Mfanyabiashara Yusuf Manji leo September 18, 2017 amerjea Mahakamani ikiwa ni siku 4 tangu alipoachiwa huru kwenye kesi ya Uhujumu Uchumi na leo ni muendelezo wa kesi ya dawa za kulevya.
Пікірлер: 130
@kelvinchuwa22123 жыл бұрын
Manji ni mtu wa watu sana Mungu akuvushe kwa hili Ameen
@zaudatmakula34546 жыл бұрын
Allah akusmamie manji mateja wapo uraian ww mahakamani MUNGU NI WETU SOTE JAMANI
@paulsasuma87136 жыл бұрын
Mmmmh duuuh
@wazirimgeni85646 жыл бұрын
Duu yaani ndo wamemuongezea umaarufu kabla ya ishu hii hakuwa maarufu sana
@eliudijastini6453 жыл бұрын
Muuzaji ninani apo naanae takiwa kuzibitiwa ili awo mateja wasipate ayo madawa ninani
@ibrahimkambi92883 жыл бұрын
Nimemuona Le captain NADIR HAROUB ALI UPAPA Hongera Broh
@khamismcha92943 жыл бұрын
Hii nchi atasijui inaongozwa je muliwaita wenyew waje waekeze leo munamshtaka munaitia aibu nchi yetu
@dismassendeu80423 жыл бұрын
Hii ni miaka mitatu nyuma, soma vizuri
@trophywilson72113 жыл бұрын
Kama wana makosa je??
@latifaayoub57506 жыл бұрын
Mungu atamfanyia wepesi inshaallah
@mwambirekwamboka95256 жыл бұрын
God bless u more ...Mr Manji
@teslanewton83393 жыл бұрын
Kama unadhani hapo kuna kitu kinaendelea, basi utakuwa unafikili kwa kiwango cha chini sanaaa!!
@juliusuronu88126 жыл бұрын
Mmmh kazi ya uandishi nayo changamoto...
@shedamtepa36436 жыл бұрын
waandishi wa habari mna kazi kweli kweli sio kwa kuhangaika uko
@zakayosilas69633 жыл бұрын
Kat ya vombo vya habar millardayo to wasema kweli wengine hata msiwashe kamela nikelo kweny mtandao uongo mtupu
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Kilichomponza ni kuulizwa jambo na kujibu kuwa naweza kusema na mwenye mbwa siyo wewe mbwa hakutegemea kuwa angekuwa Rais naye akaipata joto ya jiwe ni kuwa usimtukane usiemjua wala kumdharau hujui kesho yake ndilo hilo lililomkuta manji akabanwa na yeye kwenye kodi nk ccm oyee kazi inaendelea
@rosemarybenjamin58666 жыл бұрын
wandish wa habar nao wanatak hbar manji hna habar ukobize Mahakm
@merinakassembe42513 жыл бұрын
Pole sana Manji mungu atakufanyiawepesi
@emmanuelsimon5453 жыл бұрын
Kwa Hali hii swala la corona mama achana nalo tu hapo watu wanasalimiana inamana wao hawajui kua cc ni Mungu katuvusha
@saidkanji98823 жыл бұрын
Manji Tanzania achana nayo kawekeze kwingine Mr.
@akberyuda59503 жыл бұрын
Kwingine hakulipi SIO wajinga kama sisi
@georgedamas27713 жыл бұрын
Kabisa mzazi
@shabaniguma86963 жыл бұрын
Manji mtu safi roho safi hana kisasi na mtu ame ajiri watanzania wenzake kwenye kampuni zake hela zake ame weka Tanzania na sasa yuko tayari kuwekeza tena na watanzania wapate ajira kumsumbua na kesi za kubambika sio tuu mna mzulumu haki yake Bali watanzania wengi wanao mtegemea kwenye ajira lazima ifike wakati nchi iwe salama kwa watanzania wawekezaji sio roho mbaya tuu fyuuu
@shuwehaomar66586 жыл бұрын
hakuna marefu yasio na ncha wamemtesa kweli baba wawatu jiachie tu baba hawana maana hawo
@suleimanjokoro3 жыл бұрын
Karibu tena mtoto wa mjini👋👋
@ishaumazoea66443 жыл бұрын
Dah!!! Karudi kweli kama ndoto maisha acha tu dunia mapito
@reubenismail36723 жыл бұрын
Mimi mwana msimbazi Ila namuombea manji mungu amsaidie amalize vema Hilo jambo!
