asante sana semina hii imefanya mabadiliko makubwa sana katika maisha yangu na kwa kuhudhulia semina hii nimeongeza mtandao mkubwa sana wa watu ambao wana kiu ya mafanikio.
@meditationanddepressionfre68147 ай бұрын
I needed this for my 2024 planning
@edwardmrosso48274 жыл бұрын
Kabla sijaanza kukusikiliza bro joel nilikua najiona najua kila kitu lakin nmekuja kugundua nilikua sijui kitu
@joelnanauka4 жыл бұрын
Edward Mrosso Nashukuru kwa kujifunza zaidi.Kujifunza hakuna mwisho
@maniamba.tz_4 жыл бұрын
Nakupata vizuri sana brother pia ninaimani wewe ni mmoja wa watu watakayo nifikisha mbali asante sana kwa kujitoa kwako kwa faida ya sisi wengine
@adelab.mwambambe17364 жыл бұрын
Hahaa best kumbe na wewe unamsikiliza Sana huyu jamaa daah Mungu ambariki sana
@mussajossy39144 жыл бұрын
Waooh kaka Joel nanauka Nipo hapa naisubiri Kwa ukaribu Zaidi sehemu HII ya pili ya kupangilia malengo 2020 na kuendelea Kazi nzuri Sana Kwa sehemu ya Kwanza Ur really original and unique
@joelnanauka4 жыл бұрын
Mussa Jossy safiiiii
@sumiodilo11804 жыл бұрын
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
@sylusyemmanuelngusu14074 жыл бұрын
Najifunza na nitaendelea kujifunza kila leo, kwa kuwa wakati ni sasa and one day one time I will be at the top of my achievement . God bless you Mr JN
@joelnanauka4 жыл бұрын
Sylusy Emmanuel Ng'usu See You At The Top
@sylusyemmanuelngusu14074 жыл бұрын
@@joelnanauka Thanks Coach
@sumiodilo11804 жыл бұрын
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
@echimunimalikia49753 жыл бұрын
Mungu akubarki unanifungua kila clip ninayoiangalia
@memastitus30634 жыл бұрын
Yaani kaka unanijenga sanaaa kiukweli najifunza mengi kutoka kwako na umenibadilisha
@joelnanauka4 жыл бұрын
Memas Titus nafurahi sana kusikia hivyo
@ElvisIrakoze-pj8ym5 ай бұрын
Wow!! Mwalimu mzuri sana! Mafunzo Yako ni muhimu mpaka tunatamani vidéo isiishe Mungu akubariki sana!
@mwamengele4 жыл бұрын
Komenti yangu ya 29 yeeeiiii! Brother you are waking up our people, good job
@joelnanauka4 жыл бұрын
Mengele Ugulumo Thanks Much 🙏🏻🙏🏻
@sumiodilo11804 жыл бұрын
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
@abdufatuma94204 жыл бұрын
Kaka Niko katika wakati Tata sana kwa Kila linalo nizunguka, lakini Niko na Mori kutaka timiza malengo yangu niliyokuwa tangu utotoni na sahii hizi naamini kabisa naweza nanataka kutimaza, but still I need motivation . Nimepitia mingi, maisha yangu naweza kuaandika kitabu. Kwa yaliyo nifika na Hadi Sasa lakini nimejitambua na kuona vikwazo vyote vilivokuwa vinanikwaza but now I need positive motivation with sincerety, Kaka Joel naomba usaidizi wako
@dannyerasto55094 жыл бұрын
Najifunza mengi kupitia masomo yako Mungu akuzidishie na kukuongezea miaka , wewe ni Wa faida.
@amedeusmassawe76825 ай бұрын
Mungu akubaribi brother kwa elimu hii unayotupa🙏
@dottnatt71104 жыл бұрын
Nilikuwa na malengo ya kujenga 2019,lkn umeisha sijafanikisha malengo yang!! Sasa naitaji msaada wa mawazo huu mwaka 2020 nifanukishe malengo yang kaka Joel..Please nisaidie nifanikushe maana ninafanya kazi na mshahara ninaolipwa ninauwezo wa kutimiza malengo yang lkn sijafaham nn tatizo linalonikwamisha naitaji msaada mkubwa wa mawazo zaid. Asante kwa somo nzur Mungu akubariki kaka kwa kazi yako ya kutuamsha tuliokuwa usinginzini kila siku🙏🙏
@shubackmashinga35354 жыл бұрын
Appreciate
@mrgiftjonathan87034 жыл бұрын
Asante sana kaka. Umenifungua sana ufahamu wangu kupitia somo hili. Zidi kubarikiwa mno wewe na Mke wako watoto Familia kwa ujumla wake.
