FUATILIA MKASA WA MVUVI ALIVYOKUTAKA NA MKASA WA KUZAMA BAHARINI KWA SIKU 4 BILA MSAADA.
Пікірлер: 96
@monicabalucci16248 ай бұрын
Nimeumia jaman naona Hawa kama ndo babangu jamani …wanawake tuwaheshimu wanaume wanaotupambania jamani 😭Mungu awesimamie baba zetu awape ahueni kwenye maisha yenu
@KhadijaNgoda8 ай бұрын
Amen
@FatumaMuya8 ай бұрын
Ameen
@theteacherchance67509 ай бұрын
Nawafahamu sana hawa watu. Wamezaliwa, wamelelewa, wamekuzwa, wamekuwa na wanaishi baharini. Bahari ni kubwa ila Allah ni mkubwa zaidi.
@carroljames86929 ай бұрын
What's papa in english?
@theteacherchance67509 ай бұрын
@@carroljames8692 "papa" for Swahili speaking Zanzibaris means "shark 🦈" one of the deadly creature out there
@myself41289 ай бұрын
Allah Hajaumba Kitu Nenda mecca utamkuta ametulia pale hata baharini hapajui...
@yassirswaleh71279 ай бұрын
@@myself4128na yesu nae kashakufa hatumjui ata yuko wapi
@mduda_i9 ай бұрын
@@myself4128 pale utakapokuja kujuta sentesi itakayokutia natatani mbele ya muumba aliumba ardhi na mbingu ukiwemo wewe na yesu ndani yake. usamehewe ni upeo mdogo wa kiakili
@nairomcomoria57889 ай бұрын
🤲🤲🤲 mungu akufungulie kila la kheri mzee wangu
@shemsa_salum8 ай бұрын
amiin
@HappymackBazilio7 ай бұрын
@@shemsa_salum❤1a❤❤❤😅8😊òp
@shemsa_salum7 ай бұрын
@@HappymackBazilio what
@tariqebenson8 ай бұрын
Napenda watu wa Zanzibar, ni wa kweli hawaongei kutafuta sifa Wala umaarufu. Hapo angekuwa mtu wa bara ungesikia baharini nilikutana na wachawi wengi nikawakazia😂
@NdongaKichwa-hz7jf8 ай бұрын
Wabara wanapenda sifa na kujikweza
@MamaAbdul-c5i8 ай бұрын
😂😂😂😂😂amewakazia
@tariqebenson8 ай бұрын
@@MamaAbdul-c5i Ndioo😂😂😂
@gloeemm7 ай бұрын
😂😂😂 Bara ni wajanja weyeeee
@ramxeybashirymfinanga7 ай бұрын
Wewe comments kwa channel usizungumzie chuki zako
@NdongaKichwa-hz7jf9 ай бұрын
Mzee nakukubali kumuweka Mungu mwazo kama hajapanga halikukuti jambo lolote
@hilalkhalfan14529 ай бұрын
Anamtegemea Mwenyezi Mungu sw kielimu na sio kipumbavu kama unavyowaza wewe. Hapo lazima atizame malaika waliowakilishwa (nyota) na elimu za fani. Hakuna mvuvi mjinga, sasa jipeleke weye kichwa kichwa uone 😂
@hilalkhalfan14529 ай бұрын
Hata mamba anatengezwa.
@NdongaKichwa-hz7jf9 ай бұрын
@@hilalkhalfan1452 uwo wako usenge na ujinga wa kifikiri Mungu ndo kila kitu awo Malaika unozungumza ww hawawezi kufanya chochote mpaka wapate Izini kutoka kwa Mola wao hanisi ww kasome acha Kuja kucomment uhanisi wako hapa Mshirikina mkubwa
@azizirania639 ай бұрын
Maskin wazee wanateseka wanafaa kustaafu lkn ndio hivyo tena hawana namna😢
@Sadickmbwambo9 ай бұрын
Mashaa Allah Mzee ana Taqwa sanaa Allah Amfungulie kila lenye Kheri na yeye
@JacfarNur2 ай бұрын
Amiin Amiin YA RABBI
@Nily-kz3db9 ай бұрын
IzaaArada Shaia An'yakula Lahu kun fayaqun,Allah Azd kukuhfadh🙏
@JacfarNur2 ай бұрын
Ntapata mdada wa Zanzibari ❤❤❤
@ukuvukiland23879 ай бұрын
Tatizo meli nyingi kubwa zinazopita katika Bahari zetu zinavua kisasa zinamaliza samaki kwa wavuvi wadogo wadogo.ndio mana samaki wanakua hadimu kupatikana kwa wavuvi wadogo.
