MAMBO YA KUTOKUSAHAU UNAPOINGIA MSIMU MPYA WA MAISHA. DAY 1B, JANUARY 2020
Пікірлер: 233
@emmanuelshuza7582 жыл бұрын
Ushuhuda wangu mwalimu wangu. Namshukuru Mungu ni miaka imepita nikiwa katika maombi yangu binafsi kwaajili ya muujiza, katika kuugua kwangu moyoni mwangu ndipo nikasikia unao mkutano pale jangwani,na nilisikia ndani yangu kuwaambia ndugu zangu kuwa leo mwalimu wangu Roho wa Bwana atamtumia kunisimamisha ili aniombee muujiza niliomuomba Mungu,nami nilipofika nilikaa upande wa waimbaji pastor safari na karibu na John lissu ndipo Neno la Bwana likakufikia ndani yako kusema nanukuu""kuna mtu ameomba maombi ya siku kadhaa,na kwako utakayesikia unaweza kucheka lakini kwake ni kitu muhimu sana,mtu huyu amemwambia Mungu anahitaji kuota NDEVU watu walicheka na ukaendelea kusema amekaa upande huu wa waimbaji hapa nilimtukuza Mungu kwakuwa nilifunga na Mungu alisikia kuomba kwangu ubarikiwe ndevu ni nyingi kwa sasa namtumikia Mungu kwa kuineza habari njema""
@ritanjoki74612 жыл бұрын
Amen barikiwa sana mwalimu mwakasege na nyumba yako
@jumaelizabeth55324 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe mchungaji.Mimi naitwa Elizabeth kutoka Kenya. Ila nafanya kazi nchini Saudi Arabia. Nimekua nikifuatilia mahubir yako kwa mda was mwezi sasa.nilikua nasumbuliwa n allergy kwa mda wa miaka 8.tangu nianze kuskiza mahubir yako naendelea vizur sana japo bado inanisumbua lakini sio kama zaman.mungu akubariki. naomba number ya kutuma japo sadaka kuoitia m pesa tafadhali.blessed again and again.🙏
@piussantos83504 жыл бұрын
Ubarikiwe mungu nakupenda dadangu me pia ni niko Kenya mungu ni mwema kila itwapo leo
@saitotitarakwa72674 жыл бұрын
255754211633 Diana Mwakasege. Jina La mke wake
@andrewkibwata9744 жыл бұрын
Mungu yupo nawe. Amini kwa jina la YESU KRISTO UNAPONA
@jumaelizabeth55324 жыл бұрын
@@saitotitarakwa7267 sawa
@jacklinemwita41734 жыл бұрын
Mwamiji Mungu umepona
@hebronmalatila61864 жыл бұрын
Mwa/ Mwakasege ! Mimi HEBRON MWANJALI MALATILA , Umri 68 yrs ! Uokovu tangu 1992 , Lakini bado nashindwa kutenda mapenzi yake YESU. Ila Mungu anaachilia Ahadi zake ktk familia yangu. Shida tangu! Naomba nijue kusudi lake Mungu juu yangu! Kabla ya muda wangu wa kurudi Kwake. Natamani na mimi nìmtendee ijapo tendo moja dogo jema kwa uweza na utukufu wake nikiwa bado duniani. Chris Mwakasege ! Nisaidie kunisogeza mbele ya Yesu Mungu wetu wewe na mimi.
@olipaminga79264 жыл бұрын
Nashukuru Mungu kwa jinsi anavyokutumia mtumishi kutufundisha kumjua Mungu akulinde uendelee kutusogeza zaid na USO wa bwana.
@mintheophilussunday18133 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you ...
@user-ng6yt2od7l3 жыл бұрын
Amen
@adelaidasote78824 жыл бұрын
Nipo bukoba nimevutiwa sana na semina zako Mtumishi was Mungu,Mungu akubariki sana ,ninaomba kuuliza kwann makanisa mengine hayasemi upendo wa Mungu wanasema sheria za kanisa inakua vigume wanna wa Mungu kusimama maana hawaelewi ubarikiwe sana unatangaza upendo wa Mungu katika maisha yetu
@emmanuelsiriatv74614 жыл бұрын
Nasi tumefahamu PENDO alilonalo MUNGU kwetu sisi na kuliamini, MUNGU ni pendo.Barikiwe sana mtumishi wa Mungu, Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu
@costamwasala47364 жыл бұрын
Niko Mbogwe Geita naendelea kufuatilia semina hii kupitia KZbin. Mungu akutie nguvu mwalimu Christopher Mwakasege.
