TATIZO Huyu mtangazaji HAJASOMA HAFUATILII MAJIBU ANAFANYA MAKUSUDI KATUMWA NA BWANA WAKE MPUUZI HUYO.
@wazomyakinifu23014 ай бұрын
Mtangazaji hujitambui kikazi. Hujui kuuliza maswali na pia si msikivu. Upo kiHiyo zaidi hapo
@MasungaNekwa4 ай бұрын
Safi sana Lisu majibu yako ni kweli na sahihi shida ni katiba mbovu na ujinga wetu kuwa mtaji wa watawala wa ccm
@galamwendagalikunga85873 ай бұрын
Huyu mzee hv akili yake inatunza kumbukumbu kiasi gan.....hasahau kitu ...Mungu mjalie maisha marefu
@ephraimkabeya96484 ай бұрын
Nyanda kaa vizuri kwenye mahojiano. Weka uwanja sawa, toa nafasi upate majibu yaliyokamilika ndipo ulete swali lingine tafadhali
@AlfredAlfred-yd2mg4 ай бұрын
Mungu akupe nguvu lisu tumechoka na dhulma
@AbdallaMwagora-sm1rj4 ай бұрын
Ningekua mm ninge toka Kwenye hiyo interview.masna huyo mtangazaji ni muoga .nikama anakwepa masaibu ya Lisu.
@xaverymakwi4 ай бұрын
Rais Mwinyi 1976 alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani alijiuzulu kwa kile kilichoitwa mauaji ya Shinyanga maarufu kwa weka pilipili changanya na maji. Baada ya hapo aliweza kuwa Rais wa Tanzania. Je angebaki kuwa na kosa lilelile hata baada ya kujiuzulu?
@ZephaniaMwailugula4 ай бұрын
Tundu upo vizuri kaka
@Gilbert-w9e3 ай бұрын
Mtangazaji mbobevu sana uyu. Nakukubali sana kwa mahojiano mkabala yasiyoacha mwanya katika platform zako zote! Tunahitaji mwandishi mahiri. Itapendeza kupata mahojiano mkabala zaidi na viongozi mbalimbali kataka The Big Agenda
@leahmgunda41544 ай бұрын
Kumhoji huyu mtu unatakiwa unywe uji wa lishe unyooshe miguu ujitie nguvu ndipo ushinde.
@onetwo129813 ай бұрын
🤣🤣🤣
@christinenyagiro66624 ай бұрын
Wote hao ni wanafiki sana. Na Tundu Lissu hana unafiki ndani yake. Na Mungu ambariki sana katika maisha yake kwa sababu yeye hana unafiki hata chembe. Yuko katika kusaidia wanainchi na anapigania Inchi yetu Tanganyika.
@josephsamwel81454 ай бұрын
Mpe mtu nafasi ajibu maswali vizuri
@samasob82334 ай бұрын
Mwandishi wa habari anauliza maswali halafu anaogopa majibu, katisha katisha majibu kila wakati, interview gani sasa hutoi nafasi ya mgeni wako kujibu maswali ?? Inaonekana kama mwandishi ameruhusiwa na chama chake au watu fulani kupaka watu matope, kakutana na mwamba!
Huyo ndio mwanaume Antipas Tundu Lissu Laiti Watanzania wangempa nchi japo mara moja pengine wangejilaumu ni kwa nn walichelewa kufanya hivyo
@PaulKabungo4 ай бұрын
Kwa haya mambo ukiweka uccm na chadema huwezi Pata point
@GodwinIssack4 ай бұрын
Ndugu yangu Nyanda nafahamu uwezo wako wa kiweledi ni mzuri tena usio na mashaka, suala la kushambuliwa kwa Mhe. Tundu Antipas Lissu, lipo wazi kama anavyo elezea yeye mwenyewe wala usipate shida ya kumwelewa.
@AbdallaMwagora-sm1rj4 ай бұрын
Huyu mtangazaji hana tajriba ya mahojiano ange mpa mtu nafasi ya kumaliza mahojiano.
@experiusmrefu10034 ай бұрын
Nyanda ni pure CCM😮
@nanguniMtaita-hz4zt4 ай бұрын
Hapana; Nyanda aweza asiwe.Chama cha wapuuzi, lakini.ni mwoga. Anawaogopa.akima.Nape na machawa wa chama tawala. Nyanda woga wako kwamini ulimwita Lissu wakati huna.uwezo kumsikiliza? Usije dhania sisi ni Chadema.
@WmareteMarete3 ай бұрын
Toka hapo we mnafiki! .Mbona huridhiki na majibu? Unamlinda Nani?
@EmanueliThomas4 ай бұрын
Jibu sahihi ni kwamba siyo kweli CDM hupokea mtu yoyote kama ana mvuto bia kujali maadili kwa lowasa kosa lake Iko kimfumo ambayo kwa CDM asingeweza kupata
@beinafuu62194 ай бұрын
Mnavyoviandika hata havina usiano na kilicho semwa na lisu
@SaidMrisho-du1fm4 ай бұрын
✌✌✌
@petsmore99554 ай бұрын
Huyu mtangazaji ni feki tena lichawa likubwa. Sijui amesoma wapi hiyo taaluma yake. Anauliza swali halafu badala ya kutoa nafasi ya majibu sahihi yatolewe kwa kina anavuga tena hayo majibu. Ni akili kweli au tope?
@natafutamatatizo43824 ай бұрын
MTANGAZAJI KAMA MWANAMKE, HAELEWEKI NA HAJUI ANACHOKIALIZA AKAJIFAHAMU🤣🤣🤣👀 MTANGAZAJI NI BANGI TUPU👁️👁️
@ramadhaniomarishauri99054 ай бұрын
Nchi Imrkuws Ya Kikuma Sana, Sasa wewe mtangazaji unamaswali ya kutumwa..acheni ujinga Star Tv
@PaulMhufu4 ай бұрын
😮 bbh
@gowekogoweko58034 ай бұрын
NYANDA MWACHE LISSU AKUELEWESHE ANAYOYAFAHAMU
@alextarimo49723 ай бұрын
Mwandishi kasome huna iq kabisa
@rasnchimbi4 ай бұрын
👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
@FortyMwamba-kq5js3 ай бұрын
Kenge umetumia picha ya kikeke wakati sio yeye,,fala wewe
@mbukumagiubukumagu4064 ай бұрын
Wazungu wamepiga hela kiurahisi
@TomasiklistophaMwinuka4 ай бұрын
Kiukwer mahakama zetu zinapewa maelekezo nawatu sio kufata Sheria nishida sana
@George-jz3jg4 ай бұрын
Hapo kwenye kufanya utafiti ndo chenga inapoanziaga hapo uhuni wa chadema na uchafu wa chadema ndo ulipoanzia hapo. Issue ya lowasa kugombea urais kupitia chadema huo ulikuwa uhuni tu na utapeli tu tunachokijua hapo nyie mlikikodisha chama kwa lowasa na mlimpa lowasa chama kwa pesa ndefu sana. Na hamjawahi wataja waliohojiwa na hiyo timu ya watafti
@MichaelJoashi4 ай бұрын
Hiki kichwa ukikaa nae kwenye mjadala ujipange
@eliasmedutieki75784 ай бұрын
Hongera Nyanda
@MoinaminaAmina-qh1jb4 ай бұрын
acha ubaa wako makonda anafanya kazi nzuri Arusha kama alivio fanya dar es Salaam wana nchi wanafurahi sana jinsi anavowahudumia kama mh Ali hapi alivo wahudumia wana nchi wa iringa
@MoinaminaAmina-qh1jb4 ай бұрын
Tundu lissu ??? leta Kabila Yako tuijue ya Halima mdee inajulijana kwanzia walio zaa mababu yake lakini Yako haijulikani Tanzania kuna Kabila 124 Yako niipi ??Kati yahizo Kabila Mia na ishirini nane ???
