Part 3_USHUHUDA WA MTANZANIA ALIYEKUFA NA KUFIKA MBINGUNI KISHA KUREJEA DUNIANI

  Рет қаралды 79,204

PROMOVER TV

PROMOVER TV

Күн бұрын

Mawasiano ya mtoa ushuhuda mpigie kwa namba:+255743443230 Au +255 719 024 564
JIUNGE NA MAGROUP YETU YA WASAP KAMA UNGEPENDA KUWA MCHANGIAJI WA KILA MWEZI KAMA IFUATAVYO:-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 279
@leahenockmrina5381
@leahenockmrina5381 2 жыл бұрын
Ushuhuda huu nilishausoma sasa nimeisikiliza na kumuona mwenyewe kupitia promover na mtumishi Jactan Msafiri mbarikiwe wote imenupa nguvu ya kuzimu kutengeneza maisha yangu na kuwasaidia wahitaji na kufanya kazi ya Mungu na kusoma neno la Mungu na kulitafakali na kuliamini na kuliweka kwenye matendo na kubatizwa maji mengi nk
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@harrietkiden7808
@harrietkiden7808 Жыл бұрын
Very young Pastor, but deeply rooted in Jesus👏🏼👏🏼🙏🏽🙏🏽
@favouredbygod4163
@favouredbygod4163 3 жыл бұрын
Jactan na timu yako mnafanya kazi kubwa ya Mungu kuwafikishia watu wa Mungu ushuhuda wa matendo makuu ya Mungu. Msisahau kuombea kazi hii maana adui hapendi. Ushuhuda ni silaha kubwa ya kiroho kwa watu wa Mungu maandiko yanasema walimshinda kwa damu ya Mwanakondoo na kwa neno la ushuhuda wao ambao hawakupenda maisha yao hata kufa 🙏🙏🙏🙏🙏
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
Amen,tutazingatia
@jumakusekwa9499
@jumakusekwa9499 3 жыл бұрын
Msafiri uko vzr ktk ku interview
@luciajmikindo5934
@luciajmikindo5934 3 жыл бұрын
Amina kwa ushuhuda mzuri.
@dismashaule8756
@dismashaule8756 3 жыл бұрын
MUNGU akutie nguvu kufanya kazi yake
@mwambakibucheche1119
@mwambakibucheche1119 2 жыл бұрын
Ushuhuda huu umetufungua wengi sana. Mungu awabariki sana wapendwa
@magrethedson7445
@magrethedson7445 3 жыл бұрын
Ninawaombea watazamaji wenzangu waliosikia na kutazama ushuhuda huu mpaka mwisho, wote kwa pamoja tumwamini huyu Yesu Kristo kwa kumaanisha maana yeye ndiye njia pekee ya uzima wa milele, ili siku moja tukaishi naye katika ule Ufalme ujao.
@carokobaai5372
@carokobaai5372 3 жыл бұрын
A big amen, tumebarikiwa kabisa na tumejifunza mengi amen.
@annstersianganga6772
@annstersianganga6772 2 жыл бұрын
Kwa yoooote nasema Mungu atukuzwe asante kwa kushea ma sisi. No mimi kutoka Kenya
@queenmwaweya9691
@queenmwaweya9691 2 жыл бұрын
Mungu akubarik mtumishi kwa ushuhuda mzur umefanya niipende kazi yamungu na niifanye kwa bidii mungu nisaidie kumaliza vyema kama nilivyoanza
@barakamanu1514
@barakamanu1514 2 жыл бұрын
asante kwa ushuhuda ndugu Jacktan. Nimetiwa moyo kwamba alipokuwa anajitoa kuwafundisha wengine Neno, mbinguni walifurahia na kunakili juhudi zake zote. Hata wewe Jacktan ujue kwamba unachokifanya kinathaminiwa sana mbinguni. Tungesubiri wachungaji pengine wasingewapatia watu hawa muda wa kutosha kama unavyofanya.
