Muda mungine viherehere mpunguze kwani muhusika mwenyewe aliechomewa picha anasemaje ama ndoshobo zenu tu ...
@nugwiziwe757723 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-ii6gs2jg4g21 күн бұрын
Yaani hakika ndugu mwenyewe kakaa katulia zakeee
@abdulyabdunuru147620 күн бұрын
😂😂wabongo wanafiki sana yaani yaani ukiwa na pesa au nguvu unaweza hata lambwa **
@vitusjackson135422 күн бұрын
Acheni uoga yeye anajua anachofanya ,moyo ukichoka unafanya chochote
@lilangasayi168923 күн бұрын
Hakunaga mtangazaji msenge msenge km hilo zembwela mshaambiwa na warioba acheni uchawa mbwa nyie
@efronaaron677220 күн бұрын
😂😂
@officialaziry330518 күн бұрын
😂😢😂😂
@mujwasteven10 күн бұрын
@@officialaziry3305 😂
@Alfred-b9i18 күн бұрын
Asanteni mliomchangia hakika nimeiyona nguvu ya umma
@bushbabytz20 күн бұрын
NA TUMEMTOA KWA KUMCHANGIA HAMUWEZI SHINDA NGUVU ZA UMMA,
@Mapyatv22 күн бұрын
boya kwer watangazaj wote😅
@OscarLucars21 күн бұрын
Dah!! Na ndo maana MUNGU atabaki kua MUNGU mpaka Dunia ya mwisho binadam Wana choma mpaka vitabu vyake vitakatifu na Bado MUNGU anawapa neema lkn Leo kijana anachoma picha ya mtu kama watu wengine lakin analionja joto la jiwe aah!!
@Fred-Ma21 күн бұрын
Mmmmh ashalipiwa na wadau
@FatimaAli-of4gh19 күн бұрын
Huku ulaya kiongozi anafanywa kila aina ya cartoon kwenye magazeti na mabango choma hata mia watu wapo busy na maisha yao sijaliona kosa kwani huyo mama Samia kaungua wapi huo si ushindani wa vyama tu
@Iddi-xw7vw15 күн бұрын
wazushi. uyo ndio kidume kaonesha hisia zake.
@LeonardEdward-fb2bn23 күн бұрын
Huyu sio ndugu yake na mboneke huyu??😂
@user-uy8cw3zc4b21 күн бұрын
Acheni uchawa kuna watu wamelipa hiyo pesa sasa tangazeni huo uchawa wenu
@jumabonge857718 күн бұрын
wanyonge ndio wamejengewa magereza matajiri waache wale bata
@SalumJuma-iz2gj20 күн бұрын
Engekua raisi magufuli au huseni mwinyi engemsamehe
@shedrackshaibu198619 күн бұрын
Kwahiyo kama mwanaharakat tunafanyaje
@yetunewstz22 күн бұрын
Ivi mnaona kinachoendelea kenya ? Watu wana sanamu la rais et Tz mtu kachoma picha anaenda jela... Hii nchi si ina sheria na katiba na uhuru wa mtu kumponga kiongozi yeyote ?? Watanzania ifike pahali tujielewe...
@mweusiasili834520 күн бұрын
Kweli mwenye maisha mazuri hawez jua ugumu wa asie na kazi. Kodi bei immepanda vyakula bei iko juu si bora uwende jela ukapunguze stress kulala bure kula bure mnajifanya hamuoni ugumu wa njaa😢
@amanimwisa113623 күн бұрын
Ntokela ni majeuli sana.
@jumagora346223 күн бұрын
Kama mwanaharakati au mpelezi kama katuma atajua huko huko tena anaakili timam uyo
@MagrethKatondo-qs9oz23 күн бұрын
Mmmhhh. Mungu utuhurumie. Hakika utuhurumie.
@mfwimiekayuki869222 күн бұрын
Uchawa tu.Hizo m.5 zinaenda wapi.
@GibsonNtamamilo23 күн бұрын
Si anaenda kula na kulala bure. Fresh tu! Akitoka ndio atasema .
@mahengepascal20 күн бұрын
Kuna sheria gani kwamba ukichoma picha ya kiongozi ufungwe?machawa bhana mna taabu sana
@umdtv274922 күн бұрын
Saiz tunabidi tu comment kwa akili. Unawza ukajikuta na wew mwaka mmoja jela 😊😊😊😊.