@godamc3 ай бұрын
Lissu mnyaturu
@MoinaminaAmina-qh1jb4 ай бұрын
Kama wewe unavotaka kuharibu taifa
@BonaBonala-bp5qm4 ай бұрын
Kwaujuwaji wako na ungwana wako awakuwezi kwa point zako na pia wewe sio mwizi kama ma ccm wakoloni Weusi kwa sasa wauza bandari za tanganyika
@emanuelsinyinza4 ай бұрын
Tundu lisu hayupo mwandishi mwenye uwezo kuhoji asijibiwe naweza kusema hayupo mwenye skili ya hali yajuu tanzania yote ukianzia visiwani hadi bara.
@emanuelsinyinza4 ай бұрын
Wandishi wa habari habari zao zinaandaliwa na wizara ya habari hata sisi darasa.la saba hatusomi magazeti yenu watu wanasoma kwa sababu ya michezo.
@emanuelsinyinza4 ай бұрын
Poa
@GodwinIssack4 ай бұрын
Yeah kwa Ulimwenguni hayupo mwandishi wa namna hiyo.
@rebekakulwa61594 ай бұрын
We lifisiyemu achana na lisu akili kubwa
@TomasiklistophaMwinuka4 ай бұрын
Mwandishi huyo wahabali ametumwa mbona mbishi sana
@TomasiklistophaMwinuka4 ай бұрын
Tunashukur Tundu Lisu kwakutusemea nchi hii imejaa viongoz wetu wezi mno niwezniwez wakutisha
@ramadhaniomarishauri99054 ай бұрын
Mnamuita Mtu Ku interview halafu Hamtaki Majibu yake...
You are a righteousness man and a hero of Africa may the Lord the God of armies bless you big up Mr Lisu
@joshuaswai82034 ай бұрын
Wanajua wewe ni mwanaume usieshindika hata kwa risasi Akili kubwà ya tz risasi ziligonga mwamba kwako kwa sababu Mungu yuko upande wako
@joshuaswai82034 ай бұрын
Wanajua wewe ni mwanaume usieshindika hata kwa risasi Akili kubwà ya tz risasi ziligonga mwamba kwako kwa sababu Mungu yuko upande wako
@emanuelsinyinza4 ай бұрын
Mtamgazaji usiwe mnafiki.kwanini hutaki kuelewa.
@elibarikimollel71494 ай бұрын
Wewe mtangazaji unataka majibu au unatafuta Lissu anashindwaje mbona unachimba ruzuku ya mtego wakati hawategeki?! Ccm watumie mabavu lakini uongo una mwisho
@NardhisMhagama-sy3eq4 ай бұрын
Hata mwinyi alitubu akapewa uraisi
@IddyMustapha-tj4du4 ай бұрын
Lisu ni jinias wanamuogopa atawaaibisha kinoma nomaaaa
@hafidhnzota21424 ай бұрын
HUYU anauliza Swali la kupigwa risasi, Huyu Msenge KWELI yeye HAJUI mfumo Huyu
@shizoshop24694 ай бұрын
Eti magufuli alikuwa na kingereza kibovu kibovu sana😂😂😂😂😂😂
@hafidhnzota21424 ай бұрын
Wee Msenge mtangazaji UNAPEWA MFANO unakataa kwa Nini?
@yokoi39704 ай бұрын
Msenge tena shoga ana cheka kma fala. Mshamba sana
@allonjoseph54674 ай бұрын
hakuna msenge kama ww unae tukana shoga ni ww
@yokoi39704 ай бұрын
@@allonjoseph5467 imekutouch eeeeh ndio tabia zenu kuwaswa waswa.
@George-jz3jg4 ай бұрын
Mwandishi ningepata namba za tundu lissu nimwambie ukweli namna anavyojichafua na na hiyo habari ya lowasa kugombea urais kupitia chadema
@elibarikimollel71494 ай бұрын
Wewe George unatokea wapi? Tundu lissu anajichafuaje wakati kuna kana miaka 7 mbele tangu Lowassa ajiuzulu na chama kilimpitisha mapapa wakagoma ndipo Slaa akampokea?!