Aiseee daaaah Asante sana Mimi mahusiano yangu yalivunjikia kwenye stage ya 3
@alphanmartin60035 жыл бұрын
Nashukuru sana kaka joel kwa somozuli lenye mafunzo ndani yake nimesikiliza kwa umakini sana na nimejigundua kwamba nipo hiyo stage ya 3 the stability stage naamini mpaka sasa nitabadilika na nitasonga mbele zaidi na pia nazidikumwomba mungu ili niweze kuvuka hizo stage zote salama mwenyezimungu akubaliki kakaangu uendelee na kaziyako ya kuelimisha jamii kwa ujumla na uweze kufika mbali zaidi ya hapo AMEN.
@aaaavvvv42615 жыл бұрын
Hakika sababu mahusiano mengi nmepita hayana mamunzi mazuri sababu akiwe mlevi ndio tuongea sana bila ulevi hamna chakuingea asante kwa maneno mazuri mungu akubariki
@Udindigwa Жыл бұрын
Ujumbe Mzuri SANA Mungu Asimame Nawe Uzidi Kutujenga Unamchango Mkubwa SANA
@mwl.sologotv81386 жыл бұрын
uko deep Sana brother everything you touch, you directly touch my life na maisha ya watu wengi. be blessed and keep moving forward to teach the mass. Nabarikiwa Sana.
@joelnanauka6 жыл бұрын
Ameen sOLOGO,NASHUKURU SANA
@andrewkatte26566 жыл бұрын
Dah mahusiano nimeumia sana kiac cpend hata kuckia story znazoweza kunikumbusha hayo ya zamani na bd moyo wangu una makovu!
@justinmmbando53866 жыл бұрын
Asante sanaa, Hapo kwenye power struggle stage Ndipo Nilipo poteza Mahusiano na mpenz wangu ila niliamuwa kuanza upya kumbe Ulikuwa ni stage nishakosea Tayari ila sitakosea tena maana huwa naishi kwenye ninacho jifunza. Asante Joel leo nakuja dukani #timizamalengobookshop# nakuja kuchukua CD alafu tunaonana tarehe 20 kwenye DARASA endelevu. Asante.
@joelnanauka6 жыл бұрын
Justine Mmbando hongera sana na karibu sana mafunzo ni tarehe 11
@joelnanauka6 жыл бұрын
Hongera Justine,nakutakia kila la kheri
@justinmmbando53866 жыл бұрын
Joel Nanauka nilisahau asante tutafika hapo
@joshuajohn46706 жыл бұрын
Dj
@anthonykimaro8076 жыл бұрын
Asaantheeee my dear brother barikiwaaaaaaa Sana. Daah hizo hatua nimejifunza mengi apooo.. Mbili na Tatu apooo
@joelnanauka6 жыл бұрын
Anthony Kimaro naona mbili na tatu imekugusa
@anthonykimaro8076 жыл бұрын
Ndio brother Sana
@anthonykimaro8076 жыл бұрын
Asaantheeee Sana barikiwaaaaaaa
@veronicacharles45276 жыл бұрын
asante kwa hili somo coach sikubahatika kupata somo hili mwanzo ...hivyo stage ya pili mara nyingi uwa inanishinda kuikabili nikidhani mtu kabadirika kumbe ni lazima hayo yatokee ili tusonge mbele zaidi
@joelnanauka6 жыл бұрын
Nashukuru Veronica,Nakutakia baraka zaidi
@valentinembuke69396 жыл бұрын
nashukuru Mungu na wewe pia kaka Joel,power struggle imenitesa sana halafu nishaolewa ila Mungu ni mkubwa sasa nimevuka na nimeelewa,ahsante sana kwa somo
@emanueljonasmacha28436 жыл бұрын
Mr. Joel nakushukuru sana umenifumbua macho sasa. Mungu akubariki sana kaka.
@joelnanauka6 жыл бұрын
Emanuel Jonas Macha Ameen nashukuru sanaa
@allymkamba11155 жыл бұрын
Mm naona nirianza vizurii uku mwisho nirpo mnunuria sm tu kabadirka
@joharijuma86676 жыл бұрын
Uwiiiiii yani ni bonge la somo nimejifunza kitu ambacho kimenishindaga miaka yangu yote ya mahusiano asante sana brother Joel Mimi nipo hatua ya pili ni balaa tu
@joelnanauka6 жыл бұрын
Johari Juma Hongera sanaa
@neemajulius87904 жыл бұрын
Santee sana kaka kwa kuniongezea,, dea!! Mungu akujalie katika kaz zako
@aash41452 жыл бұрын
Hatua ya kwanzaaaaaa😂😂😂😂❤️❤️❤️❤️🌹🌹
@robertgwelela65816 жыл бұрын
Asante kwa msg nzuri .i will see you at the top.
@joelnanauka6 жыл бұрын
Robert Gwelela karibu sana Robert See You At The Top
@johnkwela73262 жыл бұрын
Bro Joel umeniongezea kitu nashukur kaz yako njema mm nipo hatua ya pili
@restadeborah6086 жыл бұрын
Nashukuru kaka kwa mfundishoo bt ya kwangu yapo stage 2,,ningeomba ushauri wako nawezaje kuvuka kwenye hii stage 2 n 3 ahante
@worshipertv99686 жыл бұрын
Asante kwa Mafundisho yako Kaka Joel kila napo kusikiliza lazima nipate kitu ntafata stage hizo ili mahusiano yangu yawe vizur
@joelnanauka6 жыл бұрын
Safi sana Elias,nakutakia kila la kheri
@patelnay41242 жыл бұрын
Yangu naona yametoka kwenye romance ,tukataka kuyarusha hadi kwnye commitment,,yalivunjikia hapo ,hayakuendelea😭
@rosadatheodothburetha63346 жыл бұрын
Dah ahsante sana nimeanza kuelewa sasa. Sijawahi kuvuka hatua ya pili😕
@hajijumanne3876 жыл бұрын
Kiukweli unanipa material mazuri kaka asante kwa somo hili
@joelnanauka6 жыл бұрын
Haji Jumanne nashukuru sana Haji
@mildrednasimiyu35243 жыл бұрын
napenda sana unavyo vundisha
@petermdabwa1736 жыл бұрын
Nimejifunza Kwa mafundisho asante
@aminamassawe17685 жыл бұрын
Daaah hongera Sana kaka unatupa mafundisho mazur Sana...hiz stage kwa kweli niliishia stage ya tatu tukaachana kbx kwa sababu mtu alibadilika sana..na kwa Sasa Niko stage ya kwanza kbx sijui Kama nitafika hahahah namuomba Mungu kwa kweli
@lilykessy62846 жыл бұрын
Kuna stage kuvuka si mchezo jmn!Unajua umepata mume/mke badae unagundua ni jambazi hyo stage inayofuata ni ngumu kukubaliana🙆 Somo zuri sana yn🙏🙏🙏🙏
@khadijajuma71426 жыл бұрын
Lily Kessy 😂😂😂😂😂😂hiyo ngumu kumeza
@feithchilala63745 жыл бұрын
Unakuja kugundua mtu mbinafsi muongo baraha story alizokuwa anakupa mwanzo anazirudia tena tena zikiwa zimebadikika
@mimaryismail85005 жыл бұрын
Asnt kaka Joel mie nko kwny hatua ya pili kaka ang
@babalois72406 жыл бұрын
Nipo kwenye ndoa Kwa miaka kadha sasa,Ila siku zote nilikuwa sijui kama kuna hatua nazipitia,But baada kusikiliza Somo la MAHUSIANO duuuu. .. Nimefanya tathimin ya safar yangu yote ya Mahusiano,Aisee naona kama stage Zote nimepitia na Sasa Tumekuwa na mahusiano mazuri sana na Mke wangu, NA SASA TUMEKUWA TUNAFANYA KILA KITU KWA PAMOJA ..NA NAONA MAFANIKIO MAKUBWA SANA.. AS A STRONG TEAM. @Baba LOIS
@joelnanauka6 жыл бұрын
Justine Mrope hongera sana Baba Lois nawatakia kila la kheri
@lucianotodeschini Жыл бұрын
Niko hatuna ya 5,thanx bro