@AshaSuleiman-e9r8 ай бұрын
Alhamdulillah maashallah kwa kumtanguliza Allah
@fatumamasudi49637 ай бұрын
Allah atakulinda babaangu
@FekiHappy9 ай бұрын
Naomba Allah Anisaidie niweze kutoa msaada jmn toka mwaka 70??
@shemsa_salum8 ай бұрын
Allah atufanyie wepesi wote ktk harakati zetu za halali za kutafuta rizki
@mwanashaali11098 ай бұрын
Barakah llahu fiik
@jambojomba90428 ай бұрын
Assalaam alaikum, shukran sana shk Muhammad Bachu. Utawaambiaje hawa wanaoitakidi kuwa aina tatu za Tawheed eti ni UTATU?
@caashamacalini38879 ай бұрын
Jamani wazee wetu wamesema kweli wamechoka kazi ngumu usiku mtu anashinda Bahraini kwakweli tufanyeni mango wa hizo machine za both na raising hussein mwinyi aangalie mitandao aone watu walivyokuwa nashida wasaidie jamani hate michango
@mwananganzi9 ай бұрын
Watanzania wenye uqezo wamuwezeshe huyu mzee wamtafitie mradi wa vifaa aweze kukodisha na kuingiza kipato aachane na kuvua yy mwenyew .
@stanslausmteme84559 ай бұрын
Hizo ndizo shughuli walizozoea wamwezeshe vifaa vya kisasa boti za mashine na nyavu app watakua wamemsaidia
@yahyamaabad98379 ай бұрын
Polen sana baba zangu😢😢😢
@TaarabChannel9 ай бұрын
Mupitie na kwangu wapenzi ❤❤❤
@rahmayasin90948 ай бұрын
Subbahanna 😢
@hamidudigogo58639 ай бұрын
Vibwengo sindio walikuja kuwafuata utopolo kwajili ya kuwaloga al ahaly huko Zanzibar
@tualiboicratualiboicratual45049 ай бұрын
❤❤
@feisaldesign41569 ай бұрын
Allah akufanyie wepes Mzee wang
@DuliBrillant-mr8er8 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭me niachen nilie tu
@CYRILTV20239 ай бұрын
🙋
@ManiAwilo7 күн бұрын
Huyomzee imaniyake ikosabiti watukamahawo niadimusana niwazee wenye historiya inafaa waeziwe
@Spagles9 ай бұрын
HATARI kombo😂
@jumahalifa64369 ай бұрын
Nimechoka😂
@AgnesJackson-ts9or9 ай бұрын
😂😂😂😂katisha
@nashnene63269 ай бұрын
Afu tukitaka kununua samaki tuna bargain ili kushusha bei tupate nafuu
@suleimanmatege38999 ай бұрын
😂😂😂😂noma sana
@InvestorMtuiSamuel8 ай бұрын
Mzee yupo vuzuri.
@noahnsubc16669 ай бұрын
muwasaidie mabaharia washastaafu
@theteacherchance67509 ай бұрын
NshachoKKA 😢😭😢😭😢😭😢😭
@yahyamaabad98379 ай бұрын
Ndio mbumbwini mwezangu kipa kiarabu zo zetu sisi nimekuelewa
@taturamadhan59409 ай бұрын
Mimi samaki sibagain kama simuezi naondoka
@jitukorofi95179 ай бұрын
Sawa tajiri
@natafutamatatizo43829 ай бұрын
DR MWINYI WACHA KUZIBITI PESA ZA WAZANZIBARI NA UCHUMI WAKO WA MWEUSI. WAPE WANYONGE NA WAO WAISHI KAMA UNAVYOISHI NA FAMILY YAKO! IMELETWA KUWAPA TIA TAABU WAZANZIBARI NA MAISHA YAO
@fahadfaraj64749 ай бұрын
Duùuu
@bindawood9789 ай бұрын
Ulikuwa wapi@natafuta matatizo karibu tena naona umerudi kwa kasi!