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@eunicepilly802
@eunicepilly802 3 жыл бұрын
Nimejifunza sana Mungu anisaidie ubarikiwe sana Mtumishi
@frolacharles6788
@frolacharles6788 3 жыл бұрын
Mungu Akubariki sana nimejifunza vitu vingi sana
@paulinekamau7618
@paulinekamau7618 3 жыл бұрын
Nimejifunza kusaidia wenye hawana au wanaotuomba msaada tuwasaidie.mungu tusaidie kusaidia.namalipo ni hapa hapa.
@tatumluv6054
@tatumluv6054 3 жыл бұрын
Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@Shalom2018
@Shalom2018 3 жыл бұрын
Mungu atusaidie tuishi maisha matakatifu yanayo mpendeza yeye, ubarikiwe kaka endelea kumuamini na kumtumikia Mungu katika jina la Yesu Kristo
@janesuday4175
@janesuday4175 3 жыл бұрын
Mungu awabariki watumishi huu ushuhuda umenihamisha sehemu moja kwenda nyingine,Mungu anisaidie na atusaidie tuyaishi mapenzi yake.ni hasara sana kuikosa mbingu.
@klo8580
@klo8580 3 жыл бұрын
Nimejifunza mambo mengi asanteni sana pastor jactan
@annewanjiku52
@annewanjiku52 3 жыл бұрын
Asante kwa ushuhunda umeniwezesha kujiadaa jinsi nitachunga laini zangu na Mungu nisimukosee na aniwenzeshe in Jesus Name Amen
@patrickalexander1177
@patrickalexander1177 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu, kwa maana kwa utumishi huu umewafungua macho wengi sana, umenifanya hata mimi niifanye kazi ya Mungu kwa bidii kwa maana imeandikwa "Amelaaniwa yule aifanyaye kazi ya Bwana kwa ulegevu" Ooh ahsante sana Bwana Yesu kwa kunipenda hata nimepata kuona na kusikiliza ushuhuda huu, jina lako litukuzwe na kupewa sifa milele, Amen.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Na mimi nikiwemo,maana nilianza kukata Tamaa
@happykazungumenzamenza1277
@happykazungumenzamenza1277 11 ай бұрын
Amen Amen ubarikiwe Kwa ujumbe Mzuri wakutuelimisha nakutuhimiza Tuzidi kudumu Katika wokovu nautakatifu
@mc-vick-p4615
@mc-vick-p4615 3 жыл бұрын
Mungu atusaidiye tushinde majaribu ,kwasababu roho ni radhi lakini mwili ni zaifu.
@queenesther8505
@queenesther8505 Жыл бұрын
Amen,Mwenyezi Mungu akubariki sana mchungaji.🎉❤
@egospeltz9486
@egospeltz9486 3 жыл бұрын
Ushuhuda wa nguvu sana,Mungu akubariki.
@philiprupia6076
@philiprupia6076 3 жыл бұрын
Duniani hata kama ungeish miaka mia14:20 300..lkn ile siku ya mwisho ni mbaya sana kwa mwenye dhambi na ni nzuri kwa aliye okoka(big point my Brother)🙌🙌🙌
@janesuday4175
@janesuday4175 3 жыл бұрын
Kaka jactan kazi yako ni njema sana Mungu akuinue zaidi na zaidi
@omaebarongo1892
@omaebarongo1892 3 жыл бұрын
Mafunzo mazuri Sana Mwenyezi Mungu atuelekeze na kutuzaidia tuende mapenzi yake
@priscillambingu7399
@priscillambingu7399 3 жыл бұрын
