Thank you so much. Nimekutana na Abusive Jerk na Leaving is the best idea kabisa
@kokudo83895 жыл бұрын
Kuna watu humu kwenye comments ni maboss na wanasifa hizo zote hapo juu Niwashauri tu poneni kwa jina la Yesu
@guadenciamapunda65932 жыл бұрын
Iam so touched, thank you!!
@luccabosslugendo97226 жыл бұрын
nimejifunza mengi ktk somo hill...asante Joe!
@amanimoshi66702 жыл бұрын
Ahsante sana Joel. Nimejifunza mengi kwenye SoMo hili. Siyo kwa kuwatambua maboss wetu tuu, pia namna Bora ya kuwa maboss kwa walio chini yetu. Nadhani hatà kwa level ya familia inaweza Ika apply
@awalimunishi6 жыл бұрын
hahahahahahah hiii ya big got niliwahi kukutana na teacher wa style hii nikiwa secondary yaani alikuwa tu anipendi yule madam nilinotice sasa alikuwa anafundisha kingereza,kuna siku alitupa test ktk composition akatupa maswali ya kuchagua kuandika essay moja wapo lilitaka kuandika teacher unayempenda nilimmwagia sifa hizoo macho kama gololi,shingo ya upanga mbona alinipendaaa,hadi nikawa nakula ndizi kwake hahahahahahahahah.
@charlesmngongo14326 жыл бұрын
Thanks for your good lesson
@ahmedkombo693911 ай бұрын
Kaka Joel hongera sana, kwa hakika una maadini sana. Mungu akubariki sana. Big up
@alexjeremiah558910 ай бұрын
First and Last Form of BOSS we are working Together in fact there are full of challenges...Thanks Bro J Nanauka
@esthermichael3989 Жыл бұрын
Asante sana kwa somo hili maana limenifungua ufahamu. Uzidi kubarikiwa.
@abdallahshee384 жыл бұрын
Thank you bro, I have had BOSS with all the 6 characters.
@damiankimaro89192 жыл бұрын
Daaaaah pole brow
@jacksonmthomas65193 жыл бұрын
Nshakutananao, mostly ni aina zote za mabos ulizotaja kwa muhind hukos ase
@Kinana-tj9vhАй бұрын
Kweli kaka j n mimi Bos wangu yupo yaani anahofu mda wowote haniayamini Mungu akuongoze,ili,utufundishe zaidi
@bazompolaphilbert2 ай бұрын
Asante sana . Wapo wengi, Umenena ukwer be blessed mr
@mwitachegere27166 жыл бұрын
Haha, kila niliyokuwa nasikiliza, sifa zote zinaenda kwa supervisor wangu. Inasikitisha kwa kweli. Asante kaka Joel kwa video hii, imenifunza mengi mno, sio kwa boss wangu tu kwa sasa, lakini hata mimi nilipo boss sasa hivi na baadae kama kiongozi.
@ayshaayush85396 жыл бұрын
Asante sana kwa mafunzo mazuri unayotupa
@aminielyusufu4351 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana boss 4&5nimekuwa nao
@Maulidfundi6 жыл бұрын
Na mm nimejiajil nakutana watu tofauti kila cku,,,,ASA VP ntapata mda wa kumzoea Mteja wangu,,,ambaye amekuja kama bosi wang!!!,
@wittyberry38975 жыл бұрын
Elimu nzuri sana, Asante kwa kutuelimishe
@janethmunisi71992 жыл бұрын
Ur my life monitor...may God keep you bro
@wilsonmushi81312 жыл бұрын
Somo zuri sanaaa....
@ibrahimnassor5 жыл бұрын
Ahsante kaka kwa muongoza sasa nta dili nao..kinaga ubaga...
@frankmsangi8 ай бұрын
Asante Sana broo somo lako ni zuri sana Aisee nimejifunza vitu vingi sana Mungu akubariki sana sana kaka Asante san na iyo point ya abusive jeck imenigusa sana... 🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@godfreymuntagu93063 жыл бұрын
safi. sana Mr Joel, mm nimekutana nao na.mpaka.sasa tuko nao ,nimefurahi kwa jinsi ulivyo fafanua maboss aina hii ubarikiwe sana
@janethmunisi71992 жыл бұрын
Asante....Sasa inakuwa ngum sana km area of interest ya boss wangu ni timu ya yanga...loooh Bora niache kazi.
@user-dq6gs9vy1o Жыл бұрын
nafatiria sana mafundisho yako
@husseinmasuke73576 жыл бұрын
Your my inspiration bro may God bless You!!!
@ayoubfredy55156 жыл бұрын
Daaah Sure Joel bro like kama aina tatu zinanihusu hapo lakini hzi mbili Micromanagers, biggot, zinajionesha moja kwa moja umetisha sana bro Mungu akubariki ngetamani kujifunza zaidi
@JanethLazaro-dj3bs Жыл бұрын
Asante sana somo nzili sana ya Mimi bosi wangu ni mtu walama sana kilakitu ana laumu sana hata sijui nimufanyeje
@hekimalugome7133 Жыл бұрын
Nakuelewa xana kaka
@4gtradingimpex201 Жыл бұрын
Somo zuri sana napitia hii hali kwa sasa inatia uchungu sana ila Mwenyezi Mungu ni mwingi wa Rehema sababu unakuta kazi ingine kupata si rahisi so what to do unamuomba mungu kwa kila hali mimi ufikia hata nikiingia kwenye kikao napiga magoti kwa siri huku kikao kikiendelea kumuomba mungu uwepo wake katika kikao mpaka mwisho
@adrianaciku18126 жыл бұрын
My boss she is indifferent boss and micromanagers its hectic to deal with her ..and i always choice to be silence
@rumishamsaki59443 жыл бұрын
Asanteh sana brother huyo namba tatu ndo boss we2 nimejifunza ki2
@elizamjema5703Ай бұрын
Ninae ananisumbua sanaa
@salimukimweri78455 жыл бұрын
kaka kabla ya yote nikupe credits kubwa sana kwe topic hii unazungumzia kwani its touch a really life which people face in the workplace naitaji kufahamu ofisi zenu zilipo please or communication zenu thanks
@hazjay46715 жыл бұрын
Hii Ya #ScarelyCat Ndio Nnayo iishi...!!
@neemarajabu94322 жыл бұрын
Ongela sana haaaaheeeheeee
@charlesoputi710111 ай бұрын
Be blessed brother @kenya
@assamwakasanga35706 жыл бұрын
Asantee San kak Joel Arthur nanauka hii umelezea Kwa wafanyakaz.. je bosi yeye anatak hawaje hili kuwasaidia wafanyakaz wake ....
@assamwakasanga35706 жыл бұрын
Kak Joel Arthur nanauka naomba unisaidie kuna vitabu nahitaji mpaka leo sijapata Niko mbeya wakala wa mbeya wanasema vitabu avijafika..... Ni kweli avijafika. nilikuw naomba unisaidie kupata maan ni muhimu san kwangu. 1 kughailisha, 2 Tabia 12
@babalois72406 жыл бұрын
Madini ya Asubuhi...thankx Sir
@jacksonsilvester21913 жыл бұрын
Joel Kaka umejuajee kuhusu hii boss anakuchukiaa kisa tuu unabadilisha mavazii kilasiku yaani hiyo kwangu imenikuta akaja direct kabisa akasema hutakiwi kubadilisha nguo kilasiku khaa
@muhsinsalum8009 Жыл бұрын
Ninao mabosi wa kudogosha na wasiokubali mawazo ya mfanya kazi.
@abdornephotidas38486 жыл бұрын
Somo zuri sana bro Joel
@itikagodfrey35812 жыл бұрын
Aiseee!!!!
@paulpablo22812 жыл бұрын
Mungu akubari sana kiongoz, ur words are real inspiring me in a great way , hili la maboss it's real thing na hizi point zote( 6 ) nimezishuhudia kazin kwangu ,
@josephbudelele284 Жыл бұрын
Perfect said.Awesame.
@brhchannel66186 жыл бұрын
Pouwah sana Kaka barikiwa
@ferdinandsulle84953 жыл бұрын
My boss fits in almost every category
@amrafaraji29774 жыл бұрын
Niko na bosi wangu yeye ni micro manager anapenda apate kila taarifa naomba nipate uelewa zaidi ndugu yangu
@saidialameckdaudi11395 жыл бұрын
Umetisha
@hassanbashir3253 Жыл бұрын
thanks joel wish i saw this video like 3 years ago.
@anthonykimaro8075 жыл бұрын
Asaantheeee dear brother hiyo namba 4,5 na 6 . Hadii kuna maamuzi niliyafanya nasubiria majibu
@elishafelix74324 жыл бұрын
Nimejifunza a lot,asante braza...ila naomba msaada boss wangu ni kama anatabia izo zote,nafanyaje?
@rafaelmwanyila335 жыл бұрын
Kaka nakuelewaaa sanaaaa aiseee, halooo unatishaaa yaani unanigusa totally
@fatmabaamary75472 жыл бұрын
Nimependa mafundisho yako
@bekamwaluku8898 Жыл бұрын
Mm Bo's wangu hajawahi kunisifia Kama nafanya kaz vizur shida nin
@dorithykobelo48003 жыл бұрын
Micro meneja ndo boss wangu.
@husnamohamed92455 жыл бұрын
Hello nnauka mie nina bosi wangu mkali sana kama kichaa kila wakati anamakaripio.na nafanyakazi uzuri sana . Anapenda kukaripia kwa kila wafanyakazi. Mie niko canada.