@aminamassawe17686 жыл бұрын
Mimi nilifikia hatua ya tatu nikaona niachane nayo kbx..ila kaka nimekupenda bure huwa unafundisha vzr Sana kiukweli tunaelimika...niliachia stage ya tatu kwakuw mwanaume wangu alibadilika Sana na mm sikueza kuvumilia nikaona niachane na mapenz Kwanza maana niliumia Sana Yan mnoo...mpk sahv naona Kama wote wako hivyo..ila nadhan kwasababu sijawahi kuumizwa ndio maana nimeumia Zaid...barikiwa kaka Joel
@mariammariam24756 жыл бұрын
Mungu anisaidie nipo kwenye atua ya kwanza kunamtu Nampenda sana ila yeye wakati wote yuko bize hiyo inanipa shida sana
@mamafadila78066 жыл бұрын
Nakukubali sana uko sasa
@realitycomplexitygoo4 жыл бұрын
Allah akubariki Leo ndo nimeelewa mara nyingi nimeishia hatua ya pili Leo nimejifunza kitu kikubwa sana
@mabexemmaxea8115 жыл бұрын
Mmmh!! Kwel Mimi nilimwacha hatua ya kwanza tuu(romans stage), hata ya pili atukufika Bros....
@azizsaleemz41346 жыл бұрын
Hongera bro kwa somo zuri
@Unknow94736 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@joelnanauka6 жыл бұрын
Ameen nashukuru sana
@meshackadam15213 жыл бұрын
Kaka Joel kwa mm ninaona nipo kwenye hatua ya pili , lakini nahisi hatua ya kwanza sikuona kwa sababu nilikuja kutambua mwanzoni kabisaa mwenzang alikua anamahsiano na mtu mwingine ,
@janethezekiel40576 жыл бұрын
Mimi nipo kwenye hatua ya power struggle stage
@brhchannel66186 жыл бұрын
Nice indeed Kaka Nipo kwenye Stability stage hapo.
@joelnanauka6 жыл бұрын
wow,hongera sanaaa
@hakiaman68593 жыл бұрын
Kiukweli mm sijui nipo kwenye stage gani mahana naona ya kwanza na ya pili zote zinaniusu kiukweli sijui nitafika Lin uko kwenye stage ya mwisho au niambie mtaharamu nilikosea labda nitafute mwingene ndo atakae nifikisha stage ya mwisho niwe free
@cornelykanje79624 жыл бұрын
Kaka joel samahani sana koz mimi napitia mahusiano magumu sana na mwenzangu ya kuhpmbana especially yeye ni mjamzito.
@lilianbenson57745 жыл бұрын
Asante kwa kweli mada ya pili inanipa changamoto.
@albertinemacimu12475 жыл бұрын
Daaah mi nipo kwenye hatua ya tatu maana kila kukicha unakuwa mwenyemaamuzi kabisaaa. Hadi unasema nimekomea hapa na kuchukia kila mwanaume duniani ila nashukuru kwamba kidogo navuta mguu kwenye hatua ya nne
@eliasluwela84986 жыл бұрын
nice one I'm on the 1st stage br
@maryraphael78106 жыл бұрын
mmm,asante sana,nimejifunza kitu,niko stage 2,,
@joelnanauka6 жыл бұрын
safi Mary hongera kwa kujigundua
@maryraphael78106 жыл бұрын
sijuti kukujua kupitia online, umenifunza mengi,Mungu tu atakulipa kwa namna ya kwake yeye anavyojua,sasa hivi sintapata shida huko mbeleni kwenye mahusiano/ndoa yangu,maana nimeshatambua
@mwanamkasihabibu99156 жыл бұрын
Mie nataman haya ya kwanza ijrudue nmejfunza hongera kaka
@patelnay41242 жыл бұрын
Ila naamini Sasa nikiingia kwenye mahusiano mengine,nitakuwa nimejifunza, asanteee sana, ubarikiwe Kaka Joel
@royalmirage20053 жыл бұрын
Thank you for good information
@mussajabiry38913 жыл бұрын
Mm nipo power struggle
@GodahMartin6 жыл бұрын
great information ka mkubwa!