@khamisihaji29053 жыл бұрын
Watu na hahati zaoukamatwe na sare za asikari na makosa mazito mazito kisha uachiliwe hivi hivi 2 daa watu wanakamatwa hawana hatia yoyote wanaambiwa magaidi daa hongera manjiiiiii
@rahmazahor43333 жыл бұрын
Kweli huko mahakamani....Lakini anaoneka mtu mwenye Amani ......Mwenyezi mungu atatufanyia wepesi.....Don't give up brother.....
@sultanhamad49243 жыл бұрын
Hii niyamiaka mitatu iliyopita
@allyhamisi63943 жыл бұрын
Siasa 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@ramadhanhemed99316 жыл бұрын
Pesa bhna 😀😀😀 Mara hii anang'aa
@ilovejesus93036 жыл бұрын
Ramadhan Hemed hata mie nimeshangaa alivyokuwa kachoka na midevu, leo kasuti swafiii kamemtoa😊😀😀
@richardmakao74886 жыл бұрын
mwenywe anapenda watuuu ila hawa watu sijui
@getrudemoshiro25813 жыл бұрын
Baba rudi bwana ununue mbaazi,choroko zetu walau
@agustinocharles26503 жыл бұрын
😄😄
@issaidrisamusa84373 жыл бұрын
Mm siijui vema Tasnia ya habari Naomba mnielewesehe HIVI MTU KUMPIGA PICHA KAMA HAJARIDHIA NI HALALI ? Maana hiyo mionzi inakera na inaumiza Kwa kweli
@ackshuba86796 жыл бұрын
waandish wa habar mna kaz ngum
@machinjashabani53313 жыл бұрын
Mmmmh!
@bakariyussuph9743 жыл бұрын
Aiseee
@TheChidonline6 жыл бұрын
waandishi wa habari mna indaa
@hemedwow88023 жыл бұрын
haya mambo ndio yanafanya mpk mbaaz na choroko mpk leo hazina soko tena!!
@ahmedadan19153 жыл бұрын
Kweli yule makonda ni msenge sana
@reginamanyangu66823 жыл бұрын
Mungu amuepushe jmn
@biggestnasritv26013 жыл бұрын
THE BIGGEST BOSS NASRI
@amaniwahure86636 жыл бұрын
mbona hakuna chochote alichoendea jamani?
@manenomachaku14623 жыл бұрын
Sasa hawa Utopolo nao vp wameitwa apo kwani Tff hahahah njaaa jaman Canavaro na Afidhi wametumwa na naani!!!
@zuleajuma72973 жыл бұрын
manji ana papenda sana tz na imanibyata isha tu
@jumakapilima56743 жыл бұрын
That is what we call money talks!!
@ReactorsWatcher3 жыл бұрын
Namsikitikia sana manji aisee, wamemtesa sana awamu ya 5 na hii ya 6 naona bado wanaendelea kumtesa. Mwacheni mtu wa watu apumue. Mmemnyang'anya mali zake zote na still bado mnamtesa. Pumbavu kabisa
@rajabuissa61073 жыл бұрын
utopolo nini unaongea mbona ni uozo unazungumza???
@abdalahmaganga81833 жыл бұрын
Hii video ni ya mda mrefu sana kumbe hawa waandishi nao ni waongo
@emanuelkenethkanyela91373 жыл бұрын
Huu ni mchezo hapa Hamna lolote wale mafisadi waliokuwa wanahdulumu hela za wananchi wanaludi kwa staili hii mwisho wa siku kaachiwa huu ni mpango wa kina kikwete na genge lake mimi naawambia ataachiwa ty
@donmata103 жыл бұрын
Mungu atakusaidua
@kelvinchuwa22123 жыл бұрын
Mungu atakuongoza yote yataisha
@peterchande9576 жыл бұрын
kujiamshia dude kivipi? kwani lazima ucomment?