@rahplenyengerahplenyenge72223 күн бұрын
Kweli munawanyanyasa wat
@Hussein-gx4qu19 күн бұрын
Kawani mama samia nani. Nchi imemshinda kazi kulea wezi na mafisadi ndio anachojua
@KelvinMushi-rp6vv20 күн бұрын
babu apo umetudanganya watu jela hawalali saa tisa bali saa 9 wanafungiwa shughuli nyingine za jela zinaendelea
@frankcharles39805 күн бұрын
MITANGAZAJI KAMA HII MICHAWA INAHALIBU NCHI
@RomanMwinyi18 күн бұрын
Nyie wasengee wasafii achenii uchawa machoko nyiinyiii ongeeni vitu vyaamana mbona watu wana choma vitabu vyaa dinii awakamatwiii laiya ame choka amna chamana kinachoendelea achani uchawa ongea enii vitu vyenyee umuimu kwa taifaaa
@msafiriomary89319 күн бұрын
Kwamza aritaka mpaka mahari aripo hyo ndio mbeya mzeee
@user-ef2ln1mx3s20 күн бұрын
Jitambue nyie watangazaji ayawausuu Aya Kila mtu ana jitambue kwani yule ni kichaa angekuwa kichaa basi akimu nae angekuwa mjinga kuukum kichaa kumbuka kijana Alie moiga mzee mwinyi vipi ilo tukio mgekuwe kipindi icho simgefunga na TV yenu uchawa ni maradhi
@user-sx3ys1gs9p20 күн бұрын
Sasa ajitetee Nini hapo au angekua ni zembwera yeye agejitetea nini
@fadhilimoshi575420 күн бұрын
Zembwela rudi tu ukachekeshe kijana ni msanii na kila afanyavyo jambo lina maana yake.
@MussaLuhwago-qi7xv23 күн бұрын
Jamani hilo fulana mmesoma lakini
@user-tt9bp2id5p22 күн бұрын
Limeandikwa gari la mungu
@yudachelango682417 күн бұрын
ZEMBWELA alikuwa mtu enzi hizo saivi amekuwa mswahili. Hamna kitu
@RamboDotto19 күн бұрын
Unapokua muoga niwewe kunawatu wanakeleka hvyo wanaongea ya moyoni ndo maana mwamba anacheka 2
@pacomezouzoua917522 күн бұрын
Kwaiyo mwamba amefungwa aisee hii nchi hiii alafu hili li wasafii media Kwanza ngoja ni li unsubscribe kumbe Kuna mitangazaji haina akili kazi uchawa tu
@SalumJuma-iz2gj20 күн бұрын
Hahahaahaha😅😂😅
@michaeljoshua629218 күн бұрын
Wamemfunga kwakosa gani ama kifungo namba gapi kimeadikwa eti ukichoma picha ya raisi afungwe tunataka watuambie
@makongoronyerere156419 күн бұрын
Kwani hyo picha ya samia inasaidia nn au umbea hapo studio
@jitabojilala616220 күн бұрын
Tunawatangazaji wapuuzi sana ,nchi hii
@MaxCharles-wj5dg21 күн бұрын
tz ujinga Kenya rais anakosolewa na haongei llt
@user-vq3zu8ne9b20 күн бұрын
Washamba tu hawa, watangaji wa hivi badala ya kujadili kwann alifikia huko wanajadili upuuuzi
@mayrfrimi475920 күн бұрын
Wanau eleweni kuwa jela pia ni mafunzo, hivyo mwenzetu alitamani akajifunze na yy kulivyo wana tritiwa vipi, kujua kama kule wanajali utu au la, akitoka atakuwa kashajua lipya kuhusu maisha ya jela
@RabihuHussein18 күн бұрын
Manyani a.k.a machawa yakiwa studio yanasifu na kuabudu.
