Nampenda sana Huyu kiongozi! Ktk viongozi Bora kuwahi kutokea
@knyndsknyds86873 жыл бұрын
Mungu wa tawala na falme zote ampe maisha marefu huyu baba
@taifakubwa42993 жыл бұрын
Ngoma ya DAKU, DAKU KULA.... kama umeskia iyo gonga like 😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂😂😂😂
@papycatalog65783 жыл бұрын
Mimi nazani walipo mtoa na walipo muweka rc mstafu wa tabora , Mimi nazani alitakiwa apewe uwaziri flani au apewe mkoa mwingine Ni kiongozi mzuri mwenye ueledi mkubwa kwenye uongozi
@rambostalon2888 Жыл бұрын
Kweli ndugu wangempa uwazili sema nchi hii ya wapigaji sana
This man deserves a ministerial post! He loves his country and he is very serious when it comes to work.
@jimmykimotuo80653 жыл бұрын
He really deserves so
@jonathanakhabuhaya16933 жыл бұрын
Mimi pamoja na watu weeengi tunakupenda sana Bw.Mwanri. Naomba Mh. Rais akupatie cheo kikubwa zaidi Serikalini. You are serious and frank
@samwelmasunga96323 жыл бұрын
Ni mtu sahihi kwa Uhamasishaji huyu mheshimiwa.
@rashidibwire4293 жыл бұрын
WE LOVE YOU SO MUCH MWANDRI
@robertkayombo14833 жыл бұрын
Daaaaa agrey mwanri kutoka kwenye siasa ni great loss
@ameedamilja79923 жыл бұрын
Mwanri, Nenda Misri Ukaone vile pamba ya kiwango cha juu inayotegemewa duniani inavyolimwa then leta ujuzi huo Tanzania, utafanikiwa kuikomboa Pamba Tanzania.
@simonpure1093 жыл бұрын
Tena waweke kambi ya vijana Kama ile ya Israel wakati ule!!! Unisex camps, my people are sin sick seriously...hapa kazi tu🤣🤣🤣
@hamismabula58133 жыл бұрын
Mwanri ww ni burudani tosha kbs! Una kipaji!
@christophertarimo50473 жыл бұрын
MWANRI UNGESTAHILI URAIS 2040🤣🤣
@zakstv73683 жыл бұрын
I miss daddy 😒I'm so happy to see you again nimependa hiyo dua😂😂😂😂
@halimajamaniamekuwamndeme96173 жыл бұрын
Mwanri unaimani sana Wulaya ya siha tunakukumbuka sana ulivyokuwa Mbunge wetu, pia unautuu Mkubwa, nilifiwa na mama angu mzazi mwezi uliyepita na ulitupa mchango Mkubwa sana, mungu akupe maisha marefu mkuu
@e-mzambuli66473 жыл бұрын
Yan ayo msiache habar za uyu azichoshi
@jacksonjanet98463 жыл бұрын
This guy should be President of Tanzania.Rip JPM
@alhajimaziku93993 жыл бұрын
Nakagonga Kama Ngoma ya daku nan kainyaka Kama mm
@jimmykimotuo80653 жыл бұрын
Kwann Mama asimpe Cheo jaman?
@suleimanrashid39183 жыл бұрын
Sasa nishapata kiongoz wa kufuatilia habari zake maana tokea huyu jamaa atoke kwenye siasa nilishindwa kufuatilia habar za viongoz maana hua sielewi wanacho kiongea. Apa naona ni km man U ujio wa Ronald
@gervaswmigayo3863 жыл бұрын
taifa letu,linahitaji watu,kama hawa akisema tunamwelewa sana kuliko,baadhi yawengine tena,wananyazifa za,juu,kabisa lakini hawajitambui,kwa nyazifa zao hawajui lolote hiz saut,tumezimis,sana jamani,mpeni uwazili hata wa,kilimo umwangalie,pia chalamila naye,nijembe,letu gwajimaboy na polepole inchi itakimbia kiuchumi sana,
@othmanshahib11153 жыл бұрын
Mama sijui hamuoni huyu apewe wizara ya mambo ya ndani
@mossesmuumba3503 жыл бұрын
Hilo tangazo bwana mda mwingine lina kera braza kaka
@beatricelewanga13763 жыл бұрын
Silipendi kabisa likianza tu nasogeza mbele Palm village....,...
@emanuelgavile35033 жыл бұрын
Tlikupendaa
@mangeo25623 жыл бұрын
SACP KIONDO NA AGGREY MWANRI SAFI SANA MKO VIZURI
@r14kgroup683 жыл бұрын
Safi sana
@wellbrand34153 жыл бұрын
Nafurahi kuiona Serikali ikimtumia Mh. Aggrey Mwandri... Ni kiongozi wa maono sana...
@punchlinetz3 жыл бұрын
This guy is smart & funny 😊
@erickdeodati57703 жыл бұрын
Huyu mtangazaji anaboa sana yaani anaanza kutuadisia kitu ambacho kinasemwa tena na muusika punguzeni maelezo
@maikomwaryobawaryoba38043 жыл бұрын
Natamani huyu mzee aje awe rais wa Tanzania
@patrickutouh63073 жыл бұрын
Uyu mzeee nampenda sana tunamuomba mama samia amrudishe ampe mkuu wa mkoa jaman dah! Uyu father ana vitu adimu sana sana sichoki kumsikiliza dah! Kiongozi mchapa kazi alafu anafundisha piah👏👏
@patrickpeter18003 жыл бұрын
Hyu tyl ashasitafu ko kaz kashafanya huu mdawake kpmzuka
@aishaalbalushaishabalush82913 жыл бұрын
kwanini huyu baba alitoka kune mkuu wa mkowa ???? jamani munao juwa mnifahamishe
@hassanparamana22153 жыл бұрын
namtia konzi ndi ndi ndiii ntii ntiii ntiii kama ngoma ya daku...daku kulaaa daku kulaaa 😂😂😂 engineer soma hiyoooo hupo vzr father.
@hamisjuma75733 жыл бұрын
Njoo na mwakitolyo ww utoe elimu hiyo
@djmatia23133 жыл бұрын
Wamuache apumzike ..atafanyaje kaz na corrupted government
@sebmalunde59453 жыл бұрын
Dah Mwanry bado anatufaa sana ktk uongozi. Baba yetu Mwanry, Kuanzia leo nakuita Balozi Wa Zao La Pamba
@shafimuhsin76853 жыл бұрын
Maneno mazima mh Mwanri nakukubali sana mzee wa somaaaa iyo🤣🤣🤣
@ambakisyemwanjemba57873 жыл бұрын
Tulimmiss mzee wetu la!
@lanlady25043 жыл бұрын
millard hili tangazo la palm, liweke mwishoni basi, najua ni sehemu ya kipato chako bt plzzz, liweke mwishoni