#CloudsDigital Imekuwekea speech kutoka Chato Nyumbani kwa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli #JohnPombeMagufuli #Chato #PumzikaBaba
Пікірлер: 90
@adammwita31503 жыл бұрын
Umeongea vizuri xana kwa hekima, Mungu akujalie afya njema🙋
@mturijackonia91382 жыл бұрын
Akuna tena Kama magufuli
@shejamy063 жыл бұрын
Tunakupenda mzee mabeyo Mungu akutie nguvu tupo pamoja
@alphonceelias25512 жыл бұрын
Mwamba pumzika kwa amani baba,ulijua shida zetu na kuzifanyia kazi immediately.ulizunguka ndani ya nchi yetu ukiangalia watu wako,na kutatua shida zao papo hapo pale ilipowezekana na ulimtanguliza Mungu mbele.
@nestor3842 жыл бұрын
The genius JPM💪🏻 Hakuna Rais atakuja kuwa kama yeye 🙏🏻💔
@martinkigua86272 жыл бұрын
Kabisa non to compare with him rest in power John
@user-po5mm5vk6d3 ай бұрын
Itachikuwa miaka
@georgebenard39232 жыл бұрын
Pumzika baba yetu, umefanya kazi ya miaka60 umetekeleza kwa miaka mi4 tu lala baba nitaenzi, na kutunza heshma ndani ya Roho Yangu,
@tumuhairweconrad5363 жыл бұрын
Rest in peace our beloved friend H.E the president J. P. Magufuli and may Load bless u .Amen
@luganomwankyoko26532 жыл бұрын
umestaafu umeacha alamaa🇹🇿
@abdullahmutonye14022 жыл бұрын
Mheshimiwa maghufuli, alikuwa raise mpenda haki na mwenye kutenda haki kwa wore, Mungu amlaze pema peponi, Ameen.
@germanapaulo66632 жыл бұрын
RIP Rais wangu,mtetezi wa wanyonge,John pombe Magufuri 😭😭😭
@gilbertkalanda93543 ай бұрын
Huyu bwana General ni mnyenyekevu Sana, kweli Seminari zinapika watu
@user-cx7ci1jg6j10 ай бұрын
Mungu akupe unachositahili isha allah
@ahamadally39082 жыл бұрын
Tarifayyahabari
@dalaliamanidar3004 Жыл бұрын
Kumbe mabeyo ana medali zote hizo lakini wakati akisaafu hakuvaa asee mabeyo ni Mike Tyson asee kwa TANZANIA....hebu angalia hii video then angalia akistaafu hutaona akivaa medali....yaani Huyu mwamba alikua sio mtu wa sifa KWASABABU medali ZAKE zinajulikana jeshini heshima kwako MABEYO
@miltonjohn97796 ай бұрын
Wamebaki wapiga dili na wanyanyasi wa wananchi.
@majidfrolian49043 жыл бұрын
Bonge la speech
@ndeshukurwakaaya43852 жыл бұрын
🙏
@virejiangingo2882 жыл бұрын
Pumnzika kwa Amani Rais wetu mpendwa Magufuri
@richardkaula68472 жыл бұрын
Imebaki kumbukumbu ya kutuumiza ukizingatia maigizo
@rabsonchisumo66402 жыл бұрын
R.i.p
@KalebuMwanginda2 жыл бұрын
Kazi iendelee
@chb53672 жыл бұрын
Cdf aliposema nakuhakikishia jeshi litakutii ndipo alipopiga makofi tu mh Samia.🤔
@kiduvencha38582 жыл бұрын
Safi sana
@majidfrolian49043 жыл бұрын
Mna camera nzuri Sana Clouds siku hz hongereni
@emmanuelkayanda38933 жыл бұрын
Akili yako iko kwwnye camera tu
@salimbori97042 жыл бұрын
Juuu
@sniper939992 жыл бұрын
😓😭😭😭😭
@sheikhjarijirashidy23102 жыл бұрын
Received
@Anna-im5jr3 ай бұрын
Wema hawaishi.Maana maadui wamewazunguka.Ndivyo ilivyokuwa kwa Mpendwa .JPM.R.I.P. BABA.
Mhh kifo hakuna wa kukilinda siku yako ikifika huyo anaekuja kutoa roho hata haonekani
@user-cx7ci1jg6j10 ай бұрын
point
@charlesmugisha65292 жыл бұрын
Maisha aya jamani?😭😭😭
@Bulayampuya4 ай бұрын
Tangu nchi ipate uhuru mwaka1961 tulikuwa hatuwahi kupata msiba wa rais kufia madarakan MUNGU moyo ujasili ktk kipind hiki kigumu mlaze maahara pema mh Magufuli
@Bulayampuya4 ай бұрын
Viatu vya mhe magufuli hakuna vitakae mfika ulikuwa tunu ya taifa letu