@user-io8ok9pk2u6 ай бұрын
Ninapenda sana kukufuatilia na ninafanikiwa sana kupitia kwako
@awamkhalid53614 жыл бұрын
Off course hakuna maendeleo bila changamoto
@joelnanauka4 жыл бұрын
Awam Khalid Ni kweli kabisaaa
@ramakheri98244 жыл бұрын
Kazi nzur bro,atuna cha kukulipa ila God will pay you for us coz you are really life coach.
@jamesboniphace19524 жыл бұрын
Safi sana
@ussikhamisussi48824 жыл бұрын
Ahsante sana, nimejifunza mengi.
@pikanaauntzuu14662 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel umenisaidia kwa kiasi kikubwa kuendeleza kile ambacho nimekiaanzi kikweli nafanya kazi inanilipa vizuri tu lkn siipendi kila nikiamka asubuhi huwa na lalamika juu ya hii kazi lkn mwezi wa 5 mwaka huu nimeamua kuwekeza kwenye kilimo na nimeanza kununua mashamba kwasababu nafanya kazi kwa mkataba nataka panapo majaaliwa bac ndani ya miaka mi 3 niwe nimeachana na hii kazi napenda kilimo na napenda sana biashara ya chakula maana niko vizuri kwenye upishi mamboss zangu wamenisaidia sana kujua nafasi yangu ni ipo mimi ni mpishi mzuri hakuna mtu anakula chakula changu akasema kibaya japo nimeamua kuanza na kilomo kwanza baadae huko mbeleni Inshaallah nitakuja kufanya biashara ya chakula asante sana cjuti kbisa kuwa mwanafunzi wako Mwenyezi Mungu akubariki sana
@mdfahad7861 Жыл бұрын
dah asante sana kaka joel somo zuri
@mudimwambamuditz24274 жыл бұрын
Kuna mtu wanapiga kweli kazi naanaficha ela yake lakini anakosa kitu cha kufanya tuna msaidiaje huyu mtu
@andrewnday91274 жыл бұрын
Mungu akubariki sana. Yani ni zaidi ya chuo.
@edwinzacharia35014 жыл бұрын
Da nashukuru saana kwa kunitia moyo hasa kwenye kufanya kitu kwa mwendelezo imekuwa tatizo ktk maisha yangu. MUNGU akubariki saana
@josephinenestory23824 жыл бұрын
Inatia moyo sana. Kusudi la mungu kukuleta duniani umelitimiza!!!!.
@sempaykabayasson13304 жыл бұрын
Nimekuelewa sana brother nina imani nitafika mbali kupitia maneno yako, Mungu akujalie.
@joelnanauka4 жыл бұрын
Sempay Kabaya's son nami naamini utafika mbali pia
@sabrahkipalamoto52223 жыл бұрын
@@joelnanauka kaka j naomba namba yako niunge kweny group lako
@petermalesa31644 жыл бұрын
Asante Sana
@healinghomeprayercentre4 жыл бұрын
Thank you sir
@issackprimus39234 жыл бұрын
Naomba uniambie skills za public speaker zinazohitajika
@stargloria71066 ай бұрын
Thank you for this bro
@enockkagomba12614 жыл бұрын
Thanks my mentor CEO of ASA
@elizabethisaac10743 жыл бұрын
Asante joel
@fikretdumrek38614 жыл бұрын
Asante sana kaka
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Tunakuchukuru sana Thanks
@witnessmallya511410 ай бұрын
Dah, Joel pokea tu maua yako, mi binafsi akili yangu inaanza kubadilika. Thanks very much broo, naamini mafanikio yapo kwa kila mtu, ni namna tu unavyoji tune, 💪💪
@estamelejomah5724 жыл бұрын
Tuta kwenda sawa tu
@elizabethisaac10743 жыл бұрын
Joel.Mungu akupe maisha marefu tuzidi kujifunza kutoka kwako!!
@enockkagomba12614 жыл бұрын
Thanks my bro
@enockkagomba12614 жыл бұрын
Thanks my mentor
@giftamulike39964 жыл бұрын
2020 kwangu umekuwa wa baraka sana
@ombeningaya1224 жыл бұрын
Thanks we learn a lot important how to discover purpose...