@OmanOman-bx5du23 күн бұрын
Kuchoma picha ndoufungwe wenzenu kenya uko ruto. Wanatukana ovyoovyo. Uonevu tu
@rashidalihamad722822 күн бұрын
Wao sio sisi
@salimutwahiri369321 күн бұрын
Sasa wewe kutukana unaona sio koso? Acha ujinga sisi watanzania sio wapumbavu kama wakenya,wanajisifu wamesoma ukiuliza wamesoma nn? Watakujibu wanaongea kingereza, nchi ya Kenya mirungi halali unategemea nn? Ndio kumtukana kiongozi kwa sababu akili imeondoka kwa mirungi.
Na hayo magazeti yenye picha ya Rais vipi tuyatunze tusichome ???? Samia kachomewa picha Mme funga kijana. Miezi iliyo pita Harmonize alisema Mungu ni mwanamke Hakuna Hata police iiliyomchukulia hatua. Kwa hio Samia ndio amekuwA Mungu???. Kijana kuchoma picha Hio ni personal issues huwezi kupendwa na kila mtu.
@user-ib2ew9ec3d21 күн бұрын
Wanaona uyo Samia nibora kuliko mungu Yani wanamuogopa Samia kuliko mungu
@RamadhanAlly-cf7du21 күн бұрын
Hawajielew
@ottiefx25520 күн бұрын
For sure
@mohamedmtenjera199019 күн бұрын
Lakin mnajuwa san kufany comed ongeren san
@MartineShija22 күн бұрын
Utafikili amechoma nyumba ya m2
@mustafakimalio912922 күн бұрын
Akumulikae mchana.....
@Hussein-gx4qu19 күн бұрын
@@mustafakimalio9129kwani mama Samia nani anatukanwa mungu atakuwa mama Samia mlea wezi na mafisadi. Ampishe makonda jembe mama Samia wa Nini mlea mafisadi mkubwa huyo
Wewe unaweza KUWA NA ujasiri KAMA wa HUYU KIJANA?😂😂😂
@essiesammy650521 күн бұрын
Tulizaaa korodaniii hizoo😅
@suleimanali201720 күн бұрын
Huyu ana matatizo ya AKILI, apimwe afya Mirembe
@user-sw7tf1ob1b11 күн бұрын
Endeleni kucheka mtakuja kuliya sana
@KimanguShemwaliko-ht2jr20 күн бұрын
Tumeshamtoa gari la mungu,
@user-jl5uh1xq9f20 күн бұрын
Nyinyi njaa itawauwa
@user-nv4li8of1s20 күн бұрын
Watu wanachochwa ndomaana wanaona kwalolote sawa tu
@bonifacerobert296021 күн бұрын
Wewe Zembwela kumbe ndivyo ulivyo? Pumbavu sana wewe. Labda nikitukane chombo chako cha habari kwa tusi hilo. Chombo pumbavu sana cha habari. UCHAWA TU.
@alexzakariannko680318 күн бұрын
😢😢.
@amirjuma939520 күн бұрын
Raisi wangu muachie uyo aliechana picha kwani hakuna binadamu anaependwa na watu wote hata ungewafanyia wema kiasi gani kwaiyo kumsamehe nibora kwani Dunia siyetu tunapita tu uwenda Hilo la kumsamehe litakusaidia baada ya maisha haya ya Dunia mtume alimsamehe mtume kaukojolea msikiti mwingine alikua anajisaidia mlangoni kwake bado alimsamehe
@juliusmalunde963620 күн бұрын
Ila wezi wa mabilioni ya pesa yanadunda tu mtaani
@samiramawby125722 күн бұрын
Acha wachome picha,,sisi tunavunjiwa nyumba yeye anaona rahaaaa,,hivi Zanzibar ipo siku mtatupenda watanzania
@allysudi442919 күн бұрын
Nyie wadananda tu endeleeni kuchakulia poa mamaeehh
@ottiefx25520 күн бұрын
Nimeamin bongo tuna wagonjwa wengi wa akili
@user-ms2kf3mf3q20 күн бұрын
Samia wew ni muislam utakubali vip mtu aende selo kw ajili ya kunyoma picha wahukumu na mawaziri wako wanaoiba halafu nyinyi mandela aliuliwa jela yule alikuw kopi
@saadmoohd420018 күн бұрын
Kajikuhumu mwenyewe
@MbarakSoud20 күн бұрын
Bismilaahi rahmani raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi YAKE AMIN AMIN AMIN yaarab AMIN alhaamdulilaah namshukuru mungu tena sana kua na serikali yetu imara alhaamdulilaah HUYOOO ni haki yake kuhukumiwa maana ANAA adabu huyooo kama katumwa wamemdanganya sana huyooo acheki usoni ANAA furaha moyoni panamuumaa waliomtuma wamemuongopea wamemdanganya JAMANI heshima ni kituuu kikubwaaa sanaaa na amaaani ni kitu kikubwa sana alhaamdulilaah na si kwenye mitandaoni wamemchangia milioni tano na nusu hhhhhhh fimbo ataionaaa huyooo na fundisho Kwa wengine hapo
@amotvtz130223 күн бұрын
Zimbwela hauji
@zulfahaji9120 күн бұрын
Yaa jela mbona siku kidogo
@mohdkhalifa882820 күн бұрын
Hahahhaa😂 kweli kabsa hajawah kukaa ata selo maaaaaan izo secter ni nyengne kbsa hana anachokijua atulize cc
@user-ch2it3qt5z19 күн бұрын
😂😂😂nyie nao n machawa tu
@WilliamSairimo23 күн бұрын
Wliilam sairimo
@nurunewz10314 күн бұрын
Sijuhi kwanini nawasikiliza nyie!!!!!