@onesmokway29903 жыл бұрын
Mungu wangu akubariki sana mwalim mwakasenge, nakuelewa Sana mafundisho yako toka utoto wangu nakufwatilia Sana nilikuja nyumbani kwako mwaka 2016 nikamsalimia mama yako mzazi alinipokea kijana niliemkuta nyumbani nazani ilikuwa likizo ya shule sikumbuki ninani lakini nazani sio marehem Joshua , wakati huo sikuwa namjua Joshua nilikuja kumjua alipofariki ,namama yako mzazi niliumia Sana alipofariki mwaka uliofwata baada yakuigia pale ndani tukasalimiana badae nikarudy mbea mjini , Mimi natoka Kilimanjaro mbea nilifwata maisha tu
@happytimpiyian13474 жыл бұрын
Mungu ni mwema na kila amwaminie ameokoka asant yesu kwa ulizi wako kwangu na nguvu umelinda family yangu 🙏🙏🙏 barikiwa sana mwalimu
@cmyg37632 жыл бұрын
Nabarikiwa na kufunguliwa katika mafundisho haya, Mungu akubariki mtumishi
@pendokitomary36984 жыл бұрын
Nimebarikiwa na hya maombi sitabaki nilivyo YESU akubariki sana baba
@apostledavidisimon81794 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa neno la Mungu. Umepanda mbegu. Yesu ataikuza.
@mintheophilussunday18133 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you .
@hebronmalatila61864 жыл бұрын
Upendo wa Mungu kwa mtu ni kubwa ! Kuliko Uzinzi au Uaji wako. Mungu ana wapenda hao zaidi yawaliyookoka. Huyu ndiyo Mungu aliye na mimi kabla sijakuwa ktk tumbo la mama yangu.
@SistaSelemani2 ай бұрын
Baba Asante maneno mazuri naomba NAMI maombi
@hebronmalatila61864 жыл бұрын
Mungu ! Amenifunulia kwamba: yupo palipo na Yesu , Roho wake na mtu aliyezaliwa × 2 ktk roho na moto. Ndo Mungu ameagiza tusiache kukusanyika , maana Mungu anapendezwa zaidi palipo 2 au 3. Fellowship yake Mungu ipo palipo Yesu na Roho mtakatifu au palipo Yesu , Roho na mtu aliyeokoka.
@asnathlaizer60843 жыл бұрын
Amen Hakika Yesu Ananipnd nimetiwa nguvu sana na kuzidi kuona kusonga mbele Be blessed
@floridawenceslaus4982 жыл бұрын
Mwalimu na Diana Mwakasege Mungu awabariki mnoo mnoo
@celinameshackcelina46164 жыл бұрын
Napenda sana mahubiri yako mungu akubalik baba
@sekelabenard Жыл бұрын
Mungu akulinde mtumishi mwalimu baba yetu
@catherinekangero56772 жыл бұрын
Asante Roho Mtakatifu..❤️ ubarikiwe baba Mungu wa mbinguni akuwe kwa ajili yetu
@glorylameck44823 жыл бұрын
MUNGU ANANIPENDA... HAKUNA KITAKACHO NITENGA NA UPENDO WA MUNGU 🙏
@judygathoni58614 жыл бұрын
Hallelujah hallelujah I love this be blessed sana am in Qatar
@nenolabwana384 жыл бұрын
Amen Amen more greetings to you all in Qatar
@sedekiabilijite55164 жыл бұрын
Amen Mwalimu napenda sana masomo yako sana , Mungu anisaidie nikue kiroho ndio hamu yangu na shauku yangu
@kelvingoodluck83794 жыл бұрын
Mbarikiwe sana sana,MUNGU na awaongezee mafunuo kwa Roho wake
@mintheophilussunday18133 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you .
@salomembugi13123 жыл бұрын
Asante Mungu wetu kwa ajili ya mtumishi wako huyu ,zidi kumtunza Mungu wangu azidi kutufundisha juu ya upendo wako Baba
@tusekelegejohn57194 жыл бұрын
Liinuliwe na kutukuzwa Mungu uliyehai ktk kriso Yesu amina.
@kondamurhabazi5832 Жыл бұрын
Tunabarikiwa sana na neno la Mungu, neno la uzima kutoka kwa baba Mwalimu. Wewe ni baraka kwa dunia muzima.
@clintonnjiku36164 жыл бұрын
Ombi langu naomba mungu ambadilishe mumeewangu antoe kàtika kund baya
@denismwambilinge45313 жыл бұрын
MUNGU akusaidie katika JINA LA YESU
@robertgodfrey90844 жыл бұрын
mwalimu somo hili nimelipitia leo tarehe 14/08/2020. yani mimi nimerudi duniani, siombi ,sisomi bible,,,,na nmejaribu kuomba lakini sipati amani kabsa ,na ninampenda yesu sitaki dunia iniangamize kabisa.
