francohaule8057
@francohaule8057 2 жыл бұрын
Wewe ulikuwa na masalia na kulipwa hakuna demokrasia ya uteuzi wa chama kimoja ni udikiteta huo
@francohaule8057
@francohaule8057 2 жыл бұрын
Kati ya watu wajinga na wewe msiba upo
@florameza9529
@florameza9529 5 жыл бұрын
Mmmhhh nchi ililiwa kweli Rais amefanyakazi hebu jibuni hoja hizi so painful
@rukizaseba5741
@rukizaseba5741 5 жыл бұрын
Ahsante mama
@sosasoda567
@sosasoda567 5 жыл бұрын
Wape wape Baba Musiba...
POLEPOLE ATOA TAMKO HILI KUHUSU CYPRIAN MUSIBA/ NI FEKI
16:31
TimesFMTZ
Рет қаралды 215 М.
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 34 МЛН
龟兔赛跑:好可爱的小乌龟#short #angel #clown
01:00
Super Beauty team
Рет қаралды 68 МЛН
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 121 МЛН
RAIS MAGUFULI AMTUMBUA KAIMU RPC RUKWA/ "ANAKIBURI....."
8:13
PROF KABUDI ASHANGAZA WENGI KWA HOTUBA YAKE
37:31
Ngasa Tv
Рет қаралды 192 М.
Mbarikiwa ahoji. Je kikwete atakamatwa na simu yake...
20:02
Kikosi kazi cha injili🎖
Рет қаралды 447 М.