Mimi najua watanzania wengi tunatamani kufanya hivi sema uoga tu😂
@user-bx3kl4hn6j8 күн бұрын
Mwenyezi Mungu anatukanwa mchana kweupe hatujawahi kuona kiongozi yyte wa serikal akitoa kauli km hii au Samia na Mungu Samia ni Bora kuliko Muumba
@RamadhaniMadanga-ne7jk8 күн бұрын
Bongo Kuna uhuru wakusifu tuuu kupinga nakukashifu hakuna
@MwanahamisHassan8 күн бұрын
@@RamadhaniMadanga-ne7jkmbona mungu alitukanwa
@user-sr6tr7ko7w8 күн бұрын
Hawatusaidii Sisi ndo tunawasaidia, tunawalipa mshahara, mnakula bule, mnajisaidia bule hizo zote ni nguvu zetu, mnakula jasho letu na bado mnaiba jasho letu, inauma Sana.
@MPOYOLAFILMS8 күн бұрын
Hahahaha kudadeki wew huogopi...
@thomasgabriel5888 күн бұрын
Acha kujipendekeza kila raia ana uhuru WA kutoa maoni yake Muulize ruto Sioni kosa lake natamani ungemwita muulize kwnn ulichoma picha naje unahisi serikali ifanye nnn sio kumkamata
@user-pq8xh2oo6x8 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@MwanahamisHassan8 күн бұрын
Alitukanwa mungu na aliyetukana ni afande sele mbona serikali hamkufanya kitu Kwa sababu ni mungu ndio maana hamsemi lkn samia ndio mwajiona Kimbelembele kusema huyo MTU ashikiliwe hii sio Hakii kabisa na huu ni ukatili wa kiimani kabisa serikali mnavyofanya sio haki mwacheni MTU aseme anachokitaka. ( Every citizen has a right to do what he or she wants at any time or any place)
@user-pf9rk6jp4f7 күн бұрын
Kumamae zenu na serikali yenu ya mama samia ya kikuma
@user-bx3kl4hn6j8 күн бұрын
Acha ujinga samai mama kwa wanae sio Mimi Wala ww ndio hata ww ukipata tatizo huwezi kumuona au kuja kukuona kwakua ww sio mama ako
@commandorsrlo1758 күн бұрын
Asakwe kivp haliyakua ana ongea ukweli
@johnonyango60698 күн бұрын
Freedom of speech and expression my friend. Wewee ndio ukona umbeya
@bakarikayugwa32958 күн бұрын
Kutunwa jambo ra kawaida Kuna kazi nyingi za kutusaidia wananchi anatukanwa mungu hamuongei kwakua mungu hatoi ajira na pesa
@CharlesMasila-nn3kg8 күн бұрын
Nyinyi mko nyuma sana,,😂😂😂 yaani mtu hawezi akatofautiana na rahisi wenu
@ElishaZachariaEmmanuel6 күн бұрын
Mama mzazi nchi hii😂😢😢
@PhilipoMwita-wc1ku8 күн бұрын
Mim binafsi samia sio mama yangu wala sio shangazi yangu.....huyo mchoma picha ameonesha jinsi gani raia wamemchoka huyo mama yenu
@fadhilinyongole188 күн бұрын
Kabisa
@user-cv4yx4uf8u7 күн бұрын
Mnamuonea tu kumkamata picha kitu Gani nanyie serekali mnayoo tufanyia Yana uzur gan bwana ,mtu anaongea ukweli tu nyie vipi mnazingua tz Bora tuwe kama Kenya tu
@user-zj6hp6ju3w8 күн бұрын
Mambo ayo yamepitwa na wakati,
@StanyOfficiol8 күн бұрын
Kwani. Mama samia ni mungu mama sio mungu ni mtu tu na ukisema kakashf basi ameshindwa kuongea kilichokera kuhusu mama ndo maana kafanya action hiyo sasa mfanyakazi wangu hawezi kuogopwa akikera anaambiwa je ni wapi sauti za maskini zitamfikia au ni shobo we mkuu ambaye nawe unalipwa mshahara kwa kupitia kodi zetu
@KinggureyAlii7 күн бұрын
This guys hutuambia eti kenya.. ooh.. kenya.. eehh 😂
@jeremiaholesingooi39408 күн бұрын
Kama hataki kutukanwa angekaa nyumbani na bwana yake juu ako kazi yetu na sisi ndo mabosi wake Tanzania wananchi mjue haki yenu kaa raia
@SundaySteven-bz4yq8 күн бұрын
Muwasake hata wanao uuza lasilimali za inchi yetu na wanaovunja katiba
@khamisibro21068 күн бұрын
Musitariju kufanya kitu kama icho tena...tanzania sio 🇰🇪
@mtzhalisi22328 күн бұрын
Acha ushamba mama hajaanza kusemwa vibaya leo wala jana... Ni maraisi wote na jambo la kawaida tu.... Unaweza kuona ni jambo jema kumbe ndio kuanzisha tatizo
@fxmeddy95678 күн бұрын
Huyo samia ndo mungu wenu???
