Mungu akubariki baba bila unafiki wew ni kiongozi mzuri na tabora itakuwa mahali pa zuri gonga like hapa kwa mzee! twende sawa
@barakambisa965 жыл бұрын
Jaman achen masiala huyu Kiongoz cre@tive kama unamkubali nipen lke👍🏻
@zahrachangalia42185 жыл бұрын
😂😂😂wapi likes za mkuu Mwanri
@vincenttarimo96325 жыл бұрын
Salute to this man if you love him gonga like hapa
@ionicbrand20595 жыл бұрын
He Is a SuperHero by the way, Simple in looking but Tough in action✊🙇
@osheachannel47265 жыл бұрын
"Kuna haluwatani kuliko Mimi apa mkoa huu?" Kama umeskia iki kipande gonga like tufurahi🤣🤣🤣
@faridamkesso975 жыл бұрын
Yaani Mwanri ni kiongozi shupavu ni mfano wa kuigwa
@mohammedabdallah63905 жыл бұрын
Aaanh! Unajua ng'ombe hao ni Al watan, kuna Al watan kuliko mimi mkoa huu? Daaah nmecheka sana huyu mkuu nikiona habari yake tu naapata hamasa kusikiliza
@celinaweber70245 жыл бұрын
Mungu akubariki sana akupe maisha marefu yenye afya njema Hongera sana Mh. Mwanri
@steveagustino93685 жыл бұрын
kata kata pembe kata pembe 😂😂😂 ebu like hapa!
@Ishengoma15 жыл бұрын
Kama unapenda kuchangia tiketi ya ndege ili Mkuu aende toronto gonga like hapa
@kaloymlambi80385 жыл бұрын
Ahahahaha torooooonto
@africanmandetraveler28475 жыл бұрын
Huyu dingi anatakiwa cheo kikubwa zaidi ya alicho nacho,I can see the future president. Salute kwa Mwanri he is the real leader.
@bashiriurassa66155 жыл бұрын
Chuma cha pua ...salute kwako mh
@tonnsimbasportsclub71685 жыл бұрын
Anaesema jamaa anapaswa kupewa uraisi piga kura apo
@wilonjahatua20675 жыл бұрын
Kama unamkubali aggrey mwanri acha majungu na wivu gonga like yako hapa please jamaa anajua sio masihara
@barnababuhombe33535 жыл бұрын
Jamaa Fundi anahakikisha kila mtu anaelewa
@SIMBAofSIMBA5 жыл бұрын
wake up fool.this is called public stunt.shida sio kupanda miti bali kazi na cost ni kutunza na serikali haina hiyo pesa.soma failure ya ground nuts scheme tena hapohapo tabora ndio ujue.kweli watz hata pimbi anaweza kuwaongoza
@emmanueljoseph80075 жыл бұрын
Mweshimiwa ujumbewako unafaa
@wilonjahatua20675 жыл бұрын
@@emmanueljoseph8007 sure
@juliusmboya42035 жыл бұрын
Safi sana mkuu
@bintlola31275 жыл бұрын
Namkubali lkn punguza viber kidogo😄😄😄unaongea sna baba mkwe
@lucassalvatory72515 жыл бұрын
Hahahhaha unatukumbusha enzi za king Majuto Mungu ampe pumziko jema
@paschalmsizu76745 жыл бұрын
Toronto
@ayishaayishayisha44654 жыл бұрын
Hongera kiongozi
@pigapesa10135 жыл бұрын
#Kata pembe kata pembe( -Rc Tabora)!
@MohammadAhmad-qy3qs5 жыл бұрын
I wish na mkoa wangu ungekua na RC km huyu..... fyekelea mbali wote waco jitambua
@rosekimario82595 жыл бұрын
Kweli kbs
@rehemamsuya22635 жыл бұрын
Kanyaboaya ondoa tu fyekelea mbali
@djsandi44195 жыл бұрын
Bwirehhh Njoo Huku Mkuu Wako Kawaka
@moikiyeyeu79195 жыл бұрын
Binafsi namfuatilia sana Mh Agrey Mwanri wengi wanadhani anafanya comedy lakini huyu bwana Yuko makin sana amewaunganisha viongoz wengi wa Tabora na kuwafundisha wananchi, anakwenda nao shambani, anapalilia na kupiga dawa nao, Leo hii viongoz wengine hata matope wanaogopa lakin huyu ni bonge la kiongozi
@pascalprince44085 жыл бұрын
Haahhahh mbuz wanakula ubwawa tena unatui LA naz
@josephkingu19725 жыл бұрын
Pascal Prince hahahahaaaaaaa
@salumubarangi445 жыл бұрын
chikichi eeenheee...piga kazi mzee
@ilynpayne74915 жыл бұрын
Hahah aisee hii balaaa huyu mzee hatari
@ibnkhamic67375 жыл бұрын
Mtu mmoja analeta jeuri kwa kua amezaliwa na baba ake na mama ake 😁😁
@nzomukundafatuma53645 жыл бұрын
Uyu baba kweli uyu ni kiongozi sasa kama siyo kiki tu
@jennywenu55065 жыл бұрын
Kama umewaona Tpsc verify hata.
