Nalisubilia hili SoMo kwa udi na uvumba ,, hakika umekuwa ufungu0 katika maisha yangu,,, ipo siku nitakuja kutoa ushuuda mbele yako kwani nmeehapiga hatua Sana kupitia ebook ya MONEY FORMULA,,, ishi miaka mingi Sana boss joel
@afrasionpallangyo9573
Katika familia yetu upande wa baba na mama kulikuwa na utumwa wa ujinga i mean ule wa kutokusoma na kama mtu amisoma sana basi anaishia la saba, ilipofika kwetu Kuna mtu alikuja kutamka maneno kuwa hatutakiwi kwenda secondary lakini mama yangu alimpinga na akatamka maneno ya ushindi, wapo waliofika Hadi chuo kikuu, hivyo kushinda utumwa inawezekana kabisa
@gloriakawago6223
Spiritual Slave hiyo inanirudisha nyuma saana, nimejitahid kutafuta, kufanya biashara lkn nikianza kurud nyuma utanionea huruma, had sielewi
@bernadetachari7648
Asante sana mwalimu.utumwa mutu huupata pale anapokuwa hana chochote chakufanya sasa inabidi ujikaze 2 njapo umechoka ama hupendi
@shukranjulius9526
Barikiwa zaidi kaka Joel, naanza sasa kjitoa kwenye baazi ya utumwa ,Mungu anisaidie
@RitherLivigha-blessed
Nimejifunza kituuuuu,,asant broo,
@brackskinyozi328014 күн бұрын
Asante kaka Joel mungu azidi kukubariki nimejifunza...Nita share kwa ndugu n marafiki 🙏
@lucasmganga2811
Da! Bro umenigusa Sana hiyo aina Ya tano utumwa wa kitabia hakika naamini umenifungua akili yangu upya MUNGU AKUJALIE MAISHA MAREFU ZAIDI Lakini pia Mimi nitaendelea kuwa barozi wako katika mafunzo yako kwa wengine 🙏🙏🙏✍️✍️✍️
@engelbertkiondo4014
Mwl. Nanauka mungu akubariki. Watu ni watumwa kwa kiwango kikubwa hasa kidini...na kitaaluma
@user-ko1zl4ul2j
God bless you so much servant of God
@lilianjoseph1144
I see me at the TOP! Kuna viwango ninakwenda kwa kujifunza kutoka kwako kaka Nanauka!
@glorysilayo6894
Ubarikiwe sana kaka Joel ni mda sasa wa kujitoa kweny utumwa flan....
@lennydeelly3359
Mungu akulinde bro….60% umenigusa now its a time to change my mind
@noelkivamba5526
Kuanzia leo naondoka kwenye utumwa wa kisasa .....se me at the top
@user-cv2js2oc6g
Mh asilamia 70 Umenigusa Mungu anipe Neema ya kutoka katika utumwa
@issamanongi1902
Habar yako mwalimu nilipotea online lakini sasa nimerudi naendelea kufatilia mafundisho yako mungu akubariki 👏
@Abdulrahmanhassan18
Naomba unifundishe dalili za watu wanaotaka kukutawala ahsante sana
@annakareem3753
A very powerful message📌, thanks for sharing 🙏🏽
@user-nu6ge7rg7n
Kaka mm kila siku lazima nipate SoMo lako barikiwa sana