@user-tt9bp2id5p7 күн бұрын
Uyo samia ivi ni nan mbna simjui
@zachmaselle66358 күн бұрын
...kumukamata si busara itachochea mengi....
@abdulmagido54448 күн бұрын
Nyinyi viongozi mnakuwa na jazba sana akili fupi tu wewe ndio kama unataka kutengeneza hili jambo lisambae na kutengeneza mada hakuna utalatibu mwingine wa busara wa kuchukuwa hii hali ya ukhanisi inazidi kiasi watu wanaogopa kupeleka watoto wao kwenye boarding school ww mwanambeya umechukuwa hatua gani ww unataka kutia kuni kwenye moto
@user-it2tr7ny8d8 күн бұрын
Msengeee www
@user-sp2pp9yl8g5 күн бұрын
KIJANA HUYO INAONYESHWA NIMFUASI WA CHADEMA UCHOCHEZI WA MBOE NA LISU UMEMUINGIA NAHUKU MIKOANI WAPO WAMESIMIA KATIKA ITKADI YA UDINI NA UTANGANYIKA
@SaidKipe-zm8wt8 күн бұрын
Toka zako ww ukweli. Usisemwe
@jumagora34625 күн бұрын
Mm kama mwana jamii mwenye haki za nchi niraiya wa nchi narejea hata kama agekuwa sio rais apewe haki yake ya kuzalilisha tu kisheria kisheria
@agustinoezekiel8 күн бұрын
Aiseeee
@thefinalstand20227 күн бұрын
Kumtia hatiani ni ngumu sana sana maana hajavunja sheria...! Hiyo picha ya samia, ni picha ya kawaida tu na siyo nembo ya taifa. Lakini, anapokuwanayo,, anakuwa anaimiliki kama personal property yake, so anaweza kuichana tu au kuichoma... lakini, kamkosoa Mama... tu, hajamtukana matusi ya nguoni.... HUYO JAMAA, LABDA SHERIA ISITENDE HAKI...IKITENDA HAKI, HAWEZI FUNGWA KABISA.
@ipepeetube4498 күн бұрын
HakiaMungu ngoja ninyamaze tu
@DanielMwasi-cq2rg6 күн бұрын
Hakuna aliyeongea ukweli akabaki salama
@noahchepe80364 күн бұрын
Sio kumkashif😂 watu wanatoa ya moyoni yanayowatesa
@user-fc3og1eo3x7 күн бұрын
Kivp Sasa
@GodsonAyo7 күн бұрын
Hii nguvu polisi wanayoitumia wangetumia kutafuta jambazi Lilo muua dreva bajaji ar
@MohamediKalanje8 күн бұрын
No comments
@Bendouble7 күн бұрын
Huyu mkuu wa mkoa ye yuko china amepoa ,mama anadhalilishwa huku
Achen miyeyusho mbona jamaa amefanya good baada apewe pongez mnamkamata
@user-sr8tc8ke6q8 күн бұрын
Akiripoti kutoka China huyu ni Juma Homera
@romanambelle63568 күн бұрын
Jamani😂
@harithrashid53147 күн бұрын
Akamatwe kwani kavunja sheria gani?
@isamony588 күн бұрын
Bado siku chache mtakuja vijijini kutuomba kura tutakutana ukoo tumewachoka sana itakuwa kama Kenya sasa
@hassanmuhidin8716 күн бұрын
Kura yako haisaidii kitu raisi anakua tayari amechaguliwa😂😂😂😂
@bcozhenry2698Күн бұрын
@@hassanmuhidin871utashangaa atavyochekechwa na kura! Kuiba hatowezekana
@user-yt9zf6xd8n8 күн бұрын
Huyo kijana maisha yanemshida mtaani alitaka kila vya bure
@user-ky9ft1bd1m8 күн бұрын
Na ww ni msenge
@MrLee-xl4kf8 күн бұрын
😂
@pacomezouzoua91758 күн бұрын
Nimecheka😅😅
@KikwaleRashid8 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅
@sethstiven33934 күн бұрын
Uongozi wenu mubovu tunalilia moyoni IPO siku tutakiwasha msituchagulie watu wa ovyo
@yanawezekana94296 күн бұрын
KIJIJI ULICHOKISEMA MKUU WA MKOA SIO ALICHOKITAMKA KUWA YUPO. MIHEMUKO HIYO
@bbclondonulimwenguwasoka61268 күн бұрын
Huyo nae anavuta bangi
@vibes64466 күн бұрын
Mkuu wa mkoa unaongea ukiwa wapi
@JeremiahNyunza-ov9ll7 күн бұрын
Kwanza hapo ulipo ni Mbeya naona upo mwanjelwa hapo..
@pacomezouzoua91758 күн бұрын
R.i.p JPM Mwamba kweli kweli
@Sahlomon-jp4jr8 күн бұрын
Mama'e, na Bado mtahaha sana.
@KudraWanguvu-em1xw7 күн бұрын
Mkuu fanya kazi yako kwani asiefunza na mamae hufunzwa na ulimwengu lakini huenda ni mwenda wazimu mumchunguze
@ashamkesa9798 күн бұрын
Nikweli asakwe na nahatua zichukuliwe dhidi yake asijifanye Genz
@YangaNews8 күн бұрын
Nyie endeleeni siku tukichoka na mateso yenu mtatukoma mtahama nyumba zenu mkakae porini
@jenyyusuph49738 күн бұрын
Mnafiki ww ulisake kwanza domo la jeiz lililokua linatoa Siri za ikulu maana Hilo ndilo kubwa ubabe ni WA muda Mungu wa milele
@user-dz5jc6pp8e8 күн бұрын
Wanashindwa kuwakata wanao iba mabillioni ya hela serikalini wana kazi wa kuwanyanyasa wanannchi kwanza hapo alipo sio tanzania' fanya maendeleo ya mbeya kazi uliyopewa sio kazi yako hiyo ni ya polisi
@jamesnyamila21658 күн бұрын
Ukweli unaongelewa Tanzania, maelekezo ya kumtafuta muongea ukweli yanakoka China
@hamzakimaro37648 күн бұрын
hakuna maoni ya kumtukana raisi,tusisababishe vurugu na ukosefu wa heshima kwa kisingizio cha kutoa maoni!! kwanza kuchoma picha ya raisi ni kosa kisheria!!
