Pole sana mkurugenzi, tunakushkuru muheshimiwa Raisi kwa kumfuta mkurgenz machozi. Pamoja Sana mkurgenzi wetu
@roseissa562 жыл бұрын
G'g
@boazmaobe72452 жыл бұрын
Mungu ailaze roho yake mahali pema....nlipenda Sana uongozi wake na kamwe hakutawahi tokea kiongozi zaidi ya hyu..big up
@zaituniyusuphjuma4156 жыл бұрын
Asante rais mungu akuzindishie sana. Pole sana mkurungezi mungu amekuheshimisha sana maana siyo kwa kuchafuliwa huko pole sana. Pia namshukru rais mungu emekupa jicho latatu 🌷
@salmakassim39756 жыл бұрын
Jmni naipenda hii video 😂😂 mheshimiwa Rais Magufuri asante baba
@annamwakibinga5273 жыл бұрын
Natamani ungekuwepo jmn kweli kizuri hakidumu. RIP baba
@mankakileo84236 жыл бұрын
Hadi machozi Hongera mkurugenzi chamsingi omba Mungu sanaa ktk kazi zakoo na Mungu akubariki hapa kazi
@monicajulius9056 жыл бұрын
Mungu wangu mbariki sana huyu raisi Magufuli,mpe maisha marefu na yenye amani tele.Huyu mkurugenzi kanifanya mpk nikatoa machozi(Mungu akuongoze🙏🏿)like za nguvu kwa Magufuli plz💪🏿
@patrickmbarugwa31906 жыл бұрын
Barikiwa sana rais wa wanyonge
@danieljacob5574 жыл бұрын
I
@danieljacob5574 жыл бұрын
I
@diwanikatayankonko26713 жыл бұрын
Daaah bahati mbaya mungu akamchukua..so sad
@jonizamosmayenga35283 жыл бұрын
rest in peace
@Bongo1Media6 жыл бұрын
😂😂Mbunge huyoo aibu tele😎😎😎
@johnnjogundegwa97995 жыл бұрын
Good for your solomonic leadership. THANK YOU FOR THE LOVE AND BEING SERVANT OF THE PEOPLE.
@fernandovictoralfredo28343 жыл бұрын
Etiópia
@victoriabayo77042 жыл бұрын
Daima tutakukumbuka
@saumuhassan63656 жыл бұрын
Pole sana mkurgenzi na hongera pia Mheshimiwa Rais kwa kumfuta machozi mkutugenzi
@chandrnyoeliakim10066 жыл бұрын
Pole Sana mkurugenzi ndio changamoto za kazi baba
@mamalinamtei3266 жыл бұрын
Saumu Ha.ssan
@patricknduwimana28406 жыл бұрын
Saumu hassan nauku umefika?
@beatricekamengekamenge55436 жыл бұрын
Walai saum nihatari
@MdMd-th9vh6 жыл бұрын
POLE SANA
@saidbanga6 жыл бұрын
Inauma sana... Ila magufuli nakukubali kwani akili zako unazijua mwenyewe...
@chandewaleo38536 жыл бұрын
Iwe juma 3 j4 j5 uta kaa hapa hapa .hahahaha ili kumkomeshea huyo kaoe hata dadaake ....kina juma hebu wekeni like hapa
@wechemakambo21826 жыл бұрын
chande waleo nime-like ila mm siyo Juma 😆
@chandewaleo38536 жыл бұрын
@@wechemakambo2182 hahahaa pamoja sana uende ukaoe dadaake mbunge
@wechemakambo21826 жыл бұрын
chande waleo mmh kwa shemeji huyu siwezi...
