DUH JAMAA AKILI KUBWA "BUNGE LITUSIKILIZE WAFANYABIASHARA BAJETI INATUFANYA TUWE WAHUJUMU UCHUMI"

  Рет қаралды 10,981

MwanaHALISI TV

MwanaHALISI TV

19 күн бұрын

DUUH JAMAA AKILI KUBWA "BUNGE LITUSIKILIZE WAFANYABIASHARA BAJETI INATUFANYA TUWE WAHUJUMU UCHUMI"
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Пікірлер: 23
@superhemed7590
@superhemed7590 15 күн бұрын
Bonge la interview! Hongera sn ndg mwandishi kwa maswali mazuri na hongera zaidi kwa Mw/kiti wa wafanyabiashara wa kinondoni kwa majibu sahihi na ufafanuzi🎉
@rogersiddy
@rogersiddy 15 күн бұрын
Yaan watanzania bhana sisi sijui tumelogwa nanani jmn yaan tunakubali kudanganywa kama watoto mgomo ndo tiba tosha viongozi wa serikali wanacheza michezo na viongozi wa wafanya biashara wanaghaili kugoma ushatatuliwa matatizo yenu?ujinga uliojaa vichwani kesho unavaa nguo ya ccm vumbi adi kwenye kope hawa dawa yao kuwaweka pembeni kwanza tuangalie chama kingine tuone wakizingua nao watakaa pembeni
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 13 күн бұрын
interview nzuri sana. halafu huyu m/biashara sio tuu mzoefu lakini ana mawazo chanya kweli. taifa linatakiwa kuitisha vikao mara kwa mara kusikiliza watu kama hawa. wanamchango mzuri kwa taifa letu. ona alivoongela wamachinga..msingi mnoo
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 11 күн бұрын
Tatizo la kuwa na kuongozi mwenye elimu ya msingi . 😂😂😂
@hamisimuhunzi7916
@hamisimuhunzi7916 16 күн бұрын
kosa kubwa waliofanya wafanyabiashara ni kukubali kumaliza mgomo wao kabla ya matatizo yao kufanyiwa kazi..Nawashangaa leo kushangaa madai kutofanyiwa kazi
@hudhaifamsafiri8731
@hudhaifamsafiri8731 15 күн бұрын
Ety nyerere alivotuumba😅😅. Nyerere mwenyewe yupo analiwa na funza huko😂😂😂😂
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 11 күн бұрын
Ni nchi tuu yetu yenye mambo ya kitumwa mbona nchi zinazotuzunguka hazina huu ujinga sisi tuu upole wetu kuwa km wafungwa ndani ya nchi yetu lazima tuwe wakali ili tuelewane
@juliuskitaluka1206
@juliuskitaluka1206 13 күн бұрын
Akili kubwa sana
@emanuelnisetas7510
@emanuelnisetas7510 15 күн бұрын
Tuna takiwa tuandamane tuwache uwoga
@yordanyona1234
@yordanyona1234 16 күн бұрын
Sheria za kodi Tanzania zilikuwa ni za mkoloni MF VAT
@romastasenterprises4447
@romastasenterprises4447 16 күн бұрын
Huwezi kuzuia hela za Mzabuni huku unamtaka akue alipe kodi.
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 15 күн бұрын
VYUMA VIMEKAZA JAMANI 😢😢😢😢MWENDAZAKE
@MalakiGerald-bh5jv
@MalakiGerald-bh5jv 12 күн бұрын
Mwakani!!? Naamini maneno ya mzee BUTIKU,watanzania tunashindwa kujisimamia kwa sababu ya UJINGA.
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs 14 күн бұрын
Mimi najiuliza sharia zinatungwa na watu gani
@romastasenterprises4447
@romastasenterprises4447 16 күн бұрын
Kuna Wazabuni wanatoa huduma katika taasisi za Serikali ikifika mwisho wa mwaka wa Serikali madai yote unayodai yanaingizwa kwenye madeni. Unamtaka tena ahudumie na hela ipi na zimepelekwa kwenye madeni. Kama kweli kodi ni muhimu Serekali watafakari upya.
@Wiittole
@Wiittole 16 күн бұрын
Siamini kama ni kiongozi wa watu huyu
@hamisimuhunzi7916
@hamisimuhunzi7916 16 күн бұрын
Kosa Kubwa Sana waliofanya wafanyabiashara ni kumaliza Mgomo kabla ya serikali kushughulikia/kutatua matatizo yao..
@Piscesblair
@Piscesblair 15 күн бұрын
Siyo raisi kufanya biashara katika mazingira kama hayo ukapata faida nchi hii. Hizo kodi utitiri zimalalamikiwa kwa miaka mingi. Ifike wakati sasa viongozi wetu wawe na huruma kwa raia wake. Bunge lichukue nafasi yake kiualisia.
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 11 күн бұрын
Time westing with such palament your a tanzania on your national forget about palament take action stick to the point your not loser clouse your shop is the gavment wich get lost collection under pressure because Tanzania people won't be silence the will put pressure on gavment msiwaogope diluni na wanaofungua wapeni azabu huko mtaani ili wajue kuwa penye haki ni umoja wetu
@user-my7fj6wn7y
@user-my7fj6wn7y 14 күн бұрын
Kodi mpaka kuku,ngombe kondoo mbizii,hadi takataka
@solomoneglesias9752
@solomoneglesias9752 13 күн бұрын
Na mbwa pia 😂😂😂
@hudhaifamsafiri8731
@hudhaifamsafiri8731 15 күн бұрын
Ety nyerere alivotuumba😅😅. Nyerere mwenyewe yupo analiwa na funza huko😂😂😂😂
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 51 МЛН
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,7 МЛН
MDUDE AKIELEZA YALIYO MSIBU AKIWA MIKONONI MWA POLISI
52:26
Mwanzo TV Plus
Рет қаралды 8 М.
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 51 МЛН