@robertgodfrey90844 жыл бұрын
nimerudi kwa MUNGU nina amani
@amanitv44684 жыл бұрын
Ubarikiw San maamuz mazur
@lightnessmabeche14613 жыл бұрын
Ubarike mtumishi wa baba mungu azidi kukupa neema na rehema katika maisha yako
@fridamamy23504 жыл бұрын
My spiritual father may God bless u Baba yangu,ahsante kwa kunifundisha .kuna siku ulitufundisha somo LA Baba yetu alie mbinguni Limenifungua nasasa hivi nimechukua hatua nimeanza kuujenga ufalme wa Mungu mahali ninapoka.ubarikiwe sasa Baba yangu.
@graceshoo65474 жыл бұрын
Glory to God.
@tusubilegemtafya55323 жыл бұрын
Kiukweli nikisikiliza mafundisho yako Mungu huwa ananivusha sehemu...Mungu aendelee kukutumia babngu
@pilimsangi8144 ай бұрын
Ameen🙏 upendo wa Mungu ni waajabu sana
@AnethPeace2 жыл бұрын
Bwana YESU nisaidie,🙌🙌🙌
@jescajohn76172 жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏 office za huduma za manna kwa Arusha zipo maeneo Gani msaada tafadhali
@silasmichael6023 жыл бұрын
napokea katika jina la kristo yesu
@helmanmethod26654 жыл бұрын
asante mtumishi wa Mungu hahika nimebalikiwa.amen🙏
@esthernaxx85082 жыл бұрын
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu
@marymushi7005 Жыл бұрын
Ameeeeeeen Halellujah. Yesu ni Bwana na mwokozi wa maisha yangu.
@upendoeliudi51963 жыл бұрын
Aminaa barikiwa sana Mungu akutunze mwalim Christopher mwakasege
@faiyamulishidi92243 жыл бұрын
Mungu wangu akubariki na azidi kukupaka mafuta ya Roho mtakatifu na ailinde familia yako na hila zote za mwovu kwa Jina la Yesu
@brianbaraka45634 жыл бұрын
Amina Ahsante Yesu kwa kuniweka huru kupitia mtumishi wako 🙏
@user-ng6yt2od7l3 жыл бұрын
Kwetu sote amen
@tamaramrema6424 жыл бұрын
Natafuta hili somo silipati (uwezo wa damu ya yesu kukomboa miguu) naomba msaada
@GGGB20113 жыл бұрын
I really needed to hear this.... Be blessed.
@mintheophilussunday18133 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you .
@GGGB20113 жыл бұрын
Really. This is very strange. I think I should contact you
@mintheophilussunday18133 жыл бұрын
@@GGGB2011 you are welcome you need to do it before end of today
@magrethwilliam47484 жыл бұрын
AMEN Mungu akubariki Mwalimu wetu
@ElizabethJumbe-ch7xn Жыл бұрын
Barikiwa sana mwalimu 🙌🙌🙌🙌🙌
@nellumasomelu69004 жыл бұрын
Mungu ananipenda, hallelujah 😭😭 Jesus loves me
@michaelbethuel58084 жыл бұрын
God bless you my teacher
@rachelemadjagi78692 жыл бұрын
Amen my God bless you
@elizabethngasa26762 жыл бұрын
Amen, Pendo la Mungu nilaajabu. Mungu akubariki mwl
@stephanomkanyipelele10463 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu Sana unasimama ktk kweli kutusaidia kweli huu ndyo with kweli umepewa bule unatoa Bure ungekuwa mpigaji pesa ungepiga kwelikwel kwa kuwa tunakuamin
@oscamjujulu7824 жыл бұрын
Amina, Amina MTUMISHI WA BWANA YESU KRISTO ubarikiwe sana
@stellakimambo59084 жыл бұрын
Mbarikiwe watumishi
@christinelihavi40682 жыл бұрын
Upendo wa Mungu ni mkuu mno
@paulosilayo86164 жыл бұрын
Asante baba kwa kuniongezea ufahau juu ya upendo 1Wakoritho 13:1......
@happyflavor55494 жыл бұрын
YESU ninakupenda
@happinesfesto91713 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mchungaji nabarikiwa sn na kipindi chako Amen.
@marypaul19814 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe mtumishi naitwa mary nipo msumbuji kupitia semina hii niliyoitizama leo tarehe 21/8nimempokea yesu maana nilirudi nyuma Noamba uniombee ili Mungu aendelee kunitunza ndani yake
@cctvtz30173 жыл бұрын
Bwana akubariki Mtumishi watoto wangu niwalevi, niko Daresalama yombo Vituka, Nami nimemtolea Mungu wangu aokowe watoto wangu ni Monica Marco, Sina raha Nami napenda Yesu na natumika nikiwa na jaribu Hilo niombee
@lucaslaizer3543 жыл бұрын
mpendwa usife moyo Mungu yu hai soma isaya 1.18.