@bintiiddy70434 жыл бұрын
😂😅😅😅
@amanimlembe21706 жыл бұрын
pole sana mh.rais kwa hali hii mungu akusaidie maana wengi wanakuzunguka
@hassanhassan83516 жыл бұрын
Mti wenye matunda ndiwo upigwao mawe, hongera mkurugenzi kwa uadilifu wako. Ahsante mheshimiwa JPM kwa kujali
@emilydavidmdoe35526 жыл бұрын
Aah kumbe Moro Safi kazi nzuri hongera Kaka yangu
@zachariamishai72586 жыл бұрын
Asant sana #Mh Rais😘😢
@elizabethlucas49836 жыл бұрын
Hv hili libunge liliwaza nn? Baba wa watu analia haya machozi hayatamuacha huyu mbunge salama,cjui nani alimteua,ila nashukuru kabaki na aibu,hongera sana raisi wng Mungu akulinde
@anwaryrutenge56956 жыл бұрын
Dar. Pole sana mkurugenzi Juma. Hongera mzee baba Magufuri
@winfridagama22806 жыл бұрын
Hongera Mkurungezi
@pascoiddy15925 жыл бұрын
Anwary Rutenge qhv
@stevenlubala92376 жыл бұрын
Mungu zaid kukushikilia daima mkurugenzi uko Safi sana ahsante rais hapa kazi tuu
@chimamychimychimamy84826 жыл бұрын
Gud job president love you magufuli from Kenya+254
@ggmmjasiliamalionline27466 жыл бұрын
Love u Kenya asee +255 Luna upinzani wa kisiasa na Si kimaendeleo
@simonmagembe71406 жыл бұрын
It is true that magufuli is now popular
@rajeep-ni7lh2 жыл бұрын
I miss this maguful rest in peace always I miss you❤❤❤❤❤
@barakahenula13706 жыл бұрын
Nampenda sana Raisi wangu,hapa kazi tu
@kruverthmasanula99146 жыл бұрын
safiiii jamaa kaumbuka vibaya hahahahahha
@ommymvp8846 жыл бұрын
See how God is protecting His people.#mkurugenzi
@manyotaskipper57656 жыл бұрын
Ommy Mvp Allah Akbar
@musamasiko49256 жыл бұрын
Ommy Mvp fact
@evemangare17326 жыл бұрын
Ommy Mvp ooh yeah
@nicholaustvraphael41026 жыл бұрын
Hongera Sana Mh raise nakukubali Sana unamsimamo nikikutana nawewe nitakuthibitishia kwa maneno
@emmanuelmogela58716 жыл бұрын
Pole mkulugenzi ndio changamoto za kazi
@msalikemedia4 жыл бұрын
Mwisho wa ubaya ni aibu 😀😀😂😂ubunge kimya
@delitonavaia35036 жыл бұрын
mungu amfichi mnafiki
@furahamudende63166 жыл бұрын
Nampenda sana Rais wa Tanzania,anaakili sana,busara na hekima.tungempata rais kama huyo congo aiseee inchi yetu ingeendelea saaana.big up baba JPM
@nachokyale19153 жыл бұрын
Wa congo unamjua kiswahili
@eliasaphbussa93326 жыл бұрын
Njia nzuri ni kuoa hata dada zake ili aman iwepo 😂😂😂😂
@annajoram93706 жыл бұрын
Baba hapo hongera sana kweli unamjua mungu,mungu akuongoze baba
@fatumarajabu8106 жыл бұрын
Ha ha ha........ Mr president na muendlezo wake wa tungo tta ...hbu gonga dole tumpe pngez
@mcrahaleo6886 жыл бұрын
Hahaaaaaaa, na ni tungo tata kweliiiii, hili libunge ni likarai kabisaa hili
@alexfrance54866 жыл бұрын
Pole saaana mkurugenzi Mungu atakulipa
@hamisikabwe39806 жыл бұрын
Kwa nchi za mbele hapo huyo mbunge angejiuzulu kwa hicho alichokifanya.huwezi kufikisha ujumbe kwa style hiyo,hata kama ni kweli alichosema,bado hawezi kupewa sheria kulingana na kufikisha ujumbe kipumbavu kabisa.
