Jifunze mbinu mbalimbali za kufanya biashara ya uwakala na kuongeza faida katika mtaji wako. ni hapahapa FOC ENTERTAINMENT MEDIA. Usisahau kusubscribe kulike kucomment maoni yako kisha share na wenzako. karibu sana
Пікірлер: 49
@monicamichael-sr4kx12 күн бұрын
vipi kuhusu wale ambao wanakuwa kama mawakala wa mitandao na bank pia na zile mashime pia
@daimunampupanga12796 жыл бұрын
It's really nice video, I will watching your posts, it's real fantastic
@mtewelehealth6 жыл бұрын
Daimu Nampupanga KARIBU
@borgianathan30176 жыл бұрын
Bigup DAIMU
@magrethrichard56535 жыл бұрын
asant kwa somo,vp kuhusu faida na jinsi ya kuanzaaaa?
@francishaule4475 жыл бұрын
Faida unapataje wanayoita cammission
@samweljoseph84155 ай бұрын
Napataje line
@user-vh2lc3lh6o7 ай бұрын
Napataje sasa izo lain yan process zake
@shamimgally74026 жыл бұрын
NYC kwel kwel
@mtewelehealth6 жыл бұрын
+shamim gally endelea kuwa nasi Usisahau kusaubscribe.
@ramadhanikondo61144 жыл бұрын
Hongera daimu na asante kwa somo
@bakaliabedi6782 жыл бұрын
Haaa
@malakimwanyila31744 жыл бұрын
Namba yako naomba
@malalezengo44055 жыл бұрын
safi sana mkuu Kwa somo nzur san mm ninauzoefuu nina kama mika 6 nafanya kazi hii ongera pia kwa somo
@mdomani24045 жыл бұрын
Me naomba kuuliza jinsi ya kupata Faida
@pauljulius16624 жыл бұрын
Fundisho namna ya kupata faida
@ZanzibarOrchestra4 жыл бұрын
Umejitahidi lkn inaonekana hujafikia kabisa matumaini ya hadhira wako, maana kila mtu anahitaji kujua faida na sio jinsi ya kuifanya biashara
@fatmasalim70355 жыл бұрын
Sasa kaka unatakiwa uwe na mtaji wa shilingi ngapi?
@salumbatash55122 жыл бұрын
Code yangu ya tigo nimeisahau nifanyeje
@mtewelehealth2 жыл бұрын
Nipigie 0768316304
@nusalim33895 жыл бұрын
je ikiwa unazungusha ml 5 kwa biashara hii kila siku unatarajia faida ya sh ngapi kwa mwezi?vilevile ukiwa unaweza zungusha hadi ml 10 kwa siku,hapo nazugumzia location yenyewe inaruhusu pili huo mtaji wenyewe pia upo
@malakimwanyila31744 жыл бұрын
Nafaidikaje kaka?
@rashidiomary13245 жыл бұрын
laki tano haitoshi
@hassaniothumani55014 жыл бұрын
Mi naanza na million 2 mkuu
@nipaelernest6623 жыл бұрын
niazime laki tatu tusaidiane umaskini
@asaszone13495 жыл бұрын
Tuma no ya whatsapp
@faudhiatmasoud40255 жыл бұрын
Binafsi ungetuwekea no ya simu au hata email yako kwa maelekezo zaidi jamani..