Kumbe kuna watu wananyanyasa watanzania kwa sababu ya uongozi wao tu
@albertmalenge-cs6zy8 ай бұрын
Vyombo ,bakuri, sufuria,vijikooo😅😅😅😅
@masoudmakoe5618 ай бұрын
Nchi ngumu sana hii mahakama imetoa hukumu lakini watumishi wa umma hawaitambui arafu uje unizurumu kitu utegemee niende mahakamani nitamalizana na ww kimya kimya.
@JamaliOmary8 ай бұрын
Hatar kweli inataka moyo
@elizabethismile68278 ай бұрын
Naishauri serikali iunde tume ya chinichini kuchungunza ni mateso gani wanapitia wananchi kutoka kwa viongonzi wao
@elizabethismile68278 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂magu angeskia haya woteee wangesimamishwa yani Ni upuuziii tuuu 😂😂😂hii nchii Ina mambo ya ajabu kumbee et nchi ya amanii kumbe Kuna mikoa na wilaya zake n vijiji watu wanapitia magumu tena wananyanyaswa na viongonzi kabsa
@sigurdsonmathias45628 ай бұрын
Kuna mwamba mmoja hapo chini anapambisha moto huyo 😂😂😂
@MabalaMasanja8 ай бұрын
Makonda.hongela,sauna.
@ahmadiomari69138 ай бұрын
Nchi hii imeficha mengi. Neno langu jamani Dunia ni historia baas kila mmoja awe historia nzuri kwa watu
@elioimer84238 ай бұрын
Huyu inaonyesha Kabisa ni mkimbizi sio raia Watz akichomekea kwa mwamvuli wa ccm Kama wengi wengine .
@SamwelMsovela-nn8ci8 ай бұрын
Makonda wesafi nduguyetu
@Zubaiba8 ай бұрын
Walio na ziro wapo madarakani mama Samia agalia Hilo nakuomba kwa hisani yako
@Zubaiba8 ай бұрын
Hao ndo wanaochaguliwa kwa kujuana so kwa kusoma,nyau kweli
@JennyKiwale8 ай бұрын
😂😂😂ila waha jaman
@ChemchemiRecords7 ай бұрын
Ila Makomda hii siyo kazi ya muenezi💀
@raphaelsanya26008 ай бұрын
Mgurugezi ametufanya Chaka hahah what country is this