@elishamartine98526 жыл бұрын
I appreciate you ptlresident
@neemawilliam19606 жыл бұрын
DA aiseee mchawi wa binadamu ni binadamu mwenyewe, kweli unamcjongea mwenzio afukuzwe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣magu bhana et akaoe dada zake na mbunge
@mkapaelias71366 жыл бұрын
pole xanaa mkurugenz na hongera xanaa rais wetu ,,hadi nmelia jaman
@allykazoa70656 жыл бұрын
magufulli wewe ni rais wa mfano mkurugenzi amejiereza vizuri sana uyo mbunge ni chizi
@collinsmwaipasi75806 жыл бұрын
The truth shall set you free
@salimakuyela82126 жыл бұрын
Huyu mbunge mwehu magu mungu akujalie kumfuta machozi mkulugenzi🙏🙏🙏🙏
@husnajohn74665 жыл бұрын
Christopher Mganga hahaaa
@lucascheyo48495 жыл бұрын
.
@fatimaabdulla69674 жыл бұрын
@Change Mindset asay aibu kweli kweli mi ni Wa 254 ila na fanya bidii Kuja Tanzania ni muone maghufuli wallah sija ona raisi wa kuigwa kama huyu
@kwizeraelly92616 жыл бұрын
Mungu yupo!!!!!!! Wanaoonewa wote walie na Mungu mimi nimemwona mara nyingi.
@mendoramasaki35676 жыл бұрын
Hongera sana Rais wetu Mungu akupe maisha marefu kwakuwa unatenda haki pasipo kumuonea mtu. Pole sana mkurugenzi Mungu yuko nawe aibu amezipata huyo mbunge kwa majungu yake
@hadijaabdallah54776 жыл бұрын
Maskini baba mpaka analia na mm nimelia jamaniiii huruma rais hongera sana
@yusuphsabega39366 жыл бұрын
Hadija Abdallah usijal
@evelynmon64916 жыл бұрын
Yaan mimi mwenyewe nimelia jaman baba kaniliza huyo jamani
@evelynmon64916 жыл бұрын
Yaan hii mijitu mingine inakurupuka tu mbunge mzima kaaibika vibaya kweli dume zima majungu tu mfyuuuuuu
@haibreus20056 жыл бұрын
Ndio ujinga wa wanawake mtu akilia tu huruma
@fatmax87106 жыл бұрын
@@haibreus2005 hahahaha hayo ndio maumbile yetu tuvumilie tu
@anithaflorian11576 жыл бұрын
Pole sana mkurugenz Mola akutie nguvu maana si wote watakao kukubali Mungu aibariki kazi ya mikono yako
@antoniasanga35636 жыл бұрын
Usilie jaman Mungu hamtupi mwenye Haki Amini Rais bado anakupenda pia zidi kufanya kazi
@aishajeaninejeanine89346 жыл бұрын
hongera saana rais wetu Mungu akuongoze
@sembosayenda71826 жыл бұрын
Libunge LA chadema ...libaki huko huko chadema
@athumanmohammed75505 жыл бұрын
Daah safi saana mkuu wa nchi na mkurugenzi safii
@Bongo1Media6 жыл бұрын
mwaka huu tutaona mengi 😂😂😂😂😂😂😂
@stephanokaaya18816 жыл бұрын
mbunge huyu ni O
@mussakatoto31256 жыл бұрын
rais hongera sana
@yusuphmlaponi78645 жыл бұрын
Safi sana rais komesha wanafiki
@binurarassi81566 жыл бұрын
Rais mtenda haki, Msema kweli, Mwenye huruma, Tulio wengi Tunaokuombea siku zote, uendelee Kiongozi, Mungu anatuona, Anasikia Na InshaAllah Atapokea Maombi yetu, Aamina q
@victoriabayo77043 жыл бұрын
Rais Magufuli akuweke mkono wake wa kuume ulale salama kipenzi cha watanzania umetenda haki hakika tunaendelea kukumbuka
@stewartmillanzi15966 жыл бұрын
Ahaaah....kumbe Mkurugenzi alisingiziwa..!? Mungu ni mwema...Hongera sana mheshimiwa raisi. Hongera sana Mkurugenzi. Pole sana Mkurugenzi...Mungu akufute machozi yako.