@ayoubmnemadau10012 жыл бұрын
Ww bro umekua msada katuka kunipatia ushauli wa v2 vingi 💪💪 nimepata kazi sasa natajila kuingia kazini nitazidi kukufatilia unifundishe zaid
@maryammaram26125 жыл бұрын
Mi boss wangu ni aina ya biggot napata shida sanaa
@abbasssaid87196 жыл бұрын
Mimi ilibidi niache kazi maana huyo boss mdogo alikua anasubiri litokee tu jambo hata la kumaliza yy anapeleka kwa boss mkubwa na alikua anataka yy aaminiwe kwa kukandamiza wafanyakazi@joel uliongea ni true
@abubakarmzee39854 жыл бұрын
nimekupata vizur ndugu joel nanuka
@user-dq6gs9vy1o Жыл бұрын
ubarìkiwe sana sana kwakweri nimekuelewa sana naomba namba zako nashida sana na kijana wangu naomba msahada wako naona utanisaidia ananiumiza sana ni kijana wangu wa kwanza mungu akubariki sana
@sethstiven33933 жыл бұрын
2021
@marambajkt76376 жыл бұрын
Nice brother
@marambajkt76376 жыл бұрын
Nataka ushirikiano brther
@princessyvetteevedollyisma25866 жыл бұрын
Mi wangu unifatiliya mpaka Facebook yani hatari kufanya kazi na mwarabu nikama unaingiya jeyanam
@kokudo83895 жыл бұрын
Na hapa atakufatilia akiiona hii comments hahahaaa lol
@nemesnyaki15015 жыл бұрын
Hawo boss nishida ila umenifundisha kitu kumbe inatakiwa ukitaka kumwelekeza bos ufanye kama una muhuliza swahil ok nimekupata broo sn kuhusu bos mkorofi
@allyawadh84923 жыл бұрын
Wewe unaonekana huna akili swala sio kufanya kazi na mwarabu au mchina hizi ni aina na tabia za mabosi ajarishi ninani muhimu ni kujua namna ya kufanya nao kazi hicho ndicho kinacho fundishwa,panuwa mawazo yako na usiwe na mawazo mgando.
@makaramayatibamrmichaelkih36836 жыл бұрын
Uko vizur
@oswardmsangi52133 жыл бұрын
Hivi Inawezekana boss akawa na sifa zaidi ya moja, mfno ni despot pia ni abusive jerk?
@francoiskasangala72372 жыл бұрын
mimi ni frank boss Wangu ana tabiya iyo iyo Kabisa asa kwa warabu wa chinois ni atari kweli
@jumahusein8690 Жыл бұрын
Aina ya kwanza ndo aina ya boss wangu
@gibsonngahala99546 жыл бұрын
boss wangu ni inspector
@tithobaptist74094 жыл бұрын
Kuna kitu naanza kuobserv thnkx ...Bro jn
@mwanashagladys45812 жыл бұрын
Mm apa😭😭😭😭😭chochote nifanyacho boss haoni kelele kila mara
@hadasuleimanhaji7823 Жыл бұрын
Ndio nimewahi kukutana aliwaambia wafanyakazi wenzangu hivi "eti ndio amesomea diploma uyo diploma iyo diploma gani unamuuliza kitu anakujibu sijui "kwa kweli limeniumiza moyoni ,na hayo yote aliyasema nikiwa sipo katika kile kikao nilikujasimuliwa tu
@barakafrances45356 жыл бұрын
Well presented
@gilmananthony41242 жыл бұрын
Ninae boss wa hivo dah
@hassanbakari15096 жыл бұрын
Nina mfanyakazi mwenzangu anahizo tabia anajichukulia kama boss anahizo tabia zotee nashukuru mungu kwa msaada wako nitadili nae jino kwa jino
@aash4145 Жыл бұрын
Nimecheka hapo kwenye,,,, kuna bos anaweza kukuchukia kwa sababu umefanana namtu ambae huko nyuma aliwah kumkera
@alimatambwe88645 жыл бұрын
Duh nakupenda bure kwa kweli yani utafikiri unayanambia mimi .uyo boss niliwahi kukutana nae ila mimi aliwahi kunitongoza nikamkata basi alikuwa ananipush yani hata niko hukichuwa brack anakuja kushimama pembeni yangu ilimradi aone kama tachelewa dakika moja tu anifkuze eh jifikirie nilitumika pale myaka miwili natumikisha msk ju kuna aina mbili za mask 😷 tulikuwa tunatumikisha white na brown mimi nilikuwa natumikisha brown myaka miwili.ila siku moja alinitukanaga saprise nakufoka eti hey vuwa iyo mask 😷 kwa kufoka ila iyo siku niliamuwa kuwa makali kidogo na kumuonesha kama