Рет қаралды 41,353
Julai 3 2020 Rais Dkt John Pombe alifanya mabadiliko kwa kuteua wakuu wa mikoa wawili na wakuu wa wilaya tisa, mabadiliko hayo yalitokana na baadhi ya walioshika nyadhifa hizo kustaafu kutokana na umri na wengine kuhamishwa vituo vya kazi na hata wengine kupanda vyeo.
Kutoka kwenye orodha hiyo lilikuwemo jina na mkuu wa mkoa wa Tabora Agrey Mwanri ambaye amestafu nyadhifa yake hiyo aliyodumu nayo kwa muda.
#Mwanri, #JPM #KAULITANO