@cleverlove62256 жыл бұрын
Pole sana mkurugenz
@silasteven89566 жыл бұрын
Pole sana mkulungenzi kila kazi namagumu yake usiogope baba piga kazi
@edinazegu71736 жыл бұрын
Jamani yote anataka mwenzie atumbuliwe pole Kaka angu ndio siasa hizo zimekufanya mpaka uumwe lkn Mungu atakutia nguvu linapita
@agnesmkude125 жыл бұрын
Dah inasikitisha asije akafa na presha mungu akusimamie
Imeniuma sanaa kwa kutoa chozi mkurugezi kwa kusingiziwa na hili fisadi hili bunge ningekua mimi ningelifukuza kabisa
@furthernelly6656 жыл бұрын
Duh pole sana mzee
@emanuelleopod39496 жыл бұрын
Kaoe hata dada zake ili kujenga heshima😂😂😂😂😂 Asee tangu nikujue mheshimiwa leo umenivunja mbavu 😂😂😂😂😂😂 Magufuli For Change 😂😂👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@MS.independent89344 жыл бұрын
safi sn mkuu chadema wana majuguu tuu hawajui kazi bali wanajuwa majuguu tuu
@emmymasoud63856 жыл бұрын
Zambi Sana kumchafua mwenzio ikiwa ww unayako kibao nyuma ya pazia.... Allah bless you
@inocentedward88566 жыл бұрын
Safi sana mh rais! Kuna watu wana roho za kimaskini sana!
@DottRoBroc3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
@billyblanks0992 жыл бұрын
Thank you for pointing this out. Africa is killed by the puppets of the imperialist and neo-colonizers in the pretense of being friends of Africans. It will only take Africans themselves to develop Africa.
@jumatamimu6841 Жыл бұрын
U7(tygyttt
@aminasenkuni3844 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭 Inna lillah waina illah ragigune wee mwenyezmungu muodoshee kila lililobaya kwenye kabur lake.
@lemalikulinja65515 жыл бұрын
Hongera xana Rais we2 kwa kuwatetea wanuonge
@salmadalaquimane53036 жыл бұрын
Yaan chadema cjui mkoje daaah mmekalia chuki2
@salimkambona27986 жыл бұрын
Nakukubali sana kiongozi,,tuchape kazi siasa tuziache jamani!Jpm hajakosea ktk kuteuwa watendaji wake!Mungu awe nawe daimaaaaaa
@malonemalick19993 жыл бұрын
Daah mzee pumzika kwa amani tutakukumbuka daima😭😭😭😭😭😭😭
@annahnguvumali16266 жыл бұрын
Duuh, pole sana Mkurugenzi.
@rosehillary68846 жыл бұрын
Rais wewe nakupenda sana wewe ni Baba, ni mlezi, na unamjua Mungu.
Mungu ni mwenye haki.umetafuta kumwaibisha juma. umejikuta aibu imekurudia mwenyewe na umepata aibu ya maisha yako kizazi chako chote kitaona jinsi ulivyo kichwa maji.
@olivamushi58436 жыл бұрын
kila nikiangalia hii video nalia sana we mbunge muombe msamaha mwenzako
@farajamwakasaka42216 жыл бұрын
Joyce mashikolo.