@BashirMatola8 күн бұрын
Kumtukana kiongozi wa nchi ni kosa kubwa kuna njia nyingi za kufikisha malalamiko achukuliwe atua kali sana huyo ni muovu akamatwe
@jumaamohamed28158 күн бұрын
Mkuu wa Mko mwenyewe anatoa maelekezo huku ayuko eneo lake la kazi, Anatoa maelekezo yuko China, Hii nchi bhana
@davideditz20498 күн бұрын
Fanyeni kazi za maana kutukanwa kupo
@LeonGregory-nz6ob8 күн бұрын
Tanzania hao viongoz sisi tumepiga kura wengine wameingia bila sera tuliyemchagua alikuwa na sera tofaut kwan rais ni mfamle au malikia mbona viongoz wengi wamesemwa
@user-il5pk2dr5n8 күн бұрын
Wakimalizana na huyo sheria itayotumika kumshtaki naomba itiliwe mkazo sana manake matusi mtaani imekuwa jambo la kawaida aswa kwa makonda wa dala dala na vijana wengi muda mwingine utumia tusikama sehemu ya kusifia lakini si tabia njema..
@modestcomred95008 күн бұрын
Hinyi sio kabisa oo akamatwemara moja yani mamboyamsingi mnashindwa kuyafuatilia mnafatilia upuuzi inatakiwa ujiulize kwa nini Kadanya hivi tafuta sababu ila kauliyake nikwamba yupo upande wa 👹👹👹
@stevenialbert50338 күн бұрын
Huyu raisi mpendwa rushwa atumtak kauza nchi ytu na ndugu zake wakin kikwete cmpendi huyu mama bc tu
@Sahlomon-jp4jr8 күн бұрын
Mjinga km wewe usipompenda unampunguzia nini'?!!! Bado yupo sana minduku wakubwa nyie na udini wenu huo!
@obsonjulius3128 күн бұрын
Boss yuko China au naona vibaya? Sijapenda kitendo cha vijana kufikia hatua ya kuchukia hadi picha za viongozi.
@africanatvshow45218 күн бұрын
Mkuu wa Mkoa hana akili kabisa huyu .Kila mtu ako na Freedom of expression..Shida ya sisi watanzania tunajipendekeza sana na hawa politicians wengi ni slaves kwa watu wa nje ..
@hallin95618 күн бұрын
Rais akifanya ushenz asifiwe, uyu mpuuz ajiuzuru tu hatumtaki
@johnshayo96358 күн бұрын
Duh haya bhana ndo kazi ya polisi hiyo
@allybakari57918 күн бұрын
Sasa kama hawatusaidii Sisi tufanyeje
@nhztmemery40308 күн бұрын
Story ya kumtukana Rais watuachie wa Kenya 😅
@user-oo3ty2ll4k8 күн бұрын
Ipo siku yenu TU. Tukichoka.
@arafahhh55748 күн бұрын
Jipendekeza
@MbossoMbosso-rw4ox8 күн бұрын
Na badooo Gen Zzzzzzzzzzzz
@KetonyMbedule8 күн бұрын
Tanzania bhn ukisema ukwer tu ujue maisha yako yapo hatarini asa sijui uhuru wetu niwaviongoz tu au maana wananchi hawana uhuru wakuseme ukwer🤔🤔🤔
@user-cv4yx4uf8u7 күн бұрын
Tatizo wabongo kumsifia mama ndio wanaona dili mama kizimkazi mm wananiboa kumsimfu mtu ambae Hana msaada wowote zaidi yakutuzingua tu na uongozi wake wa urith ,,mpaka mtu afe
@classicdenzmorlke8 күн бұрын
😂😅 Kenya hatuna. nidhamu kwel
@lunangabenjamin31218 күн бұрын
Eti mama ni mama yako yupo.acha tundu lisu hawanyooshe.jamaa kasha zinguliwa huyo.
@PriskusMhaka8 күн бұрын
Akamatwe
@MrGoatAi8 күн бұрын
Nikiriport kutoka china nimimi mkuu 😅😅😅
@msafiriomary8935 күн бұрын
Kutusaidia kutuibia
@kingtiger48298 күн бұрын
Uhu ndo udicteta Sasa
@ponsianomnyaru91407 күн бұрын
Huyo rais wako kakupa ajira ndo maana unamtetea cc hatumtaki hata kumuona tukutane 2025
@tusanemheta86388 күн бұрын
Mungu tunusuru tutatekwa wengi kwa serikali hii ya nguvu nyingi kuliko_?
