TAREIKH YETU MSIMU WA KWANZA (SILSILA 11): Sayyid Ali bin Humoud, sultani aliyekimbilia Ufaransa

  Рет қаралды 10,261

Gumzo la Ghassani

Gumzo la Ghassani

3 жыл бұрын

Alitayarishwa tangu utotoni kwake ili aje awe sultani wa Zanzibar lakini miaka michache tu baada ya kuwa madarakani, aliamuwa kuachia usultani na kuishi kama raia wa kawaida nchini Ufaransa. Yeye ni kitukuu cha Sayyid Said bin Sultan.

Пікірлер: 20
@cpambarakrashidkhalasi8658
@cpambarakrashidkhalasi8658 2 жыл бұрын
Ningependa sana kama mngetujulisha maisha yake baada ya kujiuzulu
@imsimk.khamis574
@imsimk.khamis574 3 жыл бұрын
Said Ali alicheza Kamari in Italy Nepel alidharauliwa sana na waingereza kwskuwa alikuwa na features za ki Africa na Kitumwa. Waingereza walikuwa hawakumrespect
@karyori69
@karyori69 2 жыл бұрын
South of France ni Nice ama Marseille!
@ibrahimdhogor8516
@ibrahimdhogor8516 3 жыл бұрын
shukran historia ni nzuri kujua
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 3 жыл бұрын
Kweli maisha ni story tu basi iwache iwe nzuri kabla ya kufa, kwani dunia ni mpito tu.👈
@imsimk.khamis574
@imsimk.khamis574 3 жыл бұрын
Waingereza waliwadharau sana Wazabzibari na utawala wa kifalme wa zanzibar kwasababu ya uislamu. Na waingereza wana laumiwa sana kwamba hawakuweza kuijenga au kuboresha miundo mbinu Kwa macoloni yao. Nitofauti na Wafaransa. Wafaransa wameijenga sana Morocco, Tunisia ,Algeria nk. Muengereza nchi zote alizoxitawala aneziacha in rubles with poor building & road or infrastructure.
@ibugharib389
@ibugharib389 3 жыл бұрын
MASHAALLAH, JAZZAKALLAH KHERI TUMEJIFUNZA HISTORIA NZURI YA WAFALME WA ZANZIBAR
@jimj8285
@jimj8285 2 жыл бұрын
Ibu ghareeb? Au abughreib prison in Irak au we'd were Vipi??? Kula mishikaki na utoko weyeeee!!! Hahaa ETI Una kiwanja cha kujenfa Bumbwini? Au mfenesi mazizi?? Au kiembe samaki??? Au mchamba wima???? Au mfereji maringoooo??? Wee Vipi? Eti gharib daah wewe nenda kale madogi na mausultwani weyeeee!! Daah alghareeb??? Haaa nyau weye!!! Unatamani mke WA MTU??? Daah Hadi unamchekea ATI wamsaidia? Watamani matako yake!!! Hahhh!!! Watamani akinya mavi yake unuse? Wee ghareeb wee abughreib!!!!
@imsimk.khamis574
@imsimk.khamis574 3 жыл бұрын
Hakupata msingi wakufuata culture za European.
@rashidomar2771
@rashidomar2771 3 жыл бұрын
Mbona hukutuambia baada ya kujiuzulu alirudi znz au alibakia hukohuko ulaya
@dr.salimnasser8701
@dr.salimnasser8701 3 жыл бұрын
sheikh anasema 1996, naona anakosea. Nadhani sahihi itakua 1896. Dr.Salim
@salumkhassan930
@salumkhassan930 2 жыл бұрын
Anasimulia Lakini Anaumwa
@khalifa_wayy1979
@khalifa_wayy1979 3 жыл бұрын
Zanzibar ina good history
@nassoraly8070
@nassoraly8070 3 жыл бұрын
Kweli lkn hatufundishi historia yetu
@iss-hakaabdulla1485
@iss-hakaabdulla1485 3 жыл бұрын
Naomba tumpate Jemshidi katika Gumzo
@omarsaid4702
@omarsaid4702 2 жыл бұрын
@@nassoraly8070 wajua watu wakijua watadai haki zao ndio maana haielezwi
@mymuamsrrr7884
@mymuamsrrr7884 3 жыл бұрын
Inakuwaje historia ya zanzibar inahusu waarabu na wazungu tuu??? Iko wapi historia ya mwafrika???????. Na ndio maana zanzibar iko hivo.
@imsimk.khamis574
@imsimk.khamis574 3 жыл бұрын
Kwasababu wazungu hawakintaka native zanzibar wasiwe na elimu. Na ndio maana Ni Sawa na historia historia ya Tanzania haiwaingizi Wazabzibari kwanini?
@sadofaraji5999
@sadofaraji5999 2 жыл бұрын
Ali IBN humud alikuwa Mwafrika
@jimj8285
@jimj8285 2 жыл бұрын
Mwafrica khaaHhh!! What's that? Who is mwafrica anyway???
Should I Follow a Madhab? #Hanafi #Shafi #Maliki #Hanbali #Salafi || The Hot Seat by AMAU
2:42:23
Is the Qur'an preserved? With Professor Ali Ataie
2:58:34
Blogging Theology
Рет қаралды 164 М.
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,7 МЛН
HOW DID HE WIN? 😱
00:33
Topper Guild
Рет қаралды 39 МЛН
JE! ULIDANGANYWA HISTORIA YA ZANZIBAR- MANGAPWANI?
19:50
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 73 М.
Zanzibar Story (1961)
4:23
British Pathé
Рет қаралды 77 М.
Зря они облили полицейскую водой...😂
0:25
And how are they not embarrassed?
0:19
Rinuella
Рет қаралды 15 МЛН
Зарядил патрон гвоздями как в фильме «БРАТ»
1:00
Оружейный Барон - Top Hunter -
Рет қаралды 4,3 МЛН
БАЧОК ПОТИК
0:22
KINO KAIF
Рет қаралды 2,3 МЛН
Just a joke 😂
0:11
ARGEN
Рет қаралды 4,5 МЛН
Слепой перехитрил свою жену😳
1:00
Kino_sh
Рет қаралды 9 МЛН