Awamu ya sita wakuu wa mikoa wakula bata tu, hakuna kazi wanayofanya,zaidi ya kucheza pull table,
@victormtani71702 жыл бұрын
Magufuli alikufa kwa sababu Kikwete hakupenda Uongozi wa ukweli na yeye atakufa tu Msoga muuaji na genge lake. Magufuli alikuwa anaweka watu wa kuongoza wachapa kazi siyo km huyo bibi Tozo anavyo tuburuza Watanzania anaweka washenzi wezi vibaka waliokuwa wamefukuzwa na Magufuli
@salummohammed3241 Жыл бұрын
Stress hizo zinakupelekesha
@ahamadarashid8797 Жыл бұрын
UNA USHAHIDI???
@josiacharles27787 ай бұрын
Mtu alikunywa drisha 😂
@sebaskibiki48366 ай бұрын
Mtu kazima! Suo mchezo
@shukuruezekiel19882 жыл бұрын
Duu kweli mwanile angekuwa raisi sijui tungekuwaje viboko vingeahusu wasio penda kazi
@alluminiumexperttz.12mview132 жыл бұрын
Huyu apewe form ya urais 2025. Hata akisimama peke yake anachukua
@amanmwalyambi141611 ай бұрын
Nilikuwa nampenda mwanri
@mathayocharles54492 жыл бұрын
Mzee huyu namkubali mpaka naumwa
@HalidMuhammad-gi9qy Жыл бұрын
Hio safi ujinga na uzembe hta Kama unacheo
@jaybinmwinyi59182 жыл бұрын
Hongera sana mwanrri kwa kazi bora unayoichapa big up, , , , moto wa kuotea mbali..💥💥
@majaliwarobert77092 жыл бұрын
Naomba es
@newforcejv97215 жыл бұрын
Huyu Mzee ni Moto wa Tipa
@jacksonjacksonjacksonjacks98792 жыл бұрын
Mzee una tumia nguvu nyingi sana kuongea daha pole sana mzee wetu 2022
@gabrielmdem4271 Жыл бұрын
Usiniangarie Kwa huruma sio mchezi majembe ya magu haikuwa kitoto kazkz
@theonlyonebeautiful37265 жыл бұрын
🤣🤣🤣I loooove this guy,kweli simba huzaa simba magu hoyeeeeee
@aloycendalu68672 жыл бұрын
Hongera sana unanibaliki muno kamaumeokokavile
@nestgrammyz54755 жыл бұрын
Eti Amekunywa hili 😂 😂
@robertj.44842 жыл бұрын
Amekuywa dirisha... 😂😂😂😂
@robertj.44842 жыл бұрын
Songombingo na kitimutimu make, Mzee anachachafya vumbi kabisa huyu, daaah!!
@kilimanjaro77international269 ай бұрын
Huyu mwar namuita BLACK MAMBA
@ancomagu31555 жыл бұрын
Huyu ndie RC MWANRI eti
@emmanicko15352 жыл бұрын
NANI AMEKUNYWA DILISHA🤪😀
@aronpaul23312 жыл бұрын
Amekunywa diliaha 🤣🤣🤣🤣
@sophiapeter555211 ай бұрын
Hahahahahaha
@PrissilaHussein-og3cg Жыл бұрын
Eti amekunywa dirisha haha
@paulmuchu90952 жыл бұрын
Soma hiyo
@aronpaul23312 жыл бұрын
Amekunywa dilisha 🤣🤣🤣🤣injinia anatia huruma
@pepchallanga36262 жыл бұрын
RIP Magufuli
@aceofspades37282 жыл бұрын
Mzee mwanri😂😂👍
@aronpaul23312 жыл бұрын
Nyieee😂😂😂😂mtakomaaa mbonaa
@amriharuna42364 жыл бұрын
Usiniangalie kwa jicho la Huruma
@josephatjohn23905 жыл бұрын
Utakuja kuua Babuu
@omaryshafii505 жыл бұрын
Alafu yule mama hana utaalam wowote
@amranisongoro34972 жыл бұрын
Amekunywa hili
@majaliwarobert77092 жыл бұрын
Naomba es
@ramadhanjuma11842 жыл бұрын
Daniel mgogo
@mubarakahamis22595 жыл бұрын
Nomasan
@vitusgeraldo22825 жыл бұрын
Fyekelea mbalii hao
@keffajacob89522 жыл бұрын
Hivi kuna mtu anaitwa bibi tozo🤣🤣🤣🤣
@busnaoman99812 жыл бұрын
@Mtanzania Halisi ndio walewale mn unamvaa Kila anaeuliza swali hovyoo👌👌👌👌
@oscarmachume88862 жыл бұрын
Dah kweli mzee
@adijajuma49785 жыл бұрын
Sukumaa ndani hao
@joxevictus37204 жыл бұрын
Kioja😁😁
@hasanially92945 жыл бұрын
Nishidaa
@salmaiddy60595 жыл бұрын
Sweka ndani
@ericktweve54775 жыл бұрын
Fyekelea mbalii
@moshielfesty79922 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@salmaiddy60595 жыл бұрын
Hahahaha kazimia hahahahhaaaa
@husnangalawa21374 жыл бұрын
Atakuja kuuuwa huyu mzee😀😀
@theonlyonebeautiful37265 жыл бұрын
Safi uzembe umezidi Tanzania wakomeshe wote wajue nafasi zao
@hamadyussuf53074 жыл бұрын
Mzee unawazalilisha wenzio
@samwelshaban39782 жыл бұрын
Hawa ndio viongozi 2naowataka Tz
@samwelsimon73922 жыл бұрын
Wanajizalilisha wenyewe
@happykimaya27625 жыл бұрын
Safi kabisa walizoea
@flova70222 жыл бұрын
Utaratibu WA kumsimamisha mtumishi haupo hivo...mwanasiasa hata mandatory power ya kumsimamisha mtumishi.. na ni udhakilishaji ambao ni kosa kisheria kufanya huo upuuzi
@josephatmassae73162 жыл бұрын
Ulitaka ufwate utaratibu wa nini wakati umeharibu kazi kwa uzembe wako!! Labda kwa tamaa zako binafsi sasa unataka awabembeleze!! Ndo maana akasema wasimame kazi uchunguzi ufanyike wakikutwa hawana hatia watarudi kwenye shughuli zao!!
@thomasmartinez7862 жыл бұрын
Wee nae mjinga kweli hujui kitu
@flova70222 жыл бұрын
@@thomasmartinez786 wewe ndio mjinga na hujuii... Pengine hujui sheriaa za utumishi na mipaka ya wanasiasa nenda ofisi ya utumishi kajifunze. Shida za watu msio jua sheria za utumishi omba ufundishwe ndugu yangu.usikae kusema mjinga...kumsimamisha mtumishi hadharani hiyo haipo kwenye ofisi zetu za utumishi na ni kosa la udhalilishaji..nukuu speech ya mama. Ummy avokuaa tamisemi utajuaa nachosema hususan juu ya Madiwani...pia unapaswa kujuaa mipaka na kazi ya Kila kiongozi ndio utaelewa hili
@hindisaidi50972 жыл бұрын
Jifunze kuelewa maudhui kwanza...hapa hajafukuzwa mtu kazi , wanachunguzwa tu.bado waajiriwa lakini kasoro ziliopo "dhaahiri" ni kubwa!
@flova70222 жыл бұрын
@@hindisaidi5097 weww ndio hujanielewa sijaandika kufukunzwa hapo.. nimesema Hana mandat ya kumsimamisha hadharani hivyo ni kosa kisheria. Kuna taratibu zake usitumie mihemko kujibu