Nikweli sauti iko nakumbuka mimi nikiwa mdogo niliitwa na. sauti kubwa sana ikiniambiya kunanyoka itatuuma iko ndani sauti iliniita maratatu sauti yakutisha kubwa ikaniita mara tatu ikanisukuma niende kwenda dani nikaona nyoka kubwa nikapiga nduru sana nikiitaji msaada na huko ilikuwa msitu kulitokeya mzee anaiuwa na akaenda zake kwahivo mungu yuko kweli
@edwardsinkonde9878
@edwardsinkonde9878 3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumish mungu akutie nguvu
@sautiyayesuministry7172
@sautiyayesuministry7172 3 жыл бұрын
Amina ubarikiwe sana Kwa kweli cjui nisemejeee zaidi MUNGU atuongezee nguvu tuyashinde ya duniani
@josephenemuthuri5351
@josephenemuthuri5351 Жыл бұрын
Barikiwa sana kaka , Mungu akulinde
@jack-mx8et
@jack-mx8et 2 жыл бұрын
Ameen, namini kwa jina la Yesu nimejifunza nimebrikiwa
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 3 жыл бұрын
AMEEN USHUHUDA WAKUTUJENGA..MUNGU TUREHEMU TUFANYE NAKUFWATA YALIYO HAKI
@annissdaprincess3846
@annissdaprincess3846 2 жыл бұрын
Ushuhuda mzuri sana 🙏 wakunifanya nizidi kumtumaini MUNGU wambinguni 🙏🙏 ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU wambinguni 🙏
@sweetberthacharles6960
@sweetberthacharles6960 3 жыл бұрын
Hallelujah utukufu kwa Mungu aliyeumba mbingu na Dunia 🙏
@utawalarecordstudiosnairob5929
@utawalarecordstudiosnairob5929 4 күн бұрын
MUNGU akubariki sana. Uenderee kushuhudia makuu ya MUNGU
@happywillim579
@happywillim579 3 жыл бұрын
Mungu tupe mwisho wetu mwema Amen
@deogratiousfaustina375
@deogratiousfaustina375 3 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana mtumishi wa Mungu
@julianajoseph5772
@julianajoseph5772 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana, nimejifunza kitu
@sophianahinja1018
@sophianahinja1018 3 жыл бұрын
Asante mungu kwa ushuhuda huu nimejifunza kitu.Amiin
@flourishing_wilderness6072
@flourishing_wilderness6072 10 ай бұрын
Mungu ni yuleyule jana leo na hata milele. Hatabadilisha standard zake za utakatifu na haki ili aweze kuaccomodate kizazi flani na style zao za maisha. Mungu tusaidie tufikie mwisho mwema
@pastorjamesmajaliwa7843
@pastorjamesmajaliwa7843 3 жыл бұрын
Ubalikiwe Sana mtumishi maana kwaayo umenipa kusonga mbele na kuwamini na kuishi maisha matakatifu na kuendelea kutumika katika nguvu mpya
@florakalumbilo6206
@florakalumbilo6206 3 жыл бұрын
Kwa kweli huu ushuhuda ni fundisho kubwa sana Mungu tusaidie ili tuweze kuishi maisha matakatifu ili mshitaki wetu asiweze kutushtaki.
@shadrackjames108
@shadrackjames108 3 жыл бұрын
Amina mtumishi nimebalikiwa kupitia ushuda ubalikiwe
@patrickalexander1177
@patrickalexander1177 3 жыл бұрын
Nimefuatilia ushuhuda wake mpaka hapa nilipofika aisee amenibariki sana na amenifanya nianze kuzitafakari njia zangu. Jamaan Mungu yupo na kuna maisha baada ya kifo, tafakarini njia zenu.
@dorisgesare6658
@dorisgesare6658 3 жыл бұрын
Amen. Thanks
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
Km mm
@celinenene7974
@celinenene7974 3 жыл бұрын
Amen Kaka Mungu akubariki unaninjenga sana Mungu akubarikisana unaneemakweli unanifuza mengi sana
@olooasa3478
@olooasa3478 6 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi umenijenga sana,Mimi pia sikufa Bali nilipelekwa juu nikakuta watu wanachomwa sana hakika tunahitaji wokovu wa kweli,mungu atusamehe sana
@florencemuasya2629
@florencemuasya2629 2 жыл бұрын
Jina la bwana libarikiwe sana mwenyezi mungu ni mwaminifu 🙏
@anethkabelinde5350
@anethkabelinde5350 3 жыл бұрын
Hapa KWENE sauti hata Mimi nikimlilia Mungu kwa jambo flani jibu linakuja bila kuelewa limekujaje na unasikia sauti inakusemesha kabisa..Roho mtakatifu n mwema sana..mda mwingne ukikutana na gum mpk unashindwa ufanyeje Mungu antoa maelekezo ch kumfanya..sema watu wengi hatujui kupambanua sauti Ila Mungu anasa nasi Sana
@luckylucas2125
@luckylucas2125 3 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe sana kwa kazi zake kubwa.. Nimefurahi kuskia maneno mazuri
@janeysemagogwa2670
@janeysemagogwa2670 2 жыл бұрын
Nimejifunza kitu🙏 Mbarikiwe sanaa
@mariamkisoma1988
@mariamkisoma1988 3 жыл бұрын
Amen, nimebarikiwa na nimejifunza mengi sana kupitia huu ushuhuda
@ruthstephen2791
@ruthstephen2791 3 жыл бұрын
Amen. Mungu akumbuke utumishi wako Jacktan. Ubarikiwe
@violachelangat7411
@violachelangat7411 3 жыл бұрын
Thanks brother to give us another chance kupenda mungu saidi,, may God bless you and your family members
@revinaanjero8501
@revinaanjero8501 3 жыл бұрын
No
@kashindimwaliasha9546
@kashindimwaliasha9546 3 жыл бұрын
My Lord Jesus Christ be with you my brother. Ushuhuda wako humenisaidia naamini ninakwenda ku correct Yale nilikuwa sifanyi
@micamathew2595
@micamathew2595 3 жыл бұрын
Amen!!! Nimebarikiwa sana na ushuhuda huu jmn!!!
@daemmy3685
@daemmy3685 3 жыл бұрын
Mungu 🙏🙏🙏 aturehem na atusaidie kufanya mapenzi yke
@noelsanga6711
@noelsanga6711 3 жыл бұрын
Hallelujah hallelujah hallelujah Amen..
@mercyjesus6637
@mercyjesus6637 3 жыл бұрын
Jactan kazi yako n njema mnooo
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
Amen
@briansancedo9336
@briansancedo9336 3 жыл бұрын
Kwel mkono wa MUNGU ni mkuu sana!💪💪💪💪💪💪
@marympemba1829
@marympemba1829 3 жыл бұрын
Tunashukuru kwa ushuhuda mzuri unaofundisha sana 🙏🙏
@theresiakasambala4080
@theresiakasambala4080 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi kiukweli nimebarikiwa sana
@daniele.kossan5994
@daniele.kossan5994 3 жыл бұрын
Nimefurahi sana ujumbe huu maana nimepata kitu kikubwa.
@marthamaligo458
@marthamaligo458 3 жыл бұрын
Amina Mungu azidi kututoa gizani na kutufungua ufahamu tuzudi kumtumikia 🙏🙏🙏
@jeremiahmangera4465
@jeremiahmangera4465 3 жыл бұрын
Amina kubwa MNA nimejifuza mambo meng
@jeremiahmangera4465
@jeremiahmangera4465 3 жыл бұрын
Amina kubwa MNA nimejifuza mambo meng
@beatricelucas7936
@beatricelucas7936 3 жыл бұрын
daah mtumishi ata nguvu yakuandika chochote nakosa kumbe mimi sikitu kwa mungu sijaona nilofanya zuri mbele ya mungu nahitaji niitafute njia yake kwa nguvu zote asante mungu kwa hiki nimefunguliwa hakika
@charitykadzogambo7758
@charitykadzogambo7758 3 жыл бұрын
Kusema ukweli.. toka nianze kfatilia, shuhuda zako, zimenifungua sana..na nasaidika kiasi kikubwa asante sana, Mungu aizidishe huduma hii.
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
Amen
@lucywilson5875
@lucywilson5875 3 жыл бұрын
Hakika Mungu ni mwema sana, sala zamarehemu na sala za toba tunapoteza muda, tuishi Mungu alivyo. Kaka ubarikiwe sana, sasa nataka kubatizwa kwa maji mengi na sio ubatizo nilioupata wakikombe. Naendelea kujirekebisha maisha yangu nauzao wangu. Amen Amen
@lucynganga6219
@lucynganga6219 3 жыл бұрын
J
@mariagodwin104
@mariagodwin104 3 жыл бұрын
Kwa kwel hata mm nimejifunza sana kuhusu huu ushuhuda
@kashindyedaudkisinza183
@kashindyedaudkisinza183 3 жыл бұрын
Mungu akubariki ufanye Kaz ake kikubwa kuombeana ktk safar hii in gmu sana bila kuongoxwa na ROHO wa mungu hatuwez
@bikyeobewalo8730
@bikyeobewalo8730 3 жыл бұрын
Asante sana mtumichi unajuwa kuelewecha mtu na akaelewa🙏❤
@selemanmwaisela4733
@selemanmwaisela4733 3 жыл бұрын
Ameni 🙏🙏🙏 ubarikiwe mtumishi kwa kutufundisha
@joylynenalija4795
@joylynenalija4795 3 жыл бұрын
Amen,nashukuru sn kwa ushuhuda mzur kaka Jactan. Nmeuckiliza kuanzia mwanzo,nmejifunza mengi ikiwemo utoaji,kusaidia wenye uhitaji,kutimiza mapenzi ya Mungu hapa dunian lkn pia kujikana na ya ulimwengu huu ili kuupata uzima wa milele na kwamba hakuna andiko litakalositirika,haki itatendeka cku ile🙏
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
Hakika
@NasraMrisho-z4o
@NasraMrisho-z4o 5 ай бұрын
Amen mtumishi barikiwa sana
@Priscakihiyo4352
@Priscakihiyo4352 3 жыл бұрын
Ameeeeeeen kubwaaa kwa Mungu mweza wa yote 🙏🙏🙏🙏🙏
@mwambakibucheche1119
@mwambakibucheche1119 2 жыл бұрын
Kwa yeyote ausikiaye ushuhuda huu na apate kuamini kuwa yesu nimuweza wa yote.
@essaumabigi669
@essaumabigi669 3 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana mtumishi najifunza mengi🙏🙏🙏
@emmanuelfrancis4777
@emmanuelfrancis4777 3 жыл бұрын
Ameni nimefurahishwa na ujumbe huu umenijenga maana unaelezea habari za mbingu maana mambo ya dunia ni ubatili
@lainacemwasote7670
@lainacemwasote7670 3 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi,ushuhuda mzuri na unajenga mno.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Jamani Mungu anatupitisha njia nyingi
@exaudbraison23
@exaudbraison23 3 жыл бұрын
Amina mtumishi Mungu akubariki
@geniegesture9432
@geniegesture9432 3 жыл бұрын
Jesus is lord....naye ndiye njia ya kufika mbinguni
@drrahaburubago6303
@drrahaburubago6303 3 жыл бұрын
Mimi nimekuelewa sana hujaongopa hata kitu kimoja. Ukiona na wewe umeelewa na umeamini basi hata wewe ni mteule, sina cha kujazia ila amini tu mbingu ipo na uzuri hakuna mfano. Shida ni tu "mpweke" unakuwa unawapna ndugu Zako huku Duniani utatamani kurudi uwahuburi ila hutWeza
@eliafabiano1067
@eliafabiano1067 3 жыл бұрын
Nimebarikiwa Sana namtumishi wamugu nashukuru Sana mg nibadirishe mtoto wako niwe kiumbe kipya
@michaelkibonaofficial9150
@michaelkibonaofficial9150 3 жыл бұрын
Aiseeee Amejibu vema sanaa swali la kwamba je? Ni sauti gani alikuwa anaisiki....yan amejibu vemaaaaaaaaaaaa hakika ni Bwana
@sharinv8864
@sharinv8864 3 жыл бұрын
Amen brother nimebarikiwa sana mungu azidi kutuinuwa sana
@nestorypeter8127
@nestorypeter8127 3 жыл бұрын
Mungu nimwema nimejengwa pakubwa nami namtukuza mungu
@jeremiahkausi2987
@jeremiahkausi2987 11 ай бұрын
True story am blessed
@sheillahwairai4691
@sheillahwairai4691 3 жыл бұрын
Jactan good job to bring the man of God to give out the testimony. God bless you 🙏🙏
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
AMEN
@doreenmgiz5213
@doreenmgiz5213 3 жыл бұрын
Be blessed man of God for you have told us we didn't knew and every Christian should hear this and take a step to repent and prepare the way for the coming of the Messiah.
@atanasiebamba6690
@atanasiebamba6690 Жыл бұрын
Sofakwa bwana
@IreneCremece
@IreneCremece 3 ай бұрын
Amina Mungu akupe maono mengi utufundishe na sisi
@jecintachemtai9580
@jecintachemtai9580 3 жыл бұрын
Amen nimejifunza mengi
@alphoncealmack9240
@alphoncealmack9240 Жыл бұрын
Barikiwa sn mtumishi kwa ushuhuda mzuri umetujenga hakika, ingawa mtu kupata toba haingalii wakati uliopo; au unapitia kipindi gani? toba huangalia utayari wa moyo mtu mladi itoke ndani ya moyo, MUNGU husamee, mfano mzuri ni wa yule mnyang'anyi pale msalabani pamoja na YESU alipata kibali cha msamaha ktk mazingira magumu sn
@everlyneiminza5722
@everlyneiminza5722 3 жыл бұрын
Eeeh Mungu nijalie mwisho mwema wa matendo mema 🤲🤲🤲🤲🤲😢😢😢😢
@reginanamukuru3283
@reginanamukuru3283 3 жыл бұрын
Asante ssna mtumishi wa Mungu, ushuhuda wako Umenifungua macho ubarikiwe
@waithirajohnny6502
@waithirajohnny6502 3 жыл бұрын
Wooow thenkyou so much...I'm so much edified... God bless you & Rich out to many more in Jesus Name 🙏
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 3 жыл бұрын
Yaani unachokisema ni kweli kabisa na ubarikiwe zaidi na zaidi
@desmonddickson410
@desmonddickson410 3 жыл бұрын
watu wanasemaga mtu akifahawezi kurudi sasanduguyetu amerud nakutushuhudia yote alioyaona lengo lamungu hataki kumchoma moto mwanadam tuyafanyie kaz tulioyasikia amen
@witnessmkilindi2337
@witnessmkilindi2337 3 жыл бұрын
kwakweli kuna maisha baada ya kifo
@khadijahfrfranciss5101
@khadijahfrfranciss5101 3 жыл бұрын
Mungu awabariki sana kwa ushuhuda.wa.kuinua.imani mungu awabariki sana nimejifunza mengi kupitia huu ushuhuda
@josephmpemba8004
@josephmpemba8004 3 жыл бұрын
UJUMBE HUU NI WA MUNGU. NIMEBARIKIWA SANA NA NIMEJIFUNZA KWELI NYINGINE MUHIMU. UBARIKIWE NDUGU NA MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU YENYE UAMINIFU KWA MUNGU. MUNGU AKUWEZESHE KATIKA YOTE. HALELUYA!!!!!!
@medardjackson9155
@medardjackson9155 3 жыл бұрын
Leo nimekuwa na ibada njema huu ushuhuda nimefuatilia tokea mwanzo umenifungua sana
@rosaliembarikiwa592
@rosaliembarikiwa592 3 жыл бұрын
Mungu atusaidie
@janeongoto1991
@janeongoto1991 3 жыл бұрын
I learnt something, God bless you, Amen, and keep Repentance and keep 🙏🙏🙏🙏🙏 God.
@omaebarongo1892
@omaebarongo1892 3 жыл бұрын
Amina na Amina Mwenyezi Mungu anihurumie
@mmma6210
@mmma6210 3 жыл бұрын
Amen
Бенчик, пора купаться! 🛁 #бенчик #арти #симбочка
00:34
Симбочка Пимпочка
Рет қаралды 3,4 МЛН
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 33 МЛН
Aogeshwa na Kupandishwa Mamba Mto Malagalasi Akitafuta Maisha Bora | USHUHUDA |
13:02
Nyisake Chaula_Historia
47:51
Nyisake Yuda Chaula
Рет қаралды 9 М.
MNAOWEKA PIKO KICHWANI,SIKILIZENI USHUHUDA HUU, KILICHOMTOKEA JESCA. Sambaza Ujumbe huu.
41:08
KANISA TAKATIFU LA YESU KRISTO-CHAMAZI
Рет қаралды 380 М.
Бенчик, пора купаться! 🛁 #бенчик #арти #симбочка
00:34
Симбочка Пимпочка
Рет қаралды 3,4 МЛН