@user-cv4yx4uf8u7 күн бұрын
Wacha watuteke ukweli uwafikie ,miyayusho tushachoka sasa
@kilelechaimani.89566 күн бұрын
Viongoz wanatusaidia,je kama hawatusaidia tuendelee kuwasifia?huyu nae mkuu wa mkoa zwazwa tu kaweka tambi lake mbele analinda ugali.
@richardtom388 күн бұрын
Wewe upo china umeacha kazi mbeya unazan atujui
@hassanmuhidin8716 күн бұрын
Akamatwe haraka asituletee ujinga wa kikenya hapa tz
@MariamKhalid-ub9jj5 күн бұрын
Ujinga wa kikenya ni upi??? Wananchi kupigania haki zao?? Skia mjinga ni ww tena mjinga wa kutupwa... useless 😏😏
@wahshiy-dizzier-nm5rx8 күн бұрын
Nilijua tuu atatafutwa
@user-xc7qj7ze7m8 күн бұрын
Uko china unakula kodi
@Lameckmichael-h2m8 күн бұрын
Ukiona hivo ujue kunamambo hayaendisawa kwaraia unakamata ili iweje kwani rais ni MUNGU?
@charackally88468 күн бұрын
Vijana wa Tanzania asilimia kubwa ni wajinga sn, Na hawajuwi wanachokifanya, yaani kuna mtu anatetea ujinga wa huyu kijana, eti ni sw, hebu jaalia kwamba rais samia ni km mama yako mzazi alafu anafanyiwa ivyo, ungepokeaje Na ungejihisije?, Hakuna alokatazwa kutoa maoni yake ila kwa utaratibu Na uungwana Na sio kwa kuvunjiana heshima, huyu kijana sijuwi anatoka familia gani ila hichi anachokifanya ni matokeo ya malezi ya wazazi wake ambayo wamempatia, Na sijuwi dini gani, maana dini zote zinakataza kumvunjia mtu heshima yake.
@AbubakaryOmary-qw5dk8 күн бұрын
Watu wamechoka hakuna Cha heshima
@walidmgonja36447 күн бұрын
@AbubakaryOmry-qw5dk umechoka wewe Fala usiyetaka kufanya kazi unasubiri serikali ikupe vya bure nyau wewe
@vincentcharles43856 күн бұрын
@@walidmgonja3644Najua wewe ni shoga unapata pesa kirahisi,sasa acha wanaume wa kazi walalamike maama wanafanya ngumu,we umeshaolewa tayari 👙
@user-ib2ew9ec3d8 күн бұрын
Hii nji yaamani kwann mnaenda kumkamata msimuulize kwann umefanya ivyo mimi mwenyewe simpendi uyo samia kiujumla viongoc wetu hawajitambui
@DeogratiusAndrew-zi7zv8 күн бұрын
Mimi naona nchi haina amani ila inatulivu
@user-ib2ew9ec3d8 күн бұрын
Tumejaswa ujinga kila upande kwa wananji
@hendricaoduba60288 күн бұрын
Waah, kwani wabongo hawana uhuru wa kuongea?
@youngsachafurniture54827 күн бұрын
Utaongelea wapi kwa sababu rais amekuwa mungu anasujudiwa mnooo
@mrsmussa8 күн бұрын
Just a picture, get over it
@NikiMaliki8 күн бұрын
Ukiongea kutoka china 😂 au wap
@gracekagoma32318 күн бұрын
Tabia mbaya, Hana adabu kwa Wote tunaojiheshimu 😢
@malikeyndotopopote7 күн бұрын
Adab ya kwake yeye
@YassirMohd-i7b8 күн бұрын
Nyie wabongo mnamchukia mama samia kwa kua mzanzibar t
@malikeyndotopopote7 күн бұрын
Wala. Hana lolote analofanya. Tunagombania public transport yeye anaishi kama mfalmw hii ni ujinga. Na wala siungi mkono