@joelnanauka4 жыл бұрын
Ombeni Ngaya karibu sanaa
@kenedykitwange49254 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka joel
@michaelanyosisye84934 жыл бұрын
Asante
@fidiuskalekezi20494 жыл бұрын
Huwa nakuelewa sana mwaka juzi mwezi wa nane nilipata ajali mbaya ya gari nkiwa kitandani kwa zaidi ya mwaka mmoja nkajikuta naanza kukufatilia sasa nina zaidi ya mwaka nimepona lkn nimekuwa mtu mpya kabisa na mafanikio ndani ya muda mfupi kuliko zaidi ya miaka 8 kwenye mapambano yangu ya kimaisha.Mungu amekuinua kaka endelea na hii kazi utaokoa wengi.
@abelsanga26164 жыл бұрын
Fidius Kalekezi naomba nipate mawasiliano yako
@gatimakonge97494 жыл бұрын
Mungu mwenyewe akufunike kwa damu ya thamani kuu.
@hafsaali44232 жыл бұрын
Asante sana kaka.ubarikiwe najifunza vitu vizuri sana mimi ni meajiriwa ila kweli sipendi kazi nayo ifanya kabisa ila napenda sana kuwa mkulima yani naimani sana nikaanza kulima anakwenda kuwa mtu mkubwa sana
@ramzy52804 жыл бұрын
Allah akuzidishie kaka Joel
@mwanaumejasiri38353 жыл бұрын
Unanifurahisha sanaa maneno yako matam umenikumbusha mbalii
@Paul-ow2lt4 жыл бұрын
Ur very creative brooo b blessed
@hadijaabdallah4444 жыл бұрын
Nipo kundi number one
@JanvierVenas-ro9us8 ай бұрын
ubarikiwe kaka Joël
@evastesheni80242 жыл бұрын
Hongera unanisaidia sana, naomba kuonana nawe
@irenembilinyi46284 жыл бұрын
Barikiwa Sana brother joel
@jovinhodossantos86724 жыл бұрын
Kaka Joel kitabu cha timiza malengo nakipataje
@richardsaidi24482 жыл бұрын
Kazii nzurii
@moseskahamba42314 жыл бұрын
Darasa zuri sana,asante sana bro..
@drmbekiclinic3 жыл бұрын
Ahsante sana
@rehemagunda39683 жыл бұрын
Nimejifuza saana
@fadhilirashidi47644 жыл бұрын
Nliisubir sana Ngaja tu ntie bando la kitosha
@meleniaelikana73453 жыл бұрын
Ansante sana kaka
@tegamajan13174 жыл бұрын
Somo tosha sana Kama kuelewa nimeelewa
@MethodNdekele6 ай бұрын
Ani kaka wewe ni kitabu tosha mungu akubariki sana
@twalibunamangwa17644 жыл бұрын
unatisha mzee nakuelewa sana pamoja sana
@joachimlema32994 жыл бұрын
Soma lizur sana MrJoel
@edwardalfred11724 жыл бұрын
Nafurahi tena kuwa mwanafunz wako na kujifunza pia.
@ndeke_1544 жыл бұрын
Very insightful presentation. Thank you my brother
@joelnanauka4 жыл бұрын
ZACK VIP thanks so much
@gwakimwansombelo6735 Жыл бұрын
Aaa d,,D, D
@MaduhuGenge-bw6pp Жыл бұрын
Kweri kaka
@emmanuelmalele14394 жыл бұрын
Safi Sana Kaka
@kelsamtv55293 жыл бұрын
Ahsante mkuu
@chrismassawe3263 жыл бұрын
Nakuskiliza hapa najifunza
@dudapaschal65473 жыл бұрын
Najifunza vitu vingi sana bro Mungu akutie nguvu zaidi
@saidsuleiman74734 жыл бұрын
Nahitaji vitabu vyako nipo zanzibar
@joelnanauka4 жыл бұрын
Said Suleiman tembelea pale Darajani kwenye duka la Farouk Kareem linaitwa Masomo Bookshop,namba yake ni 0713251717
@abdufatuma94204 жыл бұрын
It's better late than never, you motivated me alot this is what I have been serched for 44 yrs. Now am here .......God is good . Naomba kupata namba yako kaka
@michaeltimoth3662 жыл бұрын
The Jack of all trade is the master of non
@deborahlaiton45783 жыл бұрын
Nzuri
@mrwambura3124 жыл бұрын
Uko vzr bro
@hawasaid83424 жыл бұрын
Barikiwa mno kaka Joel🙏🙏🙏🙏🔥
@joelnanauka4 жыл бұрын
Hawa Said Ameen
@luganomwakalukwa75174 жыл бұрын
Leo hii kali mr
@japhetchambanenje54834 жыл бұрын
Its more amaizing
@joelnanauka4 жыл бұрын
japhet chambanenje Thanks sanaa
@habibabora34044 жыл бұрын
Mimi nipo namba 3
@njuka35153 жыл бұрын
Kupitia Somo lako ndo naanza kujiamini sasa
@tatu3tatu5492 жыл бұрын
Napemda biashar na naifanya ila inanilioa kidog na nipo omn naosha vombo inanilipa lakin siipendi
@charlesfaida15154 жыл бұрын
Asante Kaka
@jumannemchezela8174 жыл бұрын
Nakuelewa Sana bor maana vitu ving Sana nimevipata kwako
@hamisimgaya78894 жыл бұрын
Nakukubali xana kk nanauka
@joelnanauka4 жыл бұрын
hamisi mgaya ahsante sanaaa
@charlzzesonconsciousness66854 жыл бұрын
Shule ya thamani sana hii brother!