@natafutamatatizo43829 ай бұрын
@@bindawood978 MAISHA MAGUMU HAYANA MFANO, TOKEA HUDR MDHIBITI FEDHA WAWATOE WATU ROHO NA UTAWALA ZANZIBAR. NI UCHUMI MWEUSI KILA KONA NA SIJUI WAMETOKEA WAPI SHETANI HUYU KUWATAWALA WAISLAAM👀👀🤣
@bindawood9789 ай бұрын
Duh hatari sana, pole ndugu yangu pambana na usikate tamaa
@Mpakauseme9 ай бұрын
Mjomba fahamu husipoitumia akili na maarifa yako uliyopewa na Mungu basi fahamu watu watakutumia, .. Huyo rais unayemtaja hapa ni binadamu km wewe nasi simba,... Acha kumtegemea binadamu
@amosethantheking88159 ай бұрын
Haji Haji Ali.
@KinanaSharif9 ай бұрын
🎉😢😢
@redtk29719 ай бұрын
Huyu mzee sio mtu mzuri, jiazari sana na mtu anaetamja taja mungu kila muda kinywani mwake
@ibrahimumngereza77698 ай бұрын
Mbona unantisha na nijirani yangu huyu
@MrSmile_Family8 ай бұрын
tufafanulie
@MerryRenatus-ck4lz8 ай бұрын
Hamna huyu nimchamungu
@AllySibila8 ай бұрын
Ukimshiba Allah tu unakua hivi. Sasa wewe kila siku kila mda unamsikiliza zuchu na diamond
@abdulhalimhumud19178 ай бұрын
@@AllySibila😂😂😂 eti kila Mda ananiskiliza zuchu na mondi
@carroljames86929 ай бұрын
What's papa?
@MgalulaMapesa9 ай бұрын
Shark
@alikhamisog34229 ай бұрын
Shark
@einsteinchacha57978 ай бұрын
Kichwa cha habari cha uongo nime unsubscribe
@tomondiek28399 ай бұрын
tukienda hivi sshahayayasshshejejej pumzika shshshshhshs wasi wasi gghsyysshshsh binadamu ggsyytshshsha maliza umeshika?
@salimmalaka2569 ай бұрын
JAMANI NAULIZA KWA AYEJUWA UKWELI ATUPE MAARIFA KUHUSU HUYU PWEZA UKIMVUWA UKITIA NDIMU YANATOKEA MABALAA TUAMBIENI MABALAA GANI YANAYOTOKEA??? MIMI SIJUWI NA KUULIZA SIO UJINGA.
@sabihaibrahim1439 ай бұрын
anakuuwa hawapatani
@salimmalaka2569 ай бұрын
@@sabihaibrahim143 TUFANYE YUPO NCHI KAVU UKIMTIA NDIMU ANA KUUWA AU AKIWA MAJINI???
@babyrurashid23939 ай бұрын
Sio kweli
@hilalkhalfan14529 ай бұрын
Tuulize zaidi wenye elimu na kila mtu ana elimu yake. Nahau haifiki hapo😂, maana kuna VISHEHE kanzu skuizi jambo hawajui hawasemi sijui watakujibu ni Shirki au ujinga wao tu ila jibu hawana. Tafuta mwenye elimu yake
@salimmalaka2569 ай бұрын
@@hilalkhalfan1452 LAZIMA ANAEJUWA AWE MVUVI MWENYE UMRI MKUBWA ATAKUWA ANAJUWA MAMBO KAMA HAYO KUNA WATU WANASEMA PWEZA ANA ASILI YA JINI KWA HIYO TUNAMLA JINI HAHAHAH.