@gloryasenga34415 жыл бұрын
Nimekuelewaa Sana Kaka
@bintiiddy70436 жыл бұрын
Duh me mahsiano yangu huwa yansishia hatuwa yapili tu huwa napata tabu sana
@aash41452 жыл бұрын
Ama kwel stage by stage, mapenz
@gorgonusshayo9206 жыл бұрын
Asanteeeeee . mi nipo stag ya 3 , but ya 2 nusura tuachane
@alexdamian78696 жыл бұрын
Daah hyo namba mbili inawatesa wengi .
@jamesford52194 жыл бұрын
Mimi mahusiano yangu yamevunjika juzi,nafkiri yamevunjikia hatua ya 2,maana nlikuja kugundua mpenz wangu hakuwa na future yoyote,pia ni mbishi sana na ananijibu anavyotaka,apo nikijaribu kumrekebisha anakuja juu,ckuwa na jinsi mahusiano yalivunjika,
@joelnanauka4 жыл бұрын
James Ford pole sana,naamini kuna kitu umejifunza.Unaweza kutafuta pia video yangu nyingine niliyoelezea hatua tano baada ya mahusiano kuvunjika.
@jamesford52194 жыл бұрын
@@joelnanauka pamoja sana mkuu
@mrugamhono94516 жыл бұрын
Aisee nmependa sana nam nmepitia hayo ila nmefka ya tatu
@joelnanauka6 жыл бұрын
mruga mhono hongera sanaa
@immajmganga61585 жыл бұрын
Uko vizuri kaka
@magmjuni57806 жыл бұрын
Unatufungua sana Joel, tunaweza kukupata kwamitandao mingine?
@ninirogers69974 жыл бұрын
Brother ubarkiwe xna kwa hili somo. Mm ni hyo stage ya pili kabisaa
@yohanamagele36336 жыл бұрын
Wow great advice
@rosashy50766 жыл бұрын
I preciate u kaka .u opened ur minds
@joelnanauka6 жыл бұрын
Rosa shy thanks Rosa
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Ahsante
@shaibumahanda65016 жыл бұрын
Nipo kwenye struggle stage sema mwenzangu namuona kashaingia stability ila hapo nilipo nimeona kalbia mahudiano yafike mwisho lakn nilikomaa na mwezangu alikuwa ananiambia mbona nimebadilika sana??lakn naona kashaaza kunizoea nitaidalodii hii kwa ajilii ya kusikilizisha ilii iweze kutusaidia kuvuka hiii stage iliyongumu sana allah akubaliki kk joel
@joelnanauka6 жыл бұрын
Shaibu Mahanda ahsante sana naamini itawasaidia sana
@shaibumahanda65016 жыл бұрын
Mungu n mwema akielewa kama mm nilivyoelewa itatusaidia sana na kufanya tufikie maamuz sahihi kwa wakat sahihiii thank you brother joel
@babuudamki43396 жыл бұрын
mmmhh aisee nilifika hatua ya pili yakanishinda
@goldmaster66396 жыл бұрын
baba nipo hatua ya kwanza yani Romans stage na ninamalengo na imani kwamba tutatafuna stage zoooote kikamilifu kwasababu God anapenda tunacho kifanya
@EvalineSabato8 ай бұрын
Inachukua muda gani kitoka stage moja hadi nyingine?