@PugaWest20 күн бұрын
Yani kachoma picha kaenda jera tz bado sna 2na ukoroni mamboleo
@SaluMaige-sc8bm16 күн бұрын
Shujaa we2
@-kagerayetubw9jx22 күн бұрын
Inamana saivi mtu akichoma picha yangu nina haki ya kumshitaki????
@rayisadesigns264619 күн бұрын
MWACHE ACHEKE CHEKE TU, SIO PAZURI HUKO KUNA MENDE!! WATAMTAFUNA, AKITOKA KILANGA CHOTE KOMO... MAMMAEE 😂😂😂
@RaifaMbarouk21 күн бұрын
Isijekuwa akili kichwan mwake simepunguwa
@ramadhanimtetu365620 күн бұрын
Waliomtuma jamani wakamtoe Dogo 😂
@user-di8ng1df6c20 күн бұрын
Au ana matatizo ya akili?
@camilomassao897121 күн бұрын
Bora mmejua…. Hali ilivyo siyo yenyewe…..
@user-gr9dd3cg8f22 күн бұрын
Mpimeni akili kwanza
@shaqdizo767820 күн бұрын
NCHI YA KIPUMBAVU DEMOKRASIA IKO WAPI? KWANI KUCHOMA PICHA YA RAISI INAHUSIANA VIPI NA KUMFUNGA MTU? NCHI IMEOZA SHERIA HAZIFUATWI..KUMA LA MAMA YAKO MAMA SAMIA SULUHU
@MaugadoMaugado21 күн бұрын
Sio viherehere je hyu mtu alishawai kupimwa akil pia?
@KimanguShemwaliko-ht2jr20 күн бұрын
Kachoma moja nyingine tunafungia chawa na mende
@JohnMakongo-tg3ms22 күн бұрын
Nyie hamna uzarendo hasa huyu mwenye baragarashia vitisho vingi juu ya mwanarakati haki ni haki juu usiongee akati ndani unaelewa jaamaa huyu kathubutu
@juliussamwel660621 күн бұрын
Sio busara kuchoma picha ya kiongozi.ni dharau kubwa mno ikiwa siyo tu busara mtu kuchoma picha ya jirani yake kuna mambo mengine watanzania tuyakemee
@lifardKombolela22 күн бұрын
nyie waandishi nipasuwa kichwa unajuwa zembwela leo ndo nakutowa umaana atamkiwa upande ccm aina zamana mtayatimba mungu niwetu sote
@alfredbyangwamu982122 күн бұрын
PAMOJA NA KWAMBA ANAONEKANA NI MGONJWA WA AKILI!!! LAKINI MWACHE AENDE JERA AKAJIFUNZE KWANZA! LABDA ANAWEZA AKATOKA NA AKILI! AU NA ADABU INAYOWEZA IKAMSAIDIA MAISHANI!!! NA WAOVU WA JERA WASIWAPE RAHA!!! NDIYO MAANA WENGINE WANATOKA GEREZANI NA WANATAMANI KURUDI TENA GEREZANI!!!