yeye ni boss ila Nami ninauwezo wa kuwa na hakhi nilimwambia sitowi hiyi mask ju nina myaka miwili sasa naitumikisha hukuwahi kunikataza wala siku nilianza kazi hukuwahi kunipa the riting kuhusu hiyi mask niliwapigia sim wa kubwa wa kumzidi yeye kwa hiyo kazi na kumshitaki serekalini kumuonesha kuwa nayeye anaweza kuwa chini na nilimwambia sitaacha hiyi kazi ju wewe unataka mimi niiache taacha nikitaka.nilimshitaki wakubwa wakaamuwa kumuhamisha yeye pengine kwenda kutumika ila hakutosheka alipiganisha kurudi penye niko ila nilimpeleka mpaka kwenye Housecoat nilimshinda sheria na kunilipa mimi kiasi gani alininyanyasa na wakamfukuza yeye na kumchukulia vitambulisho Vy ake Hana uwezo wakutafuta kazi popote pale ila ndiyo sheria ya huku Marekani ukimnyanyasa mwenziyo lazima wakuchukilie hatuwa siyo kama kwetu Africa wafanya kazi we zangu waliniambia eh Alima unaroho Ngumu kweli sisi tulikuwa tunamuokopa
@saumseif38153 жыл бұрын
Hapo 1 , 3, 4,5, nahis bora nitafute sehem nyengine nilikua hapo kazin kwa miaka 10 lkn huu mwaka mmoja tu alipobadilishwa bosi ni stress tupu
@user-fv5bb1iy3q11 ай бұрын
Binafsi nmefurahishwa Santa na elimi yako changamoto yangu kwa sasa sipo vizur kifedha na napenda nipate huduma yako hasa ya vitabu ambavyo vinahusiana na mambo ya fedha na mipango
Mim bos wangu niki fanya vizur anisifu lakini nikikosea ataongea mchana wote adi kero
@joyceshile-nw1cu11 ай бұрын
Mimi boss wangu ananiogopa, kabla hajawa boss nilisha ishi name nyumba Moja, stori zake zote ninazo, nikitoa kidogo ofsini husi ulia mambo yake Kwa wasio mjua ,nikiingia ofisini hunyamaza ghafla, ila taarifa na pewana wengine kwamba boss anakuogopa kwanini?Naomba unishauri nihame kituo hicho au nifanye Nini.
@mshamba5174 Жыл бұрын
Kaka kabla ujaaanza kuongea nilishajua bos wangu anasifa hizo zote
@tarrickaziz93273 жыл бұрын
Kaka mimi boss wangu ana tabia zote hizo ulizo zitaja na maelezo hayo yanafanan kabisa yan ...
@4gtradingimpex201 Жыл бұрын
kaka mimi nilikuwa nareport kwa CEO na sasa nariport kwa COO huyu boss anazo hizi tabia zote huyu tunamuhitaje?maana hizi type zote anazofrom september 2022 till now niko katika these kind of boses
@josephkimario4036 жыл бұрын
Duu nipo na boss namsimamia biashara yake vizur lkn hajali utu wa mtu, ukiumwa haangaiki kitu chochote hata kukuliza unaendeleaje
@priscilerehemasongolo72336 жыл бұрын
Asante sana mimi bosi wangu haniamini nimesikia na nitatimiza
@barakalugasi57316 жыл бұрын
Ipo mzuri sana!!
@ibrahimmtengule22776 жыл бұрын
nimekusoma bro.
@abubakarabubakar34823 жыл бұрын
Umetisha brroo !hivi Kaka ikiwa boss wako anasifa zote 6 itakubidi ufanyeje?
@kiflyhassan85823 жыл бұрын
Ninae Boss wa aina hiyo
@glorysimon22943 жыл бұрын
DAH......... BOS WANNGU YUKO TYPE 6, NA TYPE 2
@mudrick71152 жыл бұрын
Boss wangu yupo katik hatua zote sita lakin huu ni mwaka wa 2 nipo nae
@zainilkanji91412 жыл бұрын
Safi
@gxonmkusu17705 жыл бұрын
BROO KUNA MABOSS AU MAMENEJA WAMECHUKUA AINA KAMA TATU APO
@neysanga5 жыл бұрын
Kila siku napiga hatua mpya
@shubackmashinga35356 жыл бұрын
Me sijawai kukutana Na aina yoyote coz boss wa alikua babamdogo
@matokeomudende34144 жыл бұрын
Mimi ninao was hivo
@thomsammy57414 жыл бұрын
Maboss hao nimeshakutana nao
@hassaniabdalah15166 жыл бұрын
Apo ninao wawili namba mbili yaani indifferent na abusive jerk
@hassaniabdalah15166 жыл бұрын
Hasa wa indifferent toka amekuja hajawahi nipongeza pale ninapo fanikiwa hassaniabdalah64@gmail.com