@ShSh-my8cw3 жыл бұрын
Mungu ailaze roho yke mahal pema peponi,Amin
@mr.furahamalele18546 жыл бұрын
Daaaaaaah, Mungu Kweli Wa Wote Ninaanza Kuamini Maana Daniel Alitupwa Ndani Ya Shimo La Simba Wenye Njaa Hawakummeza, Leo Mungu Amesimama Upande wa Mkurugenzi, Kweli Hila Hazimpati Mtoto wa Mungu, Nakuombea Mkurugenzi na Mhe. Rais Pigeni Kazi Wana Wa Mungu!.
@olaislukumay5716 жыл бұрын
Dah mpaka naskia kulia jaman wanasiasa acheni visasi baba wa watu mpaka analia yaani.God bless you sir Juma
@sifasanga78666 жыл бұрын
Magufuli kumbe kuna wakati ana huruma sana. Baada ya kugundua Mkurugenzi kaumia moyo amerudia rudia sana manano kumweka sawa. Pole sana Mkurugenzi hawa wapinzani sometime wamekua waongo sana. Jamaa anakusema bila haya na ushahidi hana pole kaka
@lawagustino18876 жыл бұрын
sifa sanga kweli kabsa
@matyshirima12426 жыл бұрын
Hata angekua na ushahidi kumchongea mwenzie afukuzwe sio vizuri
@mbaroukabdi19186 жыл бұрын
Hii shutuma ingekuwa kwa mpinzani Rais angejibu hivo kwa mfano
@saadachara9436 жыл бұрын
Baba magufuli oyeeee Mungu akuzidishie imani kwawananchi wako tunakupenda sana 2020utapat kurayangu alfajir namapema
@laurentemanuel85596 жыл бұрын
Duuuu ama kweli Serengeti tuna hali mbaya kama mbunge ndo huyu wa chuki zisizokuwa na maana,,, atapata faida gani mkurugenzi akifukuzwa huyu mbunge ndo mwxho wake 2020 hatunae tena
@nsrnsr58384 жыл бұрын
Nimelia kwa uchungu pole sana mkurugenzi hongera sana Raisi waongo
@stephenmassawe2186 жыл бұрын
Isije ikawa ni chuki ya kisiasa hapo!!! Busara ni muhimu katika mambo haya, mbunge kwa mujibu wa sheria ni mjumbe katika baraza la mawaziri.
@petermwenda51796 жыл бұрын
magu mungu akupe maisha maisha marefu utuokoe sisi wa hali ya chini
@omegajustin99266 жыл бұрын
Pole mkurugenzi ndo changamoto za kazi hizo baabaa limemrudia mwenyewe chapa kazi
@omarylugusha6 жыл бұрын
Hongera sana mh rais 2020 njia nyeupeee
@ilovejesus93036 жыл бұрын
Mkurugenzi Mungu akupe nguvu, watu wanaopiga kazi Kama wewe wanapigwa Vita munooo
@binurarassi81566 жыл бұрын
Mungu akulinde Rais wetu Wasiokutakia mema, Watashindwa kwa Nguvu za Mungu.
@sakinaomar3016 жыл бұрын
Nani kaona mkurugezi akipandisha suruali yake alivyoitwa na Rais😁😁pole sana baba yangu umeniliza jamani umepata maradhi yamoyo ulivyoanza kuwatumikia wananchi wako pia nimejifunza kitu"wewe unapambana kwenda mbele kuna pimbi mmoja anakurudisha nyuma m'mungu amemuabisha leo "God is good all the time "#chozi lako halijakutoka bure unamengi moyoni but M'mungu atakutianguvu 😘😘.
@kinggembo71356 жыл бұрын
Sakina Omar all the time GOD is good
@sakinaomar3016 жыл бұрын
M'mungu atamlipa wallah
@johngeorge61824 жыл бұрын
Mkurugenzi chapa kazi ukweli utabaki ukweli tu! Uongo umesjindwa.