@deborahmakwega64202 жыл бұрын
Choose to love 4
@tuntufyekapesa39016 жыл бұрын
the best lecture ever
@joelnanauka6 жыл бұрын
Tuntufye Kapesa thanks sana Tuntufye
@mariaemilian58396 жыл бұрын
Mwalimu hauna group
@aronrwebembera33066 жыл бұрын
A'm me kwakwel Kaka Joel nipo ktk stage ya power struggle na inanipa wakati mgumu sana kwakwel na ndoa bado nifanyeje ??? Kaka Joel
@christianmaterials41756 жыл бұрын
Choose to love (marriage) hadi muda tunafanya vitu as a team. Kila kitu ulichoongea hakuna ambacho sijapitia. Na vyote ulivyosema ni vya kweli.
@isaaclee55575 жыл бұрын
Asee bro mimi cjawahi kumaliza hata hiyo atua ya kwanza naomba nipe ushauri hebu yan celewii hata nakwamaga wapiii
@yohanajoshua78816 жыл бұрын
Ahahah n kwel Kabisa Romance stage
@safimusa10116 жыл бұрын
Duuuh!!! Kaka nanauka asantebkwa mosomo yako Mie napenda zana kuchart sana na partner wangu
@doreenkanje77176 жыл бұрын
Bro thanx nimejifunza kitu
@joelnanauka6 жыл бұрын
Doreen Kanje karibu sana Doreen
@georgewilliam73196 жыл бұрын
thanks papaaa...
@joelnanauka6 жыл бұрын
Karibu sana George
@raginauthor18816 жыл бұрын
Niko hapa, nafuatilia somo
@sarahkiango13404 жыл бұрын
Jaman hiyo stage ya 2 inanicost
@allanjulia34696 жыл бұрын
.najifunza
@titonimu42913 жыл бұрын
Very good teachings
@happynessbigili60012 жыл бұрын
Your blessed brother, thanks for your teaching
@khamiskhamis53236 жыл бұрын
We fundi 👍🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@jobmaclean53826 жыл бұрын
Mimi nipo stage ya 4
@dicksongadson22233 жыл бұрын
mi.nipo atua ya kwanza lakin inanipa changa moto sana nifanyaje??
@nevilymaro25264 жыл бұрын
Asantee sana
@kfastak5 жыл бұрын
Duh! Mimi mwenzenu hata sielew nipo hatua yangap ...!
@gerardamos56894 жыл бұрын
Romance stage kaka
@shanimwinuka95504 жыл бұрын
Asante bro
@beautychannel70926 жыл бұрын
I hope ntakutana na hatua hizo kabla ya ndoa maaana sipendi majuto mm
@joelnanauka6 жыл бұрын
Urembo Asili kila la kheri
@nurdinimndeme29126 жыл бұрын
haha ' kabisa
@stevenkwahhe50284 жыл бұрын
Safi mrembo
@abelhilonga1095 Жыл бұрын
Eti sio mweusi ni mweupe mweupe mapenzi bana😂😂😂😂😂😂😂😂
@jenifertati6776 жыл бұрын
Hio hatua ya pili mbaya sana ndio inayonitesa mm kwa sasa
@hakiaman68593 жыл бұрын
Kiukweli unatujenga bhana
@anethisack86736 жыл бұрын
Me nahisi Niko stage ya pili maan ni hatariiii mnooo
@emmanuellaizer45486 жыл бұрын
shukrani sanaaa;;;;~
@joelnanauka6 жыл бұрын
Emmanuel Laizer Karibu sana Laizer
@justinecanisius54295 жыл бұрын
Good
@mwanaheriomary73335 жыл бұрын
Asnt, maana naishiaga ya 2 tuu
@omaryenock82036 жыл бұрын
Uko sahihi sana
@joelnanauka6 жыл бұрын
Nashukuru sana Omary
@mariambeauty48846 жыл бұрын
wanifurahisha mbayaa😂😂
@joycelaizer46006 жыл бұрын
hapo kwenye stability stage huwa inanishinda sn... siwezi kustahimili