Рет қаралды 209,726
Ni mkutano wa kumi katika Bunge la kumi nna moja, unaoendelea katika makao makuu ya nchi mjini, Dodoma.
Kinachoendelea Bungeni ni kipindi cha maswali na majibu, ambapo wabunge wanapata fursa ya kuuliza maswali naa kujibiwa na wahusika akiwemo Waziri wa nchi, ofisi ya rais, Tamisemi , Waziri Jaffo pamoja na naibu waziri wake.
Ambapo Mbunge wa Tarime, John Heche, amesimama na kuuliza kuhusiana na bei ya vitambulisho vya uraia vinavyotengenezwa na mamlaka ya vitambulisho vya taifa (NIDA), kwa kulinganisha na bei ya vitambulisho vya kupigia kura ambavyo anadai ndivyo vyenye gharama kubwa zaidi, lakini bei yake ni ndogo tofauti na hivyo vya Nida.
Subscribe muda huu / uwazi1 Install #GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi
FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .