Jinsi ya kupangilia Mwaka Wako - sehemu ya pili (Designing Your Year Part 2)

  Рет қаралды 95,428

Joel Nanauka

Joel Nanauka

4 жыл бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 192
@citymaxbookshoptanzania2924
@citymaxbookshoptanzania2924 4 жыл бұрын
asante sana semina hii imefanya mabadiliko makubwa sana katika maisha yangu na kwa kuhudhulia semina hii nimeongeza mtandao mkubwa sana wa watu ambao wana kiu ya mafanikio.
@meditationanddepressionfre6814
@meditationanddepressionfre6814 7 ай бұрын
I needed this for my 2024 planning
@edwardmrosso4827
@edwardmrosso4827 4 жыл бұрын
Kabla sijaanza kukusikiliza bro joel nilikua najiona najua kila kitu lakin nmekuja kugundua nilikua sijui kitu
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Edward Mrosso Nashukuru kwa kujifunza zaidi.Kujifunza hakuna mwisho
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ 4 жыл бұрын
Nakupata vizuri sana brother pia ninaimani wewe ni mmoja wa watu watakayo nifikisha mbali asante sana kwa kujitoa kwako kwa faida ya sisi wengine
@adelab.mwambambe1736
@adelab.mwambambe1736 4 жыл бұрын
Hahaa best kumbe na wewe unamsikiliza Sana huyu jamaa daah Mungu ambariki sana
@mussajossy3914
@mussajossy3914 4 жыл бұрын
Waooh kaka Joel nanauka Nipo hapa naisubiri Kwa ukaribu Zaidi sehemu HII ya pili ya kupangilia malengo 2020 na kuendelea Kazi nzuri Sana Kwa sehemu ya Kwanza Ur really original and unique
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Mussa Jossy safiiiii
@sumiodilo1180
@sumiodilo1180 4 жыл бұрын
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
@sylusyemmanuelngusu1407
@sylusyemmanuelngusu1407 4 жыл бұрын
Najifunza na nitaendelea kujifunza kila leo, kwa kuwa wakati ni sasa and one day one time I will be at the top of my achievement . God bless you Mr JN
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Sylusy Emmanuel Ng'usu See You At The Top
@sylusyemmanuelngusu1407
@sylusyemmanuelngusu1407 4 жыл бұрын
@@joelnanauka Thanks Coach
@sumiodilo1180
@sumiodilo1180 4 жыл бұрын
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
@echimunimalikia4975
@echimunimalikia4975 3 жыл бұрын
Mungu akubarki unanifungua kila clip ninayoiangalia
@memastitus3063
@memastitus3063 4 жыл бұрын
Yaani kaka unanijenga sanaaa kiukweli najifunza mengi kutoka kwako na umenibadilisha
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Memas Titus nafurahi sana kusikia hivyo
@ElvisIrakoze-pj8ym
@ElvisIrakoze-pj8ym 5 ай бұрын
Wow!! Mwalimu mzuri sana! Mafunzo Yako ni muhimu mpaka tunatamani vidéo isiishe Mungu akubariki sana!
@mwamengele
@mwamengele 4 жыл бұрын
Komenti yangu ya 29 yeeeiiii! Brother you are waking up our people, good job
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Mengele Ugulumo Thanks Much 🙏🏻🙏🏻
@sumiodilo1180
@sumiodilo1180 4 жыл бұрын
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
@abdufatuma9420
@abdufatuma9420 4 жыл бұрын
Kaka Niko katika wakati Tata sana kwa Kila linalo nizunguka, lakini Niko na Mori kutaka timiza malengo yangu niliyokuwa tangu utotoni na sahii hizi naamini kabisa naweza nanataka kutimaza, but still I need motivation . Nimepitia mingi, maisha yangu naweza kuaandika kitabu. Kwa yaliyo nifika na Hadi Sasa lakini nimejitambua na kuona vikwazo vyote vilivokuwa vinanikwaza but now I need positive motivation with sincerety, Kaka Joel naomba usaidizi wako
@dannyerasto5509
@dannyerasto5509 4 жыл бұрын
Najifunza mengi kupitia masomo yako Mungu akuzidishie na kukuongezea miaka , wewe ni Wa faida.
@amedeusmassawe7682
@amedeusmassawe7682 5 ай бұрын
Mungu akubaribi brother kwa elimu hii unayotupa🙏
@dottnatt7110
@dottnatt7110 4 жыл бұрын
Nilikuwa na malengo ya kujenga 2019,lkn umeisha sijafanikisha malengo yang!! Sasa naitaji msaada wa mawazo huu mwaka 2020 nifanukishe malengo yang kaka Joel..Please nisaidie nifanikushe maana ninafanya kazi na mshahara ninaolipwa ninauwezo wa kutimiza malengo yang lkn sijafaham nn tatizo linalonikwamisha naitaji msaada mkubwa wa mawazo zaid. Asante kwa somo nzur Mungu akubariki kaka kwa kazi yako ya kutuamsha tuliokuwa usinginzini kila siku🙏🙏
@shubackmashinga3535
@shubackmashinga3535 4 жыл бұрын
Appreciate
@mrgiftjonathan8703
@mrgiftjonathan8703 4 жыл бұрын
Asante sana kaka. Umenifungua sana ufahamu wangu kupitia somo hili. Zidi kubarikiwa mno wewe na Mke wako watoto Familia kwa ujumla wake.
@user-io8ok9pk2u
@user-io8ok9pk2u 6 ай бұрын
Ninapenda sana kukufuatilia na ninafanikiwa sana kupitia kwako
@awamkhalid5361
@awamkhalid5361 4 жыл бұрын
Off course hakuna maendeleo bila changamoto
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Awam Khalid Ni kweli kabisaaa
@ramakheri9824
@ramakheri9824 4 жыл бұрын
Kazi nzur bro,atuna cha kukulipa ila God will pay you for us coz you are really life coach.
@jamesboniphace1952
@jamesboniphace1952 4 жыл бұрын
Safi sana
@ussikhamisussi4882
@ussikhamisussi4882 4 жыл бұрын
Ahsante sana, nimejifunza mengi.
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 2 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel umenisaidia kwa kiasi kikubwa kuendeleza kile ambacho nimekiaanzi kikweli nafanya kazi inanilipa vizuri tu lkn siipendi kila nikiamka asubuhi huwa na lalamika juu ya hii kazi lkn mwezi wa 5 mwaka huu nimeamua kuwekeza kwenye kilimo na nimeanza kununua mashamba kwasababu nafanya kazi kwa mkataba nataka panapo majaaliwa bac ndani ya miaka mi 3 niwe nimeachana na hii kazi napenda kilimo na napenda sana biashara ya chakula maana niko vizuri kwenye upishi mamboss zangu wamenisaidia sana kujua nafasi yangu ni ipo mimi ni mpishi mzuri hakuna mtu anakula chakula changu akasema kibaya japo nimeamua kuanza na kilomo kwanza baadae huko mbeleni Inshaallah nitakuja kufanya biashara ya chakula asante sana cjuti kbisa kuwa mwanafunzi wako Mwenyezi Mungu akubariki sana
@mdfahad7861
@mdfahad7861 Жыл бұрын
dah asante sana kaka joel somo zuri
@mudimwambamuditz2427
@mudimwambamuditz2427 4 жыл бұрын
Kuna mtu wanapiga kweli kazi naanaficha ela yake lakini anakosa kitu cha kufanya tuna msaidiaje huyu mtu
@andrewnday9127
@andrewnday9127 4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana. Yani ni zaidi ya chuo.
@edwinzacharia3501
@edwinzacharia3501 4 жыл бұрын
Da nashukuru saana kwa kunitia moyo hasa kwenye kufanya kitu kwa mwendelezo imekuwa tatizo ktk maisha yangu. MUNGU akubariki saana
@josephinenestory2382
@josephinenestory2382 4 жыл бұрын
Inatia moyo sana. Kusudi la mungu kukuleta duniani umelitimiza!!!!.
@sempaykabayasson1330
@sempaykabayasson1330 4 жыл бұрын
Nimekuelewa sana brother nina imani nitafika mbali kupitia maneno yako, Mungu akujalie.
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Sempay Kabaya's son nami naamini utafika mbali pia
@sabrahkipalamoto5222
@sabrahkipalamoto5222 3 жыл бұрын
@@joelnanauka kaka j naomba namba yako niunge kweny group lako
@petermalesa3164
@petermalesa3164 4 жыл бұрын
Asante Sana
@healinghomeprayercentre
@healinghomeprayercentre 4 жыл бұрын
Thank you sir
@issackprimus3923
@issackprimus3923 4 жыл бұрын
Naomba uniambie skills za public speaker zinazohitajika
@stargloria7106
@stargloria7106 6 ай бұрын
Thank you for this bro
@enockkagomba1261
@enockkagomba1261 4 жыл бұрын
Thanks my mentor CEO of ASA
@elizabethisaac1074
@elizabethisaac1074 3 жыл бұрын
Asante joel
@fikretdumrek3861
@fikretdumrek3861 4 жыл бұрын
Asante sana kaka
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Tunakuchukuru sana Thanks
@witnessmallya5114
@witnessmallya5114 10 ай бұрын
Dah, Joel pokea tu maua yako, mi binafsi akili yangu inaanza kubadilika. Thanks very much broo, naamini mafanikio yapo kwa kila mtu, ni namna tu unavyoji tune, 💪💪
@estamelejomah572
@estamelejomah572 4 жыл бұрын
Tuta kwenda sawa tu
@elizabethisaac1074
@elizabethisaac1074 3 жыл бұрын
Joel.Mungu akupe maisha marefu tuzidi kujifunza kutoka kwako!!
@enockkagomba1261
@enockkagomba1261 4 жыл бұрын
Thanks my bro
@enockkagomba1261
@enockkagomba1261 4 жыл бұрын
Thanks my mentor
@giftamulike3996
@giftamulike3996 4 жыл бұрын
2020 kwangu umekuwa wa baraka sana
@ombeningaya122
@ombeningaya122 4 жыл бұрын
Thanks we learn a lot important how to discover purpose...
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Ombeni Ngaya karibu sanaa
@kenedykitwange4925
@kenedykitwange4925 4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka joel
@michaelanyosisye8493
@michaelanyosisye8493 4 жыл бұрын
Asante
@fidiuskalekezi2049
@fidiuskalekezi2049 4 жыл бұрын
Huwa nakuelewa sana mwaka juzi mwezi wa nane nilipata ajali mbaya ya gari nkiwa kitandani kwa zaidi ya mwaka mmoja nkajikuta naanza kukufatilia sasa nina zaidi ya mwaka nimepona lkn nimekuwa mtu mpya kabisa na mafanikio ndani ya muda mfupi kuliko zaidi ya miaka 8 kwenye mapambano yangu ya kimaisha.Mungu amekuinua kaka endelea na hii kazi utaokoa wengi.
@abelsanga2616
@abelsanga2616 4 жыл бұрын
Fidius Kalekezi naomba nipate mawasiliano yako
@gatimakonge9749
@gatimakonge9749 4 жыл бұрын
Mungu mwenyewe akufunike kwa damu ya thamani kuu.
@hafsaali4423
@hafsaali4423 2 жыл бұрын
Asante sana kaka.ubarikiwe najifunza vitu vizuri sana mimi ni meajiriwa ila kweli sipendi kazi nayo ifanya kabisa ila napenda sana kuwa mkulima yani naimani sana nikaanza kulima anakwenda kuwa mtu mkubwa sana
@ramzy5280
@ramzy5280 4 жыл бұрын
Allah akuzidishie kaka Joel
@mwanaumejasiri3835
@mwanaumejasiri3835 3 жыл бұрын
Unanifurahisha sanaa maneno yako matam umenikumbusha mbalii
@Paul-ow2lt
@Paul-ow2lt 4 жыл бұрын
Ur very creative brooo b blessed
@hadijaabdallah444
@hadijaabdallah444 4 жыл бұрын
Nipo kundi number one
@JanvierVenas-ro9us
@JanvierVenas-ro9us 8 ай бұрын
ubarikiwe kaka Joël
@evastesheni8024
@evastesheni8024 2 жыл бұрын
Hongera unanisaidia sana, naomba kuonana nawe
@irenembilinyi4628
@irenembilinyi4628 4 жыл бұрын
Barikiwa Sana brother joel
@jovinhodossantos8672
@jovinhodossantos8672 4 жыл бұрын
Kaka Joel kitabu cha timiza malengo nakipataje
@richardsaidi2448
@richardsaidi2448 2 жыл бұрын
Kazii nzurii
@moseskahamba4231
@moseskahamba4231 4 жыл бұрын
Darasa zuri sana,asante sana bro..
@drmbekiclinic
@drmbekiclinic 3 жыл бұрын
Ahsante sana
@rehemagunda3968
@rehemagunda3968 3 жыл бұрын
Nimejifuza saana
@fadhilirashidi4764
@fadhilirashidi4764 4 жыл бұрын
Nliisubir sana Ngaja tu ntie bando la kitosha
@meleniaelikana7345
@meleniaelikana7345 3 жыл бұрын
Ansante sana kaka
@tegamajan1317
@tegamajan1317 4 жыл бұрын
Somo tosha sana Kama kuelewa nimeelewa
@MethodNdekele
@MethodNdekele 6 ай бұрын
Ani kaka wewe ni kitabu tosha mungu akubariki sana
@twalibunamangwa1764
@twalibunamangwa1764 4 жыл бұрын
unatisha mzee nakuelewa sana pamoja sana
@joachimlema3299
@joachimlema3299 4 жыл бұрын
Soma lizur sana MrJoel
@edwardalfred1172
@edwardalfred1172 4 жыл бұрын
Nafurahi tena kuwa mwanafunz wako na kujifunza pia.
@ndeke_154
@ndeke_154 4 жыл бұрын
Very insightful presentation. Thank you my brother
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
ZACK VIP thanks so much
@gwakimwansombelo6735
@gwakimwansombelo6735 Жыл бұрын
Aaa d,,D, D
@MaduhuGenge-bw6pp
@MaduhuGenge-bw6pp Жыл бұрын
Kweri kaka
@emmanuelmalele1439
@emmanuelmalele1439 4 жыл бұрын
Safi Sana Kaka
@kelsamtv5529
@kelsamtv5529 3 жыл бұрын
Ahsante mkuu
@chrismassawe326
@chrismassawe326 3 жыл бұрын
Nakuskiliza hapa najifunza
@dudapaschal6547
@dudapaschal6547 3 жыл бұрын
Najifunza vitu vingi sana bro Mungu akutie nguvu zaidi
@saidsuleiman7473
@saidsuleiman7473 4 жыл бұрын
Nahitaji vitabu vyako nipo zanzibar
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Said Suleiman tembelea pale Darajani kwenye duka la Farouk Kareem linaitwa Masomo Bookshop,namba yake ni 0713251717
@abdufatuma9420
@abdufatuma9420 4 жыл бұрын
It's better late than never, you motivated me alot this is what I have been serched for 44 yrs. Now am here .......God is good . Naomba kupata namba yako kaka
@michaeltimoth366
@michaeltimoth366 2 жыл бұрын
The Jack of all trade is the master of non
@deborahlaiton4578
@deborahlaiton4578 3 жыл бұрын
Nzuri
@mrwambura312
@mrwambura312 4 жыл бұрын
Uko vzr bro
@hawasaid8342
@hawasaid8342 4 жыл бұрын
Barikiwa mno kaka Joel🙏🙏🙏🙏🔥
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Hawa Said Ameen
@luganomwakalukwa7517
@luganomwakalukwa7517 4 жыл бұрын
Leo hii kali mr
@japhetchambanenje5483
@japhetchambanenje5483 4 жыл бұрын
Its more amaizing
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
japhet chambanenje Thanks sanaa
@habibabora3404
@habibabora3404 4 жыл бұрын
Mimi nipo namba 3
@njuka3515
@njuka3515 3 жыл бұрын
Kupitia Somo lako ndo naanza kujiamini sasa
@tatu3tatu549
@tatu3tatu549 2 жыл бұрын
Napemda biashar na naifanya ila inanilioa kidog na nipo omn naosha vombo inanilipa lakin siipendi
@charlesfaida1515
@charlesfaida1515 4 жыл бұрын
Asante Kaka
@jumannemchezela817
@jumannemchezela817 4 жыл бұрын
Nakuelewa Sana bor maana vitu ving Sana nimevipata kwako
@hamisimgaya7889
@hamisimgaya7889 4 жыл бұрын
Nakukubali xana kk nanauka
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
hamisi mgaya ahsante sanaaa
@charlzzesonconsciousness6685
@charlzzesonconsciousness6685 4 жыл бұрын
Shule ya thamani sana hii brother!
@saidsuleiman7473
@saidsuleiman7473 4 жыл бұрын
Njoo Zanzibar tunahitaji huduma hyo
@janethlwena2438
@janethlwena2438 4 жыл бұрын
Joel unanitisha...kikubwa uhai😂😂😂Joke aside... have learnt alot and the implementation of whatever you have advice will put in action as am writing this to you. By the have have you plan to train kids? These presentation are so important to nurture our children as some of us we are lost but with your training we coming back to our senses. Thank you.
@judithmwambe4767
@judithmwambe4767 4 жыл бұрын
Ahsante sana kaka Joel. Your my Torch brother.
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Judith Mwambe 🙏🏻🙏🏻 nakutakia mafanikio makubwa Judith
@judithmwambe4767
@judithmwambe4767 4 жыл бұрын
@@joelnanauka Aemen.
@rhinakiza
@rhinakiza 4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana amekupa kujitabuwa, God let me know why I am in this world👏👏👏🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Rhina Gigi Safi sanaaaa
@rhinakiza
@rhinakiza 4 жыл бұрын
@@joelnanauka mimi kabisa naomba Mungu aniongoze kila mara napaka niandike kitabu lakini nashidwa naomba Mungu sana aniondolea uzaifu ulio ndani yangu kwasababu kila mara na jinsi kuaandika nikiandika siku mbili unakuta na zebeya naacha please God this 2020 I am ready dear Jesus
@rhinakiza
@rhinakiza 4 жыл бұрын
@@joelnanauka na mimi nitapenda uniunga nisha kwa group please +319 5510353
@sumiodilo1180
@sumiodilo1180 4 жыл бұрын
HALOW RAFIKI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HABARI NJEMA . Kupitia kampuni ya Avance Media yenye makao yake makuu nchini Ghana imetoa orodha ya VIJANA 50 wenye ushawishi nchini Tanzania kwa mwaka 2019.Ndugu yetu Joel Nanauka ametajwa kama mmoja wa vijana hao katika eneo la PERSONAL DEVELOPMENT&ACADEMIA. . Kwa sasa hatua inayofuata ni kuweka orodha kuanzia wa kwanza hadi wa hamsini itakayotokana na kura yako ambayo hautumii gharama yoyote ile kuipiga. . Unachotakiwa kufanya: . 1) Tembelea hapa (Bonyeza hapa) tz.avancemedia.org 2)Nenda palipoandikwa Personal Development&Academia 3)Chagua jina la Joel Nanauka 4)Jaza jina lako, Email yako na namba yako ya simu kisha bonyesha kitufe cha VOTE. . Zoezi hili litakuchukua dakika 3 ukipiga kura tutaarifu hapa kwenye comment. . AHSANTE SANA KWA KUMPIGIA KURA JOEL NANAUKA.Hakikisha namba yako ya simu unajaza kwa kuanza na +255 badala ya sifuri. Mfano: +255786245234 . See You At The Top . Bonyeza tz.avancemedia.org upige kura sasahivi usighairishe 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 USISAHAU KUSHARE NA WENGINE TAFADHALI.Ukimaliza kupiga kura unaweza kupendekeza jina lake tena pale chini kwa ajili ya mwaka 2020 tena🙏🏻🙏🏻.KUMBUKA UNAWEZA KUPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA.
@juliethlobozi6358
@juliethlobozi6358 3 жыл бұрын
Shalom Kaka Joel Asante Sana kwa masomo yako samahani nawezaje kujiunga na couching system yako jmn
@juliethlobozi6358
@juliethlobozi6358 3 жыл бұрын
Nahitaji ww uwe accountability partner wangu 2021
@brayufulala5748
@brayufulala5748 4 жыл бұрын
Mimi nafanya kitu nakipenda nakinanilipa ila bajet inanishinda
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ 4 жыл бұрын
Duh btother nimekusoma maana bonge la nondo umenipiga hapo
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 4 жыл бұрын
My all time Mentor JOEL may God bless you my brother you're doing a very good job to help others to be successful on their lives #SeeYouatTheTop 🙏🙏
@AfiSoul103
@AfiSoul103 4 жыл бұрын
M/mungu akuwekee naandika kila hatua..na namuomba Allah anisaidie kutimiza malengo yangu...
@njuka3515
@njuka3515 3 жыл бұрын
Mimi namba 2
@mwaisemartin7919
@mwaisemartin7919 4 жыл бұрын
brother joel nanauka wengine tunajifunza kupitia videos kama hizi ila changamoto ni kuwa nyingine sauti zake ziko chini sana ata kama nikiongeza sauti mpaka mwisho, kwa hiyo napata shida sana kusikia kwa kweli ila napenda sana kusikia, kuangalia video zako asante
@francisbazila1417
@francisbazila1417 4 жыл бұрын
nawezaje kupata hicho kitini kwa njia ya softcopy na ni kwa bei gani ?
@omariaman5783
@omariaman5783 4 жыл бұрын
Kaka nakukubali kinyama
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Omari Aman pamoja sanaaa👍🏻👍🏻
@mwaisemartin7919
@mwaisemartin7919 4 жыл бұрын
na pia najifunza kupitia hizi hizi video naomba unisaidie kwa hilo nahisi itakuwa ni mike
@vannysalum3536
@vannysalum3536 2 жыл бұрын
Samahan je hicho kitabu Cha timiza malengo , naweza kukipata kwa software labda Kuna app yoyote yakuweza dowled.
UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA
1:11:22
Joel Nanauka
Рет қаралды 174 М.
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 38 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 150 МЛН
MAMBO 7 YA KUJIFUNZA KABLA HUJAWA MJASIRIAMALI by Anthony Luvanda
50:04
TonyInspirationalTalk
Рет қаралды 293 М.
KUSUDI LA MAISHA YAKO - JOEL NANAUKA EPISODE 02
10:00
Family of Praying Women
Рет қаралды 9 М.
Huwezi Kufanikiwa Kifedha Bila Kuyajua Haya - Edmund Munyagi
14:27
Joel Nanauka - Vitu Vinavyozuia Watu Wasifikie Malengo Yao
35:09
Sadhguru Speeches: The Hidden Weapon Against Feeling Unfulfilled!
2:09:11
Evan Carmichael
Рет қаралды 631 М.
Je,Wewe Una Maono Gani Kwenye Maisha Yako?
46:51
Joel Nanauka
Рет қаралды 177 М.
Watu Unaopaswa Kukutana Nao Kwenye Mwanzo Mpya (Day 2) - Pastor Joel Nanauka
1:38:36
Total Healing Ministries
Рет қаралды 20 М.
MAISHA NI ZAIDI YA MASOMO YA DARASANI - ANTHONY LUVANDA
23:53
TonyInspirationalTalk
Рет қаралды 40 М.
UNAWEZAJE KUONGOZA BILA KUTUMIA CHEO AU NAFASI - JOELNANAUKA
1:06:28
Joel Nanauka
Рет қаралды 38 М.