@saidsuleiman74734 жыл бұрын
Njoo Zanzibar tunahitaji huduma hyo
@janethlwena24384 жыл бұрын
Joel unanitisha...kikubwa uhai😂😂😂Joke aside... have learnt alot and the implementation of whatever you have advice will put in action as am writing this to you. By the have have you plan to train kids? These presentation are so important to nurture our children as some of us we are lost but with your training we coming back to our senses. Thank you.
@judithmwambe47674 жыл бұрын
Ahsante sana kaka Joel. Your my Torch brother.
@joelnanauka4 жыл бұрын
Judith Mwambe 🙏🏻🙏🏻 nakutakia mafanikio makubwa Judith
@judithmwambe47674 жыл бұрын
@@joelnanauka Aemen.
@rhinakiza4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana amekupa kujitabuwa, God let me know why I am in this world👏👏👏🙏
@joelnanauka4 жыл бұрын
Rhina Gigi Safi sanaaaa
@rhinakiza4 жыл бұрын
@@joelnanauka mimi kabisa naomba Mungu aniongoze kila mara napaka niandike kitabu lakini nashidwa naomba Mungu sana aniondolea uzaifu ulio ndani yangu kwasababu kila mara na jinsi kuaandika nikiandika siku mbili unakuta na zebeya naacha please God this 2020 I am ready dear Jesus
@rhinakiza4 жыл бұрын
@@joelnanauka na mimi nitapenda uniunga nisha kwa group please +319 5510353
@sumiodilo11804 жыл бұрын
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
@juliethlobozi63583 жыл бұрын
Shalom Kaka Joel Asante Sana kwa masomo yako samahani nawezaje kujiunga na couching system yako jmn
@juliethlobozi63583 жыл бұрын
Nahitaji ww uwe accountability partner wangu 2021
@brayufulala57484 жыл бұрын
Mimi nafanya kitu nakipenda nakinanilipa ila bajet inanishinda
@maniamba.tz_4 жыл бұрын
Duh btother nimekusoma maana bonge la nondo umenipiga hapo
@hassanovajunior69724 жыл бұрын
My all time Mentor JOEL may God bless you my brother you're doing a very good job to help others to be successful on their lives #SeeYouatTheTop 🙏🙏
@AfiSoul1034 жыл бұрын
M/mungu akuwekee naandika kila hatua..na namuomba Allah anisaidie kutimiza malengo yangu...
@njuka35153 жыл бұрын
Mimi namba 2
@mwaisemartin79194 жыл бұрын
brother joel nanauka wengine tunajifunza kupitia videos kama hizi ila changamoto ni kuwa nyingine sauti zake ziko chini sana ata kama nikiongeza sauti mpaka mwisho, kwa hiyo napata shida sana kusikia kwa kweli ila napenda sana kusikia, kuangalia video zako asante
@francisbazila14174 жыл бұрын
nawezaje kupata hicho kitini kwa njia ya softcopy na ni kwa bei gani ?
@omariaman57834 жыл бұрын
Kaka nakukubali kinyama
@joelnanauka4 жыл бұрын
Omari Aman pamoja sanaaa👍🏻👍🏻
@mwaisemartin79194 жыл бұрын
na pia najifunza kupitia hizi hizi video naomba unisaidie kwa hilo nahisi itakuwa ni mike
@vannysalum35362 жыл бұрын
Samahan je hicho kitabu Cha timiza malengo , naweza kukipata kwa software labda Kuna app yoyote yakuweza dowled.