@allyhussein46254 жыл бұрын
pole kaka wewe nimelia kwa jili ya mkirungenzi
@hildababyabdullah56276 жыл бұрын
Chozi limenitoka pole mkurugenzi iyo ndo kawaida ya wanadam hutizama lamwezie tuu lakwake halion Allah akuongoze vyema ktk utendaji wako kazi, upizani co watu wazr alitaka ufukuzwe mbele ya qadam nnas chozi lako halipotea kwa huyu mbunge lazima litalipa magufuli hongera umekua mfano wakuigwa ktk uongozi wako
@frankmmary63716 жыл бұрын
chapa kazi mkurugenzi mazuri yakwako yote anayajua mwenyenzi mungu.
@sifaupindo83846 жыл бұрын
Omar Alofi roho imeniuma jamani, Pole sana Baba Mungu yupo nawe kila sekunde
@haibreus20056 жыл бұрын
Namshauri mbunge apiganie maisha yake na family yake. Wananchi ni wanafiki sana
Pole mkurungenzi wangu usilie jaman baba angu pole mungu mkubwa sana
@irenemwanaa81605 жыл бұрын
Pole mkurugenzi mungu yupamoja na we we chapa kazi.
@yasiniseiph61196 жыл бұрын
Noma sana 😅😅😅
@allykazoa70656 жыл бұрын
ivi uyu mbunge amechaguliwa na watu wenye akili timamu kweli atakujieleza awezi embu ccm jitaidini 2020 chukueni ilo jimbo
@selemanikiwande51376 жыл бұрын
Wallah km k ungekua na sheria ya kumtumbua MTU anae mdharirisha mwenzie basi Leo angetumbuliwa huyo mbunge kwanza anatakiwa amuombe radhi mkurugenz hongera sana kwake mh. Rais kwa kazi Nzuri sn anazozifanya mungu ampe maisha marefu azidi kulitumikia hili taifa kwa kutenda haki. Me pia machoz yamenitoka kwa kumnafikia mkurugenz. Pole sn kaka yangu kwa changamoto unazozipata hata mitume walipitia vikwazo na changamoto nying sn lkn walishinda na kukamilisha yote walioagizwa
@levinajoeli34656 жыл бұрын
Christopher Mganga Good mkurugenzi
@magorimagori92646 жыл бұрын
Christopher Mganga umesema kweli kaka
@ggmmjasiliamalionline27466 жыл бұрын
Hapa ndo wananchi tujifunze hali hii hatujawapa ikulu tukiwapa waingie ikulu watatupeleja wapi hawa kaka maendeleo jamn tufanye maendeleo sio chuki Za upinzani jamani wananchi wanatusoma kwa picha mbaya Santa chadema alafu 2020 tuseme tumeibiwa kura ni kweli acha ccm iendeshe nchi sisi ng tukue kwanza wapinzani tuna akili za kitoto wananchi wametuamini bas tusiwaangushe dah inauma asee afu hata kujieleza hajui maskini dah nandomana wanaohama wanahama kwa kauli mbiu kwamba wanaenda ccm kuunga juhudi za muheshimiwa rais kwa style hii huwez kuunga juhudi zinazofanywa name rais acha wanaojielwwa wahame tuu
@cholowao3 жыл бұрын
Tumetekeleza agizo
@markobuhuku15646 жыл бұрын
Mheshimiwa Raisi Dr. Magufuli Kura yangu haikupotea kabisa, hongera kwa kuliona hilo
@zumbeshauri81146 жыл бұрын
pongezi sana raisi hakika amemchafua mwenzie hazarani kwa siasa ya kijinga kaka juma hamsini endelea kufurahi raisi ana imani nawewe
@nasraalobaidani31946 жыл бұрын
fitna haina faida kasimam miship uson kwaunafk ili kumkomesh mwenzie kimbe ajiaibish mwenyewe ulaaniwe ww usio nautu daim hutofanikiw kwarohoyko mbya pole sn kakaang juma ALLAH akuongoz ,ALLAH ambarik sn rais wetu nakupend sana dc magufuli daima nitakuombea