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Media mna kazi sana
@getrudemoshiro25813 жыл бұрын
Hahaha waandishi wa habari mbona MTU mwenyewe hana mpango na nyie
@andresmartin63323 жыл бұрын
Hii video ya kitambo mirad l
@erickngatunga23593 жыл бұрын
HII NI YA ZAMANI SANA
@modiranks70766 жыл бұрын
Mnao bambanya mb pambaneni na hali zenu tuachieni ss wenye free wifi tuangalie taarifa zote hata zile za upuzi.
@majaliwaemile30573 жыл бұрын
Mhuu okeay
@ellyswema21133 жыл бұрын
Don Pablo
@paulolucas21613 жыл бұрын
Alafu mchizi hana habari na Corona anasalimiana na watu free na hana baracoa
@leocadiathomas5843 жыл бұрын
Kaaaa mwacheni jamani
@eliudijastini6453 жыл бұрын
Wanatuzuga tuu
@allywajihi80713 жыл бұрын
Naona chawa wa Yanga wamejaa🤣
@saviongaila35466 жыл бұрын
daah.... na Captain #Cannavaro
@mdfdkfb27666 жыл бұрын
Allah with u
@twahirumtunguja41363 жыл бұрын
Waandishi munataka habar na jmaa hataki habar na nyie
@mangulymanguly1623 жыл бұрын
Uyu mama Samia atumuelewi kazi anayo fanya, kupandikiza chuki au, madini yashaanza kutoroshwa kina job Ndugai washaanza kuongea pumba bungeni na nasikia yuko China, wachina Co marafiki wachina ni mabeberu tena zaidi ya wazungu ivi nyinyi Wa Africa mbona amujielewi
@saidalhinai11313 жыл бұрын
wachina ndio wameushika dunia kwa biashara na sio marekani unasikia marekani kuweka vikwazo vya kiuchumi kwa yeyote maana hana nguvu na akiweka vikwazo hasikilizwi mabeberu wale wanaopora pesa za wafanyabiashara Bank pesa za haramu lkn sasa wako ktk mahakama ya haki sio
@allyflavour80053 жыл бұрын
rudi ndugu yanga nao waonekane
@nassorosendaro47386 жыл бұрын
Waandishi wa habar mnazingua me nilidhan mtatuambia kaenda mahakaman kufanyaje kumbe hamna lolote nimemaliza tu mb zang nadhan kwa sasa kila atachofanya manji mtataka mtuambie adi akienda kuoga
penda sana manji mungu amekupigania mpaka uko njee mungu ni mwema siku zote.
@jafarsalum21236 жыл бұрын
kama nimemuona canavaro vile?
@churiabdallah87785 жыл бұрын
Jafar Salum ndio
@seiphselemani15063 жыл бұрын
Tshert imepauka
@omarymwigula54796 жыл бұрын
Vp amefungua kesi dhidi ya makonda au mbwembwe kwishinei
@hekimangusulu66153 жыл бұрын
Ongeeni Sasa hapa ndo Vita ianapo anziya wanasimba
@suleimanjokoro3 жыл бұрын
Kwa navowafahamu mikia FC,saa hizi wanaharisha!
@kipletumba57813 жыл бұрын
Alifanya nini
@tonyelshabbaz3 жыл бұрын
Namuona kama Canavalo huyo?
@omarymwigula54796 жыл бұрын
Daaah hata cm aliimisi
@judesammy96436 жыл бұрын
Huyu ni mwenye manji biscuits ?