@happymushi22194 жыл бұрын
Huyu Yesu ni mzuri mnoo- asante mwl
@MagrethMadila-nz4voАй бұрын
Ubarikiweerr
@maheligati29363 жыл бұрын
Amina mtumishi wa mungu somo limenipa nguvu nimeinuka tena
@user-ng6yt2od7l3 жыл бұрын
Mungu ananipenda Mungu ananipenda Mungu ananipenda
@janesemngindo48784 жыл бұрын
Semina hii nimepokea mambo makubwa katika jina la Yesu Kristo amen.
@crissalphonce11074 жыл бұрын
Libarikiwe jina lake yesu alie pendo letu sisi tusio stahili kupokea pendo lake,
@jonaselias93532 жыл бұрын
Amen mtumishi mungu atubarki enenda nami
@emmanuelcimanuka29953 жыл бұрын
Asante kwa neno nzuri umepewa na Mungu
@maoleminja65143 жыл бұрын
Ni salama rohoni mwangu haijalishi napitia mapito yupo Mungu aokoe
@brightmollel66983 жыл бұрын
Praise God. It was awesome
@marthermwakyobwe97942 жыл бұрын
Nasikia raha kwamba YESU ananiambia ananipenda.Mungu akubariki na timu yote .
@furahabeatrice20573 жыл бұрын
Amen, ubarikiwe mtumishi wa MUNGU 🙏🙏
@ndeshukurwakaaya43852 жыл бұрын
It is well it is well indeed with my soul, it is well well with my SOUL. ASANTE YESU. 🙏
@anethmashaka68994 жыл бұрын
Amen!!! May God bless you moreee and moreeee our father
@paulmassery4494 жыл бұрын
Ishi miaka mingi mwalimu
@fainesimathiasi1793 жыл бұрын
Balikiwa sasa baba mchungaji Mungu akutunze
@emanuelimollelkilusu52064 жыл бұрын
God bless You My Teacher.
@mwinzifrancis13514 жыл бұрын
Man of GOD...be blessed..I love ur teachings..ubarikwe daima...mungu ndie anaeweza kukulipa..sisi nikushukuru..
@marcelafrancis53674 жыл бұрын
Barikiwa Mwalimu
@amoswagaz45054 жыл бұрын
Mungu akubariki sana na kuikuza mara dufu huduma yako
@josephmshindo67964 жыл бұрын
Nabarikiwa Sanaa na mungu kupitia mwalimu
@marcomunuo29033 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu zaidi uzidi kutufundisha
@alindatheonest37344 жыл бұрын
Amen nimebarikiwa
@eliaemanuel25272 жыл бұрын
Nimebarikiwa na wimbo walifajiri
@tusekelegejohn57194 жыл бұрын
Asante kumzaa mtoto wako huyu na kwa kumwita kwa jina lake maana kuna wazazi wanazaa lakini hawawaiti watoto wao kwa majina yao na kwa majina ya sifa liinuliwe jina utukufu na heshima vikurudie ww
@danielyfussy37114 жыл бұрын
Ubarikiwe MTumishi
@gracembise9063 жыл бұрын
Asante Bwana Yesu kwakusema na mimi ...
@wiliamvenance47813 жыл бұрын
Mungu ananipenda barikiwa mwl
@luhekelondelwa97143 жыл бұрын
Amin mtumish
@n.lincoln19803 жыл бұрын
Amen
@elimekamathayo19144 жыл бұрын
Haleluya mwalimu nataman kufanyiwa Cancel naww Nina msongo wa mawazo na hofu pia naomba Sana Mungu aniondolee lkn bado
@yofikaayubu6924 жыл бұрын
Mungu wetu anatupenda jmn
@jescarwegoshola72313 жыл бұрын
Amen, Ubarikiwe Mwl🙏
@winniepeter30123 жыл бұрын
Asante dady, uzidi kubarikiwa
@kaymsafi2 жыл бұрын
NEW SUBSCRIBER... I'M BLESSED
@ilenestephano89353 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu🙏🙏🙏🙏
@estherntandu20553 жыл бұрын
Amen Sana ..God bless you
@annapakya82034 жыл бұрын
Barikiwa mtumish wa MUNGU
@leonardshaban96312 жыл бұрын
Ubalikiwe mtumis.hi
@yolandaliyoya18393 жыл бұрын
AMINA,,MUNGUAKUBARIKI MWALIMU
@marcomunuo29033 жыл бұрын
Mbengu hii na izae kwangu amen
@gladysmakoko19402 жыл бұрын
Amen Amen🙇♀️
@nathanaelkiswili81984 жыл бұрын
Kusudi la mungu lipo kwa wakat uliokusudiwa
@bershazamtumishi49503 жыл бұрын
Mungu akubaloki kwa mafundisho mazuri
@emmanuelabel84523 жыл бұрын
Am being blessed
@pendokisanga45274 жыл бұрын
Nikimsikiliza mwakasege huwa sichoki natamani asimalize