@nasibukapati58015 жыл бұрын
Duh hyo noma toronto
@radhiasalum71565 жыл бұрын
safi
@isaiahnmagemeson45165 жыл бұрын
Ukizeeka unaanza kuwa kama mtoto 😂😂😂😂 NATABIRI tu jamani!!!
@rosekimario82595 жыл бұрын
Urais unakuhusu mh Rc mwari
@vascostanleymbisse44775 жыл бұрын
Kata pembe kata pembee😁😁😁
@johariramadhan21965 жыл бұрын
VASCO MBISSE hahahaha
@emmanuelndege89155 жыл бұрын
mkoa wa mara tunamuomba mheshimiwa hyu
@eliayeremia92185 жыл бұрын
hahaa safiiiiiiii
@rosekimario82595 жыл бұрын
Niko MOSH lkn nafurahi sana
@wizzmkandawile11405 жыл бұрын
bwireh soma hiyooo
@magangadamian47725 жыл бұрын
Bwiiiree
@rongeronge65655 жыл бұрын
al-watan.
@godfreyally77875 жыл бұрын
RC mwanri hata urais unakufaa
@noahmathew22565 жыл бұрын
huyu akiwa rais wa daresalaam itapendeza zaidi ajifanye anajikuna tuu ajee
@titomachite9204 жыл бұрын
Duuu
@kelemanii.m98345 жыл бұрын
Be careful with your heading.......you do mislead everything
@saphinachristopher48725 жыл бұрын
Kata pembe kata pembe kata😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@pelusemanueli8585 жыл бұрын
😀😁😁
@mr.salmini33845 жыл бұрын
Sawa ALWATAN wa TABORA
@captenndunga93855 жыл бұрын
Alfuulelaulela😁😁hekaya za abunuasi.
@robertlyimo43615 жыл бұрын
Kata pembe
@mahrooqsuleiman72165 жыл бұрын
Sikonge bado
@mahrooqsuleiman72165 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
@hassanmasuke50785 жыл бұрын
Dah this Gy😂😂😂😂
@mathazakayo2885 жыл бұрын
nakukubal sana
@tumlakimahengemahenge61865 жыл бұрын
😂 kanyenye
@petermelkiony6795 жыл бұрын
haaaaa
@goldenson13405 жыл бұрын
iyo ni part 1 soon part 2😂😂😂😂
@patrickmakoye53145 жыл бұрын
mzee anapenda sana ubwabwa 😅😅
@revocatusreuben46055 жыл бұрын
wew mzee nae ndio umeanza kaz
@hosearwechungura53915 жыл бұрын
Kata pembe baba
@madukaj.j.69995 жыл бұрын
Kaaaata kata pembe
@apaelmbise96995 жыл бұрын
Fekelea mbaliiiiiiii
@youngdady79015 жыл бұрын
erick ulikua hujaja
@mohachibu00175 жыл бұрын
Hahahaha
@venstonvedasto5 жыл бұрын
Dar ngombe wapo banah mbezi mwisho kule akiii
@godfrey39265 жыл бұрын
Kwani huyu mzee anaotaga Toronto kila siku, atuambie walimlipa pesa zipi kuitangaza hivi maana hii sio kawaida...😀😀😀
@dechardavid25555 жыл бұрын
😂😂😂
@elishamdach51175 жыл бұрын
mzee wa kukata pembe fyekaaaaaaaa
@shangwehubert58385 жыл бұрын
anatafuta kiki,Mungu hawezi kukufanyia miujiza mara zote...wengine nao wapate kick...sasa hivi ni upuuzi tupu...anaitafuta headline kwa nguvu