@imrannasser61986 жыл бұрын
Jude Sammy no huyu ni wa tanzania a big shot business man anamiliki biashara nyingi
@hassansamata96963 жыл бұрын
Hiyo Corona iko wapi wahindi walivyo waoga Manji kajiachia
@mwahamedychilungu89813 жыл бұрын
manji sio muindi ni mtanzania mwenye asili ya kiindi
@suzyjames49686 жыл бұрын
sku hzi hii page inapoteza malinda sasa kaenda kufanya nn nyie wandishi sku hzi waongo sna hamtupi habari nzuri masikini mb zangu
@kpetres28723 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@user-xw5re3bh5x6 жыл бұрын
kabisa ndugu mpewa hapokonyeki
@annastaziakibole56036 жыл бұрын
jaman hahahaha waandishi wa habar angalieni msianguk maana si kwa mbio izo
@johnbernad34073 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😂
@mahmadougronkjaer83166 жыл бұрын
yule ni lwandamina au ni nani
@chrissinyinza11723 жыл бұрын
Rwandamina na kanavaro.
@rajabuissa61073 жыл бұрын
@@chrissinyinza1172 utopolo
@abdallahsalum74866 жыл бұрын
analeta shobo namaakama ngoja watamkomesha tena uyo
@hamzamwilaphy29023 жыл бұрын
Mahakama gani
@wamburamachele88506 жыл бұрын
😂😂 anajua kuvunga kweli inajifanya kuongea na simu ili wasimulize Maswali.
@estherkhotencia22326 жыл бұрын
Wambura Machele 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ahmedalminshad12116 жыл бұрын
Wambura Machele 😂😂😂😂 hata ningekua mm pia ningefanya tu hivyo aki
@yunicemgina3316 жыл бұрын
😀😀😀
@mamapekupekupilipilimuwash90166 жыл бұрын
nimuhindi huyu.mbona hayuko asili ya africa jamani eee
@TheChidonline6 жыл бұрын
mama peku peku asili ya africa ni nini au mpaka uwe chausiku ndio ndio unakuwa muafrika?
@ramadimbegu79963 жыл бұрын
Huzawa tu unatosha
@mwigakatumpula98173 жыл бұрын
Waandishi wa habari Wanataka habari 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤔🤔🤔🏃
@youtub83203 жыл бұрын
Na sina habari ahahahaa
@yusuphjunior37676 жыл бұрын
Ahsante mungu hiki ndicho nilkuwa nakisubil kutoka kwa manji maana hii nchi imezidi dhuruma mno
@estherkhotencia22326 жыл бұрын
Wacha weeeeh....tajiri manji
@fatumaaden83786 жыл бұрын
Just muache huyo mzee mashamba ni dictator analala magufuli
@michaelmilanzi61086 жыл бұрын
naona anataka kudai mashamba
@mamapekupekupilipilimuwash90166 жыл бұрын
Michael Milanzi hahahaahah
@markosamuel64906 жыл бұрын
captain cannavaro
@bahatikilindo17956 жыл бұрын
kimenuka
@judesammy96436 жыл бұрын
Hii yote ni bashite 🙆🏾
@aminaathuman7153 жыл бұрын
Simba tufanye mpango huyu mtu aondoke hapa nchini
@andrewsadiki99146 жыл бұрын
Acheni choyo ndio maana mnakufa masikini tena huyo pesa zake na michongo lakini Magufuli na Bashite pesa za uma mnaufyata wajinga wakubwa nasubirini ccm wanajiengeze muda wakubaki ndio mtashikishwa adabu vizuri
@jundanimikidady11836 жыл бұрын
xxxvideo
@hassanovajunior69726 жыл бұрын
Anataka kujiamshia dude huyu kanjibhai
@mamafranjovlog726 жыл бұрын
😂😂😂
@mwanahella96506 жыл бұрын
Hassanova junior 😂😂😂na dude lenyewe likiamka halina wa kulituliza chaai💃💃💃
@thadeipeter25926 жыл бұрын
Hassanova junior Hakuna cha dude wala nini watu roho mbaya tuu zimewajaa.
@ummimohammed18566 жыл бұрын
Wahenga walinena aliyepewa kapewa......Allah akujaalie kila la kheri..