Ndoa nyingi leo zinapata tabu kwasabau watu walichemka vitu muhimu wakati wa uchumba, je unavijua vitu hivyo? Fuatana nami nikusaidie kuvijua kimoja baada ya kingine #DrChrisMauki#Mchumba#Kuoana
Пікірлер: 78
@user-ju2og9dy8t6 ай бұрын
Very true mtu hawezi badilisha mtu ni mungu pekee mm nilijaribu kubadilisha mwanaume kutoka kwa uchafu awe msafi but ilinishinda hadi nikainua mikono juu
@omukadahlmmaculate78102 жыл бұрын
Wow what a great lesson is this.Thank you Dr Chris l hope everybody will follow this carefully,with a lot of love and cheerful l am so impressed with this.may God bless you and expanding your territories.🙏💪👍💞👏
@mrsinia30643 жыл бұрын
Ahsant sana kwa somo zur mr chriss, mung akupe maisha marefu
@margaretkast5138 Жыл бұрын
Ad UgandaASA NZMBVyxc
@saifsaif81623 жыл бұрын
Somo ni zur sana doctar mbarkiwe
@yasintasamson6247 Жыл бұрын
Nakuelewa💯💯 thanks kwa somo zuri
@josepherickson26033 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Dr Chris mauki najifunza vitu vingi sana kutoka kwako mpaka naenjoy mapenz yangu na mchumba wangu pia unanienspire sana mama Miriam lukindo mauki Mungu awape maisha marefu mpaka mshangae.
Hii semina ni nzuri sana lakini audience wanasinzia hatari!
@beckygura41772 жыл бұрын
😂😂😂😂
@oscarkiti8547 Жыл бұрын
😂
@christinamlawa2260 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@irenezamda10633 жыл бұрын
Mungu akutunze Sana Kwa mafundisho mazuri
@user-yu5sm6mv9p5 ай бұрын
Asante sana kwa somo zur mungu akubarik
@peshmattis65563 жыл бұрын
Very educative...thanks alot dad.
@everadakayanda78853 жыл бұрын
Somo zuri, Asante Dr. Chris
@zuhuramike13993 жыл бұрын
Amen p, c.m ilifanyika kwangu asante kwa somo
@atluckynjovu90813 жыл бұрын
Thank u be blessed...
@gretagonga29663 жыл бұрын
Ila huwezi kupata mkamilifu Sema kama unaweza kustahimili udhaifu wake basi sawa, kama huwez mwache. Wanawake pia hakuna mkamilifu.
@lwimikomwakasitu45423 жыл бұрын
God bless you man of God
@adventinaIlomo-gf4oq Жыл бұрын
Thanks so much may God bless you
@ibahatimoses64313 жыл бұрын
Asante Dr kwa somo zuri
@ChrisMauki13 жыл бұрын
Asante kwa kutazama, natumaini ume subscribe
@janekalondu46332 жыл бұрын
God bless you.. asante sana Kwa mafunzo mazuri
@susanekuyi29883 жыл бұрын
Asante mauki kweli uliyosema.
@evancekimath74053 жыл бұрын
Thankyou....!!
@jocety44263 жыл бұрын
Nasubiria pati 2, Badoo haifunguki,, Somo zur Sana nilipenda pati 1
@kulwabanga48073 жыл бұрын
Nakuelewa sana,Mungu akubariki.
@jasminyiddysulaiman98073 жыл бұрын
Ahsante sn
@hildajoshua29063 жыл бұрын
Be blessed
@lilianlubanga40103 жыл бұрын
Powerful nafundishika .
@Maggie-yx8pw3 жыл бұрын
Madini hayaa Kaka nimekuelewa sanaaa Vijana eleweni msikurupuke kama Mama zenu kunguzaneni kwanza habari za kujuana Mjini hizi Jamani Uwiiiiii.
@KhalidAshjaie-cz7vg7 ай бұрын
thanks 🎉
@WinifridaMamuya-yu1or Жыл бұрын
Nikweli kabisa,utofauti mkubwa hasa katika dini na elimu ni Sababu yakugombana sana
@jackycute20473 жыл бұрын
Asante doctar
@priscahnafula7053 Жыл бұрын
Thanks
@mariamayoob87343 жыл бұрын
Thank you
@hadijakonyaki55803 жыл бұрын
Ubarikiwe
@winniepeter30123 жыл бұрын
Somo zuri sana nimejifunza na nimebarikiwa sana
@farijihaule68813 жыл бұрын
Tutambana tuu ndani umo umo maana exactly hawapo
@queenmunuo52693 жыл бұрын
Dr. Swala la Elimu ni must jmn cz ukikuta mwanaume ndo hana Elimu wanakuwa na inferiority complex sana na ndoa nyingi za hivyo nimeziona zina majuto sana jmn
@magrethrk31252 жыл бұрын
Mwanafunzi wa chuo hiki kwakwel.nabarikiwa na kujifunza sana
@capteinchuimchafu78943 жыл бұрын
Ssa kma una mahusiano na pia una mtto nae lakin mpo dini tofauti je hapo hapo mnapendana
@lizzyemil68073 жыл бұрын
nicee
@hellinahombuya5174 Жыл бұрын
Wow
@mohammedalshahwani15422 жыл бұрын
Nakuelewa na kujifunza
@captainbosingwa72263 жыл бұрын
Na kama family iko na shida ya divorce but Ukiomba na kudungwa unaoteshwa kwandoto ni yeye ndio mchumba wa kuoa ama kuolewa hapo Naye utafanyaje?
@johnmalila14853 жыл бұрын
Absolutely true
@mariangwada12613 жыл бұрын
Semina nzuri xan by madam merry
@queenmunuo52693 жыл бұрын
Dr. Mauki pls naomba mawasiliano yako km inawezekana
@josephinemichael15143 жыл бұрын
Nenda fb page yake anaandikaga namba zake hapo utampata
@williadiemmanuel62753 жыл бұрын
Poa
@bennieathuman99173 жыл бұрын
Daaaaaah yaaan kuja kumpata mwenye hivyo ni bonge la job
@mrsinia30643 жыл бұрын
Kabisa
@joycehaule97174 ай бұрын
Malaika tu ndio anakila tabia hizo
@user-wx5bg3zo1e10 ай бұрын
❤
@malackbayaga3 жыл бұрын
PCM PRINCIPLE:Hii balaa ya mauti ya roho ya mtu
@mohamedsiwa5113 Жыл бұрын
Mafunzo mazuri.
@bhokelilyafrohomequeen11762 жыл бұрын
Kunavitu natamani ningeambiwa 6yrs ago
@mimywayesu5873 Жыл бұрын
Natamani ningeyajua haya kabla ya kuingia kwenye ndoa.
@user-wb3rq1ns2g2 ай бұрын
Sasa Kama anahasira nafanyaje
@KhalidAshjaie-cz7vg7 ай бұрын
😂😂😂😂❤
@pauledenrgs92983 жыл бұрын
Habari counsellor nilikuwa na swali nauliza kwamba unaweza kudate na mwanamke na kusubiriana mpaka mfike ndoa bila kulala nae..?
@gutumberayesuministry9742 жыл бұрын
Ndio lazima usubiri kwenye ndoa
@joycehaule97174 ай бұрын
Huoni kulala kabla ya ndoa ni UZINIFU kama uzinifu mwingine
@captainbosingwa72263 жыл бұрын
Na kama family iko na shida ya divorce but Ukiomba na kufunga unaoteshwa kwandoto ni yeye ndio mchumba wa kuoa ama kuolewa hapo Naye utafanyaje?
@MaryAddam-my8nh10 ай бұрын
Maukiiiiii😄😄😄😄
@ramsonhudson40133 жыл бұрын
Aisee yaani najitahidi kufanya yote haya kama mwanaume but mchumba wangu hanielewi kabsa yaani mpaka nashangaa
@ashasuleiman59012 жыл бұрын
Pole mway
@jessicadavid34142 жыл бұрын
So sorry
@jacklinejoseph40603 жыл бұрын
Nataman mtu fulan aone hili somo dah...
@mrsinia30643 жыл бұрын
Mtumie link 🤣🤣
@belvinwanjala12883 жыл бұрын
Wat if u r dating an islamic guy n u r a christian,is it okay or not
@evancekimath74053 жыл бұрын
Religious difference is not an issue, the issue is about couple agreement mbeleni jinsi mtakavyoishi nastability ya imani yawatoto wenu.
@annamtega38852 жыл бұрын
Ahsantee sana daktari Kwa somo zuri... ubarikiwe sana
@joselyinajohnstone1965 Жыл бұрын
Ppppp
@WinifridaMamuya-yu1or Жыл бұрын
Nikweli kabisa,utofauti mkubwa hasa katika dini na